< Ezekieli 27 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
Hina Gode da nama amane sia: i,
2 “Mwanadamu, fanya maombolezo kwa ajili ya Tiro.
“Dunu egefe! Daia moilaiga doaga: i hou dawa: beba: le, didiga: le gesami hea: ma.
3 Umwambie Tiro, ulioko kwenye lango la bahari, ufanyao biashara na mataifa mengi ya pwani, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Ee Tiro, wewe umesema, “Mimi ni mkamilifu katika uzuri.”
Daia da hano wayabo bagade bega: diala. E da dunu fi huluane hano bega: diala ilima bidi lasu hou hamosa. Ema Ouligisu Hina Gode Ea sia: agoane gesami hea: ma, ‘Daia! Di da dia nina: hamoi amoga hidasu.
4 Mipaka yako ilikuwa katika moyo wa bahari, wajenzi wako walikamilisha uzuri wako.
Dia esalebe da hano wayabo bagade. Dia gagusu dunu da fedege di dusagai nina: hamoi defele gagui.
5 Walizifanya mbao zako zote kwa misunobari itokayo Seniri; walichukua mierezi kutoka Lebanoni kukutengenezea mlingoti.
Di gaguma: ne ilia da Hemone Goumiga ‘fe’ ifa lai, amola dia dogoa bugima: ne ilia da dolo ifa Lebanone sogega lai.
6 Walichukua mialoni toka Bashani wakakutengenezea makasia yako; kwa miti ya msanduku kutoka pwani ya Kitimu wakatengeneza sitaha yako na kuipamba kwa pembe za ndovu.
Ilia dia dusagai sua: su hamoma: ne ‘ouge’ ifa amo Ba: isa: ne sogega lai. Dia hada: i fa: i hamoma: ne, ilia da ‘baine’ ifa amo Saibalese sogega lai. Amo da: iya, ilia da ‘aifoli’ dedene ba: sisi.
7 Kitani safi kilichotariziwa kutoka Misri kilikuwa tanga lako, nacho kilikuwa bendera yako; chandarua chako kilikuwa cha rangi ya buluu na ya zambarau kutoka visiwa vya Elisha.
Dia gosagi da ahea: iai abula nodomene dedei Idibidi sogega hamoi. Ilia da nina: hamoiba: le, dunu da amo sedagaga ba: beba: le, dawa: i. Dia segagi da oga: iyai abula nog: ai Saibalese ogaga lai, amoga hamoi.
8 Watu kutoka Sidoni na Arvadi walikuwa wapiga makasia yako; watu wako wenye ustadi, ee Tiro, walikuwa ndio mabaharia wako.
Dia sua: su dunu da Saidone moilai bai bagade amola Afa: de moilai bai bagadega misi. Dia fidafa dawa: su dunu da dusagai hawa: hamosu dunu esalu.
9 Wazee wa Gebali pamoja na mafundi stadi walikuwa mafundi wako melini. Meli zote za baharini na mabaharia wao walikuja kwako ili kubadilishana bidhaa zako.
Dia dusagai gagusu dunu da dawa: lai dunu, Bibilose sogega misi. Dusagai da: iya ahoasu dunu huluane da dia bidiga lasu diasu ganodini bidi lasu.
10 “‘Watu wa Uajemi, Ludi na Putu walikuwa askari katika jeshi lako. Walitundika ngao zao na chapeo zao kwenye kuta zako, wakileta fahari yako.
Besia amola Lidia amola Libia dadi gagui dunu da dia dadi gagui wa: i ganodini hawa: hamosu. Ilia da ilia gegesu gaga: su liligi amola habuga amo dia dadi gagui diasu ganodini gosagisi. Ilia da dia gegesu hamobeba: le, eno dunu da dima nodosu.
11 Watu wa Arvadi na wa Heleki walikuwa juu ya kuta zako pande zote; watu wa Gamadi walikuwa kwenye minara yako. Walitundika ngao zao kuzizunguka kuta zako; wakaukamilisha uzuri wako.
Afa: de dadi gagui dunu da dia gagoi sosodo ouligi, amola Ga: made dadi gagui dunu da dia gagagula heda: i diasu amo ouligi. Ilia da ilia gegesu gaga: su liligi dia dobea fei damana gosagisi. Ilia da di nina: hamonesi.
12 “‘Tarshishi walifanya biashara nawe kwa sababu ya utajiri wako mkubwa wa bidhaa, walibadilisha fedha, chuma, bati na risasi kwa mali zako.
