< Ezekieli 21 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
خداوند به من فرمود: «ای پسر انسان، رو به سوی اورشلیم نموده، کلام مرا بر ضد سرزمین اسرائیل و مکانهای مقدّس آن اعلام نما!
2 “Mwanadamu, uelekeze uso wako juu ya Yerusalemu na uhubiri dhidi ya mahali patakatifu. Tabiri dhidi ya nchi ya Israeli
3 uiambie: ‘Hili ndilo Bwana asemalo: Mimi niko kinyume nawe. Nitautoa upanga wangu kwenye ala yake na kumkatilia mbali mwenye haki na mwovu.
بگو که خداوند چنین می‌فرماید: «ای اسرائیل، من علیه تو هستم. من شمشیر خود را از غلاف بیرون کشیده، ساکنانت را، چه عادل و چه شریر، همه را نابود خواهم نمود.
4 Kwa sababu nitamkatilia mbali mwenye haki na mwovu, upanga wangu utakuwa wazi dhidi ya kila mmoja kuanzia kusini mpaka kaskazini.
شمشیر من در سراسر سرزمین، از جنوب تا شمال، همه مردم را از بین خواهد برد.
5 Ndipo watu wote watajua ya kuwa Mimi Bwana nimeutoa upanga wangu kwenye ala yake, nao hautarudi humo tena.’
آنگاه همه خواهند دانست که من یهوه شمشیر خود را به دست گرفته‌ام و تا زمانی که مقصود خود را عملی نسازم، آن را غلاف نخواهم نمود.
6 “Kwa hiyo lia kwa uchungu, mwanadamu! Lia kwa uchungu mbele yao kwa moyo uliopondeka na kwa huzuni nyingi.
«ای پسر انسان، در نظر مردم آه و ناله کن! با غم و اندوهی جانکاه آه بکش!
7 Nao watakapokuuliza, ‘Kwa nini unalia kwa uchungu?’ Utasema hivi, ‘Kwa sababu ya habari zinazokuja. Kila moyo utayeyuka na kila mkono utalegea, kila roho itazimia na kila goti litalegea kama maji.’ Habari hizo zinakuja! Hakika zitatokea, asema Bwana Mwenyezi.”
اگر از تو بپرسند که چرا آه می‌کشی، بگو که آه و ناله‌ات، به سبب خبر هولناکی است که خداوند یهوه داده است. با شنیدن این خبر، بند دلها پاره خواهد شد و هول و هراس بر همه مستولی خواهد گشت؛ دستها سست و زانوها لرزان خواهد گردید. بگو که روز هلاکت و سیاهی ایشان نزدیک است و داوریهای من واقع خواهد شد.»
8 Neno la Bwana likanijia, kusema:
خداوند فرمود:
9 “Mwanadamu, tabiri na useme, ‘Hili ndilo Bwana asemalo: “‘Upanga, upanga, ulionolewa na kusuguliwa:
«ای پسر انسان، نبوّت کن! به مردم بگو که شمشیری تیز و آماده می‌شود تا مردم را بکشد! شادمانی از بین خواهد رفت، زیرا قوم من احکام مرا خوار شمرده است.
10 umenolewa kwa ajili ya mauaji, umesuguliwa ili ungʼae kama umeme wa radi! “‘Je, tuifurahie fimbo ya utawala ya mwanangu Yuda? Upanga unaidharau kila fimbo ya namna hiyo.
11 “‘Upanga umewekwa tayari ili kusuguliwa, ili upate kushikwa mkononi, umenolewa na kusuguliwa, umewekwa tayari kwa mkono wa muuaji.
بله، شمشیر را صیقل می‌دهند تا بتوان از آن استفاده کرد. این شمشیر تیز و صیقلی شده را به دست قاتل می‌سپارند.
12 Piga kelele na uomboleze, ee mwanadamu, kwa kuwa upanga u dhidi ya watu wangu; u dhidi ya wakuu wote wa Israeli. Wametolewa wauawe kwa upanga pamoja na watu wangu. Kwa hiyo pigapiga kifua chako.
ای پسر انسان، زارزار گریه کن و بر سر خود بزن، چون آن شمشیر آماده شده تا قوم من اسرائیل و تمام بزرگانش را هلاک سازد.
13 “‘Kwa maana upanga huu umejaribiwa na kuhakikishwa, itakuwaje basi fimbo ya ufalme ya Yuda inayoudharau kama haitakuwepo tena, bali itakuwa imeondolewa kabisa? asema Bwana Mwenyezi.’
