< Kutoka 40 >
1 Kisha Bwana akamwambia Mose:
Le Seigneur parla ensuite à Moïse, disant:
2 “Simika Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza.
Au premier mois, au premier jour du mois, tu dresseras le tabernacle de témoignage;
3 Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake.
Et tu y mettras l’arche et tu suspendras devant elle le voile.
4 Kisha ingiza kinara cha taa na uweke taa zake juu yake.
Puis, la table portée, tu mettras sur elle ce qui a été légitimement ordonné. Le chandelier sera placé avec ses lampes,
5 Weka madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba mbele ya Sanduku la Ushuhuda kisha uweke pazia kwenye lango la Maskani ya Mungu.
Ainsi que l’autel d’or sur lequel se brûle de l’encens devant l’arche du témoignage. Tu poseras le voile à l’entrée du tabernacle,
6 “Weka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa mbele ya lango la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania;
Et devant le voile l’autel de l’holocauste;
7 weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.
Le bassin que tu rempliras d’eau, entre l’autel et le tabernacle.
8 Fanyiza ua kuzunguka maskani na uweke pazia penye ingilio la ua.
Tu entoureras de rideaux le parvis et son entrée.
9 “Chukua mafuta ya upako, ipake Maskani ya Mungu pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake; iweke wakfu pamoja na vitu vyote vilivyomo ndani mwake, nayo itakuwa takatifu.
Et, prenant l’huile de l’onction, tu oindras le tabernacle avec ses vases, afin qu’ils soient sanctifiés;
10 Kisha yapake mafuta hayo madhabahu ya kuteketezea sadaka pamoja na vifaa vyake vyote; weka wakfu madhabahu nayo yatakuwa takatifu sana.
L’autel de l’holocauste et tous ses vases;
11 Paka sinia mafuta pamoja na kishikilio chake na uviweke wakfu.
Le bassin avec sa base: tu consacreras toutes choses avec l’huile, afin qu’elles soient très saintes.
12 “Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.
Tu feras approcher Aaron et ses fils de la porte du tabernacle de témoignage, et après les avoir lavés dans l’eau,
13 Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia katikati ya ukuhani.
Tu les revêtiras des saints vêtements, afin qu’ils me servent, et que leur onction serve à un sacerdoce perpétuel.
14 Walete wanawe na uwavike makoti.
Et Moïse fit tout ce qu’avait ordonné le Seigneur.
15 Kisha watie mafuta kama ulivyomtia baba yao, ili nao pia wanitumikie katika kazi ya ukuhani. Kutiwa mafuta kwao kutakuwa kwa ajili ya ukuhani utakaoendelea kwa vizazi vyote vijavyo.”
Ainsi, au premier mois de la seconde année, au premier jour du mois fut placé le tabernacle.
16 Mose akafanya kila kitu sawa kama vile Bwana alivyomwagiza.
Et Moïse le dressa, et il plaça les ais, les soubassements et les leviers, et il posa les colonnes;
17 Kwa hiyo Maskani ya Mungu ilisimikwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, katika mwaka wa pili.
Puis il étendit le toit sur le tabernacle, la couverture ayant été mise par-dessus, comme le Seigneur avait commandé.
18 Mose alipoweka wakfu Maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, akasimamisha mihimili, akatia mataruma na kusimamisha nguzo.
De plus, il plaça le témoignage dans l’arche, ayant posé les leviers au bas et l’oracle au-dessus;
19 Kisha akalitandaza hema juu ya Maskani ya Mungu na kuifunika hema, kama Bwana alivyomwagiza.
Et lorsqu’il eut porté l’arche dans le tabernacle, il suspendit devant elle le voile pour accomplir l’ordre du Seigneur.
20 Akachukua ule Ushuhuda na kuuweka ndani ya Sanduku la Agano, akaweka ile mipiko ya kubebea hilo Sanduku na kuweka kiti cha rehema juu yake.
