< Ezekieli 13 >

1 Neno la Bwana likanijia kusema:
LEUM GOD El kaskas nu sik
2 “Mwanadamu, tabiri dhidi ya manabii wa Israeli wanaotabiri sasa. Waambie hao ambao hutabiri kutokana na mawazo yao wenyewe: ‘Sikia neno la Bwana!
ac fahk, “Kom, mwet sukawil moul la, fahk kas in lain mwet palu lun Israel su sifacna kinauk kas in palu lalos. Fahkang nu selos elos in lohng na kas lun LEUM GOD.”
3 Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wao manabii wapumbavu wafuatao roho yao wenyewe na wala hawajaona chochote!
Pa inge ma LEUM GOD Fulatlana El fahk: “We nu sin mwet palu lalfon ingan! Elos sifacna orala nunak in akkeyalos, ac kinauk aruruma lalos.
4 Manabii wako, ee Israeli, ni kama mbweha katikati ya magofu.
Mwet Israel, mwet palu lowos uh wangin sripalos. Elos oana kosro lemnak ma muta ke acn musalla in siti uh.
5 Hamjakwea kwenda kuziba mahali palipobomoka katika ukuta ili kuukarabati kwa ajili ya nyumba ya Israeli, ili kwamba isimame imara kwenye vita katika siku ya Bwana.
Elos tiana taran acn ma mokukla ke kalkal uh, ku aksasuyela pot we. Ouinge ac fah wangin ma loangeyen Israel in pacl in mweun ke len lun LEUM GOD.
6 Maono yao ni ya uongo na ubashiri wao ni wa udanganyifu. Wao husema, “Bwana amesema,” wakati Bwana hakuwatuma, bado wakitarajia maneno yao kutimizwa.
Aruruma lalos uh tia pwaye, ac kas in palu lalos uh kikiap. Elos fahk mu elos fahkak kas luk, a nga tia supwalos. Elos nunku mu kas lalos inge ac akpwayeyuk.
7 Je, hamjaona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu hapo msemapo, “Bwana asema,” lakini Mimi sijasema?
Nga fahk nu selos: Aruruma ma kowos liye uh tia pwaye, ac kas in palu lowos uh kikiap. Kowos fahk mu ma luk pa kas ingan, tuh nga soenna kaskas nu suwos!”
8 “‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ya uongo wa maneno yenu na kwa madanganyo ya maono yenu, Mimi ni kinyume na ninyi, asema Bwana Mwenyezi.
Ouinge LEUM GOD Fulatlana El fahk nu selos, “Mweyen kas lowos uh tia pwaye, ac aruruma lowos uh kikiap, nga lain kowos.
9 Mkono wangu utakuwa dhidi ya manabii ambao huona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu. Hawatakuwa katika baraza la watu wangu au kuandikwa katika kumbukumbu ya nyumba ya Israeli wala hawataingia katika nchi ya Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana Mwenyezi.
Nga akola in kalyei kowos, mwet palu su liye aruruma kikiap ac fahkak kas in palu tia pwaye. Ke mwet luk uh ac tukeni in orek pwapu, kowos ac fah tia wi. Ac fah tia simla inewos inmasrlon mwet Israel. Kowos ac fah tiana folokla nu in facl Israel. Na kowos ac fah etu lah nga pa LEUM GOD Fulatlana.
10 “‘Kwa sababu ni kweli wanapotosha watu wangu, wakisema, “Amani,” wakati ambapo hakuna amani, pia kwa sababu, wakati ukuta dhaifu unapojengwa, wanaufunika kwa kupaka chokaa,
Mwet palu elos kiapu mwet luk ke elos fahk mu ma nukewa wona, sruk tiana wo! Mwet luk uh etoak pot na munas, na mwet palu tuku fasrela.
11 kwa hiyo waambie hao wanaoupaka chokaa isiyokorogwa vyema kwamba ukuta huo utaanguka. Mvua kubwa ya mafuriko itanyesha, nami nitaleta mvua ya mawe inyeshe kwa nguvu, nao upepo wa dhoruba utavuma juu yake.
Fahkang nu sin mwet palu an lah pot lalos uh ac mokukla. Nga ac supwala af matol, ac tultul in af ma oana eot ac putat nu fac, ac eng upa ac fah fungulya.
12 Wakati ukuta utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko wapi chokaa mliyopaka ukuta?”
Ouinge pot sac ac raki, na mwet nukewa ac fah siyuk, ‘Mwe mea in fasriyukla?’”
13 “‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Katika ghadhabu yangu nitauachia upepo wa dhoruba, pia katika hasira yangu mvua ya mawe na mvua ya mafuriko itanyesha ikiwa na ghadhabu ya kuangamiza.
Pa inge ma LEUM GOD Fulatlana El fahk: “Ke sripen kasrkusrak luk, nga ac supwala eng upa ac af matol ac tultul in af upa in tuh kunausla pot sac.
