< Ezekieli 29 >
1 Katika mwaka wa kumi, mwezi wa kumi, siku ya kumi na mbili, neno la Bwana likanijia kusema:
Eso fago amola oubi nabu amola ninia mugululi misi ode nabu, amoga Hina Gode da nama amane sia: i,
2 “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Farao mfalme wa Misri na utabiri dhidi yake na dhidi ya Misri yote.
“Dunu egefe! Idibidi hina bagade ema se ima: ne, mimogoa fofada: ma! E amola Idibidi fi huluane da se bidi iasu lama: ne sia: ma.
3 Nena, nawe useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Mimi ni kinyume nawe, Farao, mfalme wa Misri, joka kubwa ulalaye katikati ya vijito vyako. Unasema, “Mto Naili ni wangu mwenyewe; niliufanya kwa ajili yangu mwenyewe.”
Ema, Ouligisudafa Hina Gode da Idibidi hina bagade amane sia: sa, adosima, ‘Di, hanome bagadedafa, hanoa dialebe! Na da dia ha lai! Di da Naile Hano da dia: , amola dia amo hamoi sia: sa.
4 Lakini nitatia ndoana katika mataya yako nami nitawafanya samaki wa vijito vyako washikamane na magamba yako. Nitakutoa katikati ya vijito vyako, pamoja na samaki wote walioshikamana na magamba yako.
Be Na da dia magado ma: goga hiougimu. Amola menabo dia hano ganodini fi, dima madelagima: mu. Amasea, Na da di Naile Hano ganodi dialu amola menabo huluane dima madelagi, amo bia hiougili gadomu.
5 Nitakutupa jangwani, wewe pamoja na samaki wote wa vijito vyako. Utaanguka uwanjani, nawe hutakusanywa au kuchukuliwa. Nitakutoa uwe chakula kwa wanyama wa nchi na ndege wa angani.
Na da di amola menabo huluane, hafoga: i sogega galagamu. Dia da: i hodo osoboga galagale, hame uli dogoi ba: mu. Na da amo sio amola ohe fi iligili moma: ne imunu.
6 Ndipo wale wote waishio Misri watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana. “‘Umekuwa fimbo ya tete kwa nyumba ya Israeli.
Amasea, Idibidi dunu huluane ilia da Na da Hina Gode dawa: mu. Isala: ili fi dunu da dilia Idibidi dunu amo ili fuligala: mu dawa: i galu. Be di da gasa hame ifa daba: agoai ba: i.
7 Walipokushika kwa mikono yao, ulivunjika na kuchana mabega yao; walipokuegemea, ulivunjika na migongo yao ikateguka.
Ilia da dima baligisia ganoba, di da fili sa: ili, ilia ogoleba sone, ilia baligi fili gala: i.
8 “‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitaleta upanga juu yako na kuua watu wako na wanyama wao.
Wali, Na, Ouligisudafa Hina Gode, da dima sia: sa. Na da dunu gegesu gobihei bagade gaguiwane dima doagala: musa: , dima asunasimu. Ilia da dia dunu amola ohe huluane medole legemu.
9 Misri itakuwa ukiwa na isiyolimwa wala kukaliwa na watu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana. “‘Kwa sababu ulisema, “Mto Naili ni wangu; mimi niliufanya,”
Idibidi soge da dunu hulu hagia: le, wadela: lesi dagoi ba: mu. Amasea, di da Na da Hina Gode dawa: mu.
10 kwa hiyo mimi ni kinyume nawe na kinyume na vijito vyako, nami nitaifanya nchi ya Misri kuwa magofu na ukiwa isiyolimwa wala kukaliwa na watu kuanzia Migdoli hadi Aswani, hata kufikia mpakani wa Ethiopia.
Di da Naile Hano da dia: , amola di da amo hamoi sia: beba: le, Na da di amola dia Naile Hano amoma ha lai gala. Na da Idibidi soge huluane, Migidole moilai bai bagade ga (north) gala amoganini asili Asawane moilai bai bagade ga (south) gala, amonini asili Sudane fi alalo defei doaga: sa, amo dogoa huluane dunu hulu hagia: le, wadela: lesimu.
11 Hakuna unyayo wa mtu au mnyama utakaopita ndani yake, wala hakuna yeyote atakayeishi humo kwa muda wa miaka arobaini.
Dunu fi amola ohe fi ilia amodili mae asili galea, ode 40 da gidigili baligimu.
12 Nitaifanya nchi ya Misri ukiwa, miongoni mwa nchi zilizo ukiwa, nayo miji yake itabaki ukiwa miaka arobaini miongoni mwa miji iliyo magofu. Nami nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi nyingine.
