< Kutoka 39 >
1 Kutokana na nyuzi za rangi ya buluu, ya zambarau na nyekundu akatengeneza mavazi yaliyofumwa kwa ajili ya kuhudumu katika mahali patakatifu. Pia akamshonea Aroni mavazi matakatifu, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Ilia da sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi amo gouli gobiaha: i amola abula noga: idafa amoga gobele salasu dunu ilia da Hadigi Malei Sesei ganodini hawa: hamosea sala, hahamoi dagoi. Hina Gode da Mousesema hamoma: ne sia: i defele ilia da Elane ea gobele salasu abula hamoi.
2 Akatengeneza kisibau cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kitani iliyosokotwa vizuri.
Ilia da ‘ifode’ amo abula noga: i amola sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi amoga hamoi. Noga: i ba: ma: ne ilia da abula amoga fedege amuni.
3 Akafua vipande vyembamba vya dhahabu kwa nyundo na kutengeneza nyuzi nyembamba ili kuzifuma pamoja na hizo nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi, kazi ya fundi stadi.
Ilia da gouli amo ha: maga fane, oudahida: le, efe agoane hamone, amo ilia da ahea: ya: i abula amola sibi hinabo amo ganodini amunasu.
4 Akatengeneza vipande vya mabegani vya kisibau, vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili kukifungia kisibau.
Ilia da bulu aduna amo da ‘ifode’ amo gobele salasu dunu ea gida adunaga lala: gilisimusa: hamoi.
5 Mshipi wa kiunoni uliofumwa kwa ustadi ulifanana nacho: ulikuwa kitu kimoja na hicho kisibau, nao ulitengenezwa kwa dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Amola Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i defele, abula bulu da ‘ifode’ amoma madelagi ba: i.
6 Akatengeneza vito vya shohamu vilivyowekwa katika vijalizo vya dhahabu, navyo vilichorwa na majina ya wana wa Israeli kama vile muhuri huchorwa.
Ilia da ‘ganilia: ne’ igi aduna noga: iwane lale, amoga Ya: igobe egefelali fagoyale gala ilia dio dedene, gouli bai amoga ligisili madelagi.
7 Kisha akavifungia kwenye vipande vya mabega ya kisibau kuwa vito vya ukumbusho kwa wana wa Israeli, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Amalalu, ilia da amo igi, ‘ifode’ gida bulu amo da: iya lala: gilisi. Hina Gode da Mousesema hamoma: ne sia: i defele, Isala: ili fi huluane ilia dio da gobele salasu Ouligisu dunu ea gida da: iya dialebe ba: i.
8 Akafanyiza kifuko cha kifuani, kazi ya fundi stadi. Akakitengeneza kama kile kisibau: cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, cha kitani safi iliyosokotwa.
Ilia da gobele salasu Ouligisu dunu amo salima: ne, bidegi gaga: su amo ‘ifode’ ea sibi hinabo amola abula amuni, amo defele hamoi.
9 Kifuko hicho kilikuwa cha mraba, chenye urefu wa shibiri moja na upana wa shibiri moja, nacho kilikunjwa mara mbili.
Amo ea defei da la: di afae da 22 sedimida amola la: di eno da defele 22 sedimida. Amo abula dogoa selefale abula aduna agoane ba: i.
10 Kifuko hicho kilipambwa kwa safu nne za vito vya thamani. Safu ya kwanza ilikuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;
Amoga igi noga: iwane dadalesu biyaduyale gala bulufalegele lala: gilisi dagoi ba: i. Dadalesu age ganodini, igi udiana amo ‘lubi’, ‘douba: se’ amola ganede lala: gilisi ba: i.
11 safu ya pili ilikuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;
Dadalesu ageyadu ganodini igi udiana eno amo emelalede, ‘sa: faia’ amola ‘daimode’ lala: gilisi dagoi ba: i.
12 safu ya tatu ilikuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;
Dadalesu osoda ganodini igi udiana amo ‘degaoise’, ‘a: gade’ amola ‘a: midiside’ lala: gilisi dagoi ba: i.
13 katika safu ya nne ilikuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Vito hivyo vilitiwa kwenye vijalizo vya dhahabu.
Dadalesu biyadu amo ganodini igi udiana eno amo ‘belile’, ‘ganilia: ne’ amola ‘ya: sabe’ lala: gilisi dagoi ba: i. Amo noga: i igi huluane afae afae gouli bai amoga madelagi bidegi gaga: su bagedigi dialebe ba: i.
14 Palikuwa na vito kumi na viwili, kila kimoja kikiwa na jina mojawapo la wana wa Israeli; kila kimoja kilichorwa kama muhuri kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi na mawili.
Ilia da amo igi fagoyale gala huluane afae afae amoga Ya: igobe egefelali ilia dio huluane dedei. Amo dio da Isala: ili fi fagoyale gala ilia dio olelesu.