14 Nitaubomoa ukuta mlioupaka chokaa na kuuangusha chini ili msingi wake uachwe wazi. Utakapoanguka, mtaangamizwa ndani yake, nanyi mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana.
Nga akola ngan kunausya pot sac ma elos fasrela, ac rakinya tuh pwelung uh fah mwesisla. Pot sac ac fah raki ac unikowosi nukewa. Na mwet nukewa fah etu lah nga pa LEUM GOD.”
15 Hivyo ndivyo nitakavyoitimiza ghadhabu yangu dhidi ya huo ukuta na dhidi yao walioupaka chokaa. Nitawaambia ninyi, “Ukuta umebomoka na vivyo hivyo wale walioupaka chokaa,
“Pot sac, ac elos su fasrela ah, fah pulakin fulen kasrkusrak luk. Na nga fah fahk nu suwos lah pot sac wanginla, oayapa elos su fasrela —
16 wale manabii wa Israeli waliotabiri juu ya Yerusalemu na kuona maono ya amani kwa ajili yake wakati kulipokuwa hakuna amani, asema Bwana Mwenyezi.”’
aok, mwet palu ma tuh fahk mu ma nukewa in Jerusalem wona, ke tiana wo.” LEUM GOD Fulatlana pa fahk ma inge.
17 “Sasa, mwanadamu, kaza uso wako dhidi ya binti za watu wako wanaotabiri mambo kutoka mawazo yao wenyewe. Tabiri dhidi yao
LEUM GOD El fahk, “Mwet sukawil, inge ngetla liye mutan inmasrlon mwet lom su kinauk kas in palu lalos. Lainulos
18 na useme, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ole wao wanawake washonao hirizi za uchawi juu ya viwiko vyao vyote na kutengeneza shela za urefu wa aina mbalimbali kwa ajili ya kufunika vichwa vyao kwa makusudi ya kuwanasa watu. Je, mtatega uhai wa watu wangu lakini ninyi mponye wa kwenu?
ac fahkang nu selos ma LEUM GOD Fulatlana El fahk inge: “We nu suwos mutan, su twani mwe lohlpo inutnut lun mwet nukewa, ac oayapa susu nuknuk inutnut tuh in oasr ku lalos fin moul lun mwet ngia. Kowos lungse in oasr ku lowos in nununku moul ac misa fin mwet luk uh, ac kowos orekmakin ku se inge tuh in wo nu suwos sifacna.
19 Ninyi mmeninajisi miongoni mwa watu wangu kwa ajili ya konzi chache za shayiri na chembe za mkate. Kwa kuwaambia uongo watu wangu, wale ambao husikiliza uongo, mmewaua wale watu ambao wasingekufa na kuwaacha hai wale ambao wasingeishi.
Kowos pilesreyu ye mutun mwet luk tuh kowos in eis kutu srisrik barley ac ipin bread na ekasr. Kowos uniya mwet su tia fal in misa, ac sruokya moul lun mwet su tia fal in moul. Ke kowos oru ouinge kowos kiapwela mwet luk, ac elos lulalfongi kowos.”
20 “‘Kwa hiyo hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi niko kinyume na hizo hirizi zenu za uchawi ambazo kwa hizo mnawatega watu kama ndege, nami nitazirarua kutoka mikononi mwenu, nitawaweka huru watu wale mliowatega kama ndege.
Pa inge ma LEUM GOD Fulatlana El fahk: “Nga srunga mwe lohlpo ma kowos orala in nununku moul ac misa lun mwet. Nga ac sacla liki pouwos, ac aksukosokyela mwet su tuh muta ye ku lowos.
21 Nitazirarua shela zenu na kuwaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu, nao hawatakuwa tena mawindo ya nguvu zenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
Nga ac tulakunla susu nuknuk liki sifowos, ac aksukosokyela mwet luk uh liki ku lowos nwe tok. Na kowos fah etu lah nga pa LEUM GOD.
22 Kwa sababu mliwavunja moyo wenye haki kwa uongo wenu, wakati mimi sikuwaletea huzuni na kwa kuwa mliwatia moyo waovu ili wasiziache njia zao mbaya na hivyo kuokoa maisha yao,
“Kas kikiap lowos uh akmunasyela mwet wo, su nga tia lungse in sun mwe keok. Kowos pirik na mwet koluk uh in tia tui ke orekma koluk, pwanang elos tia konauk inkanek in moul.
23 kwa hiyo hamtaona tena maono ya uongo wala kufanya ubashiri. Nitawaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu. Nanyi ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”
Inge, aruruma kikiap ac kas in palu sutuu lowos uh safla. Nga ac molela mwet luk liki ye ku lowos, na kowos fah etu lah nga pa LEUM GOD.”

< Ezekieli 13 >