< Ezekieli 31 >
1 Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa tatu, siku ya kwanza, neno la Bwana likanijia, kusema:
Hagi Babilonima kinama ome hutama mani'nonkeno, 11nima hiankafumofona namba 3 ikantera, ese knazupa Ra Anumzamo'a amanage huno nasami'ne.
2 “Mwanadamu, mwambie Farao mfalme wa Misri na makundi yake ya wajeuri: “‘Je, ni nani awezaye kulinganishwa na wewe katika fahari.
Vahe'mofo mofavre Izikieliga, Isipi kini ne' Ferone sondia vahe'anena amanage hunka zamasamio, tamagra mika vahera zamagatereta, tusi hihamu vahe mani'naze.
3 Angalia Ashuru, wakati fulani ilikuwa mwerezi huko Lebanoni, ukiwa na matawi mazuri ukitia msitu kivuli; ulikuwa mrefu sana, kilele chake kilipita majani ya miti yote.
Hagi ko, Asiria vahe'mo'za Lebanoni sida zafagna hu'za knare'nare azankuna omente amente hazageno mago'a zafaramina tona huzmantene. Agra za'za huno amunagamu hampompi marerino, mika zafaramina zamagatere'ne.
4 Maji mengi yaliustawisha, chemchemi zenye maji mengi ziliufanya urefuke; vijito vyake vilitiririka pale ulipoota pande zote na kupeleka mifereji yake kwenye miti yote ya shambani.
Hagi ana zafamofona timo ne'zana nemigeno, mopa agu'afima me'nea timo ana zafa ne'zana amigeno zazara hu'ne. Hagi ana zafaramima tima ne'zamiana, timo mika zafafina nevuno tina nezamie.
5 Hivyo ukarefuka kupita miti yote ya shambani; vitawi vyake viliongezeka na matawi yake yakawa marefu, yakitanda kwa sababu ya wingi wa maji.
E'ina hunegu ana zafamo'a mika zafaramina hageno agatenereno, rama'a azanku'nareno ani'na kuronkuro hu'ne. Na'ankure agra rama'a ti agafafintira eri'negu anara hu'ne.
6 Ndege wote wa angani wakaweka viota kwenye vitawi vyake, wanyama wote wa shambani wakazaana chini ya matawi yake, mataifa makubwa yote yaliishi chini ya kivuli chake.
Hagi maka namaramimo'za ana zafa azankunataminte nona eme negizageno, mika zaga kafamo'za ana zafa agafafi anentara eme kasente'naze. Hagi ana zafamofo turunapi mika zamagima me'nea vahe'mo'za kokantegatira enemanize.
7 Ulikuwa na fahari katika uzuri, ukiwa na matawi yaliyotanda, kwa kuwa mizizi yake ilikwenda chini mpaka kwenye maji mengi.
Hagi ana zafamofona hentofa azankunatmi me'ne. Na'ankure ana zafamofo arafu'namo'za rama'a tima me'nefi amefenkame urami'za tina ani avazu nehaze.
8 Mierezi katika bustani ya Mungu haikuweza kushindana nao, wala misunobari haikuweza kulingana na vitawi vyake, wala miaramoni haikulinganishwa na matawi yake, wala hakukuwa na mti katika bustani ya Mungu wa kulinganisha na uzuri wake.
Hagi Anumzamofo hozafima me'nea sida zafamo'za ana zafa gnara osazageno, meni zafane mago'a zafaramimo'za ana zafa gnara osu'naze. Anumzamofo hozafima me'nea zafamo'zanena ana zafa gnara osu'naze.
9 Niliufanya kuwa mzuri ukiwa na matawi mengi, ulionewa wivu na miti yote ya Edeni katika bustani ya Mungu.
Na'ankure Nagra ana zafa rama'a azankunataminu konariria huntogeno knare'za higeno, mika Anumzamofo hozafima me'nea zafaramimo'za kezmasane nehaze.
10 “‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ulikuwa mrefu sana, kilele chake kikiwa juu ya majani manene ya miti na kwa sababu ulikuwa na kiburi cha urefu wake,
E'ina hu'negu Ra Anumzana Agra Anumzamo'a amanage hu'ne, Na'ankure agra mika zafaramina zamagatereno amunagamuma mareri'nea zanku agra avufga ra hu'ne.
11 niliutia mikononi mwa mtawala wa mataifa, ili yeye aushughulikie sawasawa na uovu wake. Nikaukatilia mbali,
Ana hu'negu Nagra ana zafa nagotente'na namefi hunemina hankavenentake ha' vahe'mokizmi zamazampi zamavare antanenkeno, zamazeri havizantfa hugahie.
