< Kutoka 6 >
1 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Sasa utaona kitu nitakachomfanyia Farao: Kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawaachia watu waende; kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawafukuza waondoke nchini mwake.”
and to say LORD to(wards) Moses now to see: see which to make: do to/for Pharaoh for in/on/with hand: power strong to send: depart them and in/on/with hand: power strong to drive out: drive out them from land: country/planet his
2 Pia Mungu akamwambia Mose, “Mimi ndimi Bwana.
and to speak: speak God to(wards) Moses and to say to(wards) him I LORD
3 Nilimtokea Abrahamu, Isaki na Yakobo kama Mungu Mwenyezi, ingawa sikuwajulisha Jina langu, Yehova, Mimi mwenyewe sikujitambulisha kwao.
and to see: see to(wards) Abraham to(wards) Isaac and to(wards) Jacob in/on/with God Almighty and name my LORD not to know to/for them
4 Pia niliweka Agano langu nao kuwapa nchi ya Kanaani, ambako waliishi kama wageni.
and also to arise: establish [obj] covenant my with them to/for to give: give to/for them [obj] land: country/planet Canaan [obj] land: country/planet sojourning their which to sojourn in/on/with her
5 Zaidi ya hayo, nimesikia kilio cha huzuni cha Waisraeli ambao Wamisri wamewatia utumwani, nami nimelikumbuka Agano langu.
and also I to hear: hear [obj] groan son: descendant/people Israel which Egypt to serve [obj] them and to remember [obj] covenant my
6 “Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ndimi Bwana, nami nitawatoa mtoke katika kongwa la Wamisri. Nitawaweka huru mtoke kuwa watumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa pamoja na matendo makuu ya hukumu.
to/for so to say to/for son: descendant/people Israel I LORD and to come out: send [obj] you from underneath: under burden Egypt and to rescue [obj] you from service their and to redeem: redeem [obj] you in/on/with arm to stretch and in/on/with judgment great: large
7 Nitawatwaa mwe watu wangu mwenyewe, nami nitakuwa Mungu wenu. Ndipo mtajua kuwa mimi ndimi Bwana Mungu wenu, niliyewatoa chini ya kongwa la Wamisri.
and to take: take [obj] you to/for me to/for people and to be to/for you to/for God and to know for I LORD God your [the] to come out: send [obj] you from underneath: under burden Egypt
8 Nami nitawaleta mpaka nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kumpa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Nitawapa iwe milki yenu. Mimi ndimi Bwana.’”
and to come (in): bring [obj] you to(wards) [the] land: country/planet which to lift: vow [obj] hand: vow my to/for to give: give [obj] her to/for Abraham to/for Isaac and to/for Jacob and to give: give [obj] her to/for you possession I LORD
9 Mose akawaarifu Waisraeli jambo hili, lakini hawakumsikiliza kwa sababu ya maumivu makuu ya moyoni na utumwa wa kikatili.
and to speak: speak Moses so to(wards) son: descendant/people Israel and not to hear: hear to(wards) Moses from shortness spirit and from service severe
10 Ndipo Bwana akamwambia Mose,
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
11 “Nenda, mwambie Farao mfalme wa Misri awaachie Waisraeli waondoke nchini mwake.”
to come (in): come to speak: speak to(wards) Pharaoh king Egypt and to send: let go [obj] son: descendant/people Israel from land: country/planet his
12 Lakini Mose akamwambia Bwana, “Ikiwa Waisraeli hawatanisikiliza, kwa nini yeye Farao anisikilize mimi, ambaye huzungumza kwa kigugumizi?”
and to speak: speak Moses to/for face: before LORD to/for to say look! son: descendant/people Israel not to hear: hear to(wards) me and how? to hear: hear me Pharaoh and I uncircumcised lips
13 Ndipo Bwana akanena na Mose na Aroni kuhusu Waisraeli na Farao mfalme wa Misri, naye akawaamuru wawatoe Waisraeli kutoka Misri.
