< Ezekieli 32 >
1 Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kumi na mbili, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likanijia, kusema:
Kum hlaikahni, thapa yung hlaikahni, hnin pasueknae dawk BAWIPA e lawk kai koe a pha teh,
2 “Mwanadamu, fanya maombolezo kwa ajili ya Farao mfalme wa Misri na umwambie: “‘Wewe ni kama simba miongoni mwa mataifa, wewe ni kama joka kubwa baharini, unayevuruga maji kwa miguu yako na kuchafua vijito.
tami capa Izip siangpahrang Faro khuinae kalungla hah phueng haw, ahni koe, miphunnaw dawk hoi sendektanca patetlah kaawm e, talî dawk kaawm e, tangapui, khorui patetlah hai na o teh, tuipuinaw na raka teh na khok hoi tui na kâhuet sak. Tuipui na pânut sak.
3 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Nikiwa pamoja na wingi mkubwa wa watu nitautupa wavu wangu juu yako, nao watakukokota katika wavu wangu.
Bawipa Jehovah ni hettelah a dei. Tamlawk hoi na man han, tami moikapap hoi ka tamlawk hoi na man roeroe han.
4 Nitakutupa nchi kavu na kukuvurumisha uwanjani. Nitawafanya ndege wote wa angani watue juu yako na wanyama wote wa nchi watajishibisha nyama yako.
Mon dawkvah na cei takhai vaiteh, kahrawngum vah na tâkhawng han, na van vah kalvan e tava pueng kamcout sak han. Talai dawk e sahringnaw king ka boum lah ka paca han.
5 Nitatawanya nyama yako juu ya milima na kujaza mabonde kwa mabaki yako.
Nange na moinaw hah monnaw dawk ka dan han. Ayawnnaw hah nange ro hoi ka kawi sak han.
6 Nitailowanisha nchi kwa damu yako inayotiririka njia yote hadi milimani, nayo mabonde yatajazwa na nyama yako.
Ka lawng e na thipaling hoi, ram hah monsom totouh ka pâsu han, palangnaw nange na thi hoi kingkawi han.
7 Nitakapokuzimisha, nitafunika mbingu na kuzitia nyota zake giza; nitalifunika jua kwa wingu, nao mwezi hautatoa nuru yake.
Na angnae hah ka padue toteh, kalvan ka ramuk vaiteh, âsi ka mom sak han. Kanî teh tâmai hoi be ka ngue vaiteh, thapa ni a angnae hah poe mahoeh toe.
8 Mianga yote itoayo nuru angani nitaitia giza juu yako; nitaleta giza juu ya nchi yako, asema Bwana Mwenyezi.
Nange lathueng kalvan angnae pueng kâhmo sak han, na ram dawk hmonae hoi muen ka ramuk han, telah Bawipa Jehovah ni a dei, telah tet pouh.
9 Nitaifadhaisha mioyo ya mataifa mengi nitakapokuangamiza miongoni mwa mataifa, nikikuleta uhamishoni miongoni mwa nchi ambazo haujapata kuzijua.
Na panue hoeh e miphunnaw dawk e na rawknae ka pha sak toteh, tami moikapap e lungthin hah pouknae panuek laipalah ka o sak han.
10 Nitayafanya mataifa mengi wakustaajabie, wafalme wao watatetemeka kwa hofu kwa ajili yako nitakapotikisa upanga wangu mbele yao. Siku ya anguko lako kila mmoja wao atatetemeka kila dakika kwa ajili ya maisha yake.
Tami moikapap hah nange kong dawk kângairu lahoi, ka o sak han, a hmalah tahloi ka dâw toteh, nang kecu dawk ahnimae siangpahrang hai, a lungpuen vaiteh, na rawp hnin torei teh, tami pueng ni hringnae sung hanelah a ngaihri kecu dawk a pâyaw awh han telah Bawipa Jehovah ni ati.
11 “‘Kwa kuwa hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Upanga wa mfalme wa Babeli utakuja dhidi yako.
Bangkongtetpawiteh, Bawipa Jehovah ni hettelah a dei, Babilon siangpahrang tahloi hah na lathueng vah a pha han.
12 Nitafanya makundi yako ya wajeuri kuanguka kwa panga za watu mashujaa, taifa katili kuliko mataifa yote. Watakivunjavunja kiburi cha Misri, nayo makundi yake yote ya wajeuri yatashindwa.
