< Kutoka 39 >

1 Kutokana na nyuzi za rangi ya buluu, ya zambarau na nyekundu akatengeneza mavazi yaliyofumwa kwa ajili ya kuhudumu katika mahali patakatifu. Pia akamshonea Aroni mavazi matakatifu, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
A HANA lakou i lole hana, he uliuli, he poni, he ulaula, i mea hana maloko o kahi kapu, a hana no hoi lakou i na kahiko laa no Aarona, e like me ka Iehova i kauoha mai ai ia Mose.
2 Akatengeneza kisibau cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kitani iliyosokotwa vizuri.
A hana iho la oia i ka epoda, he gula, he uliuli, he poni, he ulaula, a me ke olona i hiloia.
3 Akafua vipande vyembamba vya dhahabu kwa nyundo na kutengeneza nyuzi nyembamba ili kuzifuma pamoja na hizo nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi, kazi ya fundi stadi.
A kui lakou i ke gula a lahilahi, a okioki iho la i kaula, i mea hana pu me ka uliuli, a me ka poni, a me ka ulaula, a me ke olona i hiloia, he hana na ka mea akamai.
4 Akatengeneza vipande vya mabegani vya kisibau, vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili kukifungia kisibau.
Hana no hoi lakou i mau apana poohiwi no ka epoda, i mea e uhiia oia a paa. Ua huiia ma na kihi a elua.
5 Mshipi wa kiunoni uliofumwa kwa ustadi ulifanana nacho: ulikuwa kitu kimoja na hicho kisibau, nao ulitengenezwa kwa dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
A o ke kaei o kona epoda, ka mea maluna ona, o ia ano hookahi no, e like me ia i hanaia, he gula, he uliuli, he poni, he ulaula, a me ke olona i hiloia, me ka Iehova i kauoha mai ai ia Mose.
6 Akatengeneza vito vya shohamu vilivyowekwa katika vijalizo vya dhahabu, navyo vilichorwa na majina ya wana wa Israeli kama vile muhuri huchorwa.
A hana iho la lakou i pohaku onika, i hoopaaia a puni iloko o na kawaha gula, i kahakahaia e like me ke kahakaha ana o na hoailona me na inoa o na keiki a Iseraela.
7 Kisha akavifungia kwenye vipande vya mabega ya kisibau kuwa vito vya ukumbusho kwa wana wa Israeli, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
A kau aku la oia ia mau mea maluna o na poohiwi o ka epoda, i pohaku paipai manao no na mamo a Iseraela, me ka Iehova i kauoha mai ai ia Mose.
8 Akafanyiza kifuko cha kifuani, kazi ya fundi stadi. Akakitengeneza kama kile kisibau: cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, cha kitani safi iliyosokotwa.
A hana iho la oia i ka paleumauma, he hana na ka mea akamai, e like me ka hana ana i ka epoda, he gula, he uliuli, he poni, he ulaula, a me ke olona i hiloia.
9 Kifuko hicho kilikuwa cha mraba, chenye urefu wa shibiri moja na upana wa shibiri moja, nacho kilikunjwa mara mbili.
He ahalike ia; a hana lakou i ka paleumauma a papalua: hookahi kikoo kona loa, a hookahi kikoo kona laula, a ua papalua.
10 Kifuko hicho kilipambwa kwa safu nne za vito vya thamani. Safu ya kwanza ilikuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;
A kau lakou iloko olaila i eha lalani pohaku; he saredio, he topazo, he paea, oia ka lalani mua.
11 safu ya pili ilikuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;
A o ka lalani lua, he omaomao he sapeiro, he daimana.
12 safu ya tatu ilikuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;
A o ka lalani kolu, he lesema, he ula, he ametuseto.
13 katika safu ya nne ilikuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Vito hivyo vilitiwa kwenye vijalizo vya dhahabu.
A o ka lalani aha, he berulo, he onika, he iasepi. Ua hoopaaia ia mau mea iloko o na kawaha gula, oia ko lakou mea i paa ai.
14 Palikuwa na vito kumi na viwili, kila kimoja kikiwa na jina mojawapo la wana wa Israeli; kila kimoja kilichorwa kama muhuri kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi na mawili.
A ua like na pohaku me na keiki a Iseraela, he umikumamalua, ma ko lakou inoa, e like me ke kahakaha ana o ka hoailona, o kela mea keia mea ma kona inoa, ma na ohana he umikumamalua.
15 Kwa ajili ya kile kifuko cha kifuani akakitengenezea mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kamba.
A hana no hoi lakou ma ka paleumauma i mau kaula ma na welau, he gula maikai i hiloia.
