< Kutoka 5 >
1 Baadaye Mose na Aroni wakaenda kwa Farao, wakamwambia, “Hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Waruhusu watu wangu waende, ili waweze kunifanyia sikukuu huko jangwani.’”
Amalalu, Mousese amola Elane da Felouma misini, ema amane sia: i, “Hina Gode da amane sia: sa, ‘Na fi dunu ga masa: ne, ilia logo doasima. Ilia da Nama nodone sia: ne gadomusa: , wadela: i hafoga: i soge ganodini hahawane gilisisu hamomu galebe.’”
2 Farao akasema, “Huyo Bwana ni nani, hata nimtii na kuruhusu Israeli uende? Simjui huyo Bwana wala sitawaruhusu Israeli waende.”
Felou da bu adole i, “Hina Gode da nowala: ? Na da abuliba: le Ea sia: nabalu, Isala: ili dunu udigili ahoanoma: ne logo doasima: bela: ? Na da Hina Gode hame dawa: Isala: ili dunu ilia da hame gadili masunu.”
3 Ndipo Mose na Aroni wakasema, “Mungu wa Waebrania amekutana nasi. Sasa turuhusu tuwe na safari ya siku tatu ya jangwani ili tukamtolee Bwana Mungu wetu dhabihu, la sivyo aweza kutupiga sisi kwa tauni au kwa upanga.”
Mousese amola Elane da amane sia: i, “Hibulu dunu ilia Gode da anima misi. Ninia da eso udiana wadela: i soge ganodini asili, Hina Godema gobele salasu hamomu hanai. Agoane hame hamosea, Hina Gode da olo bagade o gegesu bagade amoga nini fanelegemu.”
4 Lakini mfalme wa Misri akasema, “Mbona ninyi Mose na Aroni mnawachukua watu waache kazi zao? Rudini kwenye kazi zenu!”
Felou da Mousese amola Elane elama amane sia: i, “Ani da abuliba: le, Isala: ili udigili hawa: hamosu dunuma ilia hawa: hamosu fisimusa: sia: sala: ? Ilia bu hawa: hamomusa: sia: ma.
5 Kisha Farao akasema, “Tazama, sasa watu hawa ni wengi, nanyi mnawazuia kufanya kazi.”
Dilia Isala: ili fi dunu idi da Idibidi dunu ilia idi amo baligi dagoi. Amola wali alia da ilia hawa: hamosu logo damumusa: dawa: lala.”
6 Siku iyo hiyo Farao akatoa amri hii kwa viongozi wa watumwa na wasimamizi wa watu akawaambia:
Amo esoha Felou da Idibidi ouligisu dunu amola Isala: ili ouligisu dunu ilima amane sia: i,
7 “Tangu sasa msiwape hawa watu nyasi za kutengenezea matofali. Wao wakusanye nyasi zao wenyewe.
“Dilia Isala: ili dunuma ilia ga: i (osoboga hamoi igi) hamoma: ne gisi mae ima. Ilisu gisi hogola masa: ne sia: ma.
8 Lakini watakeni kutengeneza matofali kiasi kile kile cha mwanzo, kiwango kisipunguzwe. Wao ni wavivu, ndiyo sababu wanalia, wakisema, ‘Turuhusiwe twende kumtolea Mungu wetu dhabihu.’
Be ilia da osoboga hamoi igi idi da hame fonobomu. Ilia da waha hamosa defele hamomu. Ilia hawa: hamosu da fonobahadi fawane. Ilia da hawa: hamosu higa: iba: le, ilia da gadili ilia Godema gobele salasu hamoma: ne nama adole ba: lala.
9 Fanyeni kazi kuwa ngumu zaidi kwa watu hao ili kwamba wakazane na kazi na kuacha kusikiliza uongo.”
Hawa: hamosu gasa bagade ilima olelema. Amasea, ilia da ogogosu sia: amo nabimu hamedeiwane ba: mu.”
10 Basi viongozi wa watumwa na wasimamizi wakaenda kuwaambia watu, “Hivi ndivyo Farao asemavyo: ‘Sitawapa tena nyasi.
Idibidi hawa: hamosu ouligisu dunu amola Isala: ili ouligisu dunu da asili, Isala: ili dunuma amane sia: i, “Felou da dilima gisi eno hame imunu sia: i.
11 Nendeni mkatafute nyasi wenyewe popote mnapoweza kuzipata, lakini kazi yenu haitapunguzwa hata kidogo.’”
E da dilisu gisi hogoma: ne amola ga: i dilia waha idi defele hamoma: ne sia: sa.”
