< Ezekieli 20 >
1 Katika mwaka wa saba, mwezi wa tano siku ya kumi, baadhi ya wazee wa Israeli wakaja ili kutaka ushauri kwa Bwana, wakaketi mbele yangu.
A kum sarinae thapa yung panga, hnin hra navah, Isarel kacuenaw ni BAWIPA pacei awh hanelah a tho awh teh, ka hmalah a tahung awh.
2 Ndipo neno la Bwana likanijia kusema:
Hahoi BAWIPA e lawk kai koe a pha teh,
3 “Mwanadamu, sema na wazee wa Israeli uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kwa nini mmekuja? Je, ni kutaka ushauri kwangu? Hakika kama niishivyo, sitawaruhusu mtake ushauri toka kwangu, asema Bwana Mwenyezi.’
tami capa, Isarel kacuenaw hah dei pouh. Ahnimouh koe Bawipa Jehovah ni hettelah a dei, Nangmanaw ni kai lawk na pacei hanelah na ka tho awh e na ou. Ka hring e patetlah nangmouh ni na pacei awh hanelah kaawm hoeh, telah Bawipa Jehovah ni a dei tet pouh.
4 “Je, utawahukumu? Je, mwanadamu, utawahukumu? Basi uwakabili kwa ajili ya machukizo ya baba zao
Lawk na ceng mahoeh na maw, tami capa lawkceng haw, a napanaw panuetthonae hah panuek sak awh.
5 na uwaambie: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Siku ile nilipochagua Israeli, niliwaapia wazao wa nyumba ya Yakobo kwa mkono ulioinuliwa nami nikajidhihirisha kwao huko Misri. Kwa mkono ulioinuliwa niliwaambia, “Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.”
Hahoi ahni koevah, Bawipa Jehovah ni hettelah a dei. Isarelnaw ka rawinae hnin koehoi, Jakop imthung ka rawi e naw koevah, kut ka dâw totouh Izip ram dawk ahnimouh koe ka kâpanue sak. Ahnimouh koe ka kut hah ka dâw teh, kai heh BAWIPA na Cathut doeh telah ka ti pouh.
6 Siku ile niliwaapia wao kwamba nitawatoa katika nchi ya Misri na kuwaleta katika nchi niliyowachagulia, nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi nzuri kupita zote.
Hot hnin dawk Izip ram hoi na tâcokhai teh ahnimouh han ram ka hruek pouh e khotui hoi sanutui a lawngnae ram, ram pueng thung dawk ram kahawipoung e ram koe kâenkhai hanelah ka kut ka dâw na hnin dawkvah,
7 Nami nikawaambia, “Kila mmoja wenu aondolee mbali sanamu za chukizo ambazo mmekazia macho, nanyi msijitie unajisi kwa sanamu za Misri. Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.”
ahnimouh koe tami pueng ni na mit hoi na hmu awh e hno panuettho e hah pahnawt awh nateh, Izip ram e meikaphawk hoi kâkhinsak hanh awh. Kai heh BAWIPA na Cathut lah ka o telah ka dei.
8 “‘Lakini waliniasi na hawakunisikiliza, hawakuondolea mbali sanamu za machukizo ambazo walikuwa wamezikazia macho, wala kuondolea mbali sanamu za Misri. Ndipo nikasema, nitawamwagia ghadhabu yangu na kutimiza hasira yangu dhidi yao huko Misri.
Hateiteh kai hah na taran awh. Ka lawk ngai awh hoeh. Tami pueng e a mithmu vah hno panuettho e hai pahnawt awh laipalah hottelah hoi a lathueng vah ka lungkhueknae hah kamnue sak hanelah Izip ram thung roeroe vah, ka rabawk payon han na ou telah ka ti.
9 Lakini kwa ajili ya Jina langu nilifanya kile ambacho kingelifanya lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa waliyoishi miongoni mwao na ambao machoni pao nilikuwa nimejifunua kwa Waisraeli kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.
Hateiteh, a onae Jentelnaw e a mithmu vah, ka min a pathoe thai awh hoeh nahan, ka kâroe teh, Izip ram hoi ahnimouh tâcokhai hanelah ahnimae mithmu vah ka panue sak.
10 Kwa hiyo nikawaongoza watoke Misri na kuwaleta jangwani.
Hatdawkvah, Izip ram tâco takhai hanelah, ka dei teh kahrawngum vah ka kâenkhai.
