< Ezekieli 11 >

1 Ndipo Roho akaniinua na kunileta mpaka kwenye lango la nyumba ya Bwana linalotazama upande wa mashariki. Pale kwenye ingilio la lango kulikuwepo wanaume ishirini na watano, nami nikaona miongoni mwao Yaazania mwana wa Azuri na Pelatia mwana wa Benaya, viongozi wa watu.
Gode Ea A: silibu da na gaguia gadole, Debolo diasu gusudili logo ga: su amoga oule heda: i. Amo logo ga: su gadenene, na da Isala: ili dunu 25 agoane lelebe ba: i. Amo gilisisu amoga madelale da Isala: ili ouligisu dunu aduna, amo Ya: ia: sanaia (A: se egefe) amola Beladaia (Bina: ia egefe).
2 Bwana akaniambia, “Mwanadamu, hawa ndio wafanyao hila na kutoa mashauri potovu katika mji huu.
Gode da nama amane sia: i, “Dunu egefe! Amo dunu ilia wadela: i hou hamomusa: ilegesa amola moilai bai bagade amo ganodini wadela: i malasu sia: sa.
3 Wao husema, ‘Je, hivi karibuni hautakuwa wakati wa kujenga nyumba? Mji huu ni chungu cha kupikia, nasi ndio nyama.’
Ilia da amane sia: sa, ‘Ninia da hedolowane diasu bu gagumu. Moilai bai bagade da gobele nasu gaga agoai gala amola ninia da hu dadamui sali agoai. Be ninia da gaga amoga gaga: iba: le, lalu da nini hame nesa.’
4 Kwa hiyo toa unabii dhidi yao, tabiri, Ewe mwanadamu.”
Amaiba: le, dunu egefe! Di ilima sisa: i lama.”
5 Kisha Roho wa Bwana akaja juu yangu, naye akaniambia niseme: “Hili ndilo Bwana asemalo: Hili ndilo ninyi mnalosema, ee nyumba ya Israeli, lakini ninajua mnalowaza mioyoni mwenu.
Amalalu, Hina Gode Ea A: silibu da na ouligili, amola Hina Gode da amo Isala: ili dunuma sia: ma: ne, amo sia: nama olelei, “Isala: ili dunu! Dilia ilegesu amola dilia sia: dabe, amo Na dawa:
6 Mmewaua watu wengi katika mji huu na kujaza barabara zake maiti.
Dilia da moilai amo ganodini, dunu bagohame medole legei dagoiba: le, logo huluane da bogoi da: i hodo amoga nabai gala.
7 “Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi: maiti ulizozitupa huko ni nyama na mji huu ni chungu, lakini nitawaondoa mtoke huko.
Amaiba: le, Na, Ouligisudafa Hina Gode, da dilima agoane sia: sa. ‘Dafawane! Yelusaleme da gobele nasu ofodo agoai. Be hu dadamui ganodini sali da dili medole legei dunu ilia bogoi da: i hodo fawane. Dilia da guiguda: hame ba: mu. Na da moilai bai bagade hamega gadili dili galadigimu.
8 Mnaogopa upanga, nao upanga huo ndio nitakaouleta juu yenu, asema Bwana Mwenyezi.
Dilia da gegesu gobihei amoba: le beda: bela: ? Defea! Na da gegesu gobihei gagui dunu dili doagala: musa: oule misunu.
9 Nitawaondoa mtoke katika mji na kuwatia mikononi mwa wageni nami nitawaadhibu.
Na da dili moilai bai bagadega fadegale, ga fi dunu ilima imunu. Na dili bogoma: ne ilegei dagoi.
10 Mtaanguka kwa upanga, nami nitatimiza hukumu dhidi yenu katika mipaka ya Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi Bwana.
Amola dilia da dilia sogea gegenana, medole legei dagoi ba: mu. Amasea, dunu huluane ilia da Na da Hina Godedafa dafawaneyale dawa: mu.
11 Mji huu hautakuwa chungu kwa ajili yenu, wala hamtakuwa nyama ndani yake. Nitatoa hukumu dhidi yenu katika mipaka ya Israeli.
Yelusaleme da gobele nasu ofodo amo da hu gaga: sa, amo defele dili hame gaga: mu. Be dilia Isala: ili soge amo ganodini adi sogebiga esalea, Na da dilima se dabe imunu.
12 Nanyi mtajua ya kuwa Mimi ndimi Bwana, kwa kuwa hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu, bali mmefuata mwenendo wa mataifa yanayowazunguka.”
Na da Hina Godedafa, amo dilia da dawa: mu. Amola dilia da dilia na: iyado fifi asi gala amo ilia malei amoma fa: no bobogebeba: le, dilia da Na malei amola sema mae nabane fisu, amo amola dilia da dawa: mu.’”
13 Basi nilipokuwa ninatoa unabii, Pelatia mwana wa Benaya akafa. Ndipo nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kuu nikasema, “Ee Bwana Mwenyezi! Je utaangamiza kabisa mabaki ya Israeli?”
