< Ezekieli 35 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
Atkal Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
2 “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya mlima Seiri, utabiri dhidi yake
Cilvēka bērns, griez savu vaigu pret Seīra kalniem un sludini pret tiem,
3 na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume nawe, ee mlima Seiri, nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yako na kukufanya ukiwa na usiyekaliwa na watu wala kulimika.
Un saki uz tiem: tā saka Tas Kungs Dievs: redzi, Es celšos pret tevi, Seīra kalns, un Es izstiepšu Savu roku pret tevi un tevi darīšu par postažu un tuksnesi.
4 Nitaifanya miji yako kuwa magofu nawe utakuwa ukiwa. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
Es tavas pilsētas darīšu par gruvešiem, un tu tapsi par postažu un samanīsi, ka Es esmu Tas Kungs.
5 “‘Kwa sababu ulificha moyoni uadui wa siku nyingi nawe ukawatoa Waisraeli wauawe kwa upanga wakati wa maafa yao, wakati adhabu yake ilipofikia kilele chake,
Tādēļ ka tev bija mūžīgs ienaids, un tu Israēla bērnus esi aizdzinis caur zobena varu viņu nelaimes laikā, viņu gala nozieguma laikā,
6 kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutia katika umwagaji damu nao utakufuatia. Kwa kuwa hakuchukia kumwaga damu, kumwaga damu kutakufuatia.
Tādēļ, tik tiešām kā Es dzīvoju, saka Tas Kungs Dievs, Es tevi darīšu par asinīm, un asinis tevi vajās; tāpēc ka tu asinis neesi ienīdējis, tad arī asinis tevi vajās.
7 Nitaufanya Mlima Seiri ukiwa na usiokaliwa na watu wala kulimika na kuukatilia mbali na wote wanaokuja na wanaokwenda.
Un Es darīšu Seīra kalnu par tuksnesi un postažu, un no viņa izdeldēšu, kas tur iet un nāk.
8 Nitaijaza milima yenu kwa watu wake waliouawa, wale waliouawa kwa upanga wataanguka juu ya vilima vyako na katika mabonde yako na katika makorongo yako yote.
Un Es viņa kalnus piepildīšu ar viņa nokautiem; uz taviem pakalniem un tavās ielejās un visās tavās gravās gulēs zobena nokautie.
9 Nitakufanya ukiwa milele, watu hawataishi katika miji yako. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
Es tevi darīšu par mūžīgu postažu, un tavās pilsētās nedzīvos; tā jūs samanīsiet, ka Es esmu Tas Kungs.
10 “‘Kwa sababu umesema, “Mataifa haya mawili na nchi hizi zitakuwa zetu nasi tutazimiliki,” ingawa hata mimi Bwana nilikuwa huko,
Tādēļ ka tu saki: šīs divas tautas un šīs divas valstis man tiks rokā, un mēs tās gribam iemantot, jebšu Tas Kungs pats tur būtu,
11 kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutenda kwa kadiri ya hasira na wivu uliouonyesha katika chuki yako juu yao nami nitafanya nijulikane miongoni mwao wakati nitakapokuhukumu.
Tādēļ, tik tiešām kā Es dzīvoju, saka Tas Kungs Dievs, Es darīšu pēc tavas bardzības un pēc tavas skaudības, kā tu savā ienaidā pret tiem esi turējies, un Es Sevi tiem darīšu zināmu, kad Es tevi sodīšu,
12 Ndipo utakapojua kuwa Mimi Bwana nimesikia mambo yote ya dharau uliyosema dhidi ya milima ya Israeli. Ulisema, “Wamefanyika ukiwa na kutiwa mikononi mwetu tuwararue.”
Un tu samanīsi, ka Es, Tas Kungs, esmu dzirdējis visas tavas zaimošanas, ko tu pret Israēla kalniem esi runājis un sacījis: tie ir postīti, tie mums ir doti, ka tos aprijam.
13 Ulijigamba dhidi yangu na kusema maneno dhidi yangu bila kujizuia, nami nikayasikia.
Tā jūs ar savu muti pret mani esat lielījušies un savus vārdus pret mani vairojuši, - Es to esmu dzirdējis.
14 Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Wakati dunia yote inashangilia nitakufanya ukiwa.
Tā saka Tas Kungs Dievs: Es tevi darīšu par posta vietu, tā ka visa zeme priecāsies.
15 Kwa sababu ulishangilia wakati urithi wa nyumba ya Israeli ulipofanyika ukiwa, hivyo ndivyo nitakavyokutendea. Utakuwa ukiwa, ee mlima Seiri, wewe na Edomu yote. Kisha ndipo watajua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”
Tā kā tu esi priecājies par Manu mantības tiesu, Israēla namu, tāpēc ka tas ir postīts, tāpat Es tev darīšu. Seīra kalni un viss Edoms taps visnotaļ par postažu, un tie samanīs, ka Es esmu Tas Kungs.

< Ezekieli 35 >