< Ezekieli 35 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
Hina Gode da nama amane sia: i,
2 “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya mlima Seiri, utabiri dhidi yake
“Dunu egefe! Idome fi ilima fofada: ma!
3 na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume nawe, ee mlima Seiri, nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yako na kukufanya ukiwa na usiyekaliwa na watu wala kulimika.
Na, Ouligisudafa Hina Gode, Na sia: ilima alofele olelema, amane, ‘Idome goumi! Na da dilia ha lai. Na da dili gugunufinisimu.
4 Nitaifanya miji yako kuwa magofu nawe utakuwa ukiwa. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
Na da dilia moilai amola soge huluane wadela: lesimu. Amasea, dilia da Na da Hina Gode dawa: mu.
5 “‘Kwa sababu ulificha moyoni uadui wa siku nyingi nawe ukawatoa Waisraeli wauawe kwa upanga wakati wa maafa yao, wakati adhabu yake ilipofikia kilele chake,
Dilia da eso huluane Isala: ili fi ilima ha laiwane esalu. Amola Isala: ili fi da ilia dagomusa: se bidi laloba, amo esoga dilia da Isala: ili hame fidi, be udigili Isala: ili fi dunu huluane medole legelalu ba: i.
6 kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutia katika umwagaji damu nao utakufuatia. Kwa kuwa hakuchukia kumwaga damu, kumwaga damu kutakufuatia.
Amaiba: le, Na, Ouligisudafa Fifi Ahoanusu Hina Gode da Na Dioba: le amane sia: sa, ‘Dilia da bogomu. Hobeale masunu da hamedei. Dilia da fane legesu hou hamonanu, amola dilia fane legesu hou amoga bogomu.
7 Nitaufanya Mlima Seiri ukiwa na usiokaliwa na watu wala kulimika na kuukatilia mbali na wote wanaokuja na wanaokwenda.
Na da Idome agolo soge gugunufinisimu, amola nowa amodili ahoasea, amo medole legemu.
8 Nitaijaza milima yenu kwa watu wake waliouawa, wale waliouawa kwa upanga wataanguka juu ya vilima vyako na katika mabonde yako na katika makorongo yako yote.
Na da goumi huluane amo bogoi da: i hodo amoga dedebolesimu, amola agolo amola fago amoga dunu da gegesu ganodini bogoi, ilia da: i hodo dedebolesimu.
9 Nitakufanya ukiwa milele, watu hawataishi katika miji yako. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
Na eso huluane agoaiwane dialoma: ne, dili wadela: lesimu amola dilia moilai amo ganodini fa: no, dunu da hamedafa esalebe ba: mu.
10 “‘Kwa sababu umesema, “Mataifa haya mawili na nchi hizi zitakuwa zetu nasi tutazimiliki,” ingawa hata mimi Bwana nilikuwa huko,
Na, Hina Gode da Isala: ili fi amola Yuda fi ela Gode esala. Be dilia da giadofale, amo fi aduna amola ela soge huluane, da dilia soge dialoma: ne sia: i.
11 kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutenda kwa kadiri ya hasira na wivu uliouonyesha katika chuki yako juu yao nami nitafanya nijulikane miongoni mwao wakati nitakapokuhukumu.
Amaiba: le, Na, Ouligisudafa Hina Gode, Na da Fifi Ahoanusu Godeba: le, amane sia: sa, ‘Na da dilia ougi hou amola mudasu amola Na fi ilima higasu hou, amoba: le Na da dilima dabe imunu. Amola Na fi dunu ilia da amane dawa: mu. Na da dilima se bidi iabe ea bai da dilia Na fi ilima wadela: le hamoi.
12 Ndipo utakapojua kuwa Mimi Bwana nimesikia mambo yote ya dharau uliyosema dhidi ya milima ya Israeli. Ulisema, “Wamefanyika ukiwa na kutiwa mikononi mwetu tuwararue.”
Dilia da higale agoane sia: i, ‘Isala: ili goumi da wadela: lesi dagoi. Amola dilia amo na dagomu da defea, sia: i. Be Na, Hina Gode, da amo sia: nabi. Amola, dilia da Na se dabe iasu ba: sea, amo dawa: mu.
13 Ulijigamba dhidi yangu na kusema maneno dhidi yangu bila kujizuia, nami nikayasikia.
Dilia da Nama nimi bagade hidale sia: i. Amola amo hidale gasa fi sia: , Na da nabi.”
14 Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Wakati dunia yote inashangilia nitakufanya ukiwa.
Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa, “Na da dili baligili wadela: lesisia, osobo bagade fifi asi gala huluane da dilia dafai ba: beba: le, nodomu.
15 Kwa sababu ulishangilia wakati urithi wa nyumba ya Israeli ulipofanyika ukiwa, hivyo ndivyo nitakavyokutendea. Utakuwa ukiwa, ee mlima Seiri, wewe na Edomu yote. Kisha ndipo watajua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”
Dilia da Isala: ili (Na fi amola Na soge) ea wadela: lesisu ba: beba: le, nodosu, amo defele ilia da dilia dafai ba: beba: le, nodomu. Sie goumi amola Idome soge huluane da baligili wadela: lesi dagoi ba: mu. Amasea, dunu huluanedafa da Na da Hina Gode dawa: mu.”

< Ezekieli 35 >