< Ezekieli 26 >
1 Mwaka wa kumi na moja, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likanijia kusema:
and to be in/on/with eleven ten year in/on/with one to/for month to be word LORD to(wards) me to/for to say
2 “Mwanadamu, kwa sababu Tiro amesema kuhusu Yerusalemu, ‘Aha! Lango la kwenda kwa mataifa limevunjika, nayo milango yake iko wazi mbele yangu, sasa kwa kuwa amekuwa magofu nitastawi.’
son: child man because which to say Tyre upon Jerusalem Aha! to break door [the] people to turn: turn to(wards) me to fill to destroy
3 Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi niko kinyume na wewe, ee Tiro, nami nitaleta mataifa mengi dhidi yako, kama bahari inayovurumisha mawimbi yake.
to/for so thus to say Lord YHWH/God look! I upon you Tyre and to ascend: attack upon you nation many like/as to ascend: attack [the] sea to/for heap: wave his
4 Watavunja kuta za Tiro na kuibomoa minara yake, nitakwangua udongo wake na kuufanya mwamba mtupu.
and to ruin wall Tyre and to overthrow tower her and to scrape dust her from her and to give: make [obj] her to/for bare crag
5 Itakuwa huko katikati ya bahari patakuwa mahali pa kutandaza nyavu za kuvulia samaki, kwa maana nimenena, asema Bwana Mwenyezi. Atakuwa nyara kwa mataifa,
spreading-place net to be in/on/with midst [the] sea for I to speak: speak utterance Lord YHWH/God and to be to/for plunder to/for nation
6 nayo makao yake huko bara yataangamizwa kwa upanga. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi Bwana.
and daughter her which in/on/with land: country in/on/with sword to kill and to know for I LORD
7 “Kwa maana hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kutoka kaskazini nitamleta dhidi ya Tiro Mfalme Nebukadneza wa Babeli, mfalme wa wafalme, akiwa na farasi na magari ya vita, wapanda farasi na jeshi kubwa.
for thus to say Lord YHWH/God look! I to come (in): bring to(wards) Tyre Nebuchadnezzar king Babylon from north king king in/on/with horse and in/on/with chariot and in/on/with horseman and assembly and people: soldiers many
8 Atayaharibu makao yako huko bara kwa upanga, ataweka jeshi kukuzingira, atakuzingira mpaka kwenye kuta za ngome zako na kuinua ngao zake dhidi yako.
daughter your in/on/with land: country in/on/with sword to kill and to give: put upon you siegework and to pour: scatter upon you mound and to arise: raise upon you shield
9 Ataelekeza mapigo ya vyombo vyake vya kubomolea dhidi ya kuta zako na kubomoa minara yako kwa silaha zake.
and blow battering-ram his to give: give in/on/with wall your and tower your to tear in/on/with sword his
10 Farasi zake zitakuwa nyingi sana kiasi kwamba utafunikwa na mavumbi watakayotimua. Kuta zako zitatikisika kwa mshindo wa farasi wa vita, magari makubwa na magari ya vita wakati aingiapo malango yako kama watu waingiao mji ambao kuta zake zimebomolewa kote.
from abundance horse his to cover you dust their from voice: sound horseman and wheel and chariot to shake wall your in/on/with to come (in): come he in/on/with gate your like/as entrance city to break up/open
11 “Kwato za farasi zake zitakanyaga barabara zako zote, atawaua watu wako kwa upanga na nguzo zako zilizo imara zitaanguka chini.
in/on/with hoof horse his to trample [obj] all outside your people your in/on/with sword to kill and pillar strength your to/for land: soil to go down
12 Watateka utajiri wako na kuchukua nyara bidhaa zako, watazivunja kuta zako na kuzibomoa nyumba zako nzuri, watatupa baharini mawe yako, mbao zako na kifusi chako.
and to loot strength: rich your and to plunder merchandise your and to overthrow wall your and house: home desire your to tear and stone your and tree: wood your and dust your in/on/with midst water to set: put
13 Nitakomesha kelele za nyimbo zako, na uimbaji wako wa kinubi kamwe hautasikika tena.
and to cease crowd song your and voice: sound lyre your not to hear: hear still
14 Nitakufanya mwamba mtupu, nawe utakuwa mahali pa kutandazia nyavu za kuvulia samaki. Kamwe hutajengwa tena, kwa maana Mimi Bwana nimenena, asema Bwana Mwenyezi.
and to give: make you to/for bare crag spreading-place net to be not to build still for I LORD to speak: speak utterance Lord YHWH/God
15 “Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo kwa Tiro: ‘Je, nchi za pwani hazitatetemeka kwa kishindo cha anguko lako, wakati majeruhi wanapolia kwa maumivu makali na wakati mauaji yanaendelea ndani yako?
thus to say Lord YHWH/God to/for Tyre not from voice: sound carcass your in/on/with to groan slain: wounded in/on/with to kill slaughter in/on/with midst your to shake [the] coastland
16 Ndipo wakuu wote wa mataifa ya pwani watashuka kutoka kwenye viti vyao vya enzi na kuweka kando majoho yao na kuvua nguo zao zilizotariziwa. Wakiwa wamevikwa hofu kuu, wataketi chini ardhini, wakiwa wanatetemeka kila dakika na wakikustajabia.
and to go down from upon throne their all leader [the] sea and to turn aside: remove [obj] robe their and [obj] garment embroidery their to strip trembling to clothe upon [the] land: soil to dwell and to tremble to/for moment and be desolate: appalled upon you
17 Ndipo wao watakuombolezea na kukuambia: “‘Tazama jinsi ulivyoharibiwa, ee mji uliokuwa na sifa, wewe uliyekaliwa na mabaharia! Ulikuwa na nguvu kwenye bahari, wewe na watu wako; wote walioishi huko, uliwatia hofu kuu.
and to lift: raise upon you dirge and to say to/for you how? to perish to dwell from sea [the] city [the] to boast: praise which to be strong in/on/with sea he/she/it and to dwell her which to give: give terror their to/for all to dwell her
18 Sasa nchi za pwani zinatetemeka katika siku ya anguko lako; visiwa vilivyomo baharini vinaogopa kwa kuporomoka kwako.’
now to tremble [the] coastland day carcass your and to dismay [the] coastland which in/on/with sea from to come out: come you
19 “Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitakapokufanya uwe mji wa ukiwa, kama miji isiyokaliwa tena na watu, nitakapoleta vilindi vya bahari juu yako na maji yake makuu yatakapokufunika,
for thus to say Lord YHWH/God in/on/with to give: make I [obj] you city to destroy like/as city which not to dwell in/on/with to ascend: attack upon you [obj] abyss and to cover you [the] water [the] many
20 ndipo nitakapokushusha chini pamoja na wale washukao shimoni, kwa watu wa kale, nami nitakufanya uishi katika pande za chini za nchi kama katika magofu ya kale, pamoja na wale washukao shimoni, nawe hutarudi au kurejea kwenye makao yako katika nchi ya walio hai.
and to go down you with to go down pit to(wards) people forever: antiquity and to dwell you in/on/with land: country/planet lower like/as desolation from forever: antiquity with to go down pit because not to dwell and to give: put beauty in/on/with land: country/planet alive
21 Nitakufikisha mwisho wa kutisha wala hutakuwepo tena. Watu watakutafuta, lakini kamwe hutaonekana tena, asema Bwana Mwenyezi.”
terror to give: make you and nothing you and to seek and not to find still to/for forever: enduring utterance Lord YHWH/God