16 Akatengeneza vijalizo viwili vya dhahabu na pete mbili za dhahabu, na kuzifungia pete hizo kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani.
A hana lakou i elua kawaha gula, a elua hoi apo gula, a hookomo ae la i na apo elua iloko o na welau o ka paleumauma.
17 Akafunga hiyo mikufu miwili ya dhahabu kwenye hizo pete katika pembe za hicho kifuko cha kifuani,
A hookomo lakou i na kaula gula elua i hiloia a i loko o na apo elua ma na welau o ka paleumauma.
18 nazo zile ncha nyingine za mkufu akazifunga kwenye vile vijalizo viwili, na kuzishikamanisha na vile vipande vya mabega vya kile kisibau upande wa mbele.
A hoopaa lakou i na piko o na kaula kilo elua a i na kawaha elua, a kau aku la ia laua maluna o na apana poohiwi o ka epoda, a ma kona alo.
19 Akatengeneza pete mbili za dhahabu na kuzishikamanisha kwenye pembe mbili za chini, upande wa ndani wa kifuko cha kifuani karibu na kisibau.
A hana iho la lakou i elua apo gula, a kau aku la ma na welau elua o ka paleumauma, ma kona kae, ma ka aoao maloko o ka epoda.
20 Kisha akatengeneza pete nyingine mbili za dhahabu na kuzishikamanisha sehemu ya chini ya vipande vya mabega upande wa mbele wa kile kisibau, karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni wa kisibau.
A hana no hoi lakou i elua apo gula, a kau aku la ia laua ma na aoao elua o ka epoda malalo iho, ma kona alo, e ku pono ana i ka huina, maluna o ke kaei o ka epoda.
21 Akafunga pete za hicho kifuko cha kifuani kwenye pete za kisibau kwa kamba ya buluu, wakiziunganisha na ule mshipi wa kiunoni, ili kifuko cha kifuani kisisogee kutoka kwenye kile kisibau, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
A nakinaki lakou i ka paleumauma ma na apo ona, a paa i na apo o ka epoda me ke kaula uliuli, i kau ia maluna o ke kaei o ka epoda, i ole ai e weheia ka paleumauma mai ka epoda aku, me ka Iehova i kauoha mai ai ia Mose.
22 Akashona joho la kisibau lote kwa kitambaa cha rangi ya buluu tupu, kazi ya mfumaji,
A hana iho la oia i ka holoku o ka epoda, he hana na ka mea ulana, he uliuli wale no.
23 na lilikuwa na nafasi ya shingo katikati ya joho lile iliyofanana na ukosi, na utepe ulioshonwa kuizunguka nafasi hiyo ili isichanike.
A he puka no mawaena konu o ka holoku, e like me ka puka o ka puliki koa, ua pelupeluia a puni ka puka, i ole ia e nahae.
24 Akatengeneza makomamanga ya nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na ya kitani iliyosokotwa vizuri kuzunguka pindo la hilo joho.
A hana lakou i mau pomegerane ma na lepa o ka holoku, he uliuli, he poni, he ulaula, a me ke olona i hiloia.
25 Kisha akatengeneza vikengele vya dhahabu safi na kuvishikamanisha kuzunguka pindo hilo kati ya hayo makomamanga.
A hana no hoi lakou i mau bele he gula maikai, a kau aku la i na bele mawaena o na pomegerane, ma ka lepa o ka holoku a puni na pomegerane mawaena.
26 Hivyo vikengele na makomamanga vilipishana kuzunguka upindo wa joho ili livaliwe kwa kuhudumu, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
He bele a me ka pomegerane, he bele a me ka pomegerane, a puni ka lepa o ka holoku hana, me ka Iehova i kauoha mai ai ia Mose.
27 Pia akamtengenezea Aroni na wanawe makoti ya kitani safi, kazi ya mfumaji,
A hana no hoi lakou i mau palule, he olona i hiloia, o ka hana a ka mea ulana, no Aarona, a no kana mau keikikane,
28 na kilemba cha kitani safi, tepe za kichwani za kitani, na nguo za ndani za kitani iliyosokotwa vizuri.
A me ka papale hainaka, he olona keokeo, a me na papale migebo, he olona keokeo, a me na wawae, he olona i hiloia,
29 Mshipi ulikuwa wa kitani iliyosokotwa vizuri ya rangi ya buluu, na zambarau, na nyekundu, kazi ya mtarizi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
A me ke kaei he olona i hiloia, he uliuli, he poni, a me ka ulaula, he mea i humuhumuia: me ka Iehova i kauoha mai ai ia Mose.
30 Kisha akatengeneza lile bamba, taji takatifu, kwa dhahabu safi na kuchora juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: Mtakatifu kwa Bwana.
