< Ezekieli 27 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
BOEIPA ol te kai taengla ha pawk tih,
2 “Mwanadamu, fanya maombolezo kwa ajili ya Tiro.
Nang hlang capa Tyre ham rhahlung phueih pah laeh.
3 Umwambie Tiro, ulioko kwenye lango la bahari, ufanyao biashara na mataifa mengi ya pwani, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Ee Tiro, wewe umesema, “Mimi ni mkamilifu katika uzuri.”
Tyre te thui pah. Tuipuei khotlak kah khosa, khosa neh sanglak tom kah pilnam thenpom rhoek aw, ka Boeipa Yahovah loh he ni a. thui. Tyre nang loh, “Kai tah sakthen boeih ni,” na ti.
4 Mipaka yako ilikuwa katika moyo wa bahari, wajenzi wako walikamilisha uzuri wako.
Tuipuei tuilung kah na thoh na khorhi loh na sakthen a soep sak.
5 Walizifanya mbao zako zote kwa misunobari itokayo Seniri; walichukua mierezi kutoka Lebanoni kukutengenezea mlingoti.
Namah ham te Senir lamkah hmaical neh na sak tih, na cungkui la saii ham te Lebanon lamkah lamphai thingphael ni boeih a loh uh.
6 Walichukua mialoni toka Bashani wakakutengenezea makasia yako; kwa miti ya msanduku kutoka pwani ya Kitimu wakatengeneza sitaha yako na kuipamba kwa pembe za ndovu.
Bashan lamkah thingnu na lawngkaih la a saii uh tih, na longlaeng khaw Kittim sanglak lamkah ta-aw vueino ni a. saii uh.
7 Kitani safi kilichotariziwa kutoka Misri kilikuwa tanga lako, nacho kilikuwa bendera yako; chandarua chako kilikuwa cha rangi ya buluu na ya zambarau kutoka visiwa vya Elisha.
Egypt lamkah rhaekva neh hnitang na hniyan la om. Hni thim te nang ham rholik la om tih Elishah sanglak lamkah daidi te na dakda la om.
8 Watu kutoka Sidoni na Arvadi walikuwa wapiga makasia yako; watu wako wenye ustadi, ee Tiro, walikuwa ndio mabaharia wako.
Sidon neh Arvad khosa rhoek te nang aka tinghil puei la om uh. Tyre nang kah hlangcueih rhoek te nang soah na sangphoboei la om uh.
9 Wazee wa Gebali pamoja na mafundi stadi walikuwa mafundi wako melini. Meli zote za baharini na mabaharia wao walikuja kwako ili kubadilishana bidhaa zako.
Gebal patong neh a hlangcueih khaw nang sokah na puut aka bing la om uh. Tuipuei sangpho boeih neh a sangphobibi rhoek khaw na thenpomhno dongah rhikhang ham nang taengah om uh.
10 “‘Watu wa Uajemi, Ludi na Putu walikuwa askari katika jeshi lako. Walitundika ngao zao na chapeo zao kwenye kuta zako, wakileta fahari yako.
Persia, Lud neh Put na caem la om uh. Na caemtloek hlang rhoek loh nang dongah photling neh lumuek a bang uh tih na rhuepomnah te a paek uh.
11 Watu wa Arvadi na wa Heleki walikuwa juu ya kuta zako pande zote; watu wa Gamadi walikuwa kwenye minara yako. Walitundika ngao zao kuzizunguka kuta zako; wakaukamilisha uzuri wako.
Arvad neh Helekh hlang rhoek loh na kaepvai kah na vongtung dongah, na rhaltoengim khuiah aka om Gammadim loh a photling te na vongtung dongah a bang uh tih a kaepvai ah na sakthen neh a soep sak.
12 “‘Tarshishi walifanya biashara nawe kwa sababu ya utajiri wako mkubwa wa bidhaa, walibadilisha fedha, chuma, bati na risasi kwa mali zako.
Boeirhaeng boeih neh cak khaw, thi khaw samphae neh kawnlawk khaw na kum dongah Tarshish loh nang taengah thenpom tih na kawn te a thung uh.