11 Nikawapa amri zangu na kuwajulisha sheria zangu, kwa kuwa mtu anayezitii ataishi kwa hizo.
Ka phung lam hah ka poe teh, ka lawkcengnae ka hmu sak, hot hah tami ni tarawi pawiteh hottelah hoi a hring awh han.
12 Pia niliwapa Sabato zangu kama ishara kati yangu nao, ili wapate kujua kuwa Mimi Bwana niliwafanya kuwa watakatifu.
Hothloilah kai BAWIPA heh ahnimouh kathoungsakkung doeh tie a panue thai awh nahan, ka sabbath hai maimae rahak vah mitnout lah ka poe.
13 “‘Lakini watu wa Israeli waliniasi Mimi jangwani. Hawakufuata amri zangu, bali walikataa sheria zangu, ingawa mtu yule anayezitii ataishi kwa hizo sheria, nao walizinajisi Sabato zangu kabisa. Hivyo nilisema ningemwaga ghadhabu yangu juu yao na kuwaangamiza huko jangwani.
Hateiteh, Isarel imthungnaw teh kahrawng vah kai na taranlahoi taran a thaw awh. Ka phunglawknaw hah tarawi awh hoeh. Ka lawkcengnae tarawi vaiteh hringnae lah kaawm hane hah a pahnawt awh. Kaie sabbath hai puenghoi a tapoe awh. Hottelah hoi kahrawngum vah ahnimouh he pahma hanelah ka lungkhueknae ka rabawk sin mahoeh na ou, telah a ka ti.
14 Lakini kwa ajili ya Jina langu nikafanya kile ambacho kitalifanya Jina langu lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa ambao mbele yao nilikuwa nimewatoa Waisraeli.
Ka tâcokhai lahun nah, mit hoi kahmawtnaw e hmalah ka raphoe hoeh nahan, ka mit kâkaram lahoi ka kâroe.
15 Tena kwa mkono ulioinuliwa nikawaapia huko jangwani kwamba nisingewaingiza katika nchi niliyokuwa nimewapa, yaani, nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi nzuri kuliko zote,
Hottelah hoehpawiteh, kahrawngum vah ka poe e khoitui hoi sanutui a lawngnae, ram pueng hlak kahawipoung e ram dawk kâenkhai mahoeh telah ka kut ka dâw totouh ka ti.
16 kwa sababu walikataa sheria zangu na hawakufuata amri zangu na wakazinajisi Sabato zangu. Kwa kuwa mioyo yao iliandama sanamu zao.
Ka lawkcengnae a pahnawt awh teh, ka phunglawknaw hah tarawi awh hoeh. Kaie sabbath hah a tapoe awh. Bangkongtetpawiteh, a lungthin teh meikaphawk koelah pou a kamlang awh.
17 Lakini niliwahurumia wala sikuwaangamiza wala hakuwafuta kabisa jangwani.
Hateiteh, he pahma hoeh nahanelah, ka mit a pasai teh kahrawngum hai he ka raphoe hoeh.
18 Niliwaambia watoto wao kule jangwani, “Msifuate amri za baba zenu wala kushika sheria zao au kujinajisi kwa sanamu zao.
Hatei, kahrawngum vah a catounnaw koe, na mintoenaw e phunglawknaw hah, tarawi awh hanh, a lawkcengnae hai pâkuem awh hanh, hoehpawiteh a meikaphawknaw hoi hai kamhnawng awh hanh.
19 Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, fuateni amri zangu tena kuweni waangalifu kushika sheria zangu.
Kai teh BAWIPA na Cathut lah ka o, ka phunglawknaw tarawi awh nateh, ka lawkcengnae hah pâkuem awh nateh dawn awh.
20 Zitakaseni Sabato zangu ili ziwe ishara kati yangu nanyi. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.”
BAWIPA na Cathut lah ka o tie na panue thai awh nahanelah, kaie sabbath hah tarawi awh nateh, maimae rahak vah mitnoutnae lah ao han telah ka ti.
21 “‘Lakini watoto hao wakaniasi: Hawakufuata amri zangu, wala hawakuwa waangalifu kushika sheria zangu, ingawa mtu anayezitii anaishi kwa hizo sheria, nao wakazinajisi Sabato zangu. Hivyo nikasema ningemwaga ghadhabu yangu juu yao na kutimiza hasira yangu dhidi yao huko jangwani.
