< Ezekieli 37 >

1 Mkono wa Bwana ulikuwa juu yangu, naye akanitoa nje kwa Roho wa Bwana na kuniweka katikati ya bonde lililokuwa limejaa mifupa tele.
Na da Hina Gode Ea gasa bagade hou nabi. Amalu, Ea A: silibu da na fagoga oule sa: ili, na da osobo huluane bogoi gasaga dedeboi ba: i.
2 Akanipitisha pande zote kwenye hiyo mifupa, nami nikaona mifupa mingi sana ndani ya lile bonde, mifupa iliyokuwa imekauka sana.
E da na fagoba: le amodili oule lalu, na da gasa bagohamedafa dialebe ba: i. Na ba: loba, amo gasa ilia huluane da hafoga: idafa ba: i.
3 Akaniuliza, “Mwanadamu, mifupa hii yaweza kuishi?” Nikajibu, “Ee Bwana Mwenyezi, wewe peke yako wajua.”
Hina Gode da nama amane sia: i, “Dunu egefe! Amo gasa da bu uhimu dawa: bela: ?” Na amane bu adole i, “Ouligisudafa Hina Gode! Disu fawane amo bu adole ima: ne dawa: !”
4 Ndipo akaniambia, “Itabirie mifupa hii na uiambie, ‘Enyi mifupa mikavu, sikieni neno la Bwana!
E amane sia: i, “Amo hafoga: i gasa amoma ilia da Hina Gode Ea sia: nabima: ne sia: ma.
5 Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo kwa hii mifupa: Nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi.
Ilima amane sia: ma, ‘Na, Ouligisudafa Hina Gode da dilima amane sia: sa; Na da dili amo ganodini mifo sanasili, dili bu uhini heda: ma: mu.
6 Nitawawekea mishipa, nami nitaifanya nyama ije juu yenu na kuwafunika kwa ngozi. Nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtakuwa hai. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”
Na da momoge amola hu dilima imunu, amola dili gadofoga dedebolesimu. Na da dili amo ganodini mifo sanasili, dili bu uhini heda: ma: mu. Amasea, dilia da Na da Hina Gode dawa: mu.”
7 Basi nikatabiri kama nilivyoamriwa. Wakati nilipokuwa ninatabiri, kukawa na sauti, sauti ya kugongana, nayo mifupa ikasogeleana, mfupa kwa mfupa mwenziwe.
Amaiba: le, Gode da nama sia: i amo defele, na da hafoga: i gasa amoma sia: i. Na sia: nanoba, na da genena: genena: be nabi. Gasa da disimusa: ne mui.
8 Nikatazama, mishipa na nyama vikatokea juu ya mifupa na ngozi ikaifunika, lakini hapakuwepo pumzi ndani yake.
Na ba: loba, gasa da momoge dadafuli, amola hu ba: sisi amola gadofoga dedeboi. Be da: i hodo hamoi da mifo hame galu.
9 Ndipo aliponiambia, “Utabirie upepo, tabiri, mwanadamu na uuambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Njoo kutoka pande nne, ee pumzi, nawe upulizie pumzi ndani ya hawa waliouawa, ili wapate kuishi.’”
Gode da nama amane sia: i, “Dunu egefe! Fo amoga sia: ma! Fo amoma Ouligisudafa Hina Gode da di la: di la: di amoga misini, amo bogoi da: i hodo huluane uhini heda: ma: ne, mifo ima: ne sia: ma.”
10 Hivyo nikatabiri kama alivyoniamuru, nayo pumzi ikawaingia, wakawa hai na wakasimama kwa miguu yao, jeshi kubwa mno.
Amaiba: le, Na da Gode Ea adoi defele sia: i. Mifo da bogoi da: i hodo amo ganodini sa: ili, ilia da uhini wa: legagadoi. Ilia da bagohameba: le, gegesu dunu gilisisu bagade hamoma: ne defele ba: i.
11 Ndipo akaniambia: “Mwanadamu, mifupa hii ni nyumba yote ya Israeli. Nao wanasema, ‘Mifupa yetu imekauka na tumaini letu limetoweka, tumekatiliwa mbali.’
Gode da nama amane sia: i, “Dunu egefe! Isala: ili fi dunu da amo bogoi gasa agoane gala. Ilia da hafoga: i dagoi, amola ilima doaga: mu hou da hamedei, ilisu dawa: lala.
12 Hivyo watabirie na uwaambie: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Enyi watu wangu, nitayafunua makaburi yenu na kuwatoa ndani yake, nami nitawarudisha tena katika nchi ya Israeli.
Amaiba: le, Na fidafa Isala: ili ilima Na, Ouligisudafa Hina Gode, Na sia: ilima adosima, amane; Na da ilia bogoi uli dogoi amo doasili, ilia da: i hodo fadegale, Isala: ili sogega bu oule misunu.
13 Ndipo ninyi watu wangu, mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana, nitakapoyafunua makaburi yenu na kuwatoa humo.
Na da bogoi uli dogoi (amo ganodini Na fi dunu da uli dogoi) amo doasili, ili gadili oule ahoasea, ilia da Na da Hina Gode dawa: mu.
14 Nitatia Roho yangu ndani yenu nanyi mtaishi, nami nitawakalisha katika nchi yenu wenyewe. Ndipo mtakapojua kwamba Mimi Bwana nimenena, nami nitalitenda, asema Bwana!’”
Na da Na mifo ili ganodini sanasili, ili bu uhini wa: le gagadolesili, ilia sogedafa amoga esaloma: ne, ili bu oule misunu. Amasea, ilia da Na da Hina Gode dawa: mu. Na da amo hamomusa: dafawane ilegeiba: le, Na da dafawane hamomu. Na, Hina Gode da sia: i dagoi.”