Na da Idibidi soge wadela: lesisia, amo soge ea wadela: su da soge huluane osobo bagadega gala, amo ilia wadela: su baligi dagoi ba: mu. Ode 40 amoga Idibidi soge moilai bai bagade huluane da wadela: lesi dagoi, eno moilai huluane ilia wadela: su bagade baligiwane dialumu. Na hamobeba: le, Idibidi dunu da gegesu amoga hobeale lasu dunu ba: mu. Ilia da fifi asi gala eno huluane amoga hobeale, amo fi ganodini esalumu.”
13 “‘Lakini hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mwishoni mwa hiyo miaka arobaini, nitawakusanya Wamisri kutoka mataifa walikotawanywa.
Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa, “Ode 40 amo gidigili, Na da Idibidi fi dunu soge fifi asi enoga afagogolesi amo bu sinidigili oule misunu.
14 Nitawarudisha hao Wamisri kutoka kwenye kutekwa kwao na kuwaweka katika Pathrosi, nchi ya baba zao. Huko watakuwa na ufalme usiokuwa na nguvu.
Amola Na da ili ga (south), musa: ili fifi lalusu amogawi fifi lama: mu. Amo ganodini ilia da gasa hamedene fifi lalumu.
15 Utakuwa ufalme dhaifu kuliko zote na kamwe Misri haitajikweza tena juu ya mataifa mengine. Nitaufanya ufalme wake dhaifu sana kiasi kwamba kamwe hautatawala tena juu ya mataifa mengine.
Ilia da gasa hamedeiba: le, eno fifi asi gala da ilia gasa baligimu. Amola ilia da eno fifi asi gala ouligimu hamedei ba: mu. Na da ili gasa hamedene hamobeba: le, ilia da eno fifi asi gala sesemu da hamedei ba: mu.
16 Misri haitakuwa tena tumaini la watu wa Israeli bali itakuwa kumbukumbu ya dhambi yao kwa kuigeukia kuomba msaada. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana Mwenyezi.’”
Isala: ili da ili fidima: ne, Idibidi dunu ilima bu hame adole ba: mu. Isala: ili da Idibidi amoga doaga: i hou ba: beba: le, ilia da ilima fidimusa: adole ba: beba: le da giadofai noga: le dawa: mu. Amasea, Isala: ili fi ilia da Na da Ouligisu Hina Gode dawa: mu.”
17 Katika mwaka wa ishirini na saba, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza, neno la Bwana likanijia, kusema:
Eso age, amola oubi age, amola ode 27 ninia mugululi misi amoga, Hina Gode da nama amane sia: i,
18 “Mwanadamu, Nebukadneza mfalme wa Babeli aliongoza jeshi lake kufanya kazi ngumu dhidi ya Tiro; kila kichwa kilipata upaa na kila bega likachunika. Lakini yeye na jeshi lake hawakupata malipo yoyote kutokana na muda wote aliongoza hiyo vita dhidi ya Tiro.
“Dunu egefe! Ba: bilone hina bagade Nebiuga: denese da Daia amoma doagala: i. E da ea dadi gagui dunu ilima dioi gasa bagade liligi gisima: ne, ilima i. Amalalu ilia dialuma da gianai agoane ba: i, amola ilia gidagi da gadofo houga: lesi ba: i. Be Ba: bilone hina bagade amola dadi gagui dunu, ilia da amo hawa: hamobega dabe liligi afae hame lai.
19 Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitaitia Misri mikononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye atachukua utajiri wa Misri. Atateka mateka na kuchukua nyara mali za Misri kama ujira kwa ajili ya jeshi lake.
Amaiba: le, Na, Ouligisudafa Hina Gode, da amane sia: sa, ‘Na da Idibidi soge amo, hina bagade Nebiuga: denese ema iagamu. E da amoma doagala: le, Idibidi muni huluane gegenana lale, amo muni ea dadi gagui dunu ilima ilia bidi imunu.
20 Nimempa mfalme wa Babeli nchi ya Misri kuwa ujira kwa juhudi zake kwa sababu yeye na jeshi lake walifanya kwa ajili yangu, asema Bwana Mwenyezi.
E da Na hawa: hamobeba: le, Na da Idibidi soge ea hawa: hamosu bidi agoane, ema imunu. Na, Ouligisu Hina Gode da sia: i dagoi.
21 “Katika siku hiyo nitaifanya nyumba ya Israeli iwe na nguvu nami nitakifungua kinywa chako miongoni mwao. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana.”
Amo hou da doaga: sea, Na da Isala: ili dunu ilima gasa bu imunu. Amola, di Isigiele, di da dunu huluane nabima: ne sia: musa: , Isala: ili dunu da Na da Hina Gode dawa: ma: ne, Na da dia logo doasimu.”