Hatei, a catounnaw taran a thaw awh teh, ka phunglawk tarawi laipalah, lawk ka dei e tami ni kâhruetcuet lahoi a sak teh, a hring nahanelah kaawm e hah tarawi hanelah pâkuem awh hoeh. Kaie sabbath hai a tapoe awh. Kahrawngum vah kaie lungkhueknae kamnue sak hane lahoi ahnimae lathueng vah ka lungkhueknae hah ka rabawk sin payon han na ou, telah ka ti.
22 Lakini nikauzuia mkono wangu na kwa ajili ya Jina langu nikafanya kile ambacho kingelifanya Jina langu lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa ambao mbele yao nilikuwa nimewatoa Waisraeli.
Hatei, ka kut ka hno teh, ka tâcokhai lahun nah kahmawtkung miphunnaw mithmu vah, pâmit lah o hoeh nahan, ka min kecu dawk ka kâroe.
23 Tena kwa mkono ulioinuliwa nikawaapia huko jangwani kwamba ningewatawanya miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbalimbali,
Hothloilah miphunnaw koevah, ahnimouh kâkayei sak vaiteh, ram tangkuem dawk kâkayei sak han telah kahrawngum vah kut ka dâw totouh ka dei toe.
24 kwa sababu hawakutii sheria zangu lakini walikuwa wamekataa amri zangu na kuzinajisi Sabato zangu, nayo macho yao yakatamani sanamu za baba zao.
Bangkongtetpawiteh, ka lawkcengnae tarawi awh laipalah, ka phunglawknaw noutna awh hoeh. Kaie sabbath hah a tapoe awh teh, a na mintoenaw e meikaphawk koelah a kangvawi awh.
25 Pia niliwaacha wafuate amri ambazo hazikuwa nzuri na sheria ambazo mtu hawezi kuishi kwa hizo sheria.
Hatdawkvah, a hring thai awh hoeh nahan lawkcengnae hoi phunglam kahawihoehe hah kai ni hai ka poe van.
26 Nikawaacha wanajisiwe kwa matoleo yao, kuwatoa wazaliwa wao wa kwanza kafara kwa sanamu, yaani, kule kuwapitisha wazaliwa wao wa kwanza kwenye moto, nipate kuwajaza na hofu ili wajue kwamba Mimi ndimi Bwana.’
A camin pueng hmai dawk thueng hanelah, phung lah a tawn awh e thuengnae kecu dawk ahnimouh phurinbenpaha lah ka o sak teh, BAWIPA lah ka o tie a panue thai awh nahan, ahnimouh kakhin sak telah ati.
27 “Kwa hiyo, mwanadamu, sema na watu wa Israeli na uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika hili pia, baba zenu walinikufuru kwa kuniacha mimi:
Hatdawkvah, tami capa, Isarel imthung koe lawk dei nateh, ahnimouh koe Bawipa Jehovah ni hettelah a dei, kai koe yuemkamcuhoeh lah a onae dawk hai na mintoenaw ni na dudam awh rah.
28 Nilipowaleta katika nchi ile ambayo nilikuwa nimeapa kuwapa na kuona kilima chochote kirefu au mti wowote wenye majani mengi, huko walitoa dhabihu zao, wakatoa sadaka ambazo zilichochea hasira yangu, wakafukiza uvumba wenye harufu nzuri na kumimina sadaka zao za kinywaji.
Ahnimouh poe hane ka kut ka dâw teh, thoe ka bo e ram hoi ka thokhai toteh, mon hoi thingbu ka rung poung a hmu awh nah tangkuem vah, thuengnae a poe awh teh, lungkhuek sak hanelah kaawm e hmaisawi thuengnae naw hah a poe awh. Hmuitui hai hote hmuen koe a thueng awh teh, nei thuengnae hai a awi awh.
29 Ndipo nikawaambia: Ni nini maana yake hapa mahali pa juu pa kuabudia miungu mnapopaendea?’” (Basi jina la mahali pale panaitwa Bama hata hivi leo.)
Kai ni ahnimouh koe ouk na ceinae hmuenrasang hah bang nama telah ka ti, hottelah hoi sahnin totouh bamah telah ati.
30 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Je, mtajinajisi kama vile baba zenu walivyofanya na kutamani vinyago vyao vya machukizo?
