< Ezekieli 30 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
BOEIPA ol te kai taengah ha pawk tih,
2 “Mwanadamu, toa unabii na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Ombolezeni ninyi na mseme, “Ole wa siku ile!”
“Hlang capa aw, tonghma lamtah ka Boeipa Yahovah kah a thui he thui pah. Ya-oe hnin at ham khaw rhung mai saw.
3 Kwa kuwa siku ile imekaribia, siku ya Bwana imekaribia, siku ya mawingu, siku ya maangamizi kwa mataifa.
Khohnin tah yoei ngawn coeng, BOEIPA kah khohnin tah yoei ngawn. Namtom kah a tue tah cingmai khohnin la om.
4 Upanga utakuja dhidi ya Misri, nayo maumivu makuu yataijia Ethiopia. Mauaji yatakapoangukia Misri, utajiri wake utachukuliwa na misingi yake itabomolewa.
Te vaengah Egypt te cunghang loh a thoeng thil tih a thueknah loh Kusah soah tla ni. Egypt ah rhok a cungku vaengah a pilnu te a loh pah vetih a khoengim a koengloeng pah ni.
5 Kushi na Putu, Ludi na Arabia yote, Libya na watu wa nchi ya Agano watauawa kwa upanga pamoja na Misri.
Kusah neh Put khaw, Lud neh namcom boeih, Khub neh a taengkah papi khohmuen koca rhoek khaw cunghang dongah cungku uh ni.
6 “‘Hili ndilo Bwana asemalo: “‘Wale walioungana na Misri wataanguka na kiburi cha nguvu zake kitashindwa. Kutoka Migdoli hadi Aswani, watauawa ndani yake kwa upanga, asema Bwana Mwenyezi.
BOEIPA loh he ni a. thui. Egypt aka talong rhoek khaw cungku uh vetih a sarhi kah hoemdamnah khaw tla ni. Syene Migdol lamkah khaw cunghang dongah amah la cungku uh ni. He tah ka Boeipa Yahovah kah olphong ni.
7 “‘Hizo nchi zitakua ukiwa miongoni mwa nchi zilizo ukiwa, nayo miji yao itakuwa magofu miongoni mwa miji iliyo magofu.
Aka pong khohmuen lakli ah pong uh vetih a khopuei rhoek khaw a khah tangtae khopuei rhoek lakli ah om uh ni.
8 Ndipo watakapojua kwamba mimi ndimi Bwana, nitakapoiwasha Misri moto na wote wamsaidiao watapondwa.
Kai he BOEIPA la a ming uh bitni. Egypt te hmai ka hlae thil vetih anih aka bom rhoek khaw boeih bawt uh ni.
9 “‘Siku hiyo wajumbe watatoka kwangu kwa merikebu, ili kuwatia hofu Ethiopia, wakiwa katika hali yao ya kuridhika. Maumivu makali yatawapata siku ya maangamizi ya Misri, kwa kuwa hakika itakuja.
Te khohnin ah ngaikhuek Kusah lakueng hamla puencawn rhoek te ka mikhmuh lamloh timbaw neh cet uh ni. A thoeng kuekluek ham dongah Egypt kah khohnin ah amih te thueknah loh a thoeng thil ni.
10 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Nitakomesha makundi ya wajeuri ya Misri kwa mkono wa Nebukadneza mfalme wa Babeli.
Ka Boeipa Yahovah loh he ni a. thui. Egypt hlangping te Babylon manghai Nebukhanezar kut neh ka kangkuen sak ni.
11 Yeye na jeshi lake, taifa lililo katili kuliko mataifa yote, litaletwa ili kuangamiza nchi. Watafuta panga zao dhidi ya Misri na kuijaza nchi kwa waliouawa.
Amah neh a taengkah a pilnam loh khohmuen phae ham namtom hlanghaeng te hang khuen. Te dongah Egypt te a cunghang neh a thun uh vetih khohmuen te rhok a bae sak ni.
12 Nitakausha vijito vya Naili na nitaiuza nchi kwa watu waovu, kwa mkono wa wageni, nitaifanya nchi ukiwa na kila kitu kilichomo ndani yake. Mimi Bwana nimenena haya.
Sokko te lanhak la ka poeh sak vetih khohmuen te boethae kut ah ka yoih pah ni. Khohmuen neh a khuikah boeih te kholong kut neh ka pong sak ni. Kai BOEIPA loh ka thui coeng.
13 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Nitaangamiza sanamu na kukomesha vinyago katika Memfisi Hapatakuwepo tena na mkuu katika nchi ya Misri, nami nitaeneza hofu katika nchi nzima.
