< Ezekieli 30 >
1 Neno la Bwana likanijia kusema:
Un Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
2 “Mwanadamu, toa unabii na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Ombolezeni ninyi na mseme, “Ole wa siku ile!”
Cilvēka bērns, sludini un saki: tā saka Tas Kungs Dievs: kauciet: Ak vai, tai dienai!
3 Kwa kuwa siku ile imekaribia, siku ya Bwana imekaribia, siku ya mawingu, siku ya maangamizi kwa mataifa.
Jo tā diena ir tuvu, tiešām Tā Kunga diena ir tuvu, diena tumši apmākusies, pagānu laiks ir klāt.
4 Upanga utakuja dhidi ya Misri, nayo maumivu makuu yataijia Ethiopia. Mauaji yatakapoangukia Misri, utajiri wake utachukuliwa na misingi yake itabomolewa.
Un zobens nāks Ēģiptes zemē, un Moru zemē būs lielas sāpes, kad kautie kritīs Ēģiptes zemē, un viņas pulki taps aizvesti, un viņas pamati taps nolauzti.
5 Kushi na Putu, Ludi na Arabia yote, Libya na watu wa nchi ya Agano watauawa kwa upanga pamoja na Misri.
Moru zeme un Libija un Lidija un visādi ļaudis un Kubs un tās derības zemes bērni kritīs līdz ar viņiem caur zobenu.
6 “‘Hili ndilo Bwana asemalo: “‘Wale walioungana na Misri wataanguka na kiburi cha nguvu zake kitashindwa. Kutoka Migdoli hadi Aswani, watauawa ndani yake kwa upanga, asema Bwana Mwenyezi.
Tā saka Tas Kungs: tiešām, Ēģiptes palīgi kritīs, un viņas lepnais stiprums taps nogāzts, no Migdolas līdz Ziēnei tie tur kritīs caur zobenu, saka Tas Kungs Dievs.
7 “‘Hizo nchi zitakua ukiwa miongoni mwa nchi zilizo ukiwa, nayo miji yao itakuwa magofu miongoni mwa miji iliyo magofu.
Un tie taps postīti vidū starp postītām zemēm, un viņu pilsētas būs starp postītām pilsētām;
8 Ndipo watakapojua kwamba mimi ndimi Bwana, nitakapoiwasha Misri moto na wote wamsaidiao watapondwa.
Un tie samanīs, ka Es esmu Tas Kungs, kad Es uguni kuršu Ēģiptes zemē, un visi viņas palīgi taps satriekti.
9 “‘Siku hiyo wajumbe watatoka kwangu kwa merikebu, ili kuwatia hofu Ethiopia, wakiwa katika hali yao ya kuridhika. Maumivu makali yatawapata siku ya maangamizi ya Misri, kwa kuwa hakika itakuja.
Tai dienā no Manis izies vēstneši ar laivām, iztrūcināt Moru zemi, kas droši dzīvo, un pie tiem būs lielas bēdas, tā kā Ēģiptes dienā, jo redzi, (tie) nāk!
10 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Nitakomesha makundi ya wajeuri ya Misri kwa mkono wa Nebukadneza mfalme wa Babeli.
Tā saka Tas Kungs Dievs: tiešām, Es nobeigšu Ēģiptes pulkus caur Nebukadnecara, Bābeles ķēniņa, roku.
11 Yeye na jeshi lake, taifa lililo katili kuliko mataifa yote, litaletwa ili kuangamiza nchi. Watafuta panga zao dhidi ya Misri na kuijaza nchi kwa waliouawa.
Šis un viņa ļaudis līdz ar viņu, tie visbriesmīgākie starp tautām, taps atvesti, postīt zemi, un izvilks savus zobenus pret Ēģipti un piepildīs zemi ar nokautiem.
12 Nitakausha vijito vya Naili na nitaiuza nchi kwa watu waovu, kwa mkono wa wageni, nitaifanya nchi ukiwa na kila kitu kilichomo ndani yake. Mimi Bwana nimenena haya.
Un Es upes darīšu sausas un zemi pārdošu tiem nikniem rokā, un zemi un kas tur ir, Es izpostīšu caur svešinieku roku; Es Tas Kungs to esmu runājis.
13 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Nitaangamiza sanamu na kukomesha vinyago katika Memfisi Hapatakuwepo tena na mkuu katika nchi ya Misri, nami nitaeneza hofu katika nchi nzima.
