< Ezekieli 38 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
Hina Gode da nama amane sia: i,
2 “Mwanadamu, kaza uso wako dhidi ya Gogu, katika nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali, tabiri dhidi yake
“Dunu egefe! Goge da Misiege fi amola Diubale fi (ela da Ma: igoge soge ganodini esala) ilima hina bagade gala. Ema gasa bagade amane mimogoa fofada: ma,
3 na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ee Gogu, mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali.
Na, Ouligisudafa Hina Gode, da dia ha lai.
4 Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukutia ndoana kwenye mataya yako na kukutoa nje wewe pamoja na jeshi lako lote, yaani, farasi wako, wapanda farasi wako waliojiandaa tayari kwa vita, pamoja na kundi kubwa la wajeuri wakiwa na ngao na vigao, wote wakipunga panga zao.
Na da di delegilisili, dia magado amoga ma: goga badofalesili, di amola dia dadi gagui dunu huluane hiouginana afia: mu. Dia dadi gagui gilisisu da bagadedafa amola hosi amola amoga fila heda: i dunu da afaedidi abula sala. Dadi gagui dunu huluane afae afae da gaga: su liligi gaguli ahoa, amola gegesu gobihei sedade gaguli ahoa.
5 Uajemi, Kushi na Putu watakuwa pamoja nao, wote wakiwa na ngao na kofia za chuma,
Be Sie dunu amola Sudane dunu amola Libia dunu da gaga: su liligi gaguli amola gegesu habuga figisili, di amola gilisili ahoa.
6 pia Gomeri pamoja na vikosi vyake vyote, na Beth-Togarma kutoka kaskazini ya mbali pamoja na vikosi vyake vyote, mataifa mengi wakiwa pamoja nawe.
Gegesu dunu huluane amo da Goma amola Bede Dogama amo ga (north) sogega esalu amoga di amola gilisimusa: misi. Amola fifi asi gala bagohame eno da dima gilisili ahoa.
7 “‘Jiandae, uwe tayari, wewe na makundi yako yote ya wajeuri yaliyokusanyika pamoja nawe, nawe waamrishe.
Goge! Dia gegesu liligi amola dadi gagui dunu amo momagema.”
8 Baada ya siku nyingi utaitwa vitani. Katika miaka ijayo, utaivamia nchi ile ambayo imepona kutoka vita, ambayo watu wake walikusanywa kutoka mataifa mengi kuja katika milima ya Israeli, ambayo kwa muda mrefu ilikuwa imeachwa ukiwa. Wameletwa kutoka mataifa na sasa wote wanaishi katika hali ya salama.
Ode bagohame gidigilalu, Na da e soge afae amo doagala: ma: ne sia: mu. Amo soge fi da musa: fifi asi gala bagohame amoga afagogole, Na da ili amoga fisili masa: ne, ilia sogega bu oule misi. Amola amo ganodini ili gegesu amoga hame beda: iwane, hahawane esalu. E da Isala: ili goumi (amo da ode bagohame wadela: lesili, dunu hamedene dialebe ba: i, be wali dunu da gaga: iwane esala) amo doagala: mu.
9 Wewe na vikosi vyako vyote na mataifa mengi yaliyo pamoja nawe mtapanda juu, mtawazoa kama tufani na kuifunika nchi kama wingu.
E amola ea dadi gagui dunu amola fifi asi gala bagohame ema madelale da isu agoane doagala: le, soge huluane mobi agoane dedebomu.”
10 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mawazo yataingia moyoni mwako nawe utapanga mipango mibaya.
Ouligisudafa Hina Gode da Goge amoma amane sia: sa, “Amo eso doaga: sea, di da wadela: i ilegesu muni dawa: mu.
11 Utasema, “Nitapigana vita na nchi ambayo vijiji vyake havina maboma. Nitawashambulia watu wanaoishi kwa amani na wasiotarajia vita: wote wanaishi bila maboma na bila malango na makomeo.
Di da asaboi soge amoga dunu da olofole, hame gagili sali moilai amo ganodini esala, amoga doagala: musa: , heda: ma: ne dawa: mu.
12 Nitateka mateka na kuchukua nyara mali za wale waliorudi kuishi katika mahame na wale watu waliokusanywa kutoka kwa mataifa, ambao sasa wana mifugo na mali nyingi, wanaoishi katikati ya nchi.”
Di da dunu fi amo da moilai musa: mugululi dialu amo ganodini esala, amoga doagala: le, ilia liligi huluane gegenana lamu. Na da amo fi amo fifi asi gala afagogoi amoga fisili masa: ne, gilisili, ilia sogedafa amoga bu oule misi. Amola wali ilia da ohe amola soge gaguiwane, osobo bagade logo bulufai amoga esalebe.
13 Sheba na Dedani pamoja na wafanyabiashara wa Tarshishi na vijiji vyake vyote watakuambia, “Je, umekuja kuteka mateka? Je, umekusanya makundi yako ya wajeuri ili kuchukua nyara mali, kutwaa fedha na dhahabu, kutunyangʼanya mifugo na mali na kuteka nyara nyingi zaidi?”’