Ka Boeipa Yahovah loh he ni a. thui. Mueirhol ka milh sak vetih Noph kah muei te ka kangkuen sak ni. Egypt khohmuen kah khoboei khaw om voel pawt vetih Egypt khohmuen ah rhihnah ka paek ni.
14 Nitaifanya Pathrosi kuwa ukiwa na kuitia moto Soani, nami nitaipiga kwa adhabu Thebesi
Parthros te ka pong sak vetih Zoan te hmai neh ka hoeh ni. No te khaw tholhphu ka suk thil ni.
15 Nitaimwaga ghadhabu yangu juu ya Pelusiumu, ngome ya Misri, nami nitakatilia mbali makundi ya wajeuri wa Thebesi.
Ka kosi he Egypt lunghim Sin soah ka hawk vetih No hlangping te ka thup ni.
16 Nitaitia moto nchi ya Misri; Pelusiumu itagaagaa kwa maumivu makuu. Thebesi itachukuliwa na tufani, Memfisi itakuwa katika taabu daima.
Egypt te hmai neh ka hlae vaengah kilkul la kilkul vetih kilkul voek bitni. Sin neh No neh Noph he khothaih rhal ah a ueth la om bitni.
17 Wanaume vijana wa Oni na wa Pi-Besethi wataanguka kwa upanga nayo hiyo miji itatekwa.
Aven neh Pibeseth tongpang rhoek te cunghang dongah cungku uh vetih amih te tamna la cet uh ni.
18 Huko Tahpanhesi mchana utatiwa giza nitakapovunja kongwa la Misri; hapo kiburi cha nguvu zake kitakoma. Atafunikwa na mawingu na vijiji vyake vitatekwa.
Egypt hnokohcung te pahoi ka khaem vaengah Taphanhes ah khothaih khaw hmuep ni. Te vaengah a khuikah hoemdamnah a sarhi khaw kangkuen vetih amah te cingmai loh a thing ni. A tanu rhoek khaw tamna la cet uh ni.
19 Kwa hiyo nitaipiga Misri kwa adhabu, nao watajua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”
Egypt soah tholhphu ka suk tangloeng daengah ni BOEIPA kamah he m'ming uh eh,” a ti.
20 Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa kwanza, siku ya saba, neno la Bwana likanijia kusema:
Kum hlai khat hla lamhma hnin rhih dongla a om vaengah BOEIPA ol te kai taengla ha pawk tih,
21 “Mwanadamu, nimevunja mkono wa Farao mfalme wa Misri. Haukufungwa ili upone au kuwekewa kipande cha ubao ili upate nguvu za kuweza kuchukua upanga.
“Hlang capa aw, Egypt manghai Pharaoh a bantha ka khaem pah coeng. Si paek ham khaw poi pah pawh ne. A khopnah a khueh tih a poi pah daengah man cunghang a tuuk vaengah a na suidae.
22 Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume na Farao mfalme wa Misri. Nitavunja mikono yake yote miwili, ule mkono ulio mzima pia na ule uliovunjika na kuufanya upanga uanguke toka mkononi mwake.
Te dongah Ka Boeipa Yahovah he ni a. thui. Egypt manghai Pharaoh ka pai thil coeng he. A ban aka tlungluen te aka khaem bangla ka khaem pah vetih a kut lamkah cunghang ka hlong sak ni.
23 Nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi zote.
Egypt te namtom taengah ka taek ka yak vetih amih te diklai ah ka haeh ni.
24 Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli na kuutia upanga wangu mkononi mwake, lakini nitavunja mikono ya Farao, naye atalia kwa huzuni mbele yake kama mtu aliyetiwa jeraha la kumfisha.
Babylon manghai kah a ban te ka moem pah vetih ka cunghang he a kut ah ka paek ni. Pharaoh ban te ka khaem vetih a mikhmuh ah rhok kah nguekcoinah bangla nguekcoi ni.
25 Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli, lakini mikono ya Farao italegea. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana, nitakapoutia upanga wangu mkononi mwa mfalme wa Babeli, naye ataunyoosha dhidi ya Misri.
Babylon manghai te bantha ka caang sak tih Pharaoh bantha a tlak vaengah BOEIPA kamah he m'ming uh bitni. Ka cunghang he Babylon manghai kut ah ka paek vetih Egypt khohmuen te a luklek thil ni.
26 Nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi mbalimbali. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana.”
Egypt te namtom taengah ka taek ka yak tih amih te diklai la ka haeh vaengah BOEIPA kamah he m'ming uh bitni,” a ti.

< Ezekieli 30 >