< Ezekieli 2 >
1 Akaniambia, “Mwanadamu, simama kwa miguu yako nami nitasema nawe.”
Na da amo ba: beba: le, odagi guduli, osoba diasa: i. Amalalu na da sia: nabi, amane, “Dunu egefe! Di wa: legadoma! Na da dima sia: mu!”
2 Alipokuwa akiongea nami, Roho akanijia na kunisimamisha wima, nikamsikia akisema nami.
Amo sia: sia: be galu, Gode Ea A: silibu da na dogo ganodini sa: ili, na wa: legadolesi. Amalalu, na da amo sia: gebewane nabalu, amane,
3 Akaniambia: “Mwanadamu, ninakutuma kwa Waisraeli, kwa taifa asi ambalo limeniasi mimi, wao na baba zao wananikosea mimi hadi leo.
“Dunu egefe! Na da di Isala: ili dunuma asunasiagasa. Ilia da Nama odoga: ne, baligi fa: su. Amola ilia da ilia aowalalia hou defele, mae fisili wali Nama lelelewane hamosa.
4 Watu ambao ninakutuma kwao ni wapotovu na wakaidi. Waambie, ‘Hivi ndivyo anavyosema Bwana Mwenyezi.’
Ilia da gasa fi hou hamosa amola Nama hame nodosa. Amaiba: le, Na (Hina Gode Ouligisudafa) amo Na sia: ilima olelemusa: , di asunasiagasa.
5 Kama watasikiliza au hawatasikiliza, kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi, watajua nabii amekuwa miongoni mwao.
Amo odoga: su dunu da Na sia: nabima: bela: ? O hame nabima: bela: ? Be balofede dunu da ilima misi dagoi, amo ilia da dawa: mu.
6 Nawe mwanadamu, usiwaogope wao wala maneno yao, usiogope, ingawa michongoma na miiba vinakuzunguka na unaishi katikati ya nge. Usiogope yale wasemayo wala usitishwe nao, ingawa wao ni nyumba ya uasi.
Be di, dunu egefe! Iliba: le mae beda: ma! Amola ilia sia: amoba: le mae beda: ma! Ilia da dia sia: hame nabimu amola diba: le higamu. Di da gamaloa fi amo ganodini esalebe agoai ba: mu. Be amo odoga: su dunuba: le amola ilia sia: amoba: le mae beda: ma.
7 Wewe lazima uwaambie maneno yangu, ikiwa wanasikiliza au hawasikilizi, kwa kuwa wao ni watu waasi.
Ilia nabimu o hame nabimu, amo mae dawa: ma. Be ilia hou mae dawa: le, di Na sia: alofele, ilima olelema. Mae gogolema! Ilia da hame nabasu gasa fi dunu.
8 Lakini wewe mwanadamu, sikiliza ninalokuambia. Usiwe mwenye kuasi kama hiyo nyumba ya kuasi. Fungua kinywa chako na ule nikupacho.”
Dunu egefe! Na sia: be nabima! Ilia odoga: su hou defele mae hamoma. Dia lafi dagale, Na dima iabe amo di moma.”
9 Ndipo nikatazama, nami nikaona mkono ulionyooshwa kunielekea. Nao ulikuwa na ukurasa wa kitabu,
Na ba: loba, lobo nama molole guda: le, meloa bioi gagui dialebe ba: i.
10 ambao aliukunjua mbele yangu. Pande zote mbili ulikuwa umeandikwa maneno ya maombolezo, vilio na ole.
Lobo bu meloa bioi fadegale, Na ba: loba, la: dila la: dilale dedei ba: i. Se nabasu amola didigia: su amola disu amoga dedei dialebe ba: i.