< Kutoka 5 >

1 Baadaye Mose na Aroni wakaenda kwa Farao, wakamwambia, “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Waruhusu watu wangu waende, ili waweze kunifanyia sikukuu huko jangwani.’”
Aftir these thingis Moises and Aaron entriden, and seiden to Farao, The Lord God of Israel seith these thingis, Delyuere thou my puple, that it make sacrifice to me in deseert.
2 Farao akasema, “Huyo Bwana ni nani, hata nimtii na kuruhusu Israeli uende? Simjui huyo Bwana wala sitawaruhusu Israeli waende.”
And he answeride, Who is the Lord, that Y here his vois, and delyuere Israel? I knowe not the Lord, and Y schal not delyuere Israel.
3 Ndipo Mose na Aroni wakasema, “Mungu wa Waebrania amekutana nasi. Sasa turuhusu tuwe na safari ya siku tatu ya jangwani ili tukamtolee Bwana Mungu wetu dhabihu, la sivyo aweza kutupiga sisi kwa tauni au kwa upanga.”
Thei seiden, God of Ebrews clepide vs, that we go the weie of thre daies in to wildirnesse, and that we make sacrifice to oure Lord God, lest perauenture pestilence, ether swerd, bifalle to vs.
4 Lakini mfalme wa Misri akasema, “Mbona ninyi Mose na Aroni mnawachukua watu waache kazi zao? Rudini kwenye kazi zenu!”
The kyng of Egipt seide to hem, Moises and Aaron, whi stiren ye the puple fro her werkis? Go ye to youre chargis.
5 Kisha Farao akasema, “Tazama, sasa watu hawa ni wengi, nanyi mnawazuia kufanya kazi.”
And Farao seide, The puple of the loond is myche; ye seen that the cumpany hath encreessid; hou myche more schal it encreesse, if ye schulen yyue to hem reste fro werkis.
6 Siku iyo hiyo Farao akatoa amri hii kwa viongozi wa watumwa na wasimamizi wa watu akawaambia:
Therfor Farao comaundide in that dai to the maistris of werkis, and to rente gadereris of the puple,
7 “Tangu sasa msiwape hawa watu nyasi za kutengenezea matofali. Wao wakusanye nyasi zao wenyewe.
and seide, Ye schulen no more yyue stre to the puple, to make tijl stoonys as bifore; but go thei, and gedere stobil;
8 Lakini watakeni kutengeneza matofali kiasi kile kile cha mwanzo, kiwango kisipunguzwe. Wao ni wavivu, ndiyo sababu wanalia, wakisema, ‘Turuhusiwe twende kumtolea Mungu wetu dhabihu.’
and ye schulen sette on hem the mesure of tijl stoonys, which thei maden bifore, nether ye schulen abate ony thing; for thei ben idil, and therfor thei crien, and seien, Go we, and make we sacrifice to oure God;
9 Fanyeni kazi kuwa ngumu zaidi kwa watu hao ili kwamba wakazane na kazi na kuacha kusikiliza uongo.”
be thei oppressid bi werkis, and fille thei tho, that thei assente not to the false wordis.
10 Basi viongozi wa watumwa na wasimamizi wakaenda kuwaambia watu, “Hivi ndivyo Farao asemavyo: ‘Sitawapa tena nyasi.
Therfor the maistris of the workis and the rente gadereris yeden out to the puple, and seiden, Thus seith Farao, Y yyue not to you stre;
11 Nendeni mkatafute nyasi wenyewe popote mnapoweza kuzipata, lakini kazi yenu haitapunguzwa hata kidogo.’”
go ye, and gadere, if ye moun fynde ony where; nether ony thing schal be decreessid of youre werk.
12 Basi watu wakatawanyika kote nchini Misri kukusanya mabua ya kutumia badala ya nyasi.
And the puple was scaterid bi al the lond of Egipt to gadre stre.
13 Viongozi wa watumwa wakasisitiza, wakisema, “Timizeni kazi mnayotakiwa kwa kila siku, kama wakati ule mlipokuwa mkipewa nyasi.”
And the maystris of werkis weren bisi, and seiden, Fille ye youre werk ech dai, as ye weren wont to do, whanne the stre was youun to you.
14 Wasimamizi wa Kiisraeli waliochaguliwa na viongozi wa watumwa wa Farao walipigwa na kuulizwa, “Kwa nini hamkutimiza kiwango chenu cha kutengeneza matofali jana na leo, kama mwanzoni?”
And thei, that weren maistris of the werkis of the sones of Israel, weren betun of the rent gadereris of Farao, that seiden, Whi filliden ye not the mesure of tijl stoonus, as bifore, nether yistirdai nethir to dai?
15 Ndipo wasimamizi wa Kiisraeli wakaenda kumlilia Farao, wakisema: “Mbona umewatendea watumishi wako hivi?
And the souereyns of the sonys of Israel camen, and crieden to Farao, and seiden, Whi doist thou so ayens thi seruauntis?
16 Watumishi wako hawapewi nyasi, hata hivyo tumeambiwa, ‘Tengenezeni matofali!’ Watumishi wako wanapigwa, lakini kosa ni la watu wako wenyewe.”
Stre is not youun to vs, and tijl stoonus ben comaundid in lijk manere. Lo! we thi seruauntis ben betun with scourgis, and it is doon vniustli ayens thi puple.
17 Farao akasema, “Ninyi ni wavivu ndiyo sababu mnasema, ‘Turuhusu twende tukamtolee Bwana dhabihu.’
Farao seide, Ye yyuen tent to idilnesse, and therfor ye seien, Go we, and make we sacrifice to the Lord;
18 Sasa nendeni kazini. Hamtapewa nyasi zozote, nanyi ni lazima mtengeneze matofali.”
therfor go ye, and worche; stre schal not be youun to you, and ye schulen yelde the customable noumbre of tijl stoonus.
19 Wasimamizi wa Kiisraeli walitambua kuwa wako taabani walipoambiwa, “Hamtakiwi kupunguza idadi ya matofali mliotakiwa kutengeneza kila siku.”
And the souereyns of the children of Israel sien hem silf in yuel, for it was seid to hem, No thing schal be decreessid of tijl stoonus bi alle daies.
20 Walipoondoka kwa Farao, wakawakuta Mose na Aroni wakingojea kukutana nao,
And thei `camen to Moises and Aaron, that stoden euene ayens, and thei `yeden out fro Farao,
21 wakawaambia Mose na Aroni, “Bwana na awaangalie awahukumu ninyi! Mmetufanya tunuke kwa Farao na maafisa wake, nanyi mmeweka upanga mikononi mwao ili kutuua sisi.”
and seiden to `Moises and Aaron, The Lord se, and deme, for ye han maad oure odour to stynke bifore Farao and hise seruauntis; and ye han youe to hym a swerd, that he schulde sle vs.
22 Mose akarudi kwa Bwana na kumwambia, “Ee Bwana, mbona umewaletea watu hawa taabu? Kwa nini basi ukanituma mimi?
And Moises turnede ayen to the Lord, and seide, Lord, whi hast thou turmentid this puple? why sentist thou me?
23 Tangu nilipomwendea Farao kuzungumza naye kwa jina lako, amewaletea taabu watu hawa, nawe kamwe hujawakomboa watu wako.”
For sithen Y entride to Farao, that Y schulde speke in thi name, thou hast turmentid thi puple, and hast not delyuered hem.

< Kutoka 5 >