< Ezekieli 21 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
Un Tā Kunga vārds uz mani notika sacīdams:
2 “Mwanadamu, uelekeze uso wako juu ya Yerusalemu na uhubiri dhidi ya mahali patakatifu. Tabiri dhidi ya nchi ya Israeli
Cilvēka bērns, griez savu vaigu pret Jeruzālemi, un lai (tava valoda) pil pret tām svētām vietām un sludini pret Israēla zemi.
3 uiambie: ‘Hili ndilo Bwana asemalo: Mimi niko kinyume nawe. Nitautoa upanga wangu kwenye ala yake na kumkatilia mbali mwenye haki na mwovu.
Un saki uz Israēla zemi: tā saka Tas Kungs: redzi, Es pret tevi celšos un izvilkšu Savu zobenu no makstīm un izsakņošu no tevis taisnus un bezdievīgus.
4 Kwa sababu nitamkatilia mbali mwenye haki na mwovu, upanga wangu utakuwa wazi dhidi ya kila mmoja kuanzia kusini mpaka kaskazini.
Lai Es nu no tevis izdeldu gan taisnus gan bezdievīgus, tad Mans zobens no savām makstīm izlēks pret visu miesu no dienvidiem līdz ziemeļiem.
5 Ndipo watu wote watajua ya kuwa Mimi Bwana nimeutoa upanga wangu kwenye ala yake, nao hautarudi humo tena.’
Un visa miesa atzīs, ka Es, Tas Kungs, esmu izvilcis Savu zobenu no makstīm; tas atkal vairs netaps iebāzts.
6 “Kwa hiyo lia kwa uchungu, mwanadamu! Lia kwa uchungu mbele yao kwa moyo uliopondeka na kwa huzuni nyingi.
Bet tu, ak cilvēka bērns, nopūties! Ar satriektiem gurniem un rūgtās skumjās nopūties priekš viņu acīm.
7 Nao watakapokuuliza, ‘Kwa nini unalia kwa uchungu?’ Utasema hivi, ‘Kwa sababu ya habari zinazokuja. Kila moyo utayeyuka na kila mkono utalegea, kila roho itazimia na kila goti litalegea kama maji.’ Habari hizo zinakuja! Hakika zitatokea, asema Bwana Mwenyezi.”
Un kad tie uz tevi sacīs: ko tu vaidi? Tad tev būs sacīt: tās baumas dēļ ka tā nāk, un visas sirdis izkusīs, un visas rokas nogurs, un visa drošība zudīs, un visi ceļi sašļuks; redzi, tā nāks un notiks, saka Tas Kungs Dievs.
8 Neno la Bwana likanijia, kusema:
Un Tā Kunga vārds notika uz mani sacīdams:
9 “Mwanadamu, tabiri na useme, ‘Hili ndilo Bwana asemalo: “‘Upanga, upanga, ulionolewa na kusuguliwa:
Cilvēka bērns, sludini un saki: tā saka Tas Kungs: saki: zobens, zobens ir trīts un asināts.
10 umenolewa kwa ajili ya mauaji, umesuguliwa ili ungʼae kama umeme wa radi! “‘Je, tuifurahie fimbo ya utawala ya mwanangu Yuda? Upanga unaidharau kila fimbo ya namna hiyo.
Tas ir trīts, lai kautin kauj, tas ir asināts, lai spīd kā zibens. Vai tad mums būs priecāties, Mana dēla(Jūda) scepteris nicina visus kokus?
11 “‘Upanga umewekwa tayari ili kusuguliwa, ili upate kushikwa mkononi, umenolewa na kusuguliwa, umewekwa tayari kwa mkono wa muuaji.
Un Viņš to (zobenu) devis, lai gludina(spodrina) ka to ņem rokā; tas zobens ir trīts un asināts, lai kāvējam to dod rokā.
12 Piga kelele na uomboleze, ee mwanadamu, kwa kuwa upanga u dhidi ya watu wangu; u dhidi ya wakuu wote wa Israeli. Wametolewa wauawe kwa upanga pamoja na watu wangu. Kwa hiyo pigapiga kifua chako.
