< Ezekieli 19 >
1 “Wewe fanya maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli
A ty podnieś lament nad książętami Izraela;
2 na useme: “‘Tazama jinsi gani mama yako alivyokuwa simba jike miongoni mwa simba! Alilala katikati ya wana simba na kulisha watoto wake.
I mów: Czym była twoja matka? Lwicą leżącą między lwami, która karmiła swoje szczenięta wśród lwiąt.
3 Alimlea mmoja wa watoto wake, naye akawa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala watu.
A gdy odchowała jedno ze swoich szczeniąt, stało się [młodym] lwem, który się nauczył chwytać łup; pożerał też ludzi.
4 Mataifa wakasikia habari zake, naye akanaswa katika shimo lao. Wakamwongoza kwa ndoana mpaka nchi ya Misri.
Narody o nim usłyszały, został schwytany w ich dół i zaprowadzony w łańcuchach do ziemi Egiptu.
5 “‘Mama yake alipongoja na kuona tumaini lake halitimiziki, nayo matarajio yake yametoweka, akamchukua mwanawe mwingine na kumfanya simba mwenye nguvu.
Gdy [lwica] zobaczyła, że daremnie czeka i że jej nadzieja przepadła, wzięła inne ze swoich szczeniąt i uczyniła je [młodym] lwem;
6 Alizungukazunguka miongoni mwa simba, kwa kuwa sasa alikuwa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala watu.
Chodziło w środku lwów i stało się [młodym] lwem, który nauczył się chwytać łup; pożerał też ludzi.
7 Akabomoa ngome zao na kuiharibu miji yao. Nchi na wote waliokuwa ndani yake wakatiwa hofu kwa kunguruma kwake.
Burzył ich pałace i pustoszył ich miasta tak, że ziemia i to, co ją napełnia, stały się spustoszone od jego głośnego ryku.
8 Kisha mataifa wakaja dhidi yake kutoka sehemu zilizomzunguka. Wakatanda nyavu zao kwa ajili yake, naye akanaswa katika shimo lao.
Wtedy zebrały się przeciwko niemu narody z okolicznych krain i zarzuciły na niego swoją sieć. Został schwytany w ich dół.
9 Kwa kutumia ndoana wakamvutia kwenye tundu na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli. Wakamtia gerezani, hivyo kunguruma kwake hakukusikika tena katika milima ya Israeli.
I wsadziły go do klatki w łańcuchach, i przyprowadziły do króla Babilonu. Wprowadziły go do ciężkiego więzienia, aby jego głos nie był więcej słyszany na górach Izraela.
10 “‘Mama yako alikuwa kama mzabibu katika shamba lako la mizabibu uliopandwa kando ya maji, ukiwa unazaa sana na wenye matawi mengi kwa sababu ya wingi wa maji.
Twoja matka [była] jak winorośl w twojej krwi, zasadzona przy wodach. Była płodna i gałęzista dzięki obfitości wód.
11 Matawi yake yalikuwa na nguvu, yaliyofaa kuwa fimbo ya enzi ya mtawala. Ulikuwa mrefu kupita miti mingine katikati ya matawi manene; ulionekana kwa urahisi kwa ajili ya urefu wake na wingi wa matawi yake.
I miała potężne rózgi na berła dla panujących, a jej wzrost górował nad gęstymi gałęziami tak, że była widoczna z powodu swej wysokości dzięki mnóstwu swoich gałęzi.
12 Lakini ulingʼolewa kwa hasira kali na kutupwa chini. Upepo wa mashariki uliufanya usinyae, matunda yake yakapukutika, matawi yake yenye nguvu yakanyauka na moto ukayateketeza.
Ale w gniewie została wyrwana i rzucona na ziemię, a wschodni wiatr wysuszył jej owoc. Jej potężne rózgi zostały złamane i uschły, ogień je strawił.
13 Sasa umepandwa jangwani katika nchi kame na ya kiu.
A teraz została zasadzona na pustyni, na ziemi suchej i spragnionej.
14 Moto ulienea kuanzia katika mmojawapo ya matawi yake makubwa na kuteketeza matunda yake. Hakuna tawi lenye nguvu lililobaki juu yake lifaalo kuwa fimbo ya enzi ya mtawala.’ Hili ndilo ombolezo, na litumike kama ombolezo.”
Nadto ogień wyszedł z rózgi jej gałęzi i pochłonął jej owoc tak, że nie ma na niej potężnej rózgi na berła dla panującego. Jest to lament i będzie to lamentem.