< Ezekieli 21 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
Hina Gode da nama amane sia: i,
2 “Mwanadamu, uelekeze uso wako juu ya Yerusalemu na uhubiri dhidi ya mahali patakatifu. Tabiri dhidi ya nchi ya Israeli
“Dunu egefe! Di Yelusaleme fi ilima mimogoa fofada: ma! Sogebi amoga dunu ilia ogogosu ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosa, amoma mimogoa fofada: ma. Isala: ili sogega sisane amane sia: ma,
3 uiambie: ‘Hili ndilo Bwana asemalo: Mimi niko kinyume nawe. Nitautoa upanga wangu kwenye ala yake na kumkatilia mbali mwenye haki na mwovu.
‘Na, Hina Gode, da dilima amane sia: sa, Na da dilima ha lai dunu esala. Na da Na gegesu gobihei duga: le gadole, dili huluane, noga: i amola wadela: i defele medole legemu.
4 Kwa sababu nitamkatilia mbali mwenye haki na mwovu, upanga wangu utakuwa wazi dhidi ya kila mmoja kuanzia kusini mpaka kaskazini.
Na da dunu huluanedafa, ga (north) asili ga (south) esalebe, ilima Na gegesu gobiheiga gegemu.
5 Ndipo watu wote watajua ya kuwa Mimi Bwana nimeutoa upanga wangu kwenye ala yake, nao hautarudi humo tena.’
Dunu huluane da Na, Hina Gode, Na da Na gegesu gobihei amo duga: le gadole, bu hame salimu, amo ilia dawa: mu.
6 “Kwa hiyo lia kwa uchungu, mwanadamu! Lia kwa uchungu mbele yao kwa moyo uliopondeka na kwa huzuni nyingi.
Dunu egefe! Dia se baligili nababe dunu defele, gogonomoma. Gogolo nabi dunu defele, dunu huluane ba: ma: ne, gogonomoma.
7 Nao watakapokuuliza, ‘Kwa nini unalia kwa uchungu?’ Utasema hivi, ‘Kwa sababu ya habari zinazokuja. Kila moyo utayeyuka na kila mkono utalegea, kila roho itazimia na kila goti litalegea kama maji.’ Habari hizo zinakuja! Hakika zitatokea, asema Bwana Mwenyezi.”
Ilia da dia gogonomosu bai dima adole ba: sea, ilima se iasu bagade da misunuba: le, di da gogonomosa sia: ma. Amo se nabasu da doaga: sea, ilia da bagade beda: mu, ilia lobo da gadaiamu, ilia da nimi hame ba: mu, amola ilia muguni da yagugumu. Eso da doaga: i dagoi,” Ouligisudafa Hina Gode da sia: i dagoi.
8 Neno la Bwana likanijia, kusema:
Hina Gode da nama amane sia: i,
9 “Mwanadamu, tabiri na useme, ‘Hili ndilo Bwana asemalo: “‘Upanga, upanga, ulionolewa na kusuguliwa:
“Dunu egefe! Ba: la: loma! Na, Hina Gode, Na sia: be amo dunuma adosisima, ‘Gegesu gobihei mei amola ela: mei diala.
10 umenolewa kwa ajili ya mauaji, umesuguliwa ili ungʼae kama umeme wa radi! “‘Je, tuifurahie fimbo ya utawala ya mwanangu Yuda? Upanga unaidharau kila fimbo ya namna hiyo.
Gobihei da fane legemusa: debele mei. Amola ha: ha: na agoane ela: mene gala: ma: ne ela: mei. Na fi dunu da sisasu amola se iasu ea olelei, amo huluane hame nababeba: le, nodosu hamomu da hamedei.
11 “‘Upanga umewekwa tayari ili kusuguliwa, ili upate kushikwa mkononi, umenolewa na kusuguliwa, umewekwa tayari kwa mkono wa muuaji.
Gobihei da giga: ne ela: mene gaguli lamusa: momagele legei dagoi diala. Amalu debele, giga: ne, medole legesu dunu ilia lobo da: iya ligisima: ne, momagei diala.
12 Piga kelele na uomboleze, ee mwanadamu, kwa kuwa upanga u dhidi ya watu wangu; u dhidi ya wakuu wote wa Israeli. Wametolewa wauawe kwa upanga pamoja na watu wangu. Kwa hiyo pigapiga kifua chako.
Dunu egefe! Gogolole ha: gi dima! Amo gobihei da Na dunu amola Isala: ili ouligisu dunu huluane, ili medole legema: ne diala. Ili amola Na dunu huluane eno amola da gilisili medole legei dagoi ba: mu. Di da heawini se bagade nababeba: le, dia bida: gia lulufugima.