Kliedz un kauc, cilvēka bērns! Jo tas celsies pret Maniem ļaudīm, tas celsies pret visiem Israēla valdniekiem; zobenam tie nodoti līdz ar Maniem ļaudīm; tādēļ sit uz saviem gurniem.
13 “‘Kwa maana upanga huu umejaribiwa na kuhakikishwa, itakuwaje basi fimbo ya ufalme ya Yuda inayoudharau kama haitakuwepo tena, bali itakuwa imeondolewa kabisa? asema Bwana Mwenyezi.’
Tiešām, tas zobens ir pārbaudīts; un kas būs, kad tas scepteris, kas nicina, iznīks? saka Tas Kungs Dievs.
14 “Hivyo basi, mwanadamu, tabiri na ukapige makofi. Upanga wako na upige mara mbili, naam, hata mara tatu. Ni upanga wa kuchinja, upanga wa mauaji makuu, ukiwashambulia kutoka kila upande.
Tad nu tu, cilvēka bērns, sludini un sasit rokas, jo tas zobens nāks ar divkārtīgu spēku trešo reiz, kaujams zobens, tas lielais kaujamais zobens, tiem visapkārt.
15 Ili mioyo ipate kuyeyuka na wanaouawa wawe wengi, nimeweka upanga wa kuchinja kwenye malango yao yote. Lo! Umetengenezwa umetemete kama umeme wa radi, umeshikwa kwa ajili ya kuua.
Lai sirds izkūst un kritušo ir daudz, visos viņu vārtos Es sūtu draudošu zobenu. Ak, tas ir taisīts, lai zib, un ir trīts, lai kauj!
16 Ee upanga, kata upande wa kuume, kisha upande wa kushoto, mahali popote makali yako yatakapoelekezwa.
Cērt spēcīgi, sit pa labo roku, griezies, sit pa kreiso roku, kurp tavs asmens griežas.
17 Mimi nami nitapiga makofi, nayo ghadhabu yangu itapungua. Mimi Bwana nimesema.”
Arī Es pats sasitīšu Savas rokas un izdarīšu Savu bardzību; Es, Tas Kungs, to esmu runājis.
18 Neno la Bwana likanijia kusema:
Un Tā Kunga vārds notika uz mani sacīdams:
19 “Mwanadamu, weka alama njia mbili ambazo upanga wa mfalme wa Babeli utapitia, njia hizo zikianzia katika nchi hiyo hiyo. Weka kibao pale ambapo njia zinagawanyika kuelekea mjini.
Tu tad, ak cilvēka bērns, taisi sev divus ceļus, pa kuriem Bābeles ķēniņa zobenam jānāk; no vienas zemes tiem abiem būs iziet. Taisi roku(virziena rādītājs) ceļa iesākumā, kas rāda uz pilsētu.
20 Weka alama njia moja kwa ajili ya upanga upate kuja dhidi ya Raba ya Waamoni na nyingine upate kuja dhidi ya Yuda na Yerusalemu iliyozungushiwa ngome.
Taisi ceļu, pa ko tas zobens lai nāk pret Amona bērnu Rabu un (otru) pret Jūdu uz stipro Jeruzālemes pilsētu.
21 Kwa kuwa mfalme wa Babeli sasa amesimama katika njia panda, katika makutano ya njia mbili, akipiga ramli: anapiga kura kwa kutumia mishale, anataka shauri kwa sanamu zake, anachunguza maini ya wanyama.
Jo Bābeles ķēniņš stāvēs uz ceļa jūtīm, kur tie divi ceļi šķirās, ar zīlēšanu zīlēdams, viņš metīs bultas, viņš vaicās elkadievus, viņš apraudzīs (upuru)aknas.
22 Upande wake wa kuume inakuja kura ya Yerusalemu, ambapo ataweka vyombo vya kuvunjia boma, ili kuamrisha mauaji, kupiga ukelele wa vita, kuweka vyombo vya kuvunjia boma kwenye malango, kuweka jeshi kuzunguka na kufanya uzingiraji.
Tā zīlēšana zīmēs pa viņa labo roku uz Jeruzālemi, tur pievest āžus, atvērt muti uz kliegšanu, pacelt balsi uz kara troksni, likt āžus pret vārtiem, uzmest vaļņus un uztaisīt bulverķus.