Hatdawkvah Isarel imthung koevah dei haw, Bawipa Jehovah ni telah a dei, na mintoenaw patetlah mahoima kâkhinsak teh panuettho e lam koelah na kâyawt awh nahoehmaw.
31 Mnapotoa matoleo yenu, yaani, wana wenu kafara katika moto, mnaendelea kujinajisi na sanamu zenu zote hadi siku hii ya leo. Je, niulizwe neno na ninyi, ee nyumba ya Israeli? Hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, mimi sitaulizwa neno na ninyi.
Bangkongtetpawiteh, na hmu awh na thueng awh toteh, na canaw hmai dawk na phum awh teh, sahnin totouh na meikaphawknaw dawk na kâkhinsak awh hoeh na maw, hottelah nangmanaw ni pouknae na hei awh hanelah ao na maw. Oe Isarel imthungnaw kai ka hring e patetlah na pacei awh hanelah kai kaawm hoeh telah Bawipa Jehovah ni a dei.
32 “‘Lile lililoko mioyoni mwenu kamwe halitatokea, mnaposema, “Tunataka tuwe kama mataifa mengine, kama watu wengine wa dunia, wanaotumikia miti na mawe.”
Maimouh tengpam e Jentelnaw hoi Jentelnaw patetlah thing hoi talung bawk hanelah doeh telah na lungthin hoi na ti awh han eiteh, khoeroe coung thai mahoeh.
33 Hakika kama niishivyo asema Bwana Mwenyezi, nitatawala juu yenu kwa mkono wa nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa ghadhabu iliyomwagwa.
Kai ka hring e patetlah thaonae kut hoi, kut dâw nah laihoi, lungkhueknae kamnue sak e lahoi, na uk awh han, telah Bawipa Jehovah ni ati.
34 Nitawatoa toka katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mlikotawanywa, kwa mkono wa nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa ghadhabu iliyomwagwa.
Miphunnaw thung hoi na tâcokhai han, na kâkayeinae ram thung hoi thaonae kut hoi kutdawnae hoi, lungkhueknae, ka rabawk vaiteh bout na pâkhueng han.
35 Nitawaleta katika jangwa la mataifa na huko nitatekeleza hukumu juu yenu uso kwa uso.
Kahrawngkadi kaawm e koevah, na kâenkhai awh vaiteh, haw vah ka mithmu lah lawk na ceng awh han.
36 Kama nilivyowahukumu baba zenu katika jangwa la nchi ya Misri, ndivyo nitakavyowahukumu ninyi, asema Bwana Mwenyezi.
Izip ram kingdinae koe na mintoenaw lawk ka ceng e patetlah nangmouh koehai ka sak han telah Bawipa Jehovah ni ati.
37 Nitawafanya mpite chini ya fimbo yangu, nami nitawaleta katika mkataba wa Agano.
Sonron rahim vah na ceisak awh teh, lawkkamnae kateknae a rahim na ceikhai awh han.
38 Nitawaondoa miongoni mwenu wale wanaohalifu na wale wanaoasi dhidi yangu. Ingawa nitawatoa katika nchi wanazoishi, hawataingia katika nchi ya Israeli. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
Nangmouh thung hoi tarankathawnaw hoi kai taranlahoi kâeknae hah a onae ram koe hoi ka tâcokhai vaiteh, ka thoung sak han. Hateiteh, Isarel ram dawk kâen awh mahoeh. Hottelah BAWIPA lah ka o tie a panue awh han.
39 “‘Kwa habari zenu ninyi, ee nyumba ya Israeli, hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nendeni mkatumikie sanamu zenu, kila mmoja wenu! Lakini baadaye hakika mtanisikiliza mimi nanyi hamtalinajisi tena Jina langu takatifu, kwa matoleo yenu na sanamu zenu.
Nangmouh hai Oe Isarel imthungnaw, Bawipa Jehovah ni hettelah a dei. Ka lawk na ngai awh hoeh nahane pawiteh, atuhoi hai namamae meikaphawk lengkaleng bawk awh yawkaw, hatei kathounge ka min heh na poehno awh e lahoi, meikaphawknaw hno e lahoi na khin sak awh mahoeh.
40 Kwa kuwa katika mlima wangu mtakatifu, mlima mrefu wa Israeli, asema Bwana Mwenyezi, hapo katika nchi nyumba yote ya Israeli itanitumikia mimi, nami huko nitawakubali. Huko nitataka sadaka zenu na matoleo ya malimbuko yenu, pamoja na dhabihu zenu takatifu zote.
