< Ezekieli 13 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
خداوند با من سخن گفت و فرمود: «ای پسر انسان، کلام مرا بر ضد انبیای دروغین اسرائیل اعلام نما، بر ضد انبیایی که افکار خود را به عنوان پیغام من بیان می‌کنند.»
2 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya manabii wa Israeli wanaotabiri sasa. Waambie hao ambao hutabiri kutokana na mawazo yao wenyewe: ‘Sikia neno la Bwana!
3 Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wao manabii wapumbavu wafuatao roho yao wenyewe na wala hawajaona chochote!
خداوند یهوه فرمود: «وای بر انبیای نادانی که خیالات خود را به جای کلام من بازگو می‌کنند، حال آنکه هیچ کلامی از جانب من بر ایشان نازل نشده است.
4 Manabii wako, ee Israeli, ni kama mbweha katikati ya magofu.
«ای مردم اسرائیل، انبیای شما مانند روباهانی در خرابه‌ها هستند. ایشان هیچ نفعی به شما نرسانده‌اند.
5 Hamjakwea kwenda kuziba mahali palipobomoka katika ukuta ili kuukarabati kwa ajili ya nyumba ya Israeli, ili kwamba isimame imara kwenye vita katika siku ya Bwana.
آنان هیچگاه خرابیهای حصار شهر را تعمیر نکردند تا بتوانید در آن روزی که خداوند مقرر کرده، در برابر دشمن بایستید.
6 Maono yao ni ya uongo na ubashiri wao ni wa udanganyifu. Wao husema, “Bwana amesema,” wakati Bwana hakuwatuma, bado wakitarajia maneno yao kutimizwa.
رؤیاهای ایشان باطل است و پیشگویی‌هایشان دروغ! می‌گویند که پیغامشان از جانب من است، در حالی که من ایشان را نفرستاده‌ام. با وجود این، انتظار دارند که پیشگویی‌هایشان عملی شوند!
7 Je, hamjaona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu hapo msemapo, “Bwana asema,” lakini Mimi sijasema?
ای پیام‌آوران دروغین، رؤیاها و پیامهایتان، همه دروغ است! می‌گویید که آنها از طرف من می‌باشد، در حالی که من هیچگاه با شما سخن نگفته‌ام!»
8 “‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ya uongo wa maneno yenu na kwa madanganyo ya maono yenu, Mimi ni kinyume na ninyi, asema Bwana Mwenyezi.
از این رو خداوند یهوه می‌فرماید: «به سبب این رؤیاهای ساختگی و این دروغها، من بر ضد شما هستم،
9 Mkono wangu utakuwa dhidi ya manabii ambao huona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu. Hawatakuwa katika baraza la watu wangu au kuandikwa katika kumbukumbu ya nyumba ya Israeli wala hawataingia katika nchi ya Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana Mwenyezi.
و شما را مجازات خواهم نمود و از میان رهبران اسرائیل ریشه‌کن خواهم ساخت. نام شما را از دفتر خاندان اسرائیل پاک خواهم نمود و هیچ‌یک از شما به سرزمین اسرائیل باز نخواهد گشت، تا بدانید که من خداوند یهوه هستم.
10 “‘Kwa sababu ni kweli wanapotosha watu wangu, wakisema, “Amani,” wakati ambapo hakuna amani, pia kwa sababu, wakati ukuta dhaifu unapojengwa, wanaufunika kwa kupaka chokaa,
«این مردان شریر، قوم مرا فریب داده، می‌گویند که همه چیز در امن و امان است، حال آنکه چنین نیست. قوم من دیواری سست می‌سازند و این پیام‌آوران دروغگو نیز تشویقشان می‌نمایند و با گچ، آن دیوار را سفید می‌کنند.
11 kwa hiyo waambie hao wanaoupaka chokaa isiyokorogwa vyema kwamba ukuta huo utaanguka. Mvua kubwa ya mafuriko itanyesha, nami nitaleta mvua ya mawe inyeshe kwa nguvu, nao upepo wa dhoruba utavuma juu yake.
پس به این معمارها بگو که دیوارشان فرو خواهد ریخت. بارانی سیل‌آسا خواهم بارانید، تگرگی سخت خواهم آورد و طوفانی شدید خواهم فرستاد تا آن را ویران سازند؛
12 Wakati ukuta utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko wapi chokaa mliyopaka ukuta?”
و آن هنگام که دیوار فرو افتد، مردم بر سر ایشان فریاد خواهند زد: «چرا به ما نگفتید که دیوار سست و ناپایدار است؟ چرا روی آن را گچ گرفتید و معایبش را پوشانیدید؟»
13 “‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika ghadhabu yangu nitauachia upepo wa dhoruba, pia katika hasira yangu mvua ya mawe na mvua ya mafuriko itanyesha ikiwa na ghadhabu ya kuangamiza.