Il posa aussi la table dans le tabernacle de témoignage du côté septentrional, en dehors du voile,
21 Kisha Mose akalileta Sanduku ndani ya Maskani ya Mungu, akatundika pazia ili kulifunika Sanduku la Ushuhuda, kama Bwana alivyomwagiza.
Les pains de proposition étant rangés devant, comme avait ordonné le Seigneur à Moïse.
22 Mose akaweka meza ndani ya Hema la Kukutania, upande wa kaskazini ya Maskani ya Mungu nje ya pazia
Il posa de plus le chandelier dans le tabernacle de témoignage, vis-à-vis de la table, à la partie australe,
23 na kupanga mikate juu yake mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.
Les lampes ayant été placées en ordre, selon le précepte du Seigneur.
24 Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la Kukutania mkabala na meza upande wa kusini mwa Maskani ya Mungu
Il mit encore l’autel d’or sous le toit de témoignage contre le voile,
25 na kuziweka taa mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.
Et il brûla sur lui un parfum d’aromates, comme l’avait commandé le Seigneur à Moïse,
26 Mose akaweka madhabahu ya dhahabu ndani ya Hema la Kukutania mbele ya pazia
Il posa de plus le voile à l’entrée du tabernacle de témoignage,
27 na kufukiza uvumba wenye harufu nzuri, kama Bwana alivyomwagiza.
Et l’autel de l’holocauste dans le vestibule de témoignage, offrant sur lui l’holocauste et les sacrifices, comme le Seigneur avait commandé.
28 Kisha akaweka pazia kwenye ingilio la Maskani ya Mungu.
Il plaça aussi le bassin entre le tabernacle de témoignage et l’autel, et il le remplit d’eau.
29 Mose akaweka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa karibu na ingilio la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, na kutoa juu yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka kama Bwana alivyomwagiza.
Et Moïse et Aaron et ses fils lavaient leurs mains et leurs pieds,
30 Akaweka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili ya kunawia,
Lorsqu’ils entraient sous le toit d’alliance, et s’approchaient de l’autel, comme avait ordonné le Seigneur à Moïse.
31 Naye Mose, Aroni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao.
Il dressa aussi le parvis autour du tabernacle et de l’autel, le voile ayant été tendu à son entrée. Après que tout fut achevé,
32 Wakanawa kila walipoingia katika Hema la Kukutania au walipoikaribia madhabahu kama Bwana alivyomwagiza Mose.
La nuée couvrit le tabernacle de témoignage et la gloire du Seigneur le remplit.
33 Kisha Mose akafanya ua kuizunguka Maskani ya Mungu na madhabahu, pia akaweka pazia kwenye ingilio la huo ua. Hivyo Mose akaikamilisha kazi.
Et Moïse ne pouvait entrer sous le toit d’alliance, la nuée couvrant tout, et la majesté du Seigneur brillant, parce que la nuée avait tout couvert.
34 Ndipo wingu likafunika Hema la Kukutania, na utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu.
Si quelquefois la nuée quittait le tabernacle, les enfants d’Israël partaient selon leurs bandes;
35 Mose hakuweza kuingia ndani ya Hema la Kukutania kwa sababu wingu lilikuwa limetua juu ya Hema, nao utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu.
Si elle restait suspendue au-dessus, ils demeuraient dans le même lieu.
36 Katika safari yote ya Waisraeli, kila wakati wingu lilipoinuka kutoka juu ya Maskani ya Mungu, wangeondoka;
Car la nuée du Seigneur reposait pendant le jour au-dessus du tabernacle, et un feu durant la nuit, tous les peuples d’Israël le voyant de toutes leurs demeures.
37 lakini kama wingu halikuinuka, hawakuondoka, mpaka siku lilipoinuka.
38 Kwa hiyo wingu la Bwana lilikuwa juu ya maskani mchana, na moto ulikuwa katika hilo wingu wakati wa usiku, machoni pa nyumba yote ya Israeli siku zote za safari zao.