Tā saka Tas Kungs Dievs: un Es izdeldēšu tos elkus un darīšu galu Nofas(Memfisas) dievekļiem, un valdnieka vairs nebūs Ēģiptes zemē; un Es sūtīšu izbailes pār Ēģiptes zemi.
14 Nitaifanya Pathrosi kuwa ukiwa na kuitia moto Soani, nami nitaipiga kwa adhabu Thebesi
Un Es izpostīšu Patrus zemi, un kuršu uguni Coanā, un turēšu tiesu Noā:
15 Nitaimwaga ghadhabu yangu juu ya Pelusiumu, ngome ya Misri, nami nitakatilia mbali makundi ya wajeuri wa Thebesi.
Un Es izgāzīšu Savu bardzību pār Sinu, Ēģiptes stiprumu, un izdeldēšu tos pulkus Noā.
16 Nitaitia moto nchi ya Misri; Pelusiumu itagaagaa kwa maumivu makuu. Thebesi itachukuliwa na tufani, Memfisi itakuwa katika taabu daima.
Un iededzināšu uguni Ēģiptes zemē; Sina cietīs lielas sāpes, un No taps sašķelta, un Nofa dienas vidū taps spaidīta.
17 Wanaume vijana wa Oni na wa Pi-Besethi wataanguka kwa upanga nayo hiyo miji itatekwa.
Avenas un Pibozetes jaunekļi kritīs caur zobenu, un pašas aizies cietumā.
18 Huko Tahpanhesi mchana utatiwa giza nitakapovunja kongwa la Misri; hapo kiburi cha nguvu zake kitakoma. Atafunikwa na mawingu na vijiji vyake vitatekwa.
Un Takvanesā gaisma taps aptumšota, kad Es Ēģiptes jūgu tur salauzīšu un viņas lepno stiprumu tur nobeigšu; mākonis viņu apklās, un viņas meitas ies cietumā.
19 Kwa hiyo nitaipiga Misri kwa adhabu, nao watajua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”
Tā Es turēšu tiesu Ēģiptes zemē, lai tie atzīst, ka Es esmu Tas Kungs.
20 Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa kwanza, siku ya saba, neno la Bwana likanijia kusema:
Un vienpadsmitā gadā, pirmā mēnesī, septītā mēneša dienā Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
21 “Mwanadamu, nimevunja mkono wa Farao mfalme wa Misri. Haukufungwa ili upone au kuwekewa kipande cha ubao ili upate nguvu za kuweza kuchukua upanga.
Cilvēka bērns! Faraona, Ēģiptes ķēniņa, elkoni Es esmu satriecis, un redzi, to nesasies, plāksteri neuzliks, ar autiem neaptīs, un tas vairs neatspirgs, ka varētu zobenu turēt.
22 Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume na Farao mfalme wa Misri. Nitavunja mikono yake yote miwili, ule mkono ulio mzima pia na ule uliovunjika na kuufanya upanga uanguke toka mkononi mwake.
Tāpēc tā saka Tas Kungs Dievs: redzi, Es celšos pret Faraonu, Ēģiptes ķēniņu, un satriekšu viņa elkoņus, to stipro kā to satriekto, un Es viņa zobenam likšu izkrist no viņa rokas.
23 Nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi zote.
Un Es ēģiptiešus izkaisīšu starp tautām un tos izputināšu pa zemēm.
24 Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli na kuutia upanga wangu mkononi mwake, lakini nitavunja mikono ya Farao, naye atalia kwa huzuni mbele yake kama mtu aliyetiwa jeraha la kumfisha.
Un Es stiprināšu Bābeles ķēniņa elkoņus, un Savu zobenu došu viņa rokā, bet Faraona elkoņus Es satriekšu, ka tam viņa priekšā būs vaidēt, tā kā ievainots vaid.
25 Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli, lakini mikono ya Farao italegea. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana, nitakapoutia upanga wangu mkononi mwa mfalme wa Babeli, naye ataunyoosha dhidi ya Misri.
Tiešām, Es stiprināšu Bābeles ķēniņa elkoņus, bet Faraona elkoņi nogurs, un tie samanīs, ka Es esmu Tas Kungs, kad Es Savu zobenu došu Bābeles ķēniņam rokā, un viņš to pacels pār Ēģiptes zemi.
26 Nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi mbalimbali. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana.”
Un Es izkaisīšu ēģiptiešus starp tautām un tos izputināšu pa zemēm, lai tie atzīst, ka Es esmu Tas Kungs.