< Ezekieli 19 >
1 “Wewe fanya maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli
Hina Gode da na da amo gogolosu gesami, amo Isala: ili hina bagade mano aduna dawa: ma: ne, amo hea: le ima: ne sia: i,
2 na useme: “‘Tazama jinsi gani mama yako alivyokuwa simba jike miongoni mwa simba! Alilala katikati ya wana simba na kulisha watoto wake.
“Alia ame da laione wa: me aseme gasa bagade galu. E da ea mano dema: ne, laione wa: me gawali nimi bagade, ilia wa: i amo ganodini ouligisu.
3 Alimlea mmoja wa watoto wake, naye akawa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala watu.
E da mano afae fofole, ema benea ahoasu hou olelei. Amo laione wa: me mano da dunu medole nasu dawa: digi.
4 Mataifa wakasikia habari zake, naye akanaswa katika shimo lao. Wakamwongoza kwa ndoana mpaka nchi ya Misri.
Soge fifi asi gala da ea hamobe nababeba: le, uli dogone gele, e da amoga sa: i. Ilia da e ma: goga hiougili, Idibidi sogega hiouginana asi.
5 “‘Mama yake alipongoja na kuona tumaini lake halitimiziki, nayo matarajio yake yametoweka, akamchukua mwanawe mwingine na kumfanya simba mwenye nguvu.
Laione eme da ea mano buhagima: bela: le dawa: le ouesalu, be hamedei ba: i. Amalalu, e da mano eno fofole, e da asigilale, gesenesu dawa: i.
6 Alizungukazunguka miongoni mwa simba, kwa kuwa sasa alikuwa simba mwenye nguvu. Akajifunza kurarua mawindo naye akala watu.
E da asigilaloba, laione wa: me wa: i amoma gegesenesa lasu. E amola benea ahoasu dawa: digili, dunu fane nasu hamoi.
7 Akabomoa ngome zao na kuiharibu miji yao. Nchi na wote waliokuwa ndani yake wakatiwa hofu kwa kunguruma kwake.
E da gagili sali amola moilai bagohame mugululi wadela: lesi. Soge fi dunu da ea gogonomobe husu nababeba: le, beda: igia: i.
8 Kisha mataifa wakaja dhidi yake kutoka sehemu zilizomzunguka. Wakatanda nyavu zao kwa ajili yake, naye akanaswa katika shimo lao.
Fifi asi gala huluane da ema gegemusa: gilisi. Ilia sanisu efega efegele, e gagulaligi.
9 Kwa kutumia ndoana wakamvutia kwenye tundu na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli. Wakamtia gerezani, hivyo kunguruma kwake hakukusikika tena katika milima ya Israeli.
Ilia da e gagilia sanawane, Ba: bilone hina bagade amoma gaguli asi. Ea gogonobe bu Isala: ili agoloa maedafa nabima: ne, ilia ea gagili sali noga: le sosodo ouligisu.
10 “‘Mama yako alikuwa kama mzabibu katika shamba lako la mizabibu uliopandwa kando ya maji, ukiwa unazaa sana na wenye matawi mengi kwa sababu ya wingi wa maji.
Alia ame da waini efe hano bega: bugi defele ba: i. Hano bagade dialebeba: le, waini efe da lubi amola fage, amoga dedeboi dagoi ba: i.
11 Matawi yake yalikuwa na nguvu, yaliyofaa kuwa fimbo ya enzi ya mtawala. Ulikuwa mrefu kupita miti mingine katikati ya matawi manene; ulionekana kwa urahisi kwa ajili ya urefu wake na wingi wa matawi yake.
Ea amoda da gasa bagade alele, hina bagade hamoi. Waini efe da heda: le, mu mobiga doaga: i. Dunu huluane da ea sedade amola ea lubiga dedeboi ba: i.
12 Lakini ulingʼolewa kwa hasira kali na kutupwa chini. Upepo wa mashariki uliufanya usinyae, matunda yake yakapukutika, matawi yake yenye nguvu yakanyauka na moto ukayateketeza.
Be ougi bagade dunu da amo waini efe loboga a: le fasili, osoba gisalugala: i. Gusudili mabe fo da ea dulu huluane hafoga: i. Ilia da ea amoda fifili fasili, eso hougili, ulagili sali.
13 Sasa umepandwa jangwani katika nchi kame na ya kiu.
Wali amo waini efe da hafoga: i soge, hano hamedei, amoga bugi.
14 Moto ulienea kuanzia katika mmojawapo ya matawi yake makubwa na kuteketeza matunda yake. Hakuna tawi lenye nguvu lililobaki juu yake lifaalo kuwa fimbo ya enzi ya mtawala.’ Hili ndilo ombolezo, na litumike kama ombolezo.”
Waini efe damu da lalu aligili, ea amoda amola fage da huluane nene dagoi ba: i. Amoda da bu gasa hamedafa ba: mu, amola ilia da hina bagade hamedafa hamomu.” Amo gesami da gogolosu gesami. Dunu da amo enoenoi agoane hea: lalu.