< Ezekieli 11 >
1 Ndipo Roho akaniinua na kunileta mpaka kwenye lango la nyumba ya Bwana linalotazama upande wa mashariki. Pale kwenye ingilio la lango kulikuwepo wanaume ishirini na watano, nami nikaona miongoni mwao Yaazania mwana wa Azuri na Pelatia mwana wa Benaya, viongozi wa watu.
Lalu aku diangkat oleh Roh Allah dan dibawa ke pintu gerbang Timur di Rumah TUHAN. Di situ kulihat 25 orang, di antaranya terdapat dua pemimpin bangsa, yaitu Yaazanya anak Azur dan Pelaca anak Benaya.
2 Bwana akaniambia, “Mwanadamu, hawa ndio wafanyao hila na kutoa mashauri potovu katika mji huu.
Allah berkata kepadaku, "Hai manusia fana, inilah orang-orang yang merencanakan kejahatan di kota ini dan memberi nasihat yang menyesatkan.
3 Wao husema, ‘Je, hivi karibuni hautakuwa wakati wa kujenga nyumba? Mji huu ni chungu cha kupikia, nasi ndio nyama.’
Oleh sebab itu sampaikanlah pesan-Ku tentang hukuman bagi mereka, hai manusia fana. Sebab mereka mengatakan, 'Tak lama lagi rumah-rumah ini akan kita bangun kembali. Kota ini adalah periuk dan kitalah daging di dalamnya. Kita akan aman dari kecamuk api karena dilindungi oleh periuk ini.'"
4 Kwa hiyo toa unabii dhidi yao, tabiri, Ewe mwanadamu.”
5 Kisha Roho wa Bwana akaja juu yangu, naye akaniambia niseme: “Hili ndilo Bwana asemalo: Hili ndilo ninyi mnalosema, ee nyumba ya Israeli, lakini ninajua mnalowaza mioyoni mwenu.
Kemudian Roh TUHAN meliputi aku, dan aku disuruh TUHAN berkata kepada umat Israel, "Hai bangsa Israel, Aku tahu apa yang kamu katakan dan yang kamu rencanakan.
6 Mmewaua watu wengi katika mji huu na kujaza barabara zake maiti.
Begitu banyak orang yang telah kamu bunuh, sehingga jalan-jalan kota penuh mayat.
7 “Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi: maiti ulizozitupa huko ni nyama na mji huu ni chungu, lakini nitawaondoa mtoke huko.
Sebab itu, Aku, TUHAN Yang Mahatinggi, berkata kepadamu: Memang, kota ini adalah periuk, tetapi daging di dalamnya bukan kamu, melainkan mayat orang-orang yang telah kamu bunuh! Sedangkan kamu akan Kuusir keluar dari kota ini!
8 Mnaogopa upanga, nao upanga huo ndio nitakaouleta juu yenu, asema Bwana Mwenyezi.
Takutkah kamu kepada pedang? Akan Kudatangkan orang yang membawa pedang untuk menyerangmu.
9 Nitawaondoa mtoke katika mji na kuwatia mikononi mwa wageni nami nitawaadhibu.
Kamu akan Kubawa keluar dari kota dan Kuserahkan kepada orang asing. Aku telah menjatuhkan hukuman mati atas kamu.
10 Mtaanguka kwa upanga, nami nitatimiza hukumu dhidi yenu katika mipaka ya Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana.
Kamu akan tewas dalam peperangan di negerimu sendiri, maka tahulah kamu bahwa Akulah TUHAN.
11 Mji huu hautakuwa chungu kwa ajili yenu, wala hamtakuwa nyama ndani yake. Nitatoa hukumu dhidi yenu katika mipaka ya Israeli.
Jadi, kamu tidak akan aman di dalam kota ini, tidak seperti daging di dalam sebuah periuk. Aku akan mengejar dan menghukum kamu di mana pun kamu berada di negeri Israel.
12 Nanyi mtajua ya kuwa Mimi ndimi Bwana, kwa kuwa hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu, bali mmefuata mwenendo wa mataifa yanayowazunguka.”
Maka tahulah kamu bahwa Akulah TUHAN dan kamu Kuhukum karena telah melanggar peraturan-peraturan-Ku dan mengabaikan perintah-perintah-Ku dengan mengikuti hukum-hukum bangsa-bangsa di sekelilingmu."
13 Basi nilipokuwa ninatoa unabii, Pelatia mwana wa Benaya akafa. Ndipo nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kuu nikasema, “Ee Bwana Mwenyezi! Je utaangamiza kabisa mabaki ya Israeli?”