Athakaawme tahloi hoi na taminaw ka rawp sak han. Miphunnaw thung dawk takikathopounge lah ao awh. A raphoe awh vaiteh, Izipnaw bawilennae hoi a tamihu pueng hah be a kahma awh han.
13 Nitaangamiza mifugo yake yote wanaojilisha kando ya maji mengi, hayatavurugwa tena kwa mguu wa mwanadamu wala kwato za mnyama hazitayachafua tena.
Moikapap e tui teng e saring hah ka raphoe han. Tami e a khok hoi saring e a khok ni tui bout pânut sak mahoeh toe.
14 Kisha nitafanya maji yake yatulie na kufanya vijito vyake vitiririke kama mafuta, asema Bwana Mwenyezi.
Ahnimae tui hah ka pâcim sak vaiteh, palang tui hah satui patetlah ka lawng sak han, telah Bawipa Jehovah ni a dei.
15 Nitakapoifanya Misri kuwa ukiwa na kuiondolea nchi kila kitu kilichomo ndani yake, nitakapowapiga wote waishio humo, ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.’
Izip ram dawk hno kaawm e pueng be baw sak nahanelah kingdi sak han, be ka raphoe vaiteh, khoca pueng ka rek toteh, kai teh BAWIPA lah ka o tie a panue awh roeroe hah.
16 “Hili ndilo ombolezo watakalomwimbia. Binti za mataifa wataliimba, kwa kuwa Misri na makundi yake yote ya wajeuri wataliimba, asema Bwana Mwenyezi.”
Hethateh, Izip ram hanelah sak han e kawi khuinae kalungla doeh. Miphun tangkuem e a canunaw ni a khuinae kalung lah ao vaiteh, Izip ram hoi khocanaw pueng han a khui awh han telah Bawipa Jehovah ni a dei.
17 Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na tano ya mwezi, neno la Bwana likanijia kusema:
Kum hlaikahni, thapa yung pasuek, hnin hlaipanga hnin BAWIPA e lawk teh kai koe a pha teh,
18 “Mwanadamu, omboleza kwa ajili ya makundi ya wajeuri wa Misri na uwatupe kuzimu yeye na binti za mataifa yenye nguvu, waende huko pamoja nao washukao shimoni. ()
tami capa Izip tamihu hah puenghoi khui haw, ama hoi a min kamthang e, miphun canu tangkom dawk kakumnaw koevah, adungpoungnae dawk bawt awh naseh.
19 Je, ninyi mnamzidi nani kwa uzuri? Shukeni chini! Nanyi mkalazwe pamoja na hao wasiotahiriwa!
Nang teh ayâ alouke hlak na meihawi maw, vuensom ka a hoeh e taminaw hoi rei ip lawih.
20 Wataanguka miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga. Upanga umefutwa, mwache aburutwe mbali pamoja na hao wajeuri wake wote.
Talai hoi thei tangcoung e naw koevah, a rawp awh han, tahloi koe poe e lah ao toe, ama hoi a tami pueng hah he sawn lawih.
21 Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’ (Sheol )
Athakaawme ni sheol thung hoi ahni hoi ahni kabawmkungnaw hah a pato awh han, tahloi hoi thei e vuensoma hoeh e naw a kum awh teh pou a yan awh. (Sheol )
22 “Ashuru yuko huko pamoja na jeshi lake lote, amezungukwa na makaburi ya watu wake wote waliouawa, wale wote walioanguka kwa upanga.
Hote hmuen dawk Assiria hoi a taminaw ao awh, a phuennaw ni a ma hah a kalup awh, abuemlahoi tahloi hoi a thei teh, kadoutnaw doeh.
23 Makaburi yao yako kwenye kina cha chini cha shimo na jeshi lake limelala kulizunguka kaburi lake. Wote waliokuwa wameeneza hofu kuu katika nchi ya walio hai wameuawa, wameanguka kwa upanga.
Tangkom teh kadungpoung e a khu dawkvah ao teh, petkâkalup lah a taminaw hah ao. Abuemlahoi tahloi hoi thei e karawmnaw ka hring ram dawk takinae kaawmsakkungnaw doeh.
