< Ezekieli 10 >

1 Nikatazama, nikaona juu ya ile nafasi iliyokuwa juu ya vichwa vya wale makerubi kulikuwa na kitu mfano wa kiti cha enzi cha yakuti samawi.
Na ba: loba, esalebe liligi ilia dialuma gado amo wagebei diasu figisu agoane dialebe, amoga gadodili fisu igi ida: iwane gala amoga hamoi dialebe ba: i.
2 Bwana akamwambia mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani, “Ingia katikati ya yale Magurudumu yaliyo chini ya makerubi. Ukaijaze mikono yako makaa ya mawe ya moto kutoka katikati ya makerubi na uyatawanye juu ya mji.” Nilipokuwa nikiangalia, akaingia ndani.
Gode da ahea: iai abula ga: i dunuma amane sia: i, “Di emo sisiga: i gilisi amo dibidi asili, lalu oso loboga gasa: le gaguma. Amalu, moilai bai bagadedi afagogolesima. Na da ea ahoabe ba: i.
3 Basi wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa Hekalu wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ule ukumbi wa ndani.
E da ganodini golili daloba, esalebe liligi ilia da Debolo diasu gadili (north) la: dili lelebe ba: i. Ganodini gagoi gaga: i sogebi amo da mu mobiga dedeboi dagoi ba: i.
4 Kisha utukufu wa Bwana ukainuka kutoka juu ya wale makerubi ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Wingu likajaza Hekalu, nao ukumbi ukajawa na mngʼao wa utukufu wa Bwana.
Hina Gode Ea nenemegi hadigi, esalebe liligi amo da: iya dialebe, amo da heda: le, Debolo logo holeiga aligila asi. Amalalu, mu mobi da Debolo diasu nabalesi, amola ganodini gagoi gaga: i sogebi da nenegala: i dialebe ba: i.
5 Sauti ya mabawa ya wale makerubi ingeweza kusikika mpaka kwenye ukumbi wa nje, kama sauti ya Mungu Mwenyezi wakati anapoongea.
Esalebe liligi ilia ougia ga: , amo hamega gadili lefulubi dunu huluane ilia da nabi. Amo ga: da Gode Bagadedafa Ea Sia: defele nabi.
6 Bwana alipomwamuru yule mtu aliyevaa nguo za kitani akisema, “Chukua moto toka katikati ya magurudumu, kutoka katikati ya makerubi,” yule mtu aliingia ndani akasimama pembeni mwa gurudumu.
Hina Gode da ahea: iai abula ga: i dunu amoma lalu oso, amo esalebe liligi hagudu emo sisiga: i dibidi dialebe dama: ne sia: beba: le, e da golili sa: ili, emo sisiga: i afae amoga dafulili lelu.
7 Ndipo mmoja wa wale makerubi akanyoosha mkono wake kwenye moto uliokuwa katikati yao. Akachukua baadhi ya moto na kuutia mikononi mwa yule mtu aliyevaa mavazi ya kitani, naye akaupokea akatoka nje.
Esalebe liligi afae da ea lobo, emo sisiga: i adoba lalu amo ganodini sanasili, lalu oso gasa: le, ahea: iai abula ga: i dunu ea lobo da: iya ligisi. Amo dunu da amo lale, gaguli asi.
8 (Chini ya mabawa ya makerubi paliweza kuonekana kitu kilichofanana na mikono ya mwanadamu.)
Na ba: loba, esalebe liligi afae afae da ilia ougia hagududi, dunu lobo agoai diafulubi ba: i.
9 Nikatazama, nikaona magurudumu manne kando ya makerubi, moja kando ya kila kerubi. Magurudumu hayo yalimetameta kama kito cha zabarajadi.