Di da Siba: ini sogega bidi lasu hou hamosu. Di da ilima liligi iabeba: le, ilia da dima silifa, ouli, dini amola lede bu dabe i.
13 “‘Uyunani, Tubali na Mesheki, walifanya biashara nawe, walibadilisha watumwa na vyombo vya shaba kwa bidhaa zako.
Di da Galisi amola Diubale amola Misiege amoga liligi iabeba: le, ilia da dima udigili hawa: hamosu dunu amola ‘balase’ hamoi liligi bu dabe i.
14 “‘Watu wa Beth-Togarma walibadilisha farasi wa mizigo, farasi wa vita na nyumbu kwa mali zako.
Bede Dogama soge amoma bidi laloba, ilia da hawa: hamosu hosi amola gegesu hosi amola dougi bu dabe i.
15 “‘Watu wa Dedani walifanya biashara nawe, watu wengi wa nchi za pwani walikuwa wachuuzi wako, walikulipa kwa pembe za ndovu na mpingo.
Loudese dunu da dima bidi lasu. Hano wayabo bagade bega: esalebe fi bagohame da dia liligi lale, bu ‘eboni’ amola ‘aifoli’ bu dabe i.
16 “‘Watu wa Aramu walifanya biashara nawe kwa ajili ya wingi wa kazi za mikono yako, wakibadilishana kwa almasi, vitambaa vya rangi ya zambarau, vitambaa vilivyotariziwa, kitani safi, matumbawe na akiki nyekundu.
Silia dunu da dia liligi lale, bu igi ida: iwane, oga: iyai abula, nodomene dedei abula, ahea: iai abula amola ‘gola: le’ dima dabe i.
17 “‘Yuda na Israeli walifanya biashara nawe, walibadilishana kwa ngano kutoka Minithi, mtama, asali, mafuta na zeri ya kuponyeshea.
Isala: ili amola Yuda da dia liligi lale, bu widi, agime hano, olife susuligi amola hedama: ne fodole nasu dabe i.
18 “‘Dameski, kwa sababu ya wingi wa kazi za mikono yako na ukuu wa utajiri wa mali, walifanya biashara nawe wakibadilishana mvinyo kutoka Helboni na sufu kutoka Zahari.
19 “‘Wadani na Wayunani kutoka Uzali, walikuletea mali za biashara, nao wakabadilishana nawe chuma kilichofuliwa, mdalasini na mchaichai.
Dama: sagase fi dunu da dia liligi bidi lale, bu waini hano (amo ilia da Helebone sogega lai), sibi hinabo damui (amo ilia da Sa: iha sogega lai), ouli amola hedama: ne fodole nasu dabe i.
20 “‘Dedani alifanya biashara nawe kwa matandiko ya farasi.
Dida: ne dunu ilia da dia liligi lale, hosi da: iya fa: le fisu abula amoga dabe i.
21 “‘Arabuni na wakuu wote wa Kedari walikuwa wanunuzi wako waliobadilishana bidhaa zako na wana-kondoo, kondoo dume na mbuzi.
Ala: ibia dunu amola Gida soge ouligisu dunu da dia liligi lale, sibi mano amola sibi amola goudi dabe bu i.
22 “‘Wafanyabiashara wa Sheba na wa Raama walifanya biashara nawe, wakabadilishana bidhaa zako na aina zote za vikolezi, vito vya thamani na dhahabu.
Siba amola Lama bidi lasu dunu da dia liligi labeba: le, igi nina: hamoi amola ‘gouli’ amola hedama: ne fodole nasu ida: iwane bu dabe i.
23 “‘Harani, Kane na Edeni na wafanyabiashara wa Sheba, Ashuru na Kilmadi walifanya biashara nawe.
Moilai bai bagade bagohame (Ha: ila: ne, Ga: ni, Idini, Siba, A:sie, Gilima: de) amo huluane da dima bidi lasu.
24 Kwenye soko lako, walifanya biashara nawe kwa mavazi mazuri, vitambaa vya buluu, nguo za kutariziwa na mazulia ya rangi mbalimbali yenye kamba zilizosokotwa na kuwekwa mafundo imara.
Ilia da dima abula liligi noga: idafa, oga: iyai abula, nodomene dedei abula, foloaiga dedei debea, amola gobeaha: i noga: le hamoi, amo ilia da dima bidi lasu.