13 “‘Kwa maana upanga huu umejaribiwa na kuhakikishwa, itakuwaje basi fimbo ya ufalme ya Yuda inayoudharau kama haitakuwepo tena, bali itakuwa imeondolewa kabisa? asema Bwana Mwenyezi.’
Na da Na dunuma adoba: sa. Amola ilia da sinidigimu higasea, amo sia: i liligi huluane da ilima doaga: mu.
14 “Hivyo basi, mwanadamu, tabiri na ukapige makofi. Upanga wako na upige mara mbili, naam, hata mara tatu. Ni upanga wa kuchinja, upanga wa mauaji makuu, ukiwashambulia kutoka kila upande.
Dunu egefe! Na gasa bagade sia: Yelusaleme fi ilima adosima! Dia lobo fama! Amasea, gegesu gobihei sedade da eno fane, eno fane, fananumu. Amo gegesu gobihei da medole legema: ne, amola dunu beda: gia: ma: ne hamosu dawa:
15 Ili mioyo ipate kuyeyuka na wanaouawa wawe wengi, nimeweka upanga wa kuchinja kwenye malango yao yote. Lo! Umetengenezwa umetemete kama umeme wa radi, umeshikwa kwa ajili ya kuua.
Amo gegesu gobihei ea hamobeba: le, Na fi dunu da beda: igia: sa amola dafasa. Na da gobihei amo da ha: ha: na agoane gagala: sa, amola medole legemusa: momagei dagoi, amoga ilia moilai amoma magagisa.
16 Ee upanga, kata upande wa kuume, kisha upande wa kushoto, mahali popote makali yako yatakapoelekezwa.
Gobihei mei! Di da dia lobodafadili, amola fofadidili ele galu damuma! Di da habodili delegisia, amo defele damuma.
17 Mimi nami nitapiga makofi, nayo ghadhabu yangu itapungua. Mimi Bwana nimesema.”
Na da Na lobo famu, amasea Na ougi da gumi ba: mu. Na, Hina Gode da sia: i dagoi.”
18 Neno la Bwana likanijia kusema:
Hina Gode da nama amane sia: i,
19 “Mwanadamu, weka alama njia mbili ambazo upanga wa mfalme wa Babeli utapitia, njia hizo zikianzia katika nchi hiyo hiyo. Weka kibao pale ambapo njia zinagawanyika kuelekea mjini.
“Dunu egefe! Ba: bilone hina bagade dunu da ea gobihei gaguli misa: ne, logo aduna ilegema. Ela da soge afadafa amoga hemomu. Logo da sagulufai galea, amogai dawa: digisu ifa bugima.
20 Weka alama njia moja kwa ajili ya upanga upate kuja dhidi ya Raba ya Waamoni na nyingine upate kuja dhidi ya Yuda na Yerusalemu iliyozungushiwa ngome.
Logo afae da Ba: bilone hina bagade dunu amoma A: mounaide moilai bai bagade La: ba amoga ahoasu logo olelemu, amola eno da Yuda fi ilia moilai bai bagade Yelusaleme gasa bagade gagili sali, amoga ahoasu olelemu.
21 Kwa kuwa mfalme wa Babeli sasa amesimama katika njia panda, katika makutano ya njia mbili, akipiga ramli: anapiga kura kwa kutumia mishale, anataka shauri kwa sanamu zake, anachunguza maini ya wanyama.
Ba: bilone hina bagade dunu da logo sagulufaia, dawa: digima: ne ifala dafulili lela. E da ea logo masunu dawa: ma: ne, ea dadi fofoga: sa. E da ea ogogosu loboga hamoi ‘gode’ ilima adole ba: sa. E da gobele salasu ohe ea habe abedesa.
22 Upande wake wa kuume inakuja kura ya Yerusalemu, ambapo ataweka vyombo vya kuvunjia boma, ili kuamrisha mauaji, kupiga ukelele wa vita, kuweka vyombo vya kuvunjia boma kwenye malango, kuweka jeshi kuzunguka na kufanya uzingiraji.
Waha! Ea lobodafa da sou amoga ‘Yelusaleme’ dedei, amo gagui dialebe ba: sa. Amo da ema agoane olelesa. E da Yelusaleme amoga asili, ifa damui dou sosu amoga logo ga: su muguluma: ne, amola gegemusa: gini bulalisu, amola osobo gasa: gala: su, amola gegesu adobo dogosu, hamoma: ne olelesa.
23 Itakuwa kama kupiga ramli kwa uongo kwa wale watu ambao wameapa kumtii yeye. Lakini mfalme wa Babeli atawakumbusha juu ya uovu wao na kuwachukua mateka.
Yelusaleme fi dunu da musa: Ba: bilone hina bagade ema gousa: su ilegeiba: le, e da Yelusaleme amoma doagala: mu sia: , amo ilia da ogogosuyale dawa: mu. Be amo ba: la: lusu da ilia wadela: i hou hamoi ili dawa: digima: ne, amola ilia huluane da enoga doagala: le fedei dagoi ba: mu, amo olelema: ne misi.