13 “‘Uyunani, Tubali na Mesheki, walifanya biashara nawe, walibadilisha watumwa na vyombo vya shaba kwa bidhaa zako.
Javan, Tubal neh Meshek loh nang taengah hlang kah hinglu neh thenpom uh tih na thenpomhno te rhohum hnopai neh a thung uh.
14 “‘Watu wa Beth-Togarma walibadilisha farasi wa mizigo, farasi wa vita na nyumbu kwa mali zako.
Togarmah imkhui lamkah marhang neh marhang caem khaw, muli-marhang khaw na kawn neh a thung uh.
15 “‘Watu wa Dedani walifanya biashara nawe, watu wengi wa nchi za pwani walikuwa wachuuzi wako, walikulipa kwa pembe za ndovu na mpingo.
Dedan hlang rhoek khaw nang taengah thenpom uh. Na kut dongkah hnoyoih neh sanglak tom loh maeh ki vueino khaw, rhining thing khaw na kutdoe la ham mael uh.
16 “‘Watu wa Aramu walifanya biashara nawe kwa ajili ya wingi wa kazi za mikono yako, wakibadilishana kwa almasi, vitambaa vya rangi ya zambarau, vitambaa vilivyotariziwa, kitani safi, matumbawe na akiki nyekundu.
Na bibi khaw a cung dongah Aram khaw nang taengah thenpom tih khocillung neh daidi khaw, rhaekva neh baibok khaw, maerhuhlung neh aithilung khaw na kawn neh a thung uh.
17 “‘Yuda na Israeli walifanya biashara nawe, walibadilishana kwa ngano kutoka Minithi, mtama, asali, mafuta na zeri ya kuponyeshea.
Judah neh Israel khohmuen khaw nang taengah thenpom uh tih, Minnith cang neh cangtha khaw, khoitui neh situi, thingpi khaw na thenpomhno neh a thung uh.
18 “‘Dameski, kwa sababu ya wingi wa kazi za mikono yako na ukuu wa utajiri wa mali, walifanya biashara nawe wakibadilishana mvinyo kutoka Helboni na sufu kutoka Zahari.
Na kutngo khaw cung tih Helbon misurtui neh tumul a bok dongkah boeirhaeng boeih khaw a khawk dongah Damasku khaw nang taengah thenpom coeng.
19 “‘Wadani na Wayunani kutoka Uzali, walikuletea mali za biashara, nao wakabadilishana nawe chuma kilichofuliwa, mdalasini na mchaichai.
Vedan neh Uzal lamkah Javan loh thi met te na kawn la han khuen uh tih valaeng neh singkaek khaw na thenpomhno la a om sak.
20 “‘Dedani alifanya biashara nawe kwa matandiko ya farasi.
Dedan loh leng dongkah baidok himbai neh nang taengah thenpom coeng.
21 “‘Arabuni na wakuu wote wa Kedari walikuwa wanunuzi wako waliobadilishana bidhaa zako na wana-kondoo, kondoo dume na mbuzi.
Arabia neh amih Kedar khoboei boeih loh na kut dongah thenpom uh. A khuiah tuca neh tutal neh kikong neh nang taengah thenpom uh.
22 “‘Wafanyabiashara wa Sheba na wa Raama walifanya biashara nawe, wakabadilishana bidhaa zako na aina zote za vikolezi, vito vya thamani na dhahabu.
Aka thenpom Sheba neh Raamah khaw nang taengah thenpom uh. Thenkoek botui boeih neh lung vang boeih khaw sui khaw na kawn la m'paek uh.
23 “‘Harani, Kane na Edeni na wafanyabiashara wa Sheba, Ashuru na Kilmadi walifanya biashara nawe.
Haran neh Kanneh neh Eden kah aka thenpom Sheba, Assyria neh Kilmad khaw na thenpom.
24 Kwenye soko lako, walifanya biashara nawe kwa mavazi mazuri, vitambaa vya buluu, nguo za kutariziwa na mazulia ya rangi mbalimbali yenye kamba zilizosokotwa na kuwekwa mafundo imara.
Amih loh nang himbai then neh, hni-awn a thim, rhaekva neh, pangcik hniphaih rhuihet a hlin neh na hnoyoihhmuen ah a kuehluek la n'thenpom uh.
