< Ezekieli 14 >

1 Baadhi ya wazee wa Israeli walinijia na kuketi mbele yangu.
روزی عده‌ای از بزرگان اسرائیل به دیدنم آمدند تا برای آنها از خداوند طلب راهنمایی کنم.
2 Ndipo neno la Bwana likanijia kusema:
همان وقت خداوند با من سخن گفت و فرمود:
3 “Mwanadamu, watu hawa wameweka sanamu katika mioyo yao na kuweka vitu viovu vya kukwaza mbele ya macho yao. Je, kweli niwaruhusu waniulize jambo lolote?
«ای پسر انسان، این اشخاص، دلشان پیش بتهایشان است و در پی چیزهایی هستند که آنها را به گناه می‌کشاند؛ پس چرا از من طلب راهنمایی می‌کنند؟
4 Kwa hiyo sema nao uwaambie, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Wakati Mwisraeli yeyote anapoweka sanamu moyoni mwake na kuweka kitu kiovu cha kukwaza mbele ya macho yake na kisha akaenda kwa nabii, Mimi Bwana nitamjibu peke yangu sawasawa na ukubwa wa ibada yake ya sanamu.
حال، از جانب من به ایشان چنین بگو: «هر کس که در اسرائیل بتها و شرارت را در دل خود جای داده باشد و برای طلب راهنمایی، پیش یک نبی برود، من که خداوند هستم، خودم به درخواست او پاسخ خواهم داد، پاسخی فراخور تعداد بتهایش!
5 Nitafanya jambo hili ili kukamata tena mioyo ya watu wa Israeli, ambao wote wameniacha kwa ajili ya sanamu zao.’
آری، چنین خواهم کرد تا افکار و دلهای قوم خود را که به سبب بت‌پرستی‌شان از من برگشته، دوباره تسخیر کنم.
6 “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Tubuni! Geukeni kutoka kwenye sanamu zenu na mkatae matendo yenu yote ya machukizo!
«بنابراین، از جانب من به ایشان بگو: «خداوند یهوه چنین می‌فرماید: توبه کنید! بتهای خود را رها سازید و از شرارت روگردان شوید.
7 “‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi katika Israeli anapojitenga nami na kujiwekea sanamu katika moyo wake na kwa hivyo kuweka kitu kiovu cha kukwaza mbele ya macho yake na kisha akamwendea nabii kuuliza shauri kwangu, mimi Bwana nitamjibu mwenyewe.
زیرا اگر کسی، چه از قوم اسرائیل و چه از بیگانگانی که در سرزمین شما زندگی می‌کنند، از پیروی من دست کشیده، در پی بتها و شرارتهای خود برود و در همان حال برای طلب راهنمایی پیش یک مرد خدا بیاید، من که خداوند هستم، خود، جواب او را خواهم داد.
8 Nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo na kumwadhibu na kumfanya ishara kwa watu. Nitamkatilia mbali kutoka watu wangu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
«نظر خود را با خشم بر آن شخص خواهم دوخت و نابودش خواهم ساخت تا مایهٔ عبرت و وحشت دیگران گردد. آنگاه خواهید دانست که من یهوه هستم.
9 “‘Naye nabii kama atakuwa ameshawishika kutoa unabii, Mimi Bwana nitakuwa nimemshawishi nabii huyo, nami nitaunyoosha mkono wangu dhidi yake na kumwangamiza kutoka miongoni mwa watu wangu Israeli.
اما اگر یکی از انبیا، پیامی برای او بیاورد، بدانید که آن نبی گمراه است و پیامش نیز دروغ! من، یهوه، اجازه داده‌ام که او گمراه شود. بنابراین، قوم خود، اسرائیل را از وجود او پاک خواهم ساخت.
10 Watachukua hatia yao, nabii atakuwa na hatia sawa na yule mtu aliyekuja kuuliza neno kwake.
هم آن نبی دروغین و هم آن شخص گناهکاری که ادعا می‌کند در طلب هدایت من است، هر دو به یکسان مجازات خواهند شد.
11 “‘Ndipo watu wa Israeli hawataniacha tena, wala kujitia unajisi tena kwa dhambi zao zote. Ndipo watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao, asema Bwana Mwenyezi.’”
تا قوم اسرائیل بیاموزند که از من دور نشوند و دیگر خود را به گناه آلوده نسازند، بلکه آنها قوم من باشند و من خدای ایشان!» این را خداوند یهوه می‌گوید.
