< Ezekieli 38 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
Opět stalo se slovo Hospodinovo ke mně, řkoucí:
2 “Mwanadamu, kaza uso wako dhidi ya Gogu, katika nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali, tabiri dhidi yake
Synu člověčí, obrať tvář svou proti Gogovi, země Magog, knížeti a hlavě v Mešech a Tubal, a prorokuj proti němu,
3 na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ee Gogu, mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali.
A rci: Takto praví Panovník Hospodin: Aj, já budu proti tobě, Gogu, kníže a hlavo v Mešech a Tubal.
4 Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukutia ndoana kwenye mataya yako na kukutoa nje wewe pamoja na jeshi lako lote, yaani, farasi wako, wapanda farasi wako waliojiandaa tayari kwa vita, pamoja na kundi kubwa la wajeuri wakiwa na ngao na vigao, wote wakipunga panga zao.
A odvedu tě zpět, dada udice do čelistí tvých, když tě vyvedu i všecko vojsko tvé, koně i jezdce, všecky oblečené v celou zbroj, zástup veliký s pavézami a štíty, všecky ty, kteříž užívají meče:
5 Uajemi, Kushi na Putu watakuwa pamoja nao, wote wakiwa na ngao na kofia za chuma,
Perské, Mouřeníny i Putské s nimi, všecky ty s štíty a lebkami,
6 pia Gomeri pamoja na vikosi vyake vyote, na Beth-Togarma kutoka kaskazini ya mbali pamoja na vikosi vyake vyote, mataifa mengi wakiwa pamoja nawe.
Gomera i všecky houfy jeho, dům Togarmy od stran půlnočních, i všecky houfy jeho, národy mnohé s tebou.
7 “‘Jiandae, uwe tayari, wewe na makundi yako yote ya wajeuri yaliyokusanyika pamoja nawe, nawe waamrishe.
Budiž hotov, a připrav se, ty i všecko shromáždění tvé, těch, kteříž se k tobě sebrali, a buď strážcím jejich.
8 Baada ya siku nyingi utaitwa vitani. Katika miaka ijayo, utaivamia nchi ile ambayo imepona kutoka vita, ambayo watu wake walikusanywa kutoka mataifa mengi kuja katika milima ya Israeli, ambayo kwa muda mrefu ilikuwa imeachwa ukiwa. Wameletwa kutoka mataifa na sasa wote wanaishi katika hali ya salama.
Po mnohých dnech navštíven budeš, v potomních letech přitáhneš na lid vysvobozený od meče, a shromážděný z národů mnohých na hory Izraelské, kteréž byly pustinou ustavičně, když oni z národů jsouce vyvedeni, budou bydliti bezpečně všickni.
9 Wewe na vikosi vyako vyote na mataifa mengi yaliyo pamoja nawe mtapanda juu, mtawazoa kama tufani na kuifunika nchi kama wingu.
V tom přitáhneš a přijdeš jako bouře, budeš jako oblak přikrývající zemi, ty i všickni houfové tvoji, i národové mnozí s tebou.
10 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mawazo yataingia moyoni mwako nawe utapanga mipango mibaya.
Takto praví Panovník Hospodin: I stane se v ten den, že vstoupí mnohé věci na srdce tvé, a budeš mysliti myšlení zlé.
11 Utasema, “Nitapigana vita na nchi ambayo vijiji vyake havina maboma. Nitawashambulia watu wanaoishi kwa amani na wasiotarajia vita: wote wanaishi bila maboma na bila malango na makomeo.
A díš: Potáhnu na zemi, v níž jsou vsi, přitáhnu na ty, jenž pokoje užívají, bydlíce bezpečně, na všecky, kteříž bydlejí beze všech zdí, a nemají žádné závory ani bran,
12 Nitateka mateka na kuchukua nyara mali za wale waliorudi kuishi katika mahame na wale watu waliokusanywa kutoka kwa mataifa, ambao sasa wana mifugo na mali nyingi, wanaoishi katikati ya nchi.”
Abych vzebral kořisti, a rozchvátal loupeže, obraceje ruku svou proti pouštěm již osazeným, a proti lidu zase shromážděnému z národů, zacházejícímu s dobytkem a jměním, bydlejícím u prostřed země.
13 Sheba na Dedani pamoja na wafanyabiashara wa Tarshishi na vijiji vyake vyote watakuambia, “Je, umekuja kuteka mateka? Je, umekusanya makundi yako ya wajeuri ili kuchukua nyara mali, kutwaa fedha na dhahabu, kutunyangʼanya mifugo na mali na kuteka nyara nyingi zaidi?”’