24 “Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: ‘Kwa sababu enyi watu mmekumbusha uovu wenu kwa kuasi waziwazi, mkidhihirisha dhambi zenu katika yale yote mfanyayo, kwa kuwa mmefanya jambo hili, mtachukuliwa mateka.
Na, Ouligisudafa Hina Gode, da amane sia: sa, ‘Dilia wadela: i hou musa: wamolegei dialu, wali dunu huluane ba: ma: ne odagia ba: sa. Dilia hamobe huluane da dilia wadela: i hou olelesa. Dilia dafawanedafa wadela: idafa hamoiba: le, Na da dilima fofada: ne, se iasu imunu gala. Na da dilia ha lai dunuma dili iagamu.
25 “‘Ee mtawala kafiri na mwovu wa Israeli, ambaye siku yako imewadia, ambaye wakati wako wa adhabu umefikia kilele chake,
Di, wadela: idafa, hadigi hame, Isala: ili hina bagade dunu! Na da dima bogoma: ne se bidi imunu.
26 hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Vua kilemba, ondoa taji. Kwa kuwa mambo hayatakuwa kama yalivyokuwa. Aliye mnyonge atakwezwa na aliyekwezwa atashushwa.
Na, Ouligisudafa Hina Gode, da sia: i dagoi. Dia gouliga hamoi habuga, amola abulaga hamoi habuga, gisa: le fasima. Waha hou da afadenene, musa: agoane bu hame ba: mu. Na da hame gagui dunu, ilia soge gasawane ouligima: ne, gaguia gadomu. Na da wali gasa fi ouligisu dunu amo fadegale fasili, ilia da gudu sa: i dagoi ba: mu.
27 Mahame! Mahame! Nitaufanya mji kuwa mahame! Hautajengwa upya mpaka aje yule ambaye ndiye mwenye haki nao; yeye ndiye nitakayempa.’
Gugunufinisisu! Dafawane! Yelusaleme da wadela: lesi dagoi ba: mu! Na da amo wadela: lesimu. Be dunu amo Na da e Yelusaleme fi ilima se ima: ne ilegei, amo da doaga: sea fawane amo hou ba: mu. Amasea, Na da Yelusaleme ema iagamu.
28 “Nawe, mwanadamu, tabiri na useme, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo kuhusu Waamoni na matukano yao. “‘Upanga, upanga, umefutwa kwa ajili ya kuua, umesuguliwa ili kuangamiza na unametameta kama umeme wa radi!
“Dunu egefe! Ba: la: loma! Di, A:mounaide dunu (amo da Na fi Isala: ili dunuma gadesa) ilima Na gasa bagade sia: adosima. Amane sia: ma, ‘Gegesu gobihei bagade da dili wadela: lesimusa: momagei diala. E da medole legemusa: , amola ha: ha: na agoane nene gagala: musa: , ela: mei diala.
29 Wakati wakitoa maono ya uongo kwa ajili yako, wanapobashiri uongo kwa ajili yako, wanakuweka wewe kwenye shingo za watu wapotovu, wale walio waovu, wale ambao siku yao imewadia, wakati wa adhabu yao ya mwisho.
Esala ba: su dilia ba: lala, amo da ogogosa. Amola dia ba: la: lusu da ogogosa. Dilia da wadela: idafa, amola dilia wadela: mu eso da mana. Fedege agoane, gegesu gobihei bagade da dilia galogoa hedofamu.
30 Urudishe upanga kwenye ala yake! Katika mahali ulipoumbiwa, katika nchi ya baba zako, huko nitakuhukumu.
Bu mae gegema: ne, dilia gegesu gobihei hina: salasuga sanasima. Na da dilia hahamoi soge amola dilia lalelegei soge amoga dilima fofada: mu.
31 Nitamwaga ghadhabu yangu juu yako na kupuliza moto wa hasira yangu dhidi yako; nitakutia mikononi mwa watu wakatili, watu stadi katika kuangamiza.
Na da lalu agoane, Na ougi se bidi imunu, amola dilia da amo se nabimu. Amola Na da dili sa: digini fasu dawa: dunu, amo dili wadela: lesima: ne iagamu.
32 Mtakuwa kuni za kuwashia moto, damu yenu itamwagwa katika nchi yenu, wala hamtakumbukwa tena; kwa maana Mimi Bwana nimesema.’”
Dilia da laluga gugunufinisi dagoi ba: mu. Dilia sogedafa amo ganodini, eno dunu da dili medole legemu. Amola, dunu enoga dili bu hame dawa: lumu. Bai Na, Hina Gode da sia: i dagoi.’”

< Ezekieli 21 >