< Ezekieli 17 >
1 Neno la Bwana likanijia kusema:
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
2 “Mwanadamu, tega kitendawili, ukawaambie nyumba ya Israeli fumbo.
son: child man to riddle riddle and to use a proverb proverb to(wards) house: household Israel
3 Waambie hivi, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Tai mkubwa mwenye mabawa yenye nguvu, yaliyojaa manyoya marefu ya rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni. Akatua kwenye kilele cha mwerezi,
and to say thus to say Lord YHWH/God [the] eagle [the] great: large great: large [the] wing slow [the] wing full [the] plumage which to/for him [the] embroidery to come (in): come to(wards) [the] Lebanon and to take: take [obj] treetop [the] cedar
4 akakwanyua ncha yake na kuichukua mpaka nchi ya wafanyabiashara, akaipanda huko katika mji wa wachuuzi.
[obj] head: top shoot his to pluck and to come (in): bring him to(wards) land: country/planet merchant in/on/with city to trade to set: make him
5 “‘Akachukua baadhi ya mbegu za nchi yako na kuziweka katika udongo wenye rutuba. Akazipanda kama mti umeao kando ya maji mengi,
and to take: take from seed [the] land: country/planet and to give: put him in/on/with land: soil seed to take: take upon water many willow to set: make him
6 nazo zikaota na kuwa mzabibu mfupi, unaoeneza matawi yake. Matawi yake yakamwelekea huyo tai, mizizi yake ikabaki chini ya huo mzabibu. Kwa hiyo ukawa mzabibu na kutoa matawi na vitawi vyenye majani mengi.
and to spring and to be to/for vine to overrun low height to/for to turn branch his to(wards) him and root his underneath: stand him to be and to be to/for vine and to make alone: pole and to send: depart bough
7 “‘Lakini kulikuwa na tai mwingine mkubwa, mwenye mabawa yenye nguvu yaliyojaa manyoya. Tazama! Huu mzabibu ukatoa mizizi yake kumwelekea huyo tai kutoka mle kwenye shamba lile ulikopandwa na kutanda matawi yake kumwelekea kwa ajili ya kupata maji.
and to be eagle one great: large great: large wing and many plumage and behold [the] vine [the] this to hunger root her upon him and branch his to send: depart to/for him to/for to water: watering [obj] her from bed plantation her
8 Ulikuwa umepandwa katika udongo mzuri wenye maji mengi ili uweze kutoa matawi, kuzaa matunda na uweze kuwa mzabibu mzuri sana.’
to(wards) land: soil pleasant to(wards) water many he/she/it to transplant to/for to make branch and to/for to lift: bear fruit to/for to be to/for vine clothing
9 “Waambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Je, utastawi? Je, hautangʼolewa na kuondolewa matunda yake, ili uweze kunyauka? Majani yake mapya yanayochipua yote yatanyauka. Hautahitaji mkono wenye nguvu au watu wengi kuungʼoa na mizizi yake.
to say thus to say Lord YHWH/God to prosper not [obj] root her to tear and [obj] fruit her to strip and to wither all fresh-plucked branch her to wither and not in/on/with arm great: large and in/on/with people many to/for to lift: raise [obj] her from root her
10 Hata kama utapandwa pengine, Je, utastawi? Je, hautanyauka kabisa wakati upepo wa mashariki utakapoupiga, yaani, hautanyauka kabisa katika udongo mzuri ambamo ulikuwa umestawi vizuri?’”
and behold to transplant to prosper not like/as to touch in/on/with her spirit: breath [the] east to wither to wither upon bed branch her to wither
11 Ndipo neno la Bwana likanijia kusema:
and to be word LORD to(wards) me to/for to say
12 “Waambie nyumba hii ya kuasi, ‘Je, mnajua hii ina maana gani?’ Waambie: ‘Mfalme wa Babeli alikwenda Yerusalemu na kumchukua mfalme na watu maarufu, akarudi nao na kuwaleta mpaka Babeli.
to say please to/for house: household [the] rebellion not to know what? these to say behold to come (in): come king Babylon Jerusalem and to take: take [obj] king her and [obj] ruler her and to come (in): bring [obj] them to(wards) him Babylon [to]
13 Ndipo akamchukua mmoja wa jamaa ya mfalme na kufanya mapatano naye, akamfanya aape. Akawachukua pia viongozi wa nchi,
and to take: take from seed: children [the] kingship and to cut: make(covenant) with him covenant and to come (in): bring [obj] him in/on/with oath and [obj] leader [the] land: country/planet to take: take
14 ili kuudhoofisha ufalme huo, usiweze kuinuka tena, ila uweze kuendelea tu chini ya mapatano yake.