12 Neno la Bwana likanijia kusema,
سپس این پیغام از جانب خداوند بر من نازل شد:
13 “Mwanadamu, kama nchi itanitenda dhambi kwa kutokuwa waaminifu nami nikinyoosha mkono wangu dhidi yake kukatilia mbali upatikanaji wake wa chakula na kuipelekea njaa na kuua watu wake na wanyama wao,
«ای پسر انسان، هرگاه مردم این سرزمین از من روگردانده، در حق من گناه ورزند، و به سبب آن نانشان را قطع کنم و چنان قحطی سختی بفرستم تا انسان و حیوان از بین بروند،
14 hata kama watu hawa watatu: Noa, Danieli na Ayubu wangekuwa ndani ya nchi hiyo, ndio hao tu wangeweza kujiokoa wenyewe kwa uadilifu wao, asema Bwana Mwenyezi.
آنگاه حتی اگر نوح و دانیال و ایوب هم در میانشان باشند، خداترسی و درستکاری ایشان فقط باعث نجات جان خودشان خواهد شد! این را خداوند یهوه می‌گوید.
15 “Au kama nikipeleka wanyama pori katika nchi hiyo yote na kuifanya isiwe na watoto, nayo ikawa ukiwa kwamba hakuna mtu apitaye katika nchi hiyo kwa sababu ya wanyama pori,
«یا اگر این سرزمین را مورد هجوم حیوانات وحشی قرار دهم تا ویرانش کنند، آنچنان که از ترس حیوانات کسی جرأت نکند از آنجا بگذرد،
16 hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, hata kama watu hawa watatu wangekuwa humo ndani yake, wasingeweza kuokoa wana wao wala binti zao. Wao peke yao wangeokolewa, lakini nchi ingekuwa ukiwa.
اگرچه آن سه مرد درستکار هم در آنجا باشند، به حیات خود سوگند که نخواهند توانست حتی جان فرزندان خود را رهایی دهند، بلکه فقط خودشان نجات خواهند یافت و بقیه همه از بین خواهند رفت!
17 “Au kama nikileta upanga dhidi ya nchi hiyo na kusema, ‘Upanga na upite katika nchi yote,’ nami nikiua watu wake na wanyama wao,
«یا اگر این سرزمین را درگیر جنگ کنم و سپاه دشمن را بر آن دارم که همه چیز را از بین ببرند،
18 hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, hata kama watu hawa watatu wangekuwa humo ndani yake, wasingeweza kuokoa wana wao wala binti zao. Wao wenyewe tu wangeokolewa.
اگرچه این سه مرد خداترس در آن سرزمین زندگی کنند، به حیات خود سوگند که حتی قادر به رهانیدن جان فرزندانشان نیز نخواهند بود و تنها خودشان نجات خواهند یافت!
19 “Au kama nikipeleka tauni katika nchi hiyo na kumwaga ghadhabu yangu juu yake kwa njia ya kumwaga damu, kuua watu wake na wanyama wao,
«و یا اگر این سرزمین را دچار وبا سازم و در خشم خود، انسان و حیوان را هلاک کنم و از بین ببرم،
20 hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, hata kama Noa, Danieli na Ayubu wangekuwa humo ndani yake, wasingeweza kumwokoa mwana wala binti. Wao wangeweza kujiokoa wenyewe tu kwa uadilifu wao.
اگرچه نوح و دانیال و ایوب در میان آنها باشند، به حیات خود سوگند که نخواهند توانست حتی جان پسران و دخترانشان را رهایی دهند؛ درستکاری آنها فقط خودشان را نجات خواهد داد!
21 “Kwa maana hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Itakuwa vibaya kiasi gani nitakapopeleka dhidi ya Yerusalemu hukumu zangu nne za kutisha, yaani, upanga, njaa, wanyama pori na tauni, ili kuua watu wake na wanyama wao!
«پس حال، ببینید چه مصیبت بزرگی پدید خواهد آمد، زمانی که این چهار مجازات سهمگین خود را بر اورشلیم بفرستم تا انسان و حیوان را از بین ببرد، یعنی جنگ، قحطی، وبا و حیوانات درنده را!
22 Lakini watakuwepo wenye kuokoka, wana na binti wataletwa kutoka nje ya nchi hiyo. Watawajia ninyi, nanyi mtakapoona mwenendo wao na matendo yao, mtafarijika kuhusu maafa niliyoleta juu ya Yerusalemu, kwa ajili ya yale yote niliyoleta juu yake.
«اما اگر کسانی زنده باقی بمانند و فرزندان خود را نیز از هلاکت نجات دهند و به نزد شما به بابِل بیایند، آنگاه با چشمان خود خواهید دید که چقدر شرورند و خواهید دانست که حق داشتم اورشلیم را اینچنین مجازات نمایم.
23 Mtafarijika wakati mtakapoona mwenendo wao na matendo yao, kwa kuwa mtajua kwamba sikufanya lolote ndani yake bila sababu, asema Bwana Mwenyezi.”
بله، با دیدن رفتار و کارهای گناه‌آلود ایشان، پی خواهید برد که آنچه کرده‌ام، بی‌سبب نبوده است.» این را خداوند یهوه می‌گوید.

< Ezekieli 14 >