A hana no hoi lakou i ka papa o ka papale laa, he gula maikai, a palapala iho la i ka palapala e like me ke kahakaha ana o ka hoailona, UA LAA NO IEHOVA.
31 Kisha wakalifunga kwa kamba ya rangi ya buluu ili kulishikamanisha na kile kilemba kama Bwana alivyomwagiza Mose.
A nakinaki lakou ia me ke kaula uliuli, i mea e paa ai ia maluna, ma ka papale; me ka Iehova i kauoha mai ai ia Mose.
32 Kwa hiyo kazi yote ya maskani, Hema la Kukutania ikakamilika. Waisraeli wakafanya kila kitu sawasawa kama vile Bwana alivyomwagiza Mose.
A paa iho la ka hana a pau o ka halelewa, ka halelole hoi o ke anaina kanaka. A hana iho la na mamo a Iseraela, e like me na mea a pau a Iehova i kauoha mai ai ia Mose, pela lakou i hana'i.
33 Ndipo wakaleta maskani kwa Mose: hema pamoja na vifaa vyake vyote, vibanio vyake, mihimili yake, mataruma yake, nguzo na vitako vyake;
A lawe mai lakou i ka halelewa ia Mose, i ka halelole, a me kona oihana a pau, i kona mau lou, i kona mau papa, i kona mau auka e paa ai, i kona mau pou, i kona mau kumu;
34 kifuniko cha ngozi za kondoo dume kilichotiwa rangi nyekundu, kifuniko cha ngozi za pomboo, pazia la kufunikia;
A me ka uhi ili hipakane i hooluu ulaula ia, a me ka uhi ili tehasa, a me ka paku e uhi ai;
35 Sanduku la Ushuhuda pamoja na mipiko yake na kiti cha rehema,
I ka pahu kanawai, a me kona mau auamo, a me ka noho aloha;
36 meza pamoja na vyombo vyake vyote na mikate ya Wonyesho;
I ka papaaina, a me kona oihana, a me ka berena hoike;
37 kinara cha taa cha dhahabu safi, safu zake za taa pamoja na vifaa vyake vyote pamoja na mafuta kwa ajili ya taa;
I ka ipukukui manamana maikai, a me kona mau ipu aila, e ku pololei ana, a me kona oihana a pau, a me ka aila no ka malamalama;
38 madhabahu ya dhahabu, mafuta ya upako, uvumba wenye harufu nzuri na pazia la ingilio la hema;
I ke kuahu gula, a me ka aila poni a me ka mea ala maikai, a me ka pale no ka puka o ka halelewa;
39 madhabahu ya shaba, pamoja na wavu wa shaba, nguzo zake na vyombo vyake vyote, sinia, na tako lake;
I ke kahua keleawe, a me kona pa keleawo manamana pukapuka, a me kona mau auamo, a me kona oihana a pau, i ka ipu auau a me kona kumu;
40 mapazia ya ua pamoja na nguzo na vitako vyake, pia na pazia kwa ajili ya ingilio la kwenye ua; kamba zake na vigingi vya hema kwa ajili ya ua; vyombo vyote vilivyohitajiwa kwa ajili ya maskani, Hema la Kukutania;
I na pale o ke kahua, a me kona mau pou, a me kona mau kumu, a me ka pale no ka puka o ke kahua, a me kona mau kaula, a me kona mau makia, a me na mea hana a pau no ka halelewa, no ka halelole o ke anaina kanaka;
41 na mavazi yaliyofumwa yanayovaliwa wakati wa huduma katika mahali patakatifu, yaani mavazi matakatifu ya kuhani Aroni na mavazi kwa ajili ya wanawe watakapokuwa wakihudumu katika kazi ya ukuhani.
I ka lole hana e hana'i iloko o kahi laa, a mo na kahiko laa no Aarona ke kahuna, a me na kahiko o kana mau keiki, e lawelawe ai ma ka oihana kahuna.
42 Waisraeli walikuwa wamefanya kazi yote sawasawa na vile Bwana alivyokuwa amemwagiza Mose.
E like me ka Iehova i kauoha mai ai ia Mose, pela i hana'i na mamo a Iseraela i ka hana a pau.
43 Mose akakagua kazi na kuona kuwa walikuwa wameifanya sawasawa kama vile Bwana alivyokuwa ameagiza. Kwa hiyo Mose akawabariki.
A makaikai ae la o Mose i ka hana a pau, aia hoi, ua hana lakou ia e like me ka Iehova i kauoha mai ai, pela no lakou i hana'i. A hoomaikai ae la o Mose ia lakou.

< Kutoka 39 >