من قوم خود را امتحان می‌کنم؛ و اگر توبه نکنند، همهٔ این بلایا را بر سرشان خواهم آورد.
14 “Hivyo basi, mwanadamu, tabiri na ukapige makofi. Upanga wako na upige mara mbili, naam, hata mara tatu. Ni upanga wa kuchinja, upanga wa mauaji makuu, ukiwashambulia kutoka kila upande.
«ای پسر انسان، نبوّت کن؛ پیغام مرا اعلام نما؛ محکم دست بزن! شمشیر را بردار و با تهدید، دو سه بار بالای سرت حرکت بده تا نشان دهی که چه کشتار بزرگی در انتظار این قوم است!
15 Ili mioyo ipate kuyeyuka na wanaouawa wawe wengi, nimeweka upanga wa kuchinja kwenye malango yao yote. Lo! Umetengenezwa umetemete kama umeme wa radi, umeshikwa kwa ajili ya kuua.
بگذار دلهایشان از ترس فرو ریزد. چون بر هر دروازه‌ای برق شمشیر دیده می‌شود. بله، شمشیر همچون برق آسمان می‌درخشد و برای کشتن، تیز شده است!
16 Ee upanga, kata upande wa kuume, kisha upande wa kushoto, mahali popote makali yako yatakapoelekezwa.
ای شمشیر، از راست بزن! از چپ بزن! هر جا می‌خواهی برو! هر چه می‌خواهی بکن!
17 Mimi nami nitapiga makofi, nayo ghadhabu yangu itapungua. Mimi Bwana nimesema.”
بله، من با غضب، دستهای خود را به هم خواهم زد و شما را مجازات خواهم نمود. آنگاه خشمم فرو خواهد نشست! این را من یهوه می‌گویم.»
18 Neno la Bwana likanijia kusema:
سپس خداوند فرمود:
19 “Mwanadamu, weka alama njia mbili ambazo upanga wa mfalme wa Babeli utapitia, njia hizo zikianzia katika nchi hiyo hiyo. Weka kibao pale ambapo njia zinagawanyika kuelekea mjini.
«ای پسر انسان، نقشه‌ای بکش و بر روی آن دو راه رسم کن، یکی به سوی اورشلیم در یهودا، و دیگری به سوی رَبّه که شهر عمونیان است. پادشاه بابِل شمشیر به دست از آن راهها خواهد آمد. علامتی نیز بر سر این دو راهی که از بابِل آغاز می‌شود، نصب کن.
20 Weka alama njia moja kwa ajili ya upanga upate kuja dhidi ya Raba ya Waamoni na nyingine upate kuja dhidi ya Yuda na Yerusalemu iliyozungushiwa ngome.
21 Kwa kuwa mfalme wa Babeli sasa amesimama katika njia panda, katika makutano ya njia mbili, akipiga ramli: anapiga kura kwa kutumia mishale, anataka shauri kwa sanamu zake, anachunguza maini ya wanyama.
زیرا به‌زودی پادشاه بابِل بر سر دو راهی خواهد ایستاد. او برای آنکه بداند به اورشلیم حمله کند یا به رَبّه، فال خواهد گرفت و با تیرهای ترکش خود، قرعه خواهد انداخت و برای بتها قربانی کرده، با جگر قربانیها فال خواهد گرفت تا ببیند به کدام راه باید برود.
22 Upande wake wa kuume inakuja kura ya Yerusalemu, ambapo ataweka vyombo vya kuvunjia boma, ili kuamrisha mauaji, kupiga ukelele wa vita, kuweka vyombo vya kuvunjia boma kwenye malango, kuweka jeshi kuzunguka na kufanya uzingiraji.
تیرها به او نشان می‌دهد که باید به سوی اورشلیم برود! پس او و سپاهیانش با غریو جنگ، برای کشتار به راه می‌افتند. ایشان در برابر دروازه‌ها، منجنیقها بر پا کرده و برای تصرف شهر، سنگرها و برجها خواهند ساخت.
23 Itakuwa kama kupiga ramli kwa uongo kwa wale watu ambao wameapa kumtii yeye. Lakini mfalme wa Babeli atawakumbusha juu ya uovu wao na kuwachukua mateka.