Siba amola Dida: ne soge dunu amola Siba: ini soge bidi lasu dunu da dima adole ba: mu, ‘Dia da gegenana liligi lamusa: , dia dadi gagui gilisibala: ? Di da silifa amola gouli amola liligi amola ohe fofoi amo gegenana laloba, udigili masusa: dawa: bela: ?’”
14 “Kwa hiyo, mwanadamu, tabiri na umwambie Gogu: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile, watu wangu Israeli watakapokuwa wanaishi salama, Je, wewe mwenyewe hutalijua hilo?
Amaiba: le, Ouligisudafa Hina Gode da na Gogema Ea sia: adola masa: ne asunasi. Na da ema, Gode Ea sia: amane olelei, “Wali, Na Isala: ili fi dunu da olofole gaga: iwane esaloba,
15 Utakuja kutoka kwako huko kaskazini ya mbali, ukiwa pamoja na mataifa mengi, wote wakiwa wamepanda farasi, kundi kubwa, jeshi kuu.
dia sogebi gadafa (north) amoga di dadi gagui wa: i bagade (ilia da fifi asi gala bagohame amoga misi amola huluane da hosi da: iya fila heda: i) amo oule masa.
16 Utakuja dhidi ya watu wangu Israeli kama wingu lifunikavyo nchi. Siku zijazo, ee Gogu, nitakuleta wewe dhidi ya nchi yangu, ili kwamba mataifa wapate kunijua Mimi nitakapojionyesha mtakatifu kwa kukupitia wewe mbele ya macho yao.
Di da Na dunu fi Isala: ili ilima, isu ifalabo ladili mabe defele doagala: ma. Amo eso da doaga: sea, Na da di fifi asi gala ilima Na da Hina Gode, amola Na da dia loboga Na Hadigi olelesa amo ilia dawa: ma: ne, Na da di Isala: ili sogega doagala: musa: asunasimu.
17 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Je, wewe si yule niliyenena juu yako katika siku za zamani kwa kupitia kwa watumishi wangu manabii wa Israeli? Wakati ule walitabiri kwa miaka mingi kwamba ningekuleta upigane nao.
Na da musa: hemonega, Na hawa: hamosu dunu amo Isala: ili balofede dunu, ilia lafidili, Na da dunu Isala: ili sogega doagala: ma: ne asunasimu sia: i. Amo dunu da di fawane.” Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.
18 Hili ndilo litakalotokea katika siku ile: Gogu atakaposhambulia nchi ya Israeli, hasira yangu kali itaamka, asema Bwana Mwenyezi.
Ouligisu Hina Gode da amane sia: sa, “Eso amoga Goge da Isala: ili soge amoma doagala: le, golili ahoasea, Na da ougi bagade ba: mu.
19 Katika wivu wangu na ghadhabu yangu kali ninasema kuwa wakati ule patakuwepo tetemeko kuu katika nchi ya Israeli.
Na da ougi bagadeba: le, bebeda: nima bagadedafa Isala: ili sogega iasimu.
20 Samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kondeni, kila kiumbe kitambaacho ardhini, na watu wote walio juu ya uso wa nchi watatetemeka mbele zangu. Milima itapinduka, majabali yatapasuka na kila ukuta utaanguka chini.
Menabo huluane amola sio huluane, amola ohe bagade amola fonobahadi, amola dunu huluane osobo bagadega esalebe, ilia da Naba: le beda: gia: mu. Goumi da agele sa: imu, agolo damui da agele sa: imu amola dobea huluane da mugululi sa: imu.
21 Nitaita upanga vita dhidi ya Gogu juu ya milima yangu yote, asema Bwana Mwenyezi. Upanga wa kila mtu utakuwa dhidi ya ndugu yake.
Na da bidi hamosu bagohame iasibiba: le, Goge da bagade beda: mu. Na, Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi. Dia dadi gagui dunu da sinidigili ilia gegesu gobiheiga iligobele gegemu.
22 Nitatekeleza hukumu juu yake kwa tauni na kwa umwagaji wa damu. Nitaifanya mvua ya mafuriko kunyesha, mvua ya mawe na moto wa kiberiti juu yake na juu ya vikosi vyake na juu ya mataifa mengi walio pamoja naye.
Ilima se ima: ne, Na da olo amola gegene bogogia: su ilima iasimu. Gibu bagade amola mugene amola lalu amola salafa gilisi da dia dadi gagui dunu amola fifi asi gala dunu da dimagale misi ilima gugudili sa: imu.
23 Nami hivyo ndivyo nitakavyoonyesha ukuu wangu na utakatifu wangu, nami nitajijulisha mbele ya macho ya mataifa mengi. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.’
Na da amane hamosea, Na da fifi asi gala huluane Na da gasa bagade amola hadigidafa, amo ilima olelema. Amasea, ilia da Na da Hina Gode dawa: mu.”

< Ezekieli 38 >