25 “‘Merikebu za Tarshishi ndizo zinazokusafirishia bidhaa zako. Umejazwa shehena kubwa katika moyo wa bahari.
Dia bidi lasu liligi da dusagai bagade ganodini sasalili, gaguli ahoanebe ba: i. Di amola da dusagai amo ganodini liligi dioi bagade dialebe, hano da: iya ahoanebe, amo agoane ba: i.
26 Wapiga makasia wako wanakupeleka mpaka kwenye maji makavu. Lakini upepo wa mashariki umekuvunja vipande vipande katika moyo wa bahari.
Dia sua: su dunu da di hano wayabo bagadega oule asili, di da hano wayabo dogoa esaloba, gusudili mabe fo da di wadela: lesi.
27 Utajiri wako, bidhaa zako na mali zako, mabaharia wako, manahodha wako, mafundi wako wa meli, wafanyabiashara wako na askari wako wote, na kila mmoja aliyeko melini atazama kwenye moyo wa bahari siku ile ya kuvunjika kwa meli yako.
Dia bidi lasu liligi huluane amola dia dusagai hawa: hamosu dunu amola dia dusagai gagusu dunu amola dia bidi lasu dunu amola dadi gagui dunu huluane dusagai da: iya esalu, amo huluane da hanoga na dagole, fisi dagoi.
28 Nchi za pwani zitatetemeka wakati mabaharia wako watakapopiga kelele.
Dunu hano bega: esala da dusagai hawa: hamosu dunu bogolalebe ilia beda: ga wele sia: i, amo nabi.
29 Wote wapigao makasia wataacha meli zao, mabaharia wote na wanamaji wote watasimama pwani.
Eno dusagai huluane da dunu hame esalebe ba: sa. Ilia hawa: hamosu dunu huluane da soge bega: asi dagoi.
30 Watapaza sauti zao na kulia sana kwa ajili yako; watajitupia mavumbi juu ya vichwa vyao na kujivingirisha kwenye majivu.
Di da bogobeba: le, ilia huluane diha didigia: sa. Ilia da guludou ilia dialuma da: iya ulawene, nasubu da: iya bebesolalasa.
31 Watanyoa nywele zao kwa ajili yako, nao watavaa nguo za magunia. Watakulilia kwa uchungu wa moyo na kwa maombolezo makuu.
Ilia dialuma hinabo gesele, eboboi abula gaga: sa. Ilia da: i dione dinana.
32 Watakapokuwa wanalia na kuomboleza juu yako, watafanya maombolezo kukuhusu wakisema: “Ni nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro, katika moyo wa bahari?”
Ilia da dima idigisa gesami hea: sa. ‘Daia da hano wayabo ganodini ouiya: le diala. Nowa da Daia defema: bela: ?
33 Wakati bidhaa zako zilipotoka baharini, ulitosheleza mataifa mengi; kwa wingi wa utajiri wako na bidhaa zako ulitajirisha wafalme wa dunia.
Di da fifi asi gala hano wayabo la: idi gala, ilia hanai defele, ilima liligi bidi lasu. Dia liligi bagade labeba: le, hina bagade dunu ilia bagade gagui ba: i.
34 Sasa umevunjavunjwa na bahari, katika vilindi vya maji, bidhaa zako na kundi lako lote vimezama pamoja nawe.
Wali di da hano wayabo bagade amo ganodini wadela: lesi dagoi ba: sa. Di da hano wayabo lugududafa amoga sa: i. Dia liligi amola dima gilisili hawa: hamosu dunu da dilia gilisili hano wayaboga magufale, hamedafa ba: sa.
35 Wote waishio katika nchi za pwani wanakustaajabia; wafalme wao wanatetemeka kwa hofu kuu, nazo nyuso zao zimekunjamana kwa woga.
Dunu huluane hano bega: fifi lai, da dima doaga: i hou dawa: beba: le, fofogadigili yagugusa. Ilia hina bagade amolawane, ilia da bagade beda: iba: le, ilia odagia beda: i ba: sa.
36 Wafanyabiashara miongoni mwa mataifa wanakucheka; umefikia mwisho wa kutisha nawe hutakuwepo tena.’”
Di da bu mae ba: ma: ne asi dagoi. Osobo bagade bidi lasu dunu huluane da beda: gia: sa. Bai dima doaga: i hou da ilima doagasa: besa: le, ilia da beda: i.

< Ezekieli 27 >