< Ezekieli 19 >
1 “Wewe fanya maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli
and you(m. s.) to lift: loud dirge to(wards) leader Israel
2 na useme: “‘Tazama jinsi gani mama yako alivyokuwa simba jike miongoni mwa simba! Alilala katikati ya wana simba na kulisha watoto wake.
and to say what? mother your lioness between: among lion to stretch in/on/with midst lion to multiply whelp her
3 Alimlea mmoja wa watoto wake, naye akawa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala watu.
and to ascend: establish one from whelp her lion to be and to learn: learn to/for to tear prey man to eat
4 Mataifa wakasikia habari zake, naye akanaswa katika shimo lao. Wakamwongoza kwa ndoana mpaka nchi ya Misri.
and to hear: hear to(wards) him nation in/on/with pit: grave their to capture and to come (in): bring him in/on/with hook to(wards) land: country/planet Egypt
5 “‘Mama yake alipongoja na kuona tumaini lake halitimiziki, nayo matarajio yake yametoweka, akamchukua mwanawe mwingine na kumfanya simba mwenye nguvu.
and to see: see for to wait: hope to perish hope her and to take: take one from whelp her lion to set: make him
6 Alizungukazunguka miongoni mwa simba, kwa kuwa sasa alikuwa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala watu.
and to go: walk in/on/with midst lion lion to be and to learn: learn to/for to tear prey man to eat
7 Akabomoa ngome zao na kuiharibu miji yao. Nchi na wote waliokuwa ndani yake wakatiwa hofu kwa kunguruma kwake.
and to know widow his and city their to destroy and be desolate land: country/planet and fullness her from voice: sound roaring his
8 Kisha mataifa wakaja dhidi yake kutoka sehemu zilizomzunguka. Wakatanda nyavu zao kwa ajili yake, naye akanaswa katika shimo lao.
and to give: put upon him nation around: side from province and to spread upon him net their in/on/with pit: grave their to capture
9 Kwa kutumia ndoana wakamvutia kwenye tundu na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli. Wakamtia gerezani, hivyo kunguruma kwake hakukusikika tena katika milima ya Israeli.
and to give: put him in/on/with cage in/on/with hook and to come (in): bring him to(wards) king Babylon to come (in): bring him in/on/with stronghold because not to hear: hear voice his still to(wards) mountain: mount Israel
10 “‘Mama yako alikuwa kama mzabibu katika shamba lako la mizabibu uliopandwa kando ya maji, ukiwa unazaa sana na wenye matawi mengi kwa sababu ya wingi wa maji.
mother your like/as vine in/on/with blood your upon water to transplant be fruitful and thickly branched to be from water many
11 Matawi yake yalikuwa na nguvu, yaliyofaa kuwa fimbo ya enzi ya mtawala. Ulikuwa mrefu kupita miti mingine katikati ya matawi manene; ulionekana kwa urahisi kwa ajili ya urefu wake na wingi wa matawi yake.
and to be to/for her tribe: stick strength to(wards) tribe: staff to rule and to exult height his upon between cord and to see: see in/on/with height his in/on/with abundance branch his
12 Lakini ulingʼolewa kwa hasira kali na kutupwa chini. Upepo wa mashariki uliufanya usinyae, matunda yake yakapukutika, matawi yake yenye nguvu yakanyauka na moto ukayateketeza.
and to uproot in/on/with rage to/for land: soil to throw and spirit: breath [the] east to wither fruit her to tear and to wither tribe: stick strength her fire to eat him
13 Sasa umepandwa jangwani katika nchi kame na ya kiu.
and now to transplant in/on/with wilderness in/on/with land: country/planet dryness and thirst
14 Moto ulienea kuanzia katika mmojawapo ya matawi yake makubwa na kuteketeza matunda yake. Hakuna tawi lenye nguvu lililobaki juu yake lifaalo kuwa fimbo ya enzi ya mtawala.’ Hili ndilo ombolezo, na litumike kama ombolezo.”
and to come out: issue fire from tribe: stick alone: pole her fruit her to eat and not to be in/on/with her tribe: stick strength tribe: staff to/for to rule dirge he/she/it and to be to/for dirge