Na da Gode Ea hamomu olelela: loba, Beladaia da dafane bogoi dagoi. Na da midadi odagi osoba guduli gala: lasa: ili, amane wele sia: i, “Ouligisu Hina Gode! Hame mabu! Di da Isala: ili dunu mogi esalebe, amo huluanedafa medole legema: bela: ?”
14 Neno la Bwana likanijia kusema:
Hina Gode da nama amane sia: i,
15 “Mwanadamu, ndugu zako, ndugu zako ambao ni wa uhusiano wa damu na nyumba yote ya Israeli, ndio wale ambao watu wa Yerusalemu wamesema, ‘Wako mbali na Bwana; nchi hii tulipewa sisi kuwa milki yetu.’
“Dunu egefe! Yelusaleme amo ganodini esalebe dunu ilia dia hou amola dia na: iyado Isala: ili mugululi misi dunu ilia hou sia: dala. Ilia da amane sia: daha, ‘Mugululi asi dunu da badilia esalebeba: le, ilia Hina Godema nodone sia: ne gadomu hamedeidafa. E da ninia fawane gaguli fima: ne, Isala: ili soge i dagoi.’
16 “Kwa hiyo sema, ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ingawa niliwapeleka mbali miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbalimbali, lakini kwa kitambo kidogo mimi nimekuwa mahali patakatifu kwao katika nchi walizokwenda.’
Waha, dia na: iyado mugululi misi dunu ilima Na sia: be goe olelema. Na fawane da ili fifi asi gala amo ganodini esaloma: ne afagogole asunasi. Be wali Na da ili mae fisili, ga fi soge amoga ilia esala, amo ganodini, Na amola nini gilisili esalumu.
17 “Kwa hiyo sema: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Nitawakusanyeni kutoka mataifa na kuwarudisha kutoka nchi ambazo mmetawanywa, nami nitawarudishia nchi ya Israeli.’
Amaiba: le, Na, Ouligisu Hina Gode, Na adoi ilima olelema. Na da ili soge enoga afagogoi. Be Na da amoga ili bu la: dili gegedole, Isala: ili soge ilima bu imunu.
18 “Watairudia nchi na kuondoa vinyago vyote vya upotovu na sanamu zote za machukizo.
Ilia bu sinidigisia, ilia baligili wadela: i ledo ogogosu ‘gode’ liligi huluane, fadegale fasima: ne sia: ma.
19 Nitawapa moyo mmoja na kuweka roho mpya ndani yao, nitaondoa kutoka ndani yao moyo wa jiwe na kuwapa moyo wa nyama.
Na da ilima dogo gaheabolo amola asigi dawa: su gaheabolo imunu. Na da ilia gasa fi dogo igi agoane ga: nasi hamoi, amo fadegale, ilima nabasu dogo imunu.
20 Kisha watafuata amri zangu na kuwa waangalifu kutii sheria zangu. Watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao.
Amasea, ilia da Na malei amola Na hamoma: ne sia: i noga: le nabalu, amoga fa: no bobogemu. Ilia Na fi agoane ba: mu, amola Na da ilia Gode esalumu.
21 Lakini kwa wale ambao mioyo yao imeambatana na vinyago vyao vya upotovu na sanamu zao za machukizo, nitaleta juu ya vichwa vyao yale waliyotenda asema Bwana Mwenyezi.”
Be dunu amo da ledo bagade wadela: i ogogosu loboga hamoi ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadomusa: hanai gala, ilima Na da se dabe imunu. Ilia hamobeba: le, Na da ilima se imunu.” Ouligisu Hina Gode da sia: i dagoi.
22 Ndipo wale makerubi, wenye magurudumu pembeni mwao, wakakunjua mabawa yao, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.
Esalebe liligi da muni wa: leheda: i, amola emo sisiga: i da gilisili heda: i. Isala: ili Gode Ea nenemegi hadigi da ili da: iya gado diga: la: lebe ba: i.
23 Basi utukufu wa Bwana ukapaa juu kutoka mji, ukatua juu ya mlima ulio upande wa mashariki ya mji.
Amalalu, nenemegi hadigi da moilai yolesili, gusudili goumi da: iya gasi heda: i.
24 Roho akaniinua na kunileta mpaka kwa watu wa uhamisho huko Ukaldayo nikiwa katika yale maono niliyopewa na Roho wa Mungu. Ndipo maono niliyokuwa nimeyaona yakanitoka,
Na ba: la: lusu ganodini, Gode Ea A: silibu da na oule heda: le, bu mugululi misi dunu Ba: bilone soge ganodini esalebe, amoga oule misi. Amalalu, na esala ba: su amoi dagoi ba: i.
25 nami nikawaeleza wale watu wa uhamisho kila kitu Bwana alichokuwa amenionyesha.
Amalalu, na da Hina Gode Ea nama adoi liligi huluane, amo mugululi misi dunuma alofele olelei.

< Ezekieli 11 >