24 “Elamu yuko huko, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote wameuawa, wameanguka kwa upanga. Wote waliokuwa wameeneza hofu katika nchi ya walio hai walishuka kuzimu bila kutahiriwa. Wanaichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni. ()
Hote hmuen dawk Elam hoi tangkom petkâkalup lah, a taminaw ao awh teh, abuemlahoi tahloi hoi thei e teh karawmnaw, vuensoma laipalah talai rahim ka kum e, kahring e ram dawk takinae kaawmsakkung, yeiraiponae tangkom thung kakumkhaikungnaw doeh.
25 Kitanda kimetandikwa kwa ajili yake miongoni mwa waliouawa, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote ni watu wasiotahiriwa, wameuawa kwa upanga. Kwa sababu vitisho vyao vilienea katika nchi ya walio hai, wameichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni, nao wamewekwa miongoni mwa waliouawa.
Thei e naw thung dawk ama hoi a taminaw inae a sak pouh teh, phuen hah ama petkâkalup lah ao. Abuemlahoi vuensom ka a hoeh e, tahloi hoi thei e naw doeh. Lungpuennae teh, ka hring e ram dawkvah, lungpuennae hah doeh. Hatei, tangkom thung kakumnaw hoi yerai a po awh teh thei e naw koe ao sak.
26 “Mesheki na Tubali wako humo, pamoja na makundi yao ya wajeuri wakiwa wameyazunguka makaburi yao. Wote hawakutahiriwa, wameuawa kwa upanga kwa sababu walieneza vitisho vyao katika nchi ya walio hai.
Hawvah, Meshek hoi Tubal naw hai ao awh. Phuennaw teh petkâkalup lah ao teh, abuemlahoi vuensoma hoeh, tahloi hoi thei e naw doeh. Bangkongtetpawiteh, a hringnae ni ka hring e ram dawk lungpuen hah ouk a tho sak awh.
27 Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai. (Sheol )
Vuensom a hoeh e tami athakaawme ka rawm e, tarantuknae puengcang hoi sheol dawk ka kum e, tahloi hah a lû rahim a hruek teh, a hrunaw dawk amamae yon ao, bangkongtetpawiteh, ahnimouh teh ka hring e ram dawk e tami thasai, lungpuennae kaawmsakkungnaw doeh. (Sheol )
28 “Wewe pia, ee Farao, utavunjwa nawe utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.
Vuensom ka a hoeh e koevah, na rek vaiteh, tahloi hoi kadoutnaw koe na i han.
29 “Edomu yuko humo, wafalme wake wote na wakuu wake wote, ambao ijapokuwa wana nguvu, wamelazwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga. Wamelala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale washukao shimoni.
Hawvah, Edom siangpahrangnaw hoi a bawi pueng, a thasai awh eiteh, tahloi hoi a thei e naw koevah a yan sak awh. Vuensom ka a hoeh e tangkom thung vah, kakumnaw koe a yan awh.
30 “Wakuu wote wa kaskazini na Wasidoni wote wako huko, wameshuka chini pamoja na waliouawa kwa aibu ijapokuwa kuna vitisho vilivyosababishwa na nguvu zao. Wamelala bila kutahiriwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga na kuchukua aibu yao pamoja na wale washukao chini shimoni.
Hawvah, a tung lae bawi pueng, Sidonnaw a thei awh e thung dawk ka kum e ao awh. A thasainae ni tami koe lungpuennae a tho sak eiteh, a kaya awh. Vuensom a laipalah, tahloi hoi a thei e naw koevah, a yan awh teh, tangkom thung kakumnaw hoi yeirai a po awh.
31 “Farao, yeye pamoja na jeshi lake lote, atakapowaona atafarijiwa kwa ajili ya makundi yake yote ya wajeuri, wale waliouawa kwa upanga, asema Bwana Mwenyezi.
Faro ni a hmu vaiteh, a tamihu pueng a lungmawngsaknae dawk a hno awh han. Faro hoi a ransahu pueng tahloi hoi a thei e hai telah Bawipa Jehovah ni a dei.
32 Ingawa nilimfanya Farao aeneze vitisho vyake katika nchi ya walio hai, Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri watalazwa miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga, asema Bwana Mwenyezi.”
Bangkongtetpawiteh, ka hring e ram dawk lungpuennae hah ka o sak teh, vuensom ka a hoeh e tahloi hoi a thei e naw koevah, Faro hoi a tamihunaw a yan awh han.