Sába a Dedan, a kupci mořští, i všecka lvíčata jeho řeknou tobě: K rozebrání-liž kořistí ty se béřeš? K rozchvátání-li loupeže shromáždil jsi množství své, abys bral stříbro a zlato, abys nabral dobytka i zboží, a nashromáždil loupeže veliké?
14 “Kwa hiyo, mwanadamu, tabiri na umwambie Gogu: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile, watu wangu Israeli watakapokuwa wanaishi salama, Je, wewe mwenyewe hutalijua hilo?
Protož synu člověčí, prorokuj a rci Gogovi: Takto praví Panovník Hospodin: Zdaliž toho dne, když bude lid můj Izraelský bydliti bezpečně, nezvíš,
15 Utakuja kutoka kwako huko kaskazini ya mbali, ukiwa pamoja na mataifa mengi, wote wakiwa wamepanda farasi, kundi kubwa, jeshi kuu.
Kdyžto přitáhnouce z místa svého od stran půlnočních, ty i národové mnozí s tebou, sedíce na koních všickni, shromáždění veliké a vojsko znamenité,
16 Utakuja dhidi ya watu wangu Israeli kama wingu lifunikavyo nchi. Siku zijazo, ee Gogu, nitakuleta wewe dhidi ya nchi yangu, ili kwamba mataifa wapate kunijua Mimi nitakapojionyesha mtakatifu kwa kukupitia wewe mbele ya macho yao.
Potáhneš na lid můj Izraelský jako oblak, abys přikryl tu zemi? V potomních dnech stane se, že tě přivedu na zemi svou, aby mne poznali národové, když posvěcen budu v tobě před očima jejich, ó Gogu.
17 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Je, wewe si yule niliyenena juu yako katika siku za zamani kwa kupitia kwa watumishi wangu manabii wa Israeli? Wakati ule walitabiri kwa miaka mingi kwamba ningekuleta upigane nao.
Takto praví Panovník Hospodin: Zdaliž ty nejsi ten, o kterémž jsem mluvil za dnů starodávních skrze služebníky své, proroky Izraelské, kteříž prorokovali za těch dnů a let, že tě přivedu na ně?
18 Hili ndilo litakalotokea katika siku ile: Gogu atakaposhambulia nchi ya Israeli, hasira yangu kali itaamka, asema Bwana Mwenyezi.
A však stane se v ten den, v den, v kterýž přitáhne Gog na zemi Izraelskou, praví Panovník Hospodin, že povstane prchlivost má s hněvem mým,
19 Katika wivu wangu na ghadhabu yangu kali ninasema kuwa wakati ule patakuwepo tetemeko kuu katika nchi ya Israeli.
A v rozhorlení svém, v ohni prchlivosti své mluviti budu. Jistě že v ten den bude pohnutí veliké v zemi Izraelské,
20 Samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kondeni, kila kiumbe kitambaacho ardhini, na watu wote walio juu ya uso wa nchi watatetemeka mbele zangu. Milima itapinduka, majabali yatapasuka na kila ukuta utaanguka chini.
Tak že se pohnou před tváří mou ryby mořské i ptactvo nebeské, a zvěř polní i všeliký zeměplaz plazící se po zemi, i všickni lidé, kteříž jsou na svrchku země. I rozválejí se hory, a padnou výsosti, i každá zed na zem upadne.
21 Nitaita upanga vita dhidi ya Gogu juu ya milima yangu yote, asema Bwana Mwenyezi. Upanga wa kila mtu utakuwa dhidi ya ndugu yake.
Nebo zavolám proti němu po všech horách mých meče, praví Panovník Hospodin; meč každého proti bratru jeho bude.
22 Nitatekeleza hukumu juu yake kwa tauni na kwa umwagaji wa damu. Nitaifanya mvua ya mafuriko kunyesha, mvua ya mawe na moto wa kiberiti juu yake na juu ya vikosi vyake na juu ya mataifa mengi walio pamoja naye.
A vykonám při něm soud morem a krve prolitím a přívalem rozvodnilým, a kamením krupobití velikého, ohněm a sirou dštíti budu na něj i na houfy jeho, a na národy mnohé, kteříž jsou s ním.
23 Nami hivyo ndivyo nitakavyoonyesha ukuu wangu na utakatifu wangu, nami nitajijulisha mbele ya macho ya mataifa mengi. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.’
A tak zveleben, a posvěcen, a v známost uveden budu před očima národů mnohých, a zvědí, že já jsem Hospodin.

< Ezekieli 38 >