Na da esalebe liligi biyaduyale gala ba: laloba, na da emo sisiga: i biyaduyale gala, amo afae afae da ili galu dafulili osoboga digila sa: i bai. Emo sisiga: i da defele agoai ba: i. Ilia afae afae ea hadigi da igi ida: iwane agoane ba: i. Amola amo sisiga: i emo afae afae amo ganodini emo sisiga: i eno bulufalegele dialebe ba: i. Amaiba: le, amo emo sisiga: i da la: dila la: dilale ahoasu dawa: i galu. Esalebe liligi ilia da: i hodo (baligi amola lobo amola ougia amola huluane) amola emo sisiga: i fe amoga si bagohame dedeboi dagoi ba: i. (Amo emo sisiga: i da na musa: esala ba: su ganodini ba: i defele ba: i.) Na da sia: be amane nabi, “Emo sisiga: i da sisiga: le ahoabe.” Amola amo esalebe liligi ilia odagi biyaduyale da hisu hisu ba: i. Midadini da dunu odagi agoane ba: i. Lobodafadili, da laione wa: me ea odagi agoai ba: i. Lobo fofadini da bulamagau gawali ea odagi agoai ba: i. Amola baligidi da buhiba ea odagi agoai ba: i. (Amo esalebe liligi da na musa: esala ba: su Giba Hano gadenene ba: i, amo defele ba: i.) Esalebe liligi da ahoanoba, emo sisiga: i amola da gilisili ahoanebe ba: i. Amola esalebe liligi da gado heda: loba, emo sisiga: i amola da gilisili heda: su. Esalebe liligi da ilia hanaiga ahoasu amola ilia hamobe defele emo sisiga: i da hamosu. Bai esalebe liligi da emo sisiga: i genonesisu. Amaiba: le, esalebe liligi da ahoanoba, o yolesilaloba, o gado heda: loba, emo sisiga: i da galu defele hamosu.
10 Kule kuonekana kwake, yote manne yalifanana kila gurudumu lilikuwa kama linazunguka ndani ya lingine.
11 Yalipozunguka, yalikwenda kokote katika pande nne walikoelekea wale makerubi. Magurudumu hayakugeuka wakati makerubi yalipokwenda. Makerubi walikwenda upande wowote kichwa kilikoelekea pasipo kugeuka walipokuwa wakienda.
12 Miili yao yote, pamoja na migongo yao, mikono na mabawa yao yote yalikuwa yamejaa macho kabisa kama yalivyokuwa yale magurudumu yao manne.
13 Nikasikia magurudumu yakiitwa, “Magurudumu ya kisulisuli.”
14 Kila mmoja wa wale makerubi alikuwa na nyuso nne: Uso mmoja ulikuwa kama vile wa kerubi, uso wa pili ulikuwa wa mwanadamu, uso wa tatu ulikuwa wa simba na uso wa nne ulikuwa wa tai.
15 Kisha makerubi wakapaa juu. Hawa ndio wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto Kebari.
16 Wakati makerubi walipokwenda, magurudumu yaliyoko kando yao yalikwenda na wakati makerubi walipotanda mabawa yao wapate kupaa juu kutoka ardhi, magurudumu yale hayakuondoka pembeni mwao.
17 Makerubi yaliposimama kimya, nayo pia yalitulia kimya, nao makerubi yalipoinuka juu, magurudumu nayo yaliinuka juu pamoja nao, kwa sababu roho ya vile viumbe hai ilikuwa ndani yake.
18 Kisha utukufu wa Bwana ukaondoka pale kwenye kizingiti cha Hekalu na kusimama juu ya wale makerubi.
Amalalu, Hina Gode Ea hadigi nenemegi da Debolo Diasu logo holei yolesili, amo esalebe liligi ilia esaloba amo gado gasi heda: i.
19 Nilipokuwa nikitazama, makerubi yakatanda mabawa yao na kuinuka kutoka ardhini, nao walipokuwa wakienda, yale magurudumu yakaenda pamoja nao. Wakasimama kwenye ingilio la lango la mashariki la nyumba ya Bwana, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ukawa juu yao.
Na da ba: loba, ilia da ougia dalegagili gale, osoboga gudunini hagili heda: i, amola emo sisiga: i amola gilisili heda: i. Ilia da Debolo diasu logo ga: i amo gusudili amogai aligisi, amola hadigi nenemegi da ilima digagala: i gadodili dialu.
20 Hawa walikuwa ndio viumbe hai niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya Mto Kebari, nami nikatambua ya kuwa hao walikuwa makerubi.
Na ba: loba, amo esalebe liligi da na musa: ilia Giba Hano bega: Isala: ili Gode Ea hadigi haguduga ba: i dagoi, dawa: i.
21 Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, mabawa manne, chini ya mabawa yao kulikuwa na kile kilichoonekana kama mikono ya mwanadamu.
Ilia afae afae da odagi biyaduyale gala amola ougia biyaduyale gala amola ilia ougia afae afae hagudu da dunu lobo agoai ba: i.
22 Nyuso zao zilifanana kama zile nilizokuwa nimeziona kando ya Mto Kebari. Kila mmoja alikwenda mbele moja kwa moja.
Ilia odagi da odagi na da musa: Giba Hano bega: ba: i, amo defeledafawane ba: i. Ilia afae afae da midadinimusu fawane afia: i.

< Ezekieli 10 >