Sementara aku mengucapkan perkataan itu, tiba-tiba saja Pelaca jatuh lalu mati. Maka aku pun sujud dan berseru, "Aduh TUHAN Yang Mahatinggi! Apakah seluruh sisa Israel ini hendak Kaubunuh?"
14 Neno la Bwana likanijia kusema:
TUHAN berkata kepadaku lagi,
15 “Mwanadamu, ndugu zako, ndugu zako ambao ni wa uhusiano wa damu na nyumba yote ya Israeli, ndio wale ambao watu wa Yerusalemu wamesema, ‘Wako mbali na Bwana; nchi hii tulipewa sisi kuwa milki yetu.’
"Hai manusia fana, engkau dan teman-temanmu dalam pembuangan sedang dipercakapkan oleh penduduk Yerusalem. Kata mereka, 'Orang-orang buangan itu terlalu jauh dari Yerusalem untuk beribadat kepada TUHAN. Tanah Israel sudah diberikan TUHAN kepada kita.'
16 “Kwa hiyo sema, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ingawa niliwapeleka mbali miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbalimbali, lakini kwa kitambo kidogo mimi nimekuwa mahali patakatifu kwao katika nchi walizokwenda.’
Sebab itu, sampaikanlah pesan-Ku ini kepada teman-temanmu dalam pembuangan, bahwa Akulah yang membawa mereka jauh-jauh ke antara bangsa-bangsa dan menyebarkan mereka di negeri-negeri itu. Namun sementara mereka ada di sana, Aku akan mendampingi mereka.
17 “Kwa hiyo sema: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitawakusanyeni kutoka mataifa na kuwarudisha kutoka nchi ambazo mmetawanywa, nami nitawarudishia nchi ya Israeli.’
Aku, TUHAN Yang Mahatinggi, menyatakan bahwa Aku akan mengumpulkan mereka dari negeri-negeri di tempat mereka tersebar, lalu mengembalikan tanah Israel kepada mereka.
18 “Watairudia nchi na kuondoa vinyago vyote vya upotovu na sanamu zote za machukizo.
Bila mereka pulang, mereka akan membuang semua berhala yang keji dan menjijikkan yang mereka temukan.
19 Nitawapa moyo mmoja na kuweka roho mpya ndani yao, nitaondoa kutoka ndani yao moyo wa jiwe na kuwapa moyo wa nyama.
Mereka akan Kuberi hati yang baru dan budi yang baru. Hati mereka yang sekeras batu akan Kuambil dan Kuganti dengan hati yang taat kepada-Ku.
20 Kisha watafuata amri zangu na kuwa waangalifu kutii sheria zangu. Watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao.
Maka mereka akan mentaati peraturan-peraturan-Ku dan setia menuruti segala perintah-Ku. Mereka akan menjadi umat-Ku dan Aku menjadi Allah mereka.
21 Lakini kwa wale ambao mioyo yao imeambatana na vinyago vyao vya upotovu na sanamu zao za machukizo, nitaleta juu ya vichwa vyao yale waliyotenda asema Bwana Mwenyezi.”
Tetapi orang-orang yang suka menyembah berhala-berhala yang keji dan menjijikkan akan Kuhukum karena kelakuan mereka yang jahat itu." Demikianlah kata TUHAN Yang Mahatinggi.
22 Ndipo wale makerubi, wenye magurudumu pembeni mwao, wakakunjua mabawa yao, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.
Kerub-kerub itu mulai terbang dan roda-roda itu ikut juga. Cahaya kemilau yang menandakan kehadiran Allah Israel ada di atas mereka.
23 Basi utukufu wa Bwana ukapaa juu kutoka mji, ukatua juu ya mlima ulio upande wa mashariki ya mji.
Kemudian cahaya kemilau itu meninggalkan Yerusalem dan pindah ke gunung di sebelah timur kota itu.
24 Roho akaniinua na kunileta mpaka kwa watu wa uhamisho huko Ukaldayo nikiwa katika yale maono niliyopewa na Roho wa Mungu. Ndipo maono niliyokuwa nimeyaona yakanitoka,
Dalam penglihatan itu, Roh Allah mengangkat aku dan mengembalikan aku kepada orang-orang buangan di Babel. Kemudian menghilanglah penglihatan itu.
25 nami nikawaeleza wale watu wa uhamisho kila kitu Bwana alichokuwa amenionyesha.
Lalu aku menceritakan kepada orang-orang buangan segala yang diperlihatkan TUHAN kepadaku.