< Kutoka 38 >

1 Akatengeneza madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa mbao za mti wa mshita, kimo chake dhiraa tatu; nayo ilikuwa mraba, urefu wake dhiraa tano, na upana wa dhiraa tano
Derpaa lavede han Brændofferalteret af Akacietræ, fem Alen langt og fem Alen bredt, firkantet, og tre Alen højt.
2 Akatengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu zikawa zimeungana, akafunika madhabahu kwa shaba.
Han lavede Horn til dets fire Hjørner, saaledes at de var i eet dermed, overtrak det med Kobber
3 Akatengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba: vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepetu, mabakuli ya kunyunyizia, uma za nyama na vyombo vya kuchukulia moto.
og lavede alt Alterets Tilbehør, Karrene, Skovlene, Skaalene, Gaflerne og Panderne; alt dets Tilbehør lavede han af Kobber.
4 Akatengeneza wavu wa shaba chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.
Derpaa omgav han Alteret med et flettet Kobbergitter neden under dets Liste, saaledes at det naaede op til Alterets halve Højde.
5 Akasubu pete za shaba za kushikilia ile mipiko kwa ajili ya zile pembe nne za huo wavu wa shaba.
Derefter støbte han fire Ringe til Kobbergitterets fire Hjørner til at stikke Bærestængerne i.
6 Akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.
Bærestængerne lavede han at Akacietræ og overtrak dem med Kobber.
7 Akaiingiza ile mipiko kwenye zile pete, ili iwe pande mbili za madhabahu kwa ajili ya kuibeba. Akaitengeneza madhabahu yenye uvungu ndani yake akitumia mbao.
Og Stængerne stak han gennem Ringene paa Alterets Sider, for at det kunde bæres med dem. Han lavede det hult af Brædder.
8 Akatengeneza sinia la shaba lenye kitako cha shaba kutoka kwa vioo vya shaba vilivyotolewa na wanawake waliohudumu pale ingilio la Hema la Kukutania.
Derpaa lavede han Vandkummen med Fodstykke af Kobber og brugte dertil Spejle, som tilhørte Kvinderne, der gjorde Tjeneste ved Indgangen til Aabenbaringsteltet.
9 Kisha akatengeneza ua. Upande wa kusini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja, na ulikuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,
Derpaa indrettede han Forgaarden: Til Sydsiden det hundrede Alen lange Forgaardsomhæng af tvundet Byssus
10 pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
med tyve Piller og tyve Fodstykker af Kobber og med Knager og Baand af Sølv til Pillerne.
11 Upande wa kaskazini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
Til Nordsiden hundrede Alen med tyve Piller og tyve Fodstykker af Kobber og med Knager og Baand af Sølv til Pillerne.
12 Upande wa mwisho wa magharibi ulikuwa na upana wa dhiraa hamsini na ulikuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
Til Vestsiden det halvtredsindstyve Alen lange Omhæng med ti Piller og ti Fodstykker og med Knager og Baand af Sølv til Pillerne.
13 Upande wa mwisho wa mashariki jua linakochomoza, pia ulikuwa na upana wa dhiraa hamsini.
Og til Forsiden mod Øst, der var halvtredsindstyve Alen bred,
14 Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano yalikuwa upande mmoja wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.
det femten Alen lange Omhæng med fire Piller og tre Fodstykker til den ene Side af Indgangen,
15 Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano yalikuwa upande mwingine wa ingilio la ua, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.
og det femten Alen lange Omhæng med tre Piller og tre Fodstykker til den anden Side af Indgangen.
16 Mapazia yote yaliyozunguka ua yalikuwa ya kitani iliyosokotwa vizuri.
Alle Omhæng rundt om Forgaarden var af tvundet Byssus,
17 Vitako vya nguzo vilikuwa vya shaba. Kulabu na tepe juu ya nguzo zilikuwa za fedha, na ncha zake zilifunikwa kwa fedha. Kwa hiyo nguzo zote za ua zilikuwa na tepe za fedha.
Fodstykkerne til Pillerne af Kobber, men deres Knager og Baand af Sølv; alle Pillernes Hoveder var overtrukket med Sølv; og de havde Baand af Sølv.
18 Pazia la ingilio la ua lilikuwa la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. Pazia hilo lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini kama zile za kwenye ua, na kimo chake kilikuwa dhiraa tano,
Forhænget til Forgaardens Indgang var af violet og rødt Purpurgarn i broget Vævning, karmoisinrødt Garn og tvundet Byssus, tyve Alen langt og fem Alen højt, svarende til Bredden paa Forgaardens Omhæng.