and to speak: speak LORD to(wards) Moses and to(wards) Aaron and to command them to(wards) son: descendant/people Israel and to(wards) Pharaoh king Egypt to/for to come out: send [obj] son: descendant/people Israel from land: country/planet Egypt
14 Hawa walikuwa wakuu wa jamaa zao: Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli walikuwa Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi. Hawa walikuwa ndio koo za Reubeni.
these head: leader house: household father their son: child Reuben firstborn Israel Hanoch and Pallu Hezron and Carmi these family Reuben
15 Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani. Hawa walikuwa ndio koo za Simeoni.
and son: child Simeon Jemuel and Jamin and Ohad and Jachin and Zohar and Shaul son: child [the] Canaanitess these family Simeon
16 Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi kufuatana na orodha zao: Gershoni, Kohathi na Merari. Lawi aliishi miaka 137.
and these name son: child Levi to/for generation their Gershon and Kohath and Merari and year life Levi seven and thirty and hundred year
17 Wana wa Gershoni kwa koo, walikuwa Libni na Shimei.
son: child Gershon Libni and Shimei to/for family their
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.
and son: child Kohath Amram and Izhar and Hebron and Uzziel and year life Kohath three and thirty and hundred year
19 Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Lawi kufuatana na orodha zao.
and son: child Merari Mahli and Mushi these family [the] Levi to/for generation their
20 Amramu akamwoa Yokebedi, shangazi yake, ambaye alimzalia Aroni na Mose. Amramu aliishi miaka 137.
and to take: marry Amram [obj] Jochebed aunt his to/for him to/for woman: wife and to beget to/for him [obj] Aaron and [obj] Moses and year life Amram seven and thirty and hundred year
21 Wana wa Ishari walikuwa Kora, Nefegi na Zikri.
and son: child Izhar Korah and Nepheg and Zichri
22 Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elisafani na Sithri.
and son: child Uzziel Mishael and Elizaphan and Sithri
23 Aroni akamwoa Elisheba binti wa Aminadabu ndugu yake Nashoni, naye akamzalia Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
and to take: marry Aaron [obj] Elisheba daughter Amminadab sister Nahshon to/for him to/for woman: wife and to beget to/for him [obj] Nadab and [obj] Abihu [obj] Eleazar and [obj] Ithamar
24 Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasafu. Hawa walikuwa ndio koo za Kora.
and son: child Korah Assir and Elkanah and Abiasaph these family [the] Korahite
25 Eleazari mwana wa Aroni akamwoa mmoja wa binti za Putieli, naye akamzalia Finehasi. Hawa walikuwa ndio wakuu wa jamaa za Walawi, ukoo kwa ukoo.
and Eleazar son: child Aaron to take: marry to/for him from daughter Putiel to/for him to/for woman: wife and to beget to/for him [obj] Phinehas these head: leader father [the] Levi to/for family their
26 Hawa walikuwa Aroni na Mose wale wale ambao Bwana aliwaambia, “Watoeni Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.”
he/she/it Aaron and Moses which to say LORD to/for them to come out: send [obj] son: descendant/people Israel from land: country/planet Egypt upon army their
27 Ndio hao hao waliozungumza na Farao mfalme wa Misri kuhusu kuwatoa Waisraeli Misri. Ilikuwa ni huyo Mose na huyo Aroni.
they(masc.) [the] to speak: speak to(wards) Pharaoh king Egypt to/for to come out: send [obj] son: descendant/people Israel from Egypt he/she/it Moses and Aaron
28 Bwana aliponena na Mose huko Misri,
and to be in/on/with day to speak: speak LORD to(wards) Moses in/on/with land: country/planet Egypt
29 akamwambia, “Mimi ndimi Bwana. Mwambie Farao mfalme wa Misri kila kitu nikuambiacho.”
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say I LORD to speak: speak to(wards) Pharaoh king Egypt [obj] all which I to speak: speak to(wards) you
30 Lakini Mose akamwambia Bwana, “Kwa kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao atanisikiliza mimi?”
and to say Moses to/for face: before LORD look! I uncircumcised lips and how? to hear: hear to(wards) me Pharaoh