< Ezekieli 31 >
1 Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa tatu, siku ya kwanza, neno la Bwana likanijia, kusema:
Un vienpadsmitā gadā, trešā mēnesī, pirmā mēneša dienā Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
2 “Mwanadamu, mwambie Farao mfalme wa Misri na makundi yake ya wajeuri: “‘Je, ni nani awezaye kulinganishwa na wewe katika fahari.
Cilvēka bērns, runā uz Faraonu, Ēģiptes ķēniņu, un uz viņa ļaužu pulku: kam tu esi līdzīgs savā augstībā?
3 Angalia Ashuru, wakati fulani ilikuwa mwerezi huko Lebanoni, ukiwa na matawi mazuri ukitia msitu kivuli; ulikuwa mrefu sana, kilele chake kilipita majani ya miti yote.
Redzi, Asurs bija ciedra koks uz Lībanus, skaistiem zariem un kuplām lapām un slaiku augumu, un viņa galotne bija iekš mākoņiem.
4 Maji mengi yaliustawisha, chemchemi zenye maji mengi ziliufanya urefuke; vijito vyake vilitiririka pale ulipoota pande zote na kupeleka mifereji yake kwenye miti yote ya shambani.
Ūdens viņu darīja lielu, un jūras dziļumi viņu paaugstināja, viņa upes gāja apkārt ap dārziem, un savus ūdeņus tas sūtīja pie visiem lauka kokiem.
5 Hivyo ukarefuka kupita miti yote ya shambani; vitawi vyake viliongezeka na matawi yake yakawa marefu, yakitanda kwa sababu ya wingi wa maji.
Tāpēc viņa augums bija augstāks pār visiem lauka kokiem, un viņa zari vairojās un viņa zariņi plaukstot pagarinājās caur to lielo ūdeni.
6 Ndege wote wa angani wakaweka viota kwenye vitawi vyake, wanyama wote wa shambani wakazaana chini ya matawi yake, mataifa makubwa yote yaliishi chini ya kivuli chake.
Visi putni apakš debess taisīja ligzdas viņa zaros, un visi lauka zvēri vedās apakš viņa zariem, un visas lielās tautas sēdēja viņa pavēnī.
7 Ulikuwa na fahari katika uzuri, ukiwa na matawi yaliyotanda, kwa kuwa mizizi yake ilikwenda chini mpaka kwenye maji mengi.
Tā tas bija skaists savā lielumā un savu zaru garumā, jo viņa sakne bija pie daudz ūdeņiem.
8 Mierezi katika bustani ya Mungu haikuweza kushindana nao, wala misunobari haikuweza kulingana na vitawi vyake, wala miaramoni haikulinganishwa na matawi yake, wala hakukuwa na mti katika bustani ya Mungu wa kulinganisha na uzuri wake.
Ciedru koki Dieva dārzā viņu neaptumšoja un priedes viņa zariem nelīdzinājās, un kļavu koki nebija tādi kā viņa zariņi, neviens koks Dieva dārzā viņam nelīdzinājās skaistumā.
9 Niliufanya kuwa mzuri ukiwa na matawi mengi, ulionewa wivu na miti yote ya Edeni katika bustani ya Mungu.
Es viņu biju darījis tik skaistu caur viņa zaru pulku, ka visi Ēdenes koki Dieva dārzā viņu apskauda.
10 “‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ulikuwa mrefu sana, kilele chake kikiwa juu ya majani manene ya miti na kwa sababu ulikuwa na kiburi cha urefu wake,
Tāpēc tā saka Tas Kungs Dievs: tādēļ ka tu tā biji cēlies garumā, un ka viņš savu galotni izstiepis līdz padebešiem, un viņa sirds sava augstuma dēļ lepojās,
11 niliutia mikononi mwa mtawala wa mataifa, ili yeye aushughulikie sawasawa na uovu wake. Nikaukatilia mbali,
Tāpēc Es viņu nodevu rokā tautu varenajam, ar viņu darīt pēc patikšanas; Es viņu izdzinu viņa bezdievības dēļ.