23 Itakuwa kama kupiga ramli kwa uongo kwa wale watu ambao wameapa kumtii yeye. Lakini mfalme wa Babeli atawakumbusha juu ya uovu wao na kuwachukua mateka.
Šī būs kā aplama zīlēšana viņu acīs, tās zvērēšanas dēļ kas viņiem zvērēta; bet Viņš pieminēs to noziegumu un tos gūstīs.
24 “Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: ‘Kwa sababu enyi watu mmekumbusha uovu wenu kwa kuasi waziwazi, mkidhihirisha dhambi zenu katika yale yote mfanyayo, kwa kuwa mmefanya jambo hili, mtachukuliwa mateka.
Tādēļ tā saka Tas Kungs Dievs: Tāpēc ka jūs savus noziegumus esat atgādinājuši, savus pārkāpumus atklādami, tā ka jūsu grēki top redzēti visos jūsu darbos; tāpēc ka jūs topat pieminēti, tad jūs ar rokām tapsiet gūstīti.
25 “‘Ee mtawala kafiri na mwovu wa Israeli, ambaye siku yako imewadia, ambaye wakati wako wa adhabu umefikia kilele chake,
Un tu, nesvētais, bezdievīgais Israēla valdnieks, kam pienākusi sava diena, kurā noziegumi beidzās,
26 hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Vua kilemba, ondoa taji. Kwa kuwa mambo hayatakuwa kama yalivyokuwa. Aliye mnyonge atakwezwa na aliyekwezwa atashushwa.
Tā saka Tas Kungs Dievs: liec nost galvas glītumu un ņem zemē kroni, jo tas nepaliks, kā tas bija: zemais tiks paaugstināts un augstais pazemots.
27 Mahame! Mahame! Nitaufanya mji kuwa mahame! Hautajengwa upya mpaka aje yule ambaye ndiye mwenye haki nao; yeye ndiye nitakayempa.’
Es to likšu postā, postā, postā, un šī nebūs, līdz kamēr nāk, kam tā tiesa pieder, - tam Es to došu.
28 “Nawe, mwanadamu, tabiri na useme, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo kuhusu Waamoni na matukano yao. “‘Upanga, upanga, umefutwa kwa ajili ya kuua, umesuguliwa ili kuangamiza na unametameta kama umeme wa radi!
Un tu, cilvēka bērns, sludini un saki: tā saka Tas Kungs Dievs par Amona bērniem un par viņu nievāšanu un saki: zobens, zobens izvilkts, lai kauj, trīts, lai spīd un zib.
29 Wakati wakitoa maono ya uongo kwa ajili yako, wanapobashiri uongo kwa ajili yako, wanakuweka wewe kwenye shingo za watu wapotovu, wale walio waovu, wale ambao siku yao imewadia, wakati wa adhabu yao ya mwisho.
Kamēr tev aplamas parādīšanas rāda, kamēr tev melus sludina, tas tevi liks pie nokauto nesvēto kakliem, kuru diena nāk gala nozieguma laikā.
30 Urudishe upanga kwenye ala yake! Katika mahali ulipoumbiwa, katika nchi ya baba zako, huko nitakuhukumu.
Bāz zobenu makstīs! Es tevi sodīšu tai vietā, kur tu radīts, tai zemē, kur tu dzimis.
31 Nitamwaga ghadhabu yangu juu yako na kupuliza moto wa hasira yangu dhidi yako; nitakutia mikononi mwa watu wakatili, watu stadi katika kuangamiza.
Un Es izgāzīšu pār tevi Savu dusmību, Es uzpūtīšu pret tevi Savas bardzības uguni, un tevi nodošu nežēlīgu cilvēku, niknu postītāju rokā.
32 Mtakuwa kuni za kuwashia moto, damu yenu itamwagwa katika nchi yenu, wala hamtakumbukwa tena; kwa maana Mimi Bwana nimesema.’”
Tu būsi ugunij par barību, tavas asinis tecēs pašā tavā zemē, un tevi vairs nepieminēs; jo Es Tas Kungs to esmu runājis.

< Ezekieli 21 >