25 “‘Merikebu za Tarshishi ndizo zinazokusafirishia bidhaa zako. Umejazwa shehena kubwa katika moyo wa bahari.
Tarshish sangpho nang na thenpomhno yiin vaengah na khawk coeng tih tuipuei tuilung ah muep n'thangpom.
26 Wapiga makasia wako wanakupeleka mpaka kwenye maji makavu. Lakini upepo wa mashariki umekuvunja vipande vipande katika moyo wa bahari.
Nang aka kaih loh nang te tui len khuila m'pawk puei dae khothoeng yilh loh tuipuei tuilung ah nang n'rhek sak.
27 Utajiri wako, bidhaa zako na mali zako, mabaharia wako, manahodha wako, mafundi wako wa meli, wafanyabiashara wako na askari wako wote, na kila mmoja aliyeko melini atazama kwenye moyo wa bahari siku ile ya kuvunjika kwa meli yako.
Na boeirhaeng neh na kawn khaw, na thenpomhno, na sangphobibi neh na sangphoboei khaw, na puut aka bing neh na thenpomhno rhi aka khang khaw, namah khuikah na caemtloek hlang boeih khaw, na laklung kah na hlangping boeih khaw na cungkunah khohnin ah tah tuipuei tuilung ah cungku uh ni.
28 Nchi za pwani zitatetemeka wakati mabaharia wako watakapopiga kelele.
Na sangphoboei kah pang ol ah na khocaak rhoek khaw hinghuen uh ni.
29 Wote wapigao makasia wataacha meli zao, mabaharia wote na wanamaji wote watasimama pwani.
Lawngkaih aka pom sangphobibi boeih khaw a sangpho lamloh suntla uh vetih tuipuei sangphoboei boeih khaw lan ah pai uh ni.
30 Watapaza sauti zao na kulia sana kwa ajili yako; watajitupia mavumbi juu ya vichwa vyao na kujivingirisha kwenye majivu.
Nang te a ol neh n'yaak sak uh vetih bungbung pang ni. Laipi a lu soah a phul vetih hmaiphu dongah bol uh ni.
31 Watanyoa nywele zao kwa ajili yako, nao watavaa nguo za magunia. Watakulilia kwa uchungu wa moyo na kwa maombolezo makuu.
Nang kongah lungawng la kuet uh vetih tlamhni a yil uh ni. Hinglu kah khahing loh khahing rhaengsaelung neh nang soah rhap uh ni.
32 Watakapokuwa wanalia na kuomboleza juu yako, watafanya maombolezo kukuhusu wakisema: “Ni nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro, katika moyo wa bahari?”
Nang soah amih kah rhahlung rhaengsaenah a phueih uh vetih nang te, 'Tyre bang neh tuipuei tuilung ah aka rhawp bang he unim?' tila rhaengsae uh ni.
33 Wakati bidhaa zako zilipotoka baharini, ulitosheleza mataifa mengi; kwa wingi wa utajiri wako na bidhaa zako ulitajirisha wafalme wa dunia.
Na kawn te tuipuei lamloh na khuen tih pilnam khaw muep na cung sak. Na boeirhaeng kah cangpai, na thenpomhno neh diklai manghai na boei sak.
34 Sasa umevunjavunjwa na bahari, katika vilindi vya maji, bidhaa zako na kundi lako lote vimezama pamoja nawe.
Tuipuei loh na thenpomhno neh tui dung ah n'khah coeng tih na khui kah na hlangping khaw boeih cungku uh.
35 Wote waishio katika nchi za pwani wanakustaajabia; wafalme wao wanatetemeka kwa hofu kuu, nazo nyuso zao zimekunjamana kwa woga.
Sanglak kah khosa boeih nang soah hal uh tih a manghai rhoek khaw hlithae kah a yawn bangla maelhmai tal uh.
36 Wafanyabiashara miongoni mwa mataifa wanakucheka; umefikia mwisho wa kutisha nawe hutakuwepo tena.’”
Mueirhih la na om dongah pilnam taengkah aka thenpom nang te n'hlip thil tih kumhal duela na phoe voel mahpawh,” a ti.

< Ezekieli 27 >