< Kutoka 40 >

1 Kisha Bwana akamwambia Mose:
Et l'Eternel parla à Moïse, en disant:
2 “Simika Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza.
Au premier jour du premier mois, tu dresseras le pavillon du Tabernacle d'assignation.
3 Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake.
Et tu y mettras l'Arche du Témoignage, au devant de laquelle tu tendras le voile.
4 Kisha ingiza kinara cha taa na uweke taa zake juu yake.
Puis tu apporteras la Table, et y arrangeras ce qui y doit être arrangé. Tu apporteras aussi le chandelier, et allumeras ses lampes.
5 Weka madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba mbele ya Sanduku la Ushuhuda kisha uweke pazia kwenye lango la Maskani ya Mungu.
Tu mettras aussi l'autel d'or pour le parfum au devant de l'Arche du Témoignage; et tu mettras la tapisserie de l'entrée au pavillon.
6 “Weka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa mbele ya lango la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania;
Tu mettras aussi l'autel de l'holocauste vis-à-vis de l'entrée du pavillon du Tabernacle d'assignation.
7 weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.
Tu mettras aussi la cuve entre le Tabernacle d'assignation et l'autel, et y mettras de l'eau.
8 Fanyiza ua kuzunguka maskani na uweke pazia penye ingilio la ua.
Tu mettras aussi le parvis tout à l’entour, et tu mettras la tapisserie à la porte du parvis.
9 “Chukua mafuta ya upako, ipake Maskani ya Mungu pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake; iweke wakfu pamoja na vitu vyote vilivyomo ndani mwake, nayo itakuwa takatifu.
Tu prendras aussi l'huile de l'onction, et tu en oindras le pavillon, et tout ce qui y est, et tu le sanctifieras, avec tous ses ustensiles; et il sera saint.
10 Kisha yapake mafuta hayo madhabahu ya kuteketezea sadaka pamoja na vifaa vyake vyote; weka wakfu madhabahu nayo yatakuwa takatifu sana.
Tu oindras aussi l'autel de l'holocauste, et tous ses ustensiles, et tu sanctifieras l'autel, et l'autel sera très-saint.
11 Paka sinia mafuta pamoja na kishikilio chake na uviweke wakfu.
Tu oindras aussi la cuve et son soubassement, et la sanctifieras.
12 “Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.
Tu feras aussi approcher Aaron et ses fils à l'entrée du Tabernacle d'assignation, et les laveras avec de l'eau.
13 Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia katikati ya ukuhani.
Et tu feras vêtir à Aaron les saints vêtements, tu l'oindras, et le sanctifieras; et il m'exercera la Sacrificature.
14 Walete wanawe na uwavike makoti.
Tu feras aussi approcher ses fils, lesquels tu revêtiras de chemises.
15 Kisha watie mafuta kama ulivyomtia baba yao, ili nao pia wanitumikie katika kazi ya ukuhani. Kutiwa mafuta kwao kutakuwa kwa ajili ya ukuhani utakaoendelea kwa vizazi vyote vijavyo.”
Et tu les oindras comme tu auras oint leur père; et ils m'exerceront la Sacrificature, et leur onction leur sera pour exercer la Sacrificature à toujours, d'âge en âge.
16 Mose akafanya kila kitu sawa kama vile Bwana alivyomwagiza.
Ce que Moïse fit selon toutes les choses que l'Eternel lui avait commandées; il le fit ainsi.
17 Kwa hiyo Maskani ya Mungu ilisimikwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, katika mwaka wa pili.
Car au premier jour du premier mois, en la seconde année, le pavillon fut dressé.
18 Mose alipoweka wakfu Maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, akasimamisha mihimili, akatia mataruma na kusimamisha nguzo.
Moïse donc dressa le pavillon, et mit ses soubassements, et posa ses ais, et mit ses barres, et dressa ses piliers.
19 Kisha akalitandaza hema juu ya Maskani ya Mungu na kuifunika hema, kama Bwana alivyomwagiza.
Et il étendit le Tabernacle sur le pavillon, et mit la couverture du Tabernacle au-dessus du pavillon par le haut, comme l'Eternel l'avait commandé à Moïse.
20 Akachukua ule Ushuhuda na kuuweka ndani ya Sanduku la Agano, akaweka ile mipiko ya kubebea hilo Sanduku na kuweka kiti cha rehema juu yake.
Puis il prit et posa le Témoignage dans l'Arche, et mit les barres à l'Arche; il mit aussi le Propitiatoire au-dessus de l'Arche.