15 Kwa ajili ya kile kifuko cha kifuani akakitengenezea mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kamba.
Ilia da bidegi gaga: su amoga gouli sia: ine gobiaha: i defele bione lala: gilisi.
16 Akatengeneza vijalizo viwili vya dhahabu na pete mbili za dhahabu, na kuzifungia pete hizo kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani.
Ilia da gouli gasisalasu aduna gouliga hamoi amo bidegi gaga: su ea gado hegomai aduna amoga lala: gilisi.
17 Akafunga hiyo mikufu miwili ya dhahabu kwenye hizo pete katika pembe za hicho kifuko cha kifuani,
Ilia da gouli sia: ine aduna amo gasisalasuga lala: gilisi.
18 nazo zile ncha nyingine za mkufu akazifunga kwenye vile vijalizo viwili, na kuzishikamanisha na vile vipande vya mabega vya kile kisibau upande wa mbele.
Ilia da gouli sia: ine aduna eno bidi amo gouli bai aduna amoga lala: gilisi. Amalalu, ilia da ‘ifode’ ea gida bulu amoga lala: gilisi ba: i.
19 Akatengeneza pete mbili za dhahabu na kuzishikamanisha kwenye pembe mbili za chini, upande wa ndani wa kifuko cha kifuani karibu na kisibau.
Amalalu, ilia da gouli gasisalasu aduna eno hamone, bidegi gaga: su ea gudu hegomai aduna ganodini ‘ifode’ dafulili amoga lala: gilisi.
20 Kisha akatengeneza pete nyingine mbili za dhahabu na kuzishikamanisha sehemu ya chini ya vipande vya mabega upande wa mbele wa kile kisibau, karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni wa kisibau.
Ilia da gouli gasisalasu aduna eno hamone, amo da ‘ifode’ ea gida bulu ea guduga bulu eno amoga gadodili lala: gilisi.
21 Akafunga pete za hicho kifuko cha kifuani kwenye pete za kisibau kwa kamba ya buluu, wakiziunganisha na ule mshipi wa kiunoni, ili kifuko cha kifuani kisisogee kutoka kwenye kile kisibau, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Ilia da Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i defele, bidegi gaga: su amo ea gasisalasu amola ‘ifode’ ea gasisalasu amoga mola: ya: i gobiaha: i amoga lala: gilisi. Agoane hamobeba: le, bidegi gaga: su da bulu gadodili hame hoholei dialebe ba: i.
22 Akashona joho la kisibau lote kwa kitambaa cha rangi ya buluu tupu, kazi ya mfumaji,
Ilia da gobele salasu dunu ea abula amo ‘ifode’ dedebosu da sibi hinabo mola: ya: i amoga hamoi.
23 na lilikuwa na nafasi ya shingo katikati ya joho lile iliyofanana na ukosi, na utepe ulioshonwa kuizunguka nafasi hiyo ili isichanike.
Gobele salasu dunu ea dialuma salimusa: gelabo da amo abula ganodini ba: i. Ilia da amo gelabo mae gadelama: ne ea fe amo gasa ima: ne, noga: le amuni.
24 Akatengeneza makomamanga ya nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na ya kitani iliyosokotwa vizuri kuzunguka pindo la hilo joho.
Ilia da Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i defele, abula ea fe gudu diala amoga ‘bomigala: nidi’ ifa fage agoane liligi sibi hinabo mola: ya: i, oga: iyei amola yoi amoga hamoi amola gouli belo lala: gilisi. Ilia da sibi hinabo hamoi ‘bomigala: nidi’ afadafa amalalu, gouli belo afadafa agoane fega lala: gilisi.
25 Kisha akatengeneza vikengele vya dhahabu safi na kuvishikamanisha kuzunguka pindo hilo kati ya hayo makomamanga.
26 Hivyo vikengele na makomamanga vilipishana kuzunguka upindo wa joho ili livaliwe kwa kuhudumu, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
27 Pia akamtengenezea Aroni na wanawe makoti ya kitani safi, kazi ya mfumaji,
Ilia da Elane amola egefelali amo ilia da: i salasu hamoi,
28 na kilemba cha kitani safi, tepe za kichwani za kitani, na nguo za ndani za kitani iliyosokotwa vizuri.
amola ilia da habuga amola selefa ili salima: ne hamoi.
29 Mshipi ulikuwa wa kitani iliyosokotwa vizuri ya rangi ya buluu, na zambarau, na nyekundu, kazi ya mtarizi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Amola ilia da abula bulu noga: iwane amoga hamoi amola amoga sibi hinabo gobiaha: i mola: ya: i, oga: iyei amola yoi amuni. Ilia da Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i defele hamoi dagoi.
