< Kutoka 7 >

1 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu kwa Farao, naye Aroni, huyo ndugu yako, atakuwa nabii wako.
BAWIPA ni Mosi koe, nang teh faro siangpahrang e cathut lah na o sak. Na hmau Aron teh na profet lah ao han.
2 Utasema kila kitu nitakachokuagiza, naye Aroni ndugu yako atamwambia Farao awaachie Waisraeli watoke katika nchi yake.
Kâ na poe e naw pueng hah nang ni bout na dei han. Faro siangpahrang ni Isarelnaw hah a ram dawk hoi a tâco sak nahanlah na hmau Aron ni ahni koe a dei pouh han.
3 Lakini nitaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu. Ingawa nitazidisha ishara na maajabu katika Misri,
Kai ni hai Faro e lung ka pata sak vaiteh, Izip ram dawk kaie kângairu mitnoutnaw hah ka pung sak han.
4 hatawasikiliza. Kisha nitaupeleka mkono wangu juu ya Misri, na kwa matendo makuu ya hukumu nitavitoa vikundi vyangu, watu wangu Waisraeli.
Hateiteh, Faro siangpahrang ni nangmae lawk hah ngâi laipalah ao han. Kai ni hai Izip ram lathueng ka kut ka dâw vaiteh, kalenpounge lacik hoi ka ransahu, ka tami Isarelnaw hah Izip ram hoi ka tâcokhai han.
5 Nao Wamisri watajua kuwa Mimi ndimi Bwana nitakapounyoosha mkono wangu dhidi ya Misri na kuwatoa Waisraeli watoke humo.”
Hottelah, Izip ram lathueng ka kut ka dâw vaiteh, Isarelnaw ahnimouh koehoi ka tâcokhai toteh, Kai teh BAWIPA doeh tie Izipnaw ni a panue awh han telah Mosi koe atipouh.
6 Mose na Aroni wakafanya sawasawa kama vile Bwana alivyowaagiza.
Mosi hoi Aron ni BAWIPA e kâpoelawk patetlah a sak roi.
7 Mose alikuwa na umri wa miaka themanini na Aroni alikuwa na umri wa miaka themanini na mitatu walipozungumza na Farao.
Faro koe a dei pouh roi navah, Mosi teh a kum 80, Aron teh a kum 83 touh a pha roi.
8 Bwana akamwambia Mose na Aroni,
BAWIPA ni Mosi hoi Aron koe bout a dei pouh e teh,
9 “Farao atakapowaambia, ‘Fanyeni muujiza,’ basi mwambie Aroni, ‘Chukua fimbo yako na uitupe chini mbele ya Farao,’ nayo fimbo itakuwa nyoka.”
Faro siangpahrang ni nangmouh koe kângairuhno na patue haw tetpawiteh, na sonron hah lat nateh a hmalah tâkhawng pouh telah Aron koe a dei pouh. Sonron haiyah tahrun lah a kangcoung han telah atipouh.
10 Ndipo Mose na Aroni wakaenda kwa Farao wakafanya sawasawa kama vile Bwana alivyoagiza. Aroni akaitupa ile fimbo yake chini mbele ya Farao na maafisa wake, nayo ikawa nyoka.
Mosi hoi Aron ni Faro siangpahrang koe a kâen roi teh BAWIPA ni a dei e patetlah a sak pouh roi. Aron ni Faro siangpahrang hoi a sannaw e hmalah sonron a tâkhawng teh tahrun lah a kangcoung.
11 Farao naye akawaita watu wenye maarifa na wachawi na waganga wa Kimisri, nao wakafanya vivyo hivyo kwa siri ya uganga wao.
Hat navah, Faro siangpahrang ni lungkaangnaw camkathoumnaw hah a kaw teh Izip ram e mitpaleikathoumnaw nihai, hot patetlah a sak awh.
12 Kila mmoja alitupa fimbo yake chini, nayo ikawa nyoka. Lakini fimbo ya Aroni ikazimeza zile fimbo zao.
A sin awh e sonronnaw hah a tâkhawng awh teh tahrun lah a kangcoung awh. Hateiteh, Aron e sonron ni ahnimae sonronnaw hah koung a payawp.
13 Hata hivyo moyo wa Farao ukawa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na Aroni, sawasawa kama vile Bwana alivyokuwa amesema.
BAWIPA ni a dei e patetlah Faro siangpahrang teh a lungpata sak teh, ahnimae lawk hah ngâi laipalah ao.
14 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Moyo wa Farao ni mgumu, anakataa kuwaachia watu kuondoka.
BAWIPA nihai, Faro siangpahrang e lung a pata sak teh Isarelnaw hah tâcawt sak hoeh.