Bangkongtetpawiteh, kaie mon kathoung, Isarel a rasangnae mon dawkvah, hawvah Isarel imthungnaw hoi ram thung e pueng, hote ram dawk kaie thaw a tawk awh han toe. Hatdawkvah, ahnimae lathueng ka lung ahawi han. Hawvah, na poehno e hoi na thuengnae hoi na ya awh e hno pueng hah ka dâw han.
41 Nitawakubali ninyi kama uvumba wenye harufu nzuri wakati nitakapowatoa katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mlipokuwa mmetawanyika, nami nitajionyesha kuwa mtakatifu miongoni mwenu na machoni mwa mataifa.
Miphunnaw thung hoi, na tâco sak awh toteh, ram tangkuem hoi na kâkayeinae thung hoi, bout na pâkhueng awh toteh, hmuitui patetlah na dâw awh han. Miphunnaw e a mithmu vah nangmouh koe ka thoungnae a kamnue han toe, telah Bawipa Jehovah ni a dei.
42 Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana, nitakapowaleta katika nchi ya Israeli, nchi niliyokuwa nimeapa kwa mkono ulioinuliwa kuwapa baba zenu.
Isarel ram na mintoenaw koe ka kut ka dâw teh, thoe ka bo e lahoi ka kam e thung vah na kâenkhai awh navah, BAWIPA lah ka o e hah na panue awh han.
43 Hapo ndipo nitakapokumbuka mwenendo wenu na matendo yenu yote ambayo kwayo mlijitia unajisi, nanyi mtajichukia wenyewe kwa ajili ya maovu yote mliyokuwa mmetenda.
Hawvah, na hringnuen hoi na tawk sak awh e na kâkhinsaknae pueng hah, na panue awh vaiteh, hawihoehnae na sak awh e pueng dawk, namamae na mithmu roeroe vah na kâpanuet awh han.
44 Nanyi mtajua kuwa mimi ndimi Bwana, nitakaposhughulika nanyi kwa ajili ya Jina langu na wala si sawasawa na njia zenu mbaya na matendo yenu maovu, ee nyumba ya Israeli, asema Bwana Mwenyezi.’”
Oe Isarel imthungnaw nangmae na yonae naw, nangmouh na thoenae na tawksaknae, kai ni nangmouh lawk na ceng mahoeh. Ka min kecu dawk nangmae lathueng ka sak toteh, BAWIPA lah ka o tie nangmouh ni na panue awh han, telah Bawipa Jehovah ni ati.
45 Neno la Bwana likanijia kusema:
Hothloilah, BAWIPA e lawk kai koe a pha teh,
46 “Mwanadamu, uelekeze uso wako upande wa kusini, hubiri juu ya upande wa kusini na utoe unabii juu ya msitu wa Negebu.
tami capa, akalah kangvawi haw, akalae taranlahoi dei haw, akalae ratu taranlahoi dei haw.
47 Waambie watu wa Negebu: ‘Sikieni neno la Bwana. Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ninakaribia kukutia moto, nao utateketeza miti yako yote, mibichi na iliyokauka. Miali ya moto haitaweza kuzimwa na kila uso kutoka kusini mpaka kaskazini utakaushwa kwa moto huo.
Akalae ram dawk kaawm e ratu koe patuen na dei pouh hane teh, BAWIPA e lawk thai haw, Bawipa Jehovah ni hettelah a dei, khenhaw! nang dawk hmai ka patawi vaiteh, na thung e thing kahring pueng hoi thingke pueng hai be a kak han, ka kang e hmai roum mahoeh, a ka lahoi atunglah totouh, kai na ka taran pueng hah be a kak awh han.
48 Kila mmoja ataona kuwa mimi Bwana ndiye niliyeuwasha huo moto, nao hautazimwa.’”
Moithangnaw ni kai BAWIPA heh hmai katâcawtsakkung doeh tie hah a hmu awh vaiteh, hmai roum mahoeh ati, telah tet pouh telah ati.
49 Ndipo niliposema, “Aa, Bwana Mwenyezi! Wao hunisema, ‘Huyu si huzungumza mafumbo tu?’”
Hottelah kai ni Aiyoe! Bawipa Jehovah, bangnue rumramnae doeh a dei na tet payon vaih telah ka ti.