30 Kisha akatengeneza lile bamba, taji takatifu, kwa dhahabu safi na kuchora juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: Mtakatifu kwa Bwana.
Ilia da noga: i ba: su bagedigi liligi gouliga hamoi. Amo da: iya ilia da agoane dedei, “Hina Godema mogili gagai dagoi.”
31 Kisha wakalifunga kwa kamba ya rangi ya buluu ili kulishikamanisha na kile kilemba kama Bwana alivyomwagiza Mose.
Ilia da amo bagedigi gobele salasu dunu ea abula habuga ba: le gaidiga mola: ya: i efe amoga lala: gilisi. Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i, amo defele ilia da hamoi dagoi.
32 Kwa hiyo kazi yote ya maskani, Hema la Kukutania ikakamilika. Waisraeli wakafanya kila kitu sawasawa kama vile Bwana alivyomwagiza Mose.
Hina Gode Ea Abula Diasu amo hawa: hamosu huluane da hamoi dagoi ba: i. Isala: ili dunu da Hina Gode Ea Mousesema hamoma: ne sia: i defele huluane hamoi dagoi.
33 Ndipo wakaleta maskani kwa Mose: hema pamoja na vifaa vyake vyote, vibanio vyake, mihimili yake, mataruma yake, nguzo na vitako vyake;
Ilia da liligi huluane Mousesema gaguli misi. Amo da Gode Ea Abula Diasu (Da: bena: gele), ea dedebosu, ea ga dedebosu, ea ma: go, abula: ime, bulufalegei ifa, golasu ifa, amo ea bai huluane,
34 kifuniko cha ngozi za kondoo dume kilichotiwa rangi nyekundu, kifuniko cha ngozi za pomboo, pazia la kufunikia;
35 Sanduku la Ushuhuda pamoja na mipiko yake na kiti cha rehema,
Gode Ea Gousa: su Sema Gagili, igi gasui amo ganodini sali, ea gaguli ahoasu ifa, ea ga: lu,
36 meza pamoja na vyombo vyake vyote na mikate ya Wonyesho;
fafai amola ea ifa amola ea liligi huluane, Godema agi iasu liligi,
37 kinara cha taa cha dhahabu safi, safu zake za taa pamoja na vifaa vyake vyote pamoja na mafuta kwa ajili ya taa;
gamali bai gouliga hamoi, gamali amola ea liligi huluane, gamali susuligi,
38 madhabahu ya dhahabu, mafuta ya upako, uvumba wenye harufu nzuri na pazia la ingilio la hema;
gabusiga: manoma gobesisu oloda amola ea gaguli ahoasu ifa, ligiagasu susuligi, gabusiga: manoma, Gode Ea Abula Diasu logo holei abula ga: su,
39 madhabahu ya shaba, pamoja na wavu wa shaba, nguzo zake na vyombo vyake vyote, sinia, na tako lake;
gobele salasu oloda balasega hamoi, ea gigiadomai, ea gaguli ahoasu ifa amola liligi huluane, dodofesu ofodo amola ea bai,
40 mapazia ya ua pamoja na nguzo na vitako vyake, pia na pazia kwa ajili ya ingilio la kwenye ua; kamba zake na vigingi vya hema kwa ajili ya ua; vyombo vyote vilivyohitajiwa kwa ajili ya maskani, Hema la Kukutania;
gagoi gaga: su abula amola ea golasu ifa amola ilia bai huluane, gagoi ea logo holei ga: su abula, Abula Diasu gagoi amola ilia udidisu ifa sagasu amola efe udidisu, Abula Diasu ea liligi huluane,
41 na mavazi yaliyofumwa yanayovaliwa wakati wa huduma katika mahali patakatifu, yaani mavazi matakatifu ya kuhani Aroni na mavazi kwa ajili ya wanawe watakapokuwa wakihudumu katika kazi ya ukuhani.
abula ida: iwane gobele salasu dunu da Hadigi Malei Sesei ganodini hawa: hamosea ilia da amo sala amola hadigi abula Elane amola egefelali da sala amo huluane hamoi.
42 Waisraeli walikuwa wamefanya kazi yote sawasawa na vile Bwana alivyokuwa amemwagiza Mose.
Hina Gode da amo hawa: hamosu Mousesema hamoma: ne sia: i dagoi. Amola Isala: ili dunu da Ea sia: i defele noga: le hamoi dagoi.
43 Mose akakagua kazi na kuona kuwa walikuwa wameifanya sawasawa kama vile Bwana alivyokuwa ameagiza. Kwa hiyo Mose akawabariki.
Mousese da ilia hamoi huluane abodei. E da ilia da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi dagoi ba: i. Amaiba: le, e da Gode da ili hahawane dogolegele fidima: ne, Godema sia: ne gadoi.