21 Kisha Mose akalileta Sanduku ndani ya Maskani ya Mungu, akatundika pazia ili kulifunika Sanduku la Ushuhuda, kama Bwana alivyomwagiza.
Et il apporta l'Arche dans le pavillon, et posa le voile de tapisserie, et le mit au devant de l'Arche du Témoignage, comme l'Eternel l'avait commandé à Moïse.
22 Mose akaweka meza ndani ya Hema la Kukutania, upande wa kaskazini ya Maskani ya Mungu nje ya pazia
Il mit aussi la Table dans le Tabernacle d'assignation, au côté du pavillon, vers le Septentrion, au deçà du voile.
23 na kupanga mikate juu yake mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.
Et il arrangea sur elle les rangées de pains devant l'Eternel, comme l'Eternel l'avait commandé à Moïse.
24 Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la Kukutania mkabala na meza upande wa kusini mwa Maskani ya Mungu
Il mit aussi le chandelier au Tabernacle d'assignation vis-à-vis de la Table au côté du pavillon vers le Midi.
25 na kuziweka taa mbele za Bwana, kama Bwana alivyomwagiza.
Et il alluma les lampes devant l'Eternel, comme l'Eternel l'avait commandé à Moïse.
26 Mose akaweka madhabahu ya dhahabu ndani ya Hema la Kukutania mbele ya pazia
Il posa aussi l'autel d'or au Tabernacle d'assignation devant le voile.
27 na kufukiza uvumba wenye harufu nzuri, kama Bwana alivyomwagiza.
Et il fit fumer sur lui le parfum de drogues, comme l'Eternel l'avait commandé à Moïse.
28 Kisha akaweka pazia kwenye ingilio la Maskani ya Mungu.
Il mit aussi la tapisserie de l'entrée pour le pavillon.
29 Mose akaweka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa karibu na ingilio la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, na kutoa juu yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka kama Bwana alivyomwagiza.
Et il mit l'autel de l'holocauste à l'entrée du pavillon du Tabernacle d'assignation; et offrit sur lui l'holocauste et le gâteau, comme l'Eternel l'avait commandé à Moïse.
30 Akaweka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili ya kunawia,
Et il posa la cuve entre le Tabernacle d'assignation et l'autel, et y mit de l'eau pour se laver.
31 Naye Mose, Aroni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao.
Et Moïse et Aaron avec ses fils en lavèrent leurs mains et leurs pieds.
32 Wakanawa kila walipoingia katika Hema la Kukutania au walipoikaribia madhabahu kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Et quand ils entraient au Tabernacle d'assignation, et qu'ils approchaient de l'autel, ils se lavaient, selon que l'Eternel l'avait commandé à Moïse.
33 Kisha Mose akafanya ua kuizunguka Maskani ya Mungu na madhabahu, pia akaweka pazia kwenye ingilio la huo ua. Hivyo Mose akaikamilisha kazi.
Il dressa aussi le parvis tout à l'entour du pavillon et de l'autel, et tendit la tapisserie de la porte du parvis. Ainsi Moïse acheva l'ouvrage.
34 Ndipo wingu likafunika Hema la Kukutania, na utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu.
Et la nuée couvrit le Tabernacle d'assignation, et la gloire de l'Eternel remplit le pavillon.
35 Mose hakuweza kuingia ndani ya Hema la Kukutania kwa sababu wingu lilikuwa limetua juu ya Hema, nao utukufu wa Bwana ukaijaza Maskani ya Mungu.
Tellement que Moïse ne put entrer au Tabernacle d'assignation, car la nuée se tenait dessus et la gloire de l'Eternel remplissait le pavillon.
36 Katika safari yote ya Waisraeli, kila wakati wingu lilipoinuka kutoka juu ya Maskani ya Mungu, wangeondoka;
Or quand la nuée se levait de dessus le Tabernacle, les enfants d'Israël partaient dans toutes leurs traittes.
37 lakini kama wingu halikuinuka, hawakuondoka, mpaka siku lilipoinuka.
Mais si la nuée ne se levait point, ils ne partaient point jusqu’au jour qu'elle se levait.
38 Kwa hiyo wingu la Bwana lilikuwa juu ya maskani mchana, na moto ulikuwa katika hilo wingu wakati wa usiku, machoni pa nyumba yote ya Israeli siku zote za safari zao.
Car la nuée de l'Eternel [était] le jour sur le pavillon, et le feu y était la nuit, devant les yeux de toute la maison d'Israël, dans toutes leurs traittes.

< Kutoka 40 >