12 Basi watu wakatawanyika kote nchini Misri kukusanya mabua ya kutumia badala ya nyasi.
Amaiba: le, Isala: ili dunu da Idibidi soge huluane amoga gisi hogola asi.
13 Viongozi wa watumwa wakasisitiza, wakisema, “Timizeni kazi mnayotakiwa kwa kila siku, kama wakati ule mlipokuwa mkipewa nyasi.”
Idibidi gasa bagade ouligisu dunu da ili musa: ga: i idi defele hamoma: ne, ilima gasa bagade hamoi.
14 Wasimamizi wa Kiisraeli waliochaguliwa na viongozi wa watumwa wa Farao walipigwa na kuulizwa, “Kwa nini hamkutimiza kiwango chenu cha kutengeneza matofali jana na leo, kama mwanzoni?”
Idibidi ouligisu dunu ilia da Isala: ili ouligisu dunu (ilima ilia hawa: hamosu ouligima: ne sia: i) amo bagade fananu. Ilia gasa fili amane sia: i, “Dilia da abuliba: le dilia musa: ga: i (osoboga hamoi igi) idi amo hame hamosala: ?”
15 Ndipo wasimamizi wa Kiisraeli wakaenda kumlilia Farao, wakisema: “Mbona umewatendea watumishi wako hivi?
Amalalu, Isala: ili ouligisu dunu ilia da Felouma asili amane sia: i, “Hina bagade! Di da abuliba: le ninima agoane hamosala: ?
16 Watumishi wako hawapewi nyasi, hata hivyo tumeambiwa, ‘Tengenezeni matofali!’ Watumishi wako wanapigwa, lakini kosa ni la watu wako wenyewe.”
Ilia da ninima gisi hame iaha. Be ninia musa: ga: i idi defele hamoma: ne ilia da gasa fili sia: sa. Amola, wali ilia da nini fanana. Ninia hame, be dia fi dunu da giadofasa.”
17 Farao akasema, “Ninyi ni wavivu ndiyo sababu mnasema, ‘Turuhusu twende tukamtolee Bwana dhabihu.’
Be Felou bu adole i, “Dilia da hawa: hamosu higa: iba: le, gadili dia Hina Godema gobele salasu hamoma: ne nama adole ba: sa.
18 Sasa nendeni kazini. Hamtapewa nyasi zozote, nanyi ni lazima mtengeneze matofali.”
Wali hawa: hamomusa: masa! Ninia da gisi dilima hame imunu. Be dilia musa: idi amo defele hamoma.”
19 Wasimamizi wa Kiisraeli walitambua kuwa wako taabani walipoambiwa, “Hamtakiwi kupunguza idadi ya matofali mliotakiwa kutengeneza kila siku.”
Amo sia: nababeba: le, Isala: ili hawa: hamosu ouligisu dunu da bidi hamosu da Isala: ili dunuma doaga: i dagoi dawa: i galu. Bai ilia ouligisu dunu da ilia musa: hamoi defele amo hamoma: ne sia: i dagoi.
20 Walipoondoka kwa Farao, wakawakuta Mose na Aroni wakingojea kukutana nao,
Ilia da Felou ea diasu fisili gadili ahoanoba, Mousese amola Elane ili misunu ouesalebe ba: i.
21 wakawaambia Mose na Aroni, “Bwana na awaangalie awahukumu ninyi! Mmetufanya tunuke kwa Farao na maafisa wake, nanyi mmeweka upanga mikononi mwao ili kutuua sisi.”
Ilia da Mousese amola Elane elama amane sia: i, “Alia hamobeba: le, Felou amola ea hina ouligisu dunu da nini bagade higasa. Hina Gode da amo hou ba: i dagoi amola E da alima se imunu. Alia da amo hou hamobeba: le, alia da Idibidi dunu nini fanelegema: ne abalosu logo fodoi dagoi.”
22 Mose akarudi kwa Bwana na kumwambia, “Ee Bwana, mbona umewaletea watu hawa taabu? Kwa nini basi ukanituma mimi?
Amalalu, Mousese da Hina Godema sinidigili amane sia: i, “Hina Gode! Dia da abuliba: le Dia fi dunuma se nabasisala: ? Dia da abuliba: le na guiguda: asunasibala: ?
23 Tangu nilipomwendea Farao kuzungumza naye kwa jina lako, amewaletea taabu watu hawa, nawe kamwe hujawakomboa watu wako.”
Na da Dia sia: Felouma olelemusa: asiba: le, e da eso huluane ilima se bagade iaha. Amola Di da ili fidima: ne hamedafa hamoi!”