15 Nenda kwa Farao asubuhi wakati anapokwenda mtoni. Ngoja ukingoni mwa Naili ili uonane naye, na uchukue mkononi mwako fimbo ile iliyobadilishwa kuwa nyoka.
Amom vah, Faro siangpahrang koe cet haw. Ahni ni tui namran lah a cei han. Ahni a pha hoehnahlan tuipui namran lah kangdout haw. Tahrun lah kangcoung e sonron hah na kut dawk sin haw.
16 Kisha umwambie, ‘Bwana, Mungu wa Waebrania, amenituma nikuambie: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu jangwani. Lakini hadi sasa hujasikiliza.
Hebru miphunnaw e Cathut Jehovah ni kaie taminaw ni kahrawng vah Kai na bawk hanelah, ahnimouh hah tâcawt sak leih telah kai heh nang koe na patoun toe. Nang ni atu totouh ngâi laipalah na o awh rah.
17 Hili ndilo Bwana asemalo: Kwa hili utajua kuwa Mimi ndimi Bwana: Fimbo iliyo mkononi mwangu nitapiga nayo maji ya Naili nayo yatabadilika kuwa damu.
BAWIPA ni Kai teh BAWIPA doeh tie hah nang ni bangtelamaw na panue thai han tetpawiteh, ka sin e sonron hoi tuipui ka hem vaiteh hote tui teh thi lah a coung han.
18 Samaki waliomo katika Mto Naili watakufa, nao mto utanuka vibaya, Wamisri hawataweza kunywa hayo maji yake.’”
Tuipui dawk kaawm e tanganaw a due awh han. Tuipui hai a hmui a tho han. Izipnaw ni tuipui tui a panuet awh han. Akong hah bout dei pouh telah Mosi koe atipouh.
19 Bwana akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Chukua ile fimbo yako unyooshe mkono wako juu ya maji ya Misri, juu ya chemchemi na mifereji, juu ya madimbwi na mabwawa yote,’ navyo vitabadilika kuwa damu. Damu itakuwa kila mahali katika Misri, hata kwenye vyombo vya miti na vya mawe.”
BAWIPA ni Mosi koe bout a dei pouh e teh, Aron koe, na sonron sin nateh Izip ram kaawm e palang, tuipui, tuikamuem tui, tuido hoi tuiphueknaw pueng e lathueng vah kut dâw haw. Izip ram pueng dawk thing manang, talung hlaamnaw pueng dawk thi ao hane kong hah dei pouh telah atipouh.
20 Mose na Aroni wakafanya kama vile Bwana alivyokuwa amewaagiza. Akainua fimbo yake machoni pa Farao na maafisa wake na kuyapiga maji ya Mto Naili, na maji yote yakabadilika kuwa damu.
Mosi hoi Aron ni BAWIPA ni a dei e patetlah a sak roi teh, Aron ni Faro siangpahrang hoi a sannaw e hmalah sonron a pho teh tuipui a hem teh tui pueng teh thi lah a coung.
21 Samaki katika Mto Naili wakafa, nao mto ukanuka vibaya sana kiasi kwamba Wamisri hawakuweza kunywa maji yake. Damu ilikuwa kila mahali katika nchi ya Misri.
Tuipui dawk kaawm e tanganaw hai a due. Tuipui teh a hmui a tho dawkvah Izip taminaw ni tuipui hah net thai awh hoeh. Izip ram pueng dawk thi hah koung ao.
22 Lakini waganga wa Misri kwa kutumia siri ya uganga wao wakafanya vivyo hivyo, nao moyo wa Farao ukawa mgumu, hakuwasikiliza Mose na Aroni, kama vile Bwana alivyokuwa amesema.
Izip miphun camkathoumnaw ni hai camthoumnae lahoi hottelah a sak awh. BAWIPA ni a dei tangcoung patetlah Faro siangpahrang teh a lungpata teh ahnimae lawk ngâi laipalah ao.
23 Badala yake, Farao akageuka, akaenda kwenye jumba lake la kifalme, wala hakulitia hili moyoni.
Faro teh a im a ban teh hote hnonaw hah a lungthin dawk tat hoeh.
24 Nao Wamisri wote wakachimba kandokando ya Mto Naili kupata maji ya kunywa, kwa sababu hawakuweza kunywa maji ya mto.
Hat navah, Izipnaw ni tuipui tui hah a nei thai awh hoeh dawkvah tui nei hane a hmu thai a nahanlah tuipui rai lah tui a tai awh.
25 Zilipita siku saba baada ya Bwana kuyapiga maji ya Mto Naili.
BAWIPA ni tuipui a hem hnukkhu hnin sari touh aloum sak.

< Kutoka 7 >