12 nayo mataifa mageni yaliyo makatili sana yaliukata huo mti na kuuacha. Matawi yake yalianguka juu ya milima na kwenye mabonde yote, vitawi vyake vikavunjika na kusambaa katika makorongo yote ya nchi. Mataifa yote ya duniani yakaondoka kutoka kwenye kivuli chake na kuuacha.
Un sveši, tie tautu briesmīgākie, viņu nocirta un to nometa, viņa zari krita uz kalniem un pa visām ielejām, un viņa zariņi tapa nogāzti visās zemes gravās. Un visas zemes tautas aizgāja no viņa pavēņa un viņu atstāja.
13 Ndege wote wa angani wakakaa kwenye ule mti ulioanguka na wanyama pori wote wakakaa katikati ya vitawi vyake.
Visi putni apakš debess nolaidās uz viņa, un visi lauka zvēri bija uz viņa zariem;
14 Kamwe hakutakuwa na miti mingine kando ya hayo maji itakayorefuka zaidi ya huo, vilele vyake vikiwa juu ya majani yote ya miti. Hakuna miti mingine, hata kama imekunywa maji vizuri namna gani, itakayofikia urefu huo. Yote mwisho wake ni kifo, na kuingia ardhini, kama vile ilivyo kwa wanadamu, pamoja na wale waendao shimoni.
Lai nekādi pie ūdens dēstīti koki nelepojās sava auguma pēc, un savu galotni nestiepj līdz mākoņiem, un nekādi no ūdens slacināti koki nepaļaujas uz sev pašiem sava augstuma dēļ; jo tie visi nāvei ir nodoti uz zemes apakšu, cilvēka bērnu vidū, pie tiem, kas grimst bedrē.
15 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini kaburini nilizifunika chemchemi zenye maji mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya shambani ikanyauka. (Sheol )
Tā saka Tas Kungs Dievs: tai dienā, kad tas ellē nogrima, tad Es cēlu bēdas, Es viņa dēļ apklāju dziļumus un aizturēju viņa upes, un tie varenie ūdeņi apstājās, un Es darīju, ka Lībanus viņa dēļ sērojās, un visi lauka koki nokalta viņa dēļ. (Sheol )
16 Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake wakati nilipoushusha chini kaburini pamoja na wale washukao shimoni. Ndipo miti yote ya Edeni, miti iliyo bora kuliko yote na iliyo mizuri sana ya Lebanoni, miti yote ile iliyokunywa maji vizuri, ilifarijika hapa duniani. (Sheol )
No viņa kritiena trokšņa Es pagānus darīju drebam, kad Es viņu ellē nogrūdu pie tiem, kas grimst bedrē. Un visi Ēdenes koki, tie izlasītie un labākie uz Lībanus, visi no ūdens slacinātie koki iepriecinājās zemes apakšā. (Sheol )
17 Wale walioishi katika kivuli chake, wale walioungana naye miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale waliouawa kwa upanga. (Sheol )
Tie nogrima arīdzan līdz ar viņu ellē pie tiem zobena nokautiem, kas kā viņa palīgi bija sēdējuši viņa pavēnī starp tautām. (Sheol )
18 “‘Ni miti ipi ya Edeni inayoweza kulinganishwa nawe kwa fahari na utukufu? Hata hivyo, wewe pia, utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni mpaka kuzimu, utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga. “‘Huyu ni Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri, asema Bwana Mwenyezi.’” ()
Kam starp Ēdenes kokiem tu tad esi līdzīgs godā un augstumā? Arī tu tapsi nogrūsts ar Ēdenes kokiem zemes apakšā, tu gulēsi vidū starp neapgraizītiem, pie zobenu nokautiem. Tas ir Faraons un viss viņa ļaužu pulks, saka Tas Kungs Dievs.