12 nayo mataifa mageni yaliyo makatili sana yaliukata huo mti na kuuacha. Matawi yake yalianguka juu ya milima na kwenye mabonde yote, vitawi vyake vikavunjika na kusambaa katika makorongo yote ya nchi. Mataifa yote ya duniani yakaondoka kutoka kwenye kivuli chake na kuuacha.
Hagi ruregati vahe'ma zamazeri haviza hu'arema vugota hu'naza kefo vahe'mo'za ana zafa antagi atre'naze. Hagi ana zafamofo azankuna'mo'a agonaramimpine, agupofine, krahopina hantagiramino mase'ne. Hagi ana zafa agafafima nemaniza vahe'mo'za atre'za vu'za e'za hu'naze.
13 Ndege wote wa angani wakakaa kwenye ule mti ulioanguka na wanyama pori wote wakakaa katikati ya vitawi vyake.
Hagi maka namaramimo'za anama antagitre zafa atupare nemanizageno, zagagafamo'za ana zafamofo azankunatamimofo agofetu vano hu'naze.
14 Kamwe hakutakuwa na miti mingine kando ya hayo maji itakayorefuka zaidi ya huo, vilele vyake vikiwa juu ya majani yote ya miti. Hakuna miti mingine, hata kama imekunywa maji vizuri namna gani, itakayofikia urefu huo. Yote mwisho wake ni kifo, na kuingia ardhini, kama vile ilivyo kwa wanadamu, pamoja na wale waendao shimoni.
E'inama hanigeno'a tinkenafima me'nea zafamo'za hage'za zaza hu'za mago'a zafaramina zamagate'nere'za zamavufaga rana osugahaze. Na'ankure zamagranena e'inahu kna hu'za frisaza vahe mani'nazanki'za, fri'za kerifima urami'za mani'naza vahe'ene umanigahaze.
15 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini kaburini nilizifunika chemchemi zenye maji mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya shambani ikanyauka. (Sheol )
Hagi Ra Anumzana Agra Anumzamo'a amanage hie, sida zafamo'ma frino fri vahe kumapima urami'nea kna zupa, mopa agu'afima me'nea tintamina hanuge'za zavi krafa hu'za zamasunku nehanage'na, mika tintamina eri tanegahue. Anama hanige'za maka Lebanoni zafamo'za zamasunku huza zavi nete'nageno maka zafamo'za hagege hugahaze. (Sheol )
16 Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake wakati nilipoushusha chini kaburini pamoja na wale washukao shimoni. Ndipo miti yote ya Edeni, miti iliyo bora kuliko yote na iliyo mizuri sana ya Lebanoni, miti yote ile iliyokunywa maji vizuri, ilifarijika hapa duniani. (Sheol )
Hagi ana zafama trakama huno'ma nemaseno vagri'ma hia agasasa kenu mago'a mopafi vahera Nagra zamazeri koro hu'noe. Hagi fri kumapima nevaza vahe'enema huntoge'noma nevige'za, Idenima me'naza zafamo'zane knare'nare zafama Lebanoni me'naza zafamo'zane, knare'ma hu'za tima e'neriza zafamo'zanena fri vahe kumapi mani'ne'za musena hu'naze. (Sheol )
17 Wale walioishi katika kivuli chake, wale walioungana naye miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale waliouawa kwa upanga. (Sheol )
Hagi ana zafamofo tonapima nemaniza, agri'enema erigaherafiza nemaniza vahe'mo'za bainati kazinteti'ma zamahe'naza vahe'ene magoka matipina urami'naze. (Sheol )
18 “‘Ni miti ipi ya Edeni inayoweza kulinganishwa nawe kwa fahari na utukufu? Hata hivyo, wewe pia, utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni mpaka kuzimu, utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga. “‘Huyu ni Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri, asema Bwana Mwenyezi.’” ()
Hagi Ideni hozafima me'nea zafaramimpintira ina zafamo kagri knara huno za'zara huno ragi'ane zafa me'ne? Hagi kagra Ideni hozafima me'nea zafaramine, magoka fri vahe kumapina uramita zamagoza anoma taga osu' vahe'ma kazinteti'ma zamahazage'zama mase'naza kumapi vugahaze. Ama ana zantamina Ferone mika sondia vahe'are fore hugahie huno Ra Anumzamo'a hu'ne.