اهالی اورشلیم نمی‌توانند این را باور کنند، چون با بابِل پیمان اتحاد بسته‌اند! اما پادشاه بابِل فقط به این می‌اندیشد که مردم اورشلیم طغیان کرده‌اند. پس او خواهد آمد و ایشان را به اسارت خواهد برد.»
24 “Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: ‘Kwa sababu enyi watu mmekumbusha uovu wenu kwa kuasi waziwazi, mkidhihirisha dhambi zenu katika yale yote mfanyayo, kwa kuwa mmefanya jambo hili, mtachukuliwa mateka.
بنابراین خداوند یهوه چنین می‌گوید: «تقصیرات شما آشکار است و خطایا و گناهانتان در همه کارها و رفتارتان، به چشم می‌خورد. حال، وقت مجازات شما رسیده و به تبعید خواهید رفت.
25 “‘Ee mtawala kafiri na mwovu wa Israeli, ambaye siku yako imewadia, ambaye wakati wako wa adhabu umefikia kilele chake,
«و تو ای پادشاه اسرائیل، روز مجازات نهایی تو نیز فرا رسیده است.
26 hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Vua kilemba, ondoa taji. Kwa kuwa mambo hayatakuwa kama yalivyokuwa. Aliye mnyonge atakwezwa na aliyekwezwa atashushwa.
دستار و تاج را از سرت بردار. از این پس، دیگر چیزی به ترتیب سابق باقی نخواهد ماند؛ فقرا سربلند خواهند شد و ثروتمندان پست و سرافکنده!
27 Mahame! Mahame! Nitaufanya mji kuwa mahame! Hautajengwa upya mpaka aje yule ambaye ndiye mwenye haki nao; yeye ndiye nitakayempa.’
ویرانی! ویرانی! من این سلسله پادشاهی را ویران خواهم نمود و دیگر سر بلند نخواهد کرد تا زمانی که وارث حقیقی آن ظاهر شود. آنگاه همه چیز را به وی خواهم بخشید.
28 “Nawe, mwanadamu, tabiri na useme, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo kuhusu Waamoni na matukano yao. “‘Upanga, upanga, umefutwa kwa ajili ya kuua, umesuguliwa ili kuangamiza na unametameta kama umeme wa radi!
«ای پسر انسان، درباره عمونی‌ها نیز نبوّت نما، زیرا که قوم مرا به هنگام سختی تمسخر کردند. به ایشان چنین بگو: «شمشیر من علیه شما نیز از غلاف بیرون کشیده شده است! شمشیر من تیز و صیقلی شده و مثل برق آسمان می‌درخشد.
29 Wakati wakitoa maono ya uongo kwa ajili yako, wanapobashiri uongo kwa ajili yako, wanakuweka wewe kwenye shingo za watu wapotovu, wale walio waovu, wale ambao siku yao imewadia, wakati wa adhabu yao ya mwisho.
فالگیران و جادوگران و انبیای دروغین، به دروغ به شما وعده رهایی از دست پادشاه بابِل را داده‌اند. شما گناهکارید و همراه شریران دیگر هلاک خواهید شد. روز داوری و مجازات نهایی شما فرا رسیده و شمشیر بر گردن شما فرو خواهد آمد!
30 Urudishe upanga kwenye ala yake! Katika mahali ulipoumbiwa, katika nchi ya baba zako, huko nitakuhukumu.
آیا پیش از مجازات شما، شمشیر خود را غلاف کنم؟ نه! من شما را در زادگاهتان مجازات خواهم نمود.
31 Nitamwaga ghadhabu yangu juu yako na kupuliza moto wa hasira yangu dhidi yako; nitakutia mikononi mwa watu wakatili, watu stadi katika kuangamiza.
آتش خشم خود را بر شما فرو خواهم ریخت و بر آن خواهم دمید تا شعله‌ور گردد. شما را به دست مردمانی وحشی و بی‌رحم که در ویران کردن ماهرند، تسلیم خواهم نمود.
32 Mtakuwa kuni za kuwashia moto, damu yenu itamwagwa katika nchi yenu, wala hamtakumbukwa tena; kwa maana Mimi Bwana nimesema.’”
شما برای آتش، هیزم خواهید شد و خونتان در سرزمین خودتان خواهد ریخت و دیگر کسی شما را به یاد نخواهد آورد، زیرا من که یهوه هستم، این را گفته‌ام.»

< Ezekieli 21 >