19 likiwa na nguzo nne na vitako vinne vya shaba. Kulabu zake na tepe zake zilikuwa za fedha, na ncha zake zilikuwa zimefunikwa kwa fedha.
Dertil hørte fire Piller med fire Fodstykker af Kobber; Knagerne var af Sølv og Overtrækket paa Hovederne og Baandene ligeledes af Sølv.
20 Vigingi vyote vya maskani na vya ua ulioizunguka vilikuwa vya shaba.
Alle Pælene til Boligen og Forgaarden rundt om var af Kobber.
21 Ifuatayo ni orodha ya vifaa vilivyotumika kwa ajili ya ujenzi wa maskani, maskani ya Ushuhuda, ambavyo vilitayarishwa na Walawi kama alivyoagiza Mose, chini ya usimamizi wa Ithamari, mwana wa kuhani Aroni.
Her følger Regnskabet over Boligen, Vidnesbyrdets Bolig, som paa Moses's Bud blev opgjort af Leviterne under Ledelse af Itamar, en Søn af Præsten Aron;
22 (Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda, alifanya kila kitu Bwana alichomwamuru Mose,
Bezal'el, en Søn af Hurs Søn Uri, af Judas Stamme havde udført alt, hvad HERREN havde paalagt Moses,
23 akiwa pamoja na Oholiabu mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, fundi stadi wa kutia nakshi, kubuni michoro, mtarizi kwa rangi ya buluu, ya zambarau, nyekundu na kitani safi.)
sammen med Oholiab, Ahisamaks Søn, af Dans Stamme, som udførte Udskæringsarbejdet, Kunstvævningen og den brogede Vævning af violet og rødt Purpur, Karmoisin og Byssus.
24 Jumla ya dhahabu iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa kwa ajili ya kazi ya mahali patakatifu ilikuwa na uzito wa talanta 29 na shekeli 730, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.
Hvad angaar Guldet, der anvendtes til Arbejdet, under hele Arbejdet paa Helligdommen, saa løb det som Gave viede Guld op til 29 Talenter og 730 Sekel efter hellig Vægt.
25 Fedha iliyopatikana kutokana na jumuiya ya watu waliohesabiwa ilikuwa yenye uzito wa talanta mia moja na shekeli 1,775, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.
Det ved Menighedens Mønstring indkomne Sølv løb op til 100 Talenter og 1775 Sekel efter hellig Vægt:
26 Kila mtu alitoa beka moja, ambayo ni sawa na nusu shekeli ya fedha, kwa kazi ya mahali patakatifu, kutoka kwa kila mtu aliyekuwa amehesabiwa mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi, ambao jumla yao walikuwa wanaume 603,550.
en, Beka, det halve af en Sekel efter hellig Vægt, af enhver, der maatte lade sig mønstre, altsaa fra Tyveaarsalderen og opefter, i alt 603 550 Mand:
27 Talanta hizo 100 za fedha zilitumika kusubu vile vitako mia moja kwa ajili ya mahali patakatifu na pazia: vitako mia moja kwa talanta mia, yaani, talanta moja kwa kila kitako.
De 100 Talenter Sølv medgik til Støbningen af Helligdommens og Forhængets Fodstykker, 100 Talenter til 100 Fodstykker, en Talent til hvert Fodstykke.
28 Akatumia zile shekeli hizo 1,775 kutengeneza kulabu za nguzo, kufunika ncha za nguzo na kutengeneza vitanzi vyake.
Men de 1775 Sekel anvendte han til Knager til Pillerne, til at overtrække deres Hoveder med og til Baand paa dem.
29 Shaba iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa ilikuwa na uzito wa talanta 70 na shekeli 2,400.
Det som Gave viede Kobber udgjorde 70 Talenter og 2400 Sekel.
30 Akaitumia hiyo shaba kutengeneza vitako vya ingilio la Hema la Kukutania, madhabahu ya shaba pamoja na ule wavu wake na vyombo vyake vyote,
Deraf lavede han Fodstykkerne til Aabenbaringsteltets Indgang, Kobberalteret med dets Kobbergitter og alt Alterets Tilbehør,
31 vile vitako vya ule ua uliozunguka na vile vya ingilio, na vigingi vyote vya Maskani pamoja na ule ua uliozunguka.
Fodstykkerne til Forgaarden rundt om og til Forgaardens Indgang og alle Teltpælene til Boligen og alle Teltpælene til Forgaarden hele Vejen rundt.

< Kutoka 38 >