15 Neno la Bwana likanijia kusema:
Hina Gode da bu nama amane sia: i,
16 “Mwanadamu, chukua fimbo na uandike juu yake, ‘Hii ni kwa ajili ya Yuda na Waisraeli waliofungamana naye.’ Kisha chukua fimbo nyingine, uandike juu yake, ‘Fimbo ya Efraimu, ni kwa ajili ya Yosefu na nyumba yote ya Israeli wanaofungamana naye.’
“Dunu egefe! Ifa daba: lale, amoga agoane dedema, ‘Yuda Fi.’ Amasea, ifa daba: eno lale, amoga agoane dedema, ‘Isala: ili Fi.’
17 Ziunganishe pamoja kuwa fimbo moja ili kwamba ziwe fimbo moja katika mkono wako.
Amasea, amo ifa daba: aduna dia lobo ganodini disili, ela da daba: afae agoane ba: ma: ne, usunawene gaguma.
18 “Watu wako watakapokuuliza, ‘Je, hutatuambia ni nini maana ya jambo hili?’
Dia fi dunu da amo ea bai dima adole ba: sea,
19 Waambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitaichukua fimbo ya Yosefu, iliyoko mikononi mwa Efraimu na ya makabila ya Israeli yanayofungamana naye na kuiunganisha na fimbo ya Yuda, nikizifanya kuwa fimbo moja, nao watakuwa wamoja katika mkono wangu.’
ilima amane adoma, ‘Na, Ouligisudafa Hina Gode, da daba: amo fedege da Isala: ili, amo lale, daba: amo fedege da Yuda, amoga disimu. Amo ela disili, ifa daba: afae hamone, Na lobo ganodini gagumu.’
20 Inua mbele ya macho yao zile fimbo ulizoziandika
Amo ifa daba: aduna, dunu ilia ba: ma: ne, loboa gaguma.
21 kisha waambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitawatoa Waisraeli katika mataifa walikokuwa wamekwenda. Nitawakusanya popote walipo na kuwarudisha katika nchi yao wenyewe.
Amasea, ilima amane adoma, ‘Na, Ouligisudafa Hina Gode da Na fi dunu huluane, fifi asi gala huluane ganodini esala, amoga fadegale, gilisili, ilia sogedafa amoga bu oule misunu.’
22 Nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi, katika milima ya Israeli. Patakuwa na mfalme mmoja juu yao wote na kamwe hawatagawanyika tena kuwa mataifa mawili au kugawanyika katika falme mbili.
Isala: ili goumi da: iya, Na da Na fi dunu fi afadafa hamoma: ne gilisimu. Hina bagade afadafa fawane da ili huluane ouligimu. Ilia da fi aduna hamoma: ne, afafae bu hame ba: mu.
23 Hawatajitia tena unajisi kwa sanamu zao na vinyago vyao visivyo na maana wala kwa makosa yao yoyote, kwa maana nitawaokoa kutoka dhambi zao zote zilizowarudisha nyuma, nami nitawatakasa. Wao watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.
Ilia hou bu gugunufima: ne, ilia da wadela: i hou bu hame hamomu, amola ogogosu ‘gode’ ilima bu hame nodone sia: ne gadomu. Na da ilia wadela: i hou hamosu, amola Nama hohonosu logo huluane hedofamu, Na da ili fofololesimu. Ilia da Na fidafa esalumu, amola Na da ilia Gode esalumu.
24 “‘Mtumishi wangu Daudi atakuwa mfalme juu yao, nao wote watakuwa na mchungaji mmoja. Watafuata sheria zangu na kuzishika amri zangu kwa uangalifu.
Hina bagade, Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi agoane da ili ouligilalumu. Ilia da gilisili ouligisu afadafa fawane amoma fa: no bobogesea, Na malei moloiwane nabimu.
25 Wataishi katika nchi niliyompa mtumishi wangu Yakobo, nchi ambamo baba zenu waliishi. Wao na watoto wao na watoto wa watoto wao wataishi humo milele, naye Daudi mtumishi wangu atakuwa mkuu wao milele.
Ilia da soge, amo Na da Na hawa: hamosu dunu Ya: igobema i, amola amoga ilia aowalalia da esalu, amoga esalumu. Ilia amoga fifi ahoanumu, amola ilia mano amola egaga fi da amaiwane esalumu. Hina bagade, Na hawa: hamosu dunu Da: ibidi agoane, da ili eso huluane ouligilalumu.
26 Nitafanya nao Agano la amani, litakuwa Agano la milele. Nitawafanya imara na kuongeza idadi yao, nami nitaweka mahali patakatifu pangu miongoni mwao milele.
Ilia da eso huluane gaga: iwane esalalaloma: ne, Na da ilima gousa: su hamomu. Na da ili fifi ahoanoma: mu. Na da ili fi idi heda: ma: mu. Na da Na Debolo Diasu ilia soge ganodini ligisimu. Amo da amogawi mae mugululi eso huluane dialumu.
27 Maskani yangu yatakuwa pamoja nao, nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
Na da ili amola gilisili esalumu. Na da ilia Gode esalumu, amola ilia da Na fi dunu esalumu.
28 Ndipo mataifa watakapojua kwamba Mimi Bwana ndiye ninayeifanya Israeli kuwa takatifu, wakati mahali patakatifu pangu patakapokuwa miongoni mwao milele.’”
Na da Na Debolo Diasu ilia soge amo ganodini eso huluane dialoma: ne ligisisia, fifi asi gala huluane da Na, Hina Gode da Isala: ili fi Na Fidafa hamoma: ne ilegei dagoi, amo dawa: mu.”

< Ezekieli 37 >