بله، با طوفان عظیم خشم، با تگرگ و باران غضب خود، آن را از جا کنده، نابودش خواهم نمود.
14 Nitaubomoa ukuta mlioupaka chokaa na kuuangusha chini ili msingi wake uachwe wazi. Utakapoanguka, mtaangamizwa ndani yake, nanyi mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana.
دیوار گچکاری شدهٔ ایشان خراب و با خاک یکسان خواهد شد و بر سرشان فرو خواهد ریخت و در زیر آن له خواهند شد، تا بدانند که من خداوند یهوه هستم.
15 Hivyo ndivyo nitakavyoitimiza ghadhabu yangu dhidi ya huo ukuta na dhidi yao walioupaka chokaa. Nitawaambia ninyi, “Ukuta umebomoka na vivyo hivyo wale walioupaka chokaa,
زمانی که خشم من بر ضد این دیوار و معمارانش پایان یابد، اعلام خواهم کرد که نه دیواری مانده و نه معماری؛
16 wale manabii wa Israeli waliotabiri juu ya Yerusalemu na kuona maono ya amani kwa ajili yake wakati kulipokuwa hakuna amani, asema Bwana Mwenyezi.”’
زیرا معمارانش، انبیای دروغگویی بودند که می‌گفتند اورشلیم در امان خواهد بود، در حالی که چنین نبود.
17 “Sasa, mwanadamu, kaza uso wako dhidi ya binti za watu wako wanaotabiri mambo kutoka mawazo yao wenyewe. Tabiri dhidi yao
«حال ای پسر انسان، کلام مرا بر ضد زنانی که افکار خود را به جای پیام من بیان می‌کنند، اعلام نما.»
18 na useme, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wao wanawake washonao hirizi za uchawi juu ya viwiko vyao vyote na kutengeneza shela za urefu wa aina mbalimbali kwa ajili ya kufunika vichwa vyao kwa makusudi ya kuwanasa watu. Je, mtatega uhai wa watu wangu lakini ninyi mponye wa kwenu?
خداوند یهوه فرمود که به ایشان چنین بگویم: «وای بر شما که قوم مرا گمراه می‌کنید. به بازوهایشان طلسم و جادو می‌بندید و دستار افسون به آنها می‌فروشید تا بتوانند اختیار زندگی دیگران را به دست بگیرند. آیا می‌خواهید اختیار مرگ و زندگی قوم مرا در دست داشته باشید تا جیبتان را پر کنید؟
19 Ninyi mmeninajisi miongoni mwa watu wangu kwa ajili ya konzi chache za shayiri na chembe za mkate. Kwa kuwaambia uongo watu wangu, wale ambao husikiliza uongo, mmewaua wale watu ambao wasingekufa na kuwaacha hai wale ambao wasingeishi.
برای مشتی جو و چند لقمه نان، قومم را از من دور می‌سازید. کسانی را که باید زنده بمانند، به کشتن می‌دهید و آنانی را که نباید زنده بمانند، زنده نگه می‌دارید. به این ترتیب به قوم من دروغ می‌گویید و آنها نیز باور می‌کنند.
20 “‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi niko kinyume na hizo hirizi zenu za uchawi ambazo kwa hizo mnawatega watu kama ndege, nami nitazirarua kutoka mikononi mwenu, nitawaweka huru watu wale mliowatega kama ndege.
«از این رو من بر ضد سحر و جادوی شما هستم که با آنها زندگی افراد قوم مرا طلسم کرده‌اید و مانند پرنده‌ای به دام انداخته‌اید. طلسمهای شما را باطل کرده، دعاهایتان را بی‌اثر خواهم ساخت و قوم خود را از دام شما رهایی خواهم بخشید.
21 Nitazirarua shela zenu na kuwaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu, nao hawatakuwa tena mawindo ya nguvu zenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
دستارهای افسون را خواهم درید و قومم را از چنگ شما نجات خواهم بخشید. ایشان دیگر در دام شما نخواهند بود تا بدانید که من یهوه هستم.
22 Kwa sababu mliwavunja moyo wenye haki kwa uongo wenu, wakati mimi sikuwaletea huzuni na kwa kuwa mliwatia moyo waovu ili wasiziache njia zao mbaya na hivyo kuokoa maisha yao,
شما با دروغهای خود، مردم درستکار را برخلاف میل من، دل شکسته و دردمند ساخته‌اید، ولی افراد شرور را تشویق کرده‌اید و باعث شده‌اید آنها از راههای گناه‌آلودشان توبه نکنند و رستگار نشوند.
23 kwa hiyo hamtaona tena maono ya uongo wala kufanya ubashiri. Nitawaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu. Nanyi ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”
اما از این پس، دیگر رؤیاهای باطل نخواهید دید و غیبگویی‌های گمراه کننده نخواهید کرد، زیرا من قوم خود را از نفوذ قدرت شما رهایی خواهم داد تا بدانید که من یهوه هستم!»

< Ezekieli 13 >