to/for to be kingdom low to/for lest to lift: raise to/for to keep: obey [obj] covenant his to/for to stand: stand her
15 Lakini mfalme aliasi dhidi yake kwa kutuma wajumbe wake kwenda Misri ili kupatiwa farasi na jeshi kubwa. Je, atashinda? Je, atafanikiwa? Je, mtu afanyaye mambo kama hayo ataokoka? Je, atavunja mapatano na bado aokoke?
and to rebel in/on/with him to/for to send: depart messenger his Egypt to/for to give: give to/for him horse and people: soldiers many to prosper to escape [the] to make: do these and to break covenant and to escape
16 “‘Hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, atafia huko Babeli, katika nchi ya mfalme aliyemketisha katika kiti cha enzi, ambaye alidharau kiapo chake na kuvunja mapatano yake.
alive I utterance Lord YHWH/God if: surely yes not in/on/with place [the] king [the] to reign [obj] him which to despise [obj] oath his and which to break [obj] covenant his with him in/on/with midst Babylon to die
17 Farao na jeshi lake kubwa, na wingi wake wa watu hawataweza kusaidia chochote katika vita, wakati watakapozungukwa na jeshi ili kukatilia mbali maisha ya watu wengi.
and not in/on/with strength: soldiers great: large and in/on/with assembly many to make: do [obj] him Pharaoh in/on/with battle in/on/with to pour: build siege mound mound and in/on/with to build siegework to/for to cut: eliminate soul: life many
18 Alidharau kiapo kwa kuvunja Agano. Kwa sababu aliahidi kwa mkono wake mwenyewe na bado akafanya mambo haya yote, hataokoka.
and to despise oath to/for to break covenant and behold to give: give hand: power his and all these to make: do not to escape
19 “‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Hakika kama niishivyo, nitaleta juu ya kichwa chake kiapo changu, alichokidharau na Agano langu lile alilolivunja.
to/for so thus to say Lord YHWH/God alive I if: surely yes not oath my which to despise and covenant my which to break and to give: pay him in/on/with head his
20 Nitautandaza wavu wangu kwa ajili yake, naye atanaswa katika mtego wangu. Nitamleta mpaka Babeli na kutekeleza hukumu juu yake huko kwa kuwa hakuwa mwaminifu kwangu.
and to spread upon him net my and to capture in/on/with net my and to come (in): bring him Babylon [to] and to judge with him there unfaithfulness his which be unfaithful in/on/with me
21 Askari wake wote wanaotoroka wataanguka kwa upanga, nao watakaonusurika watatawanyika katika pande zote za dunia. Ndipo utakapojua kuwa Mimi Bwana nimesema.
and [obj] all (fugitive his *Q(K)*) in/on/with all band his in/on/with sword to fall: kill and [the] to remain to/for all spirit: breath to spread and to know for I LORD to speak: speak
22 “‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi mwenyewe nitachukua chipukizi kutoka kwenye kilele cha juu sana cha mwerezi na kukipanda, nitavunja kitawi kichanga kutoka matawi yake ya juu kabisa na kukipanda juu ya mlima mrefu ulioinuka sana.
thus to say Lord YHWH/God and to take: take I from treetop [the] cedar [the] to exalt and to give: put from head: top shoot his tender to pluck and to transplant I upon mountain: mount high and be eminent
23 Katika vilele vya mlima mrefu wa Israeli nitakipanda, kitatoa matawi na kuzaa matunda na kuwa mwerezi mzuri sana. Ndege wa kila aina wataweka viota vyao ndani yake, nao watapata makazi katika kivuli cha matawi yake.
in/on/with mountain: mount height Israel to transplant him and to lift: bear branch and to make fruit and to be to/for cedar great and to dwell underneath: under him all bird all wing in/on/with shadow branch his to dwell
24 Miti yote ya kondeni itajua kuwa Mimi Bwana ninaishusha miti mirefu na kuikuza miti mifupi kuwa miti mirefu. Mimi naikausha miti mibichi na kuifanya miti mikavu istawi. “‘Mimi Bwana nimesema, nami nitatenda.’”
and to know all tree [the] land: country for I LORD to abase tree high to exult tree low to wither tree fresh and to sprout tree dry I LORD to speak: speak and to make: do