< Kutoka 36 >

1 Kwa hiyo Bezaleli, Oholiabu na kila mtu Bwana aliyempa ustadi na uwezo wa kujua jinsi ya kufanya kazi zote za kujenga mahali patakatifu wataifanya hiyo kazi kama vile Bwana alivyoagiza.”
Te dongah Bezalel, Oholiab neh lungbuei aka cueih hlang boeih loh saii saeh. Amih taengah BOEIPA kah a uen boeih tah hmuencim kah thothuengnah bitat cungkuem te ming sak ham neh saii sak ham BOEIPA loh cueihnah neh lungcuei la a khueh,” a ti nah.
2 Ndipo Mose akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Bwana alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi.
Te phoeiah Moses loh Bazelel, Oholiab neh lungbuei aka cueih hlang boeih te a khue. Te rhoek te BOEIPA loh a lungbuei ah cueihnah paek tih amih boeih tah bitat la caeh ham neh saii ham khaw a lungbuei a cahoeh.
3 Wakapokea kutoka kwa Mose sadaka zote ambazo Waisraeli walikuwa wameleta ili kuifanya kazi ya ujenzi wa Mahali Patakatifu. Nao watu wakaendelea kuleta sadaka za hiari kila asubuhi.
Te phoeiah hmuencim thothuengnah bitat la saii ham Israel ca rhoek loh a khuen khosaa cungkuem te Moses mikhmuh lamloh a doe uh. Amih loh te te mincang, mincang ah moeihoeihnah a khuen uh pueng.
4 Ikafika wakati mafundi wote wenye ujuzi waliokuwa wakiifanya kazi yote ya mahali patakatifu wakasimamisha kazi zao,
Te phoeiah hmuencim kah bitat boeih aka saii hlang cueih boeih neh hlang boeih khaw amah kah bitat a saii lamloh ha pawkuh.
5 wakaja na kumwambia Mose, “Watu wanaleta vitu vingi kuliko tunavyohitaji kwa ajili ya kazi hii ambayo Bwana ameagiza ifanyike.”
Te phoeiah Moses te a voek uh tih, “Te bitat te saii ham BOEIPA loh a uen coeng dongah thothuengnah kah a ngoe lakah pilnam loh a khuen he yet,” a ti uh.
6 Ndipo Mose akatoa agizo, nao wakapeleka neno hili katika kambi yote: “Mtu yeyote mwanaume au mwanamke asilete tena kitu chochote kwa ajili ya sadaka ya mahali patakatifu.” Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi,
Te phoeiah Moses loh a uen bangla rhaehhmuen ah ol a thak uh tih, “Huta khaw tongpa khaw hmuencim kah khosaa ham bitat saii voel boel saeh,” a ti uh. Te dongah pilnam loh hno a khuen te paa uh.
7 kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.
Bitat ham a rhoeh la a om phoeiah bitat cungkuem dongah te te hnonah ham khaw coih coeng.
8 Watu wote wenye ustadi miongoni mwa wafanyakazi wote wakatengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye mapazia hayo.
Bitat aka saii khuiah lungbuei aka cueih boeih loh dungtlungim te a saii uh. Himbaiyan yungrha te hnitang la a tah tih a thim, daidi neh hlampai a lingdik la a en. Cherubim dongkah bibi khaw moehnah neh a saii.
9 Mapazia yote yalitoshana kwa ukubwa: kila moja lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane, na upana wa dhiraa nne
Himbaiyan pakhat kah a yun he dong kul dong rhet, a daang dong li lo tih himbaiyan boeih ham te himbaiyan pakhat neh cungnueh pakhat la cet.
10 Wakayaunganisha mapazia matano pamoja, pia wakafanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.
Himbaiyan yung nga te pakhat neh pakhat a cong tih himbaiyan yung nga te khaw khat neh khat cong uh.
11 Kisha wakatengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu la kwanza, pia wakafanya vivyo hivyo na pazia la fungu la mwisho.
Himbaiyan pakhat kah a hmoi phai ah rhuikawl a thim te rhui at a bawt hil a buen pah. Te tlam te a tloe himbaiyan hmoi kah rhui at a bawt hil a saii.
12 Wakatengeneza pia vitanzi hamsini katika pazia mmoja, na vitanzi vingine hamsini kwenye pazia la mwisho la fungu hilo lingine, nazo vitanzi vyote vikaelekeana.
Himbaiyan yung khat dongah rhuikawl sawmnga a saii tih himbaiyan a pabae khaw rhui at la a hmoi ah rhuikawl sawmnga a saii. Te dongah khat neh khat rhuikawl neh a doe sak.
13 Kisha wakatengeneza vifungo hamsini vya dhahabu, na wakavitumia kufunga na kuunganisha zile fungu mbili za mapazia pamoja ili maskani ipate kuwa kitu kimoja.
Te phoeiah sui rhuithu sawmnga a saii tih rhuithu lamloh himbaiyan khat neh khat te a hlinghlui dongah dungtlungim khaw pakhat la om.
14 Wakatengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani.
Dungtlungim kah dap ham himbaiyan te maae mul neh a saii tih himbaiyan yung hlai khat a saii.
15 Mapazia hayo kumi na moja yalikuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini, na upana wa dhiraa nne.
Himbaiyan yungat te a yun dong sawmthum, a daang dong li lo tih himbaiyan hlai khat ham te himbaiyan pakhat cungnueh dongah pakhat la cet.
16 Wakaunganisha mapazia matano kuwa fungu moja, na hayo mengine sita kuwa fungu lingine.
Himbaiyan yung nga te hloep a cong tih himbaiyan yung rhuk te pakhat la a cong.
17 Kisha wakatengeneza vitanzi hamsini kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu moja, na vivyo hivyo kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu hilo lingine.
Himbaiyan pakhat kah a hmoi ah a bawt due rhuikawl sawmnga te rhui at la a saii tih a pabae himbaiyan kah a hmoi ah rhuikawl sawmnga ham buenyang a saii.
18 Wakatengeneza vifungo hamsini vya shaba ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja.
Te dongah rhohum rhuithu sawmnga a saii dap te a hlinghlui tih pakhat la a om sak.
19 Kisha wakatengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.
Dap imphu te tutal pho a thimyum neh a sokah imphu la saham pho neh a saii.
20 Wakatengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani.
Te phoeiah dungtlungim ham a longlaeng te rhining thing aka pai te a saii.
21 Kila mhimili ulikuwa na urefu wa dhiraa kumi, na upana wa dhiraa moja na nusu,
A longlaeng pakhat te a yun dong rha neh a daang dong khat phoeiah dong kaek lo tih a longlaeng te rhip vaiuh.
22 zikiwa na ndimi mbili zilizokuwa sambamba kila mmoja na mwingine. Wakatengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii.
A longlaeng pakhat dongah dangkam rhoi khaw khat neh khat kiba uh. Te tlam te dungtlungim kah a longlaeng te boeih a saii.
23 Wakatengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani,
Dungtlungim kah a longlaeng te tuithim ah tuithim saa kah a longlaeng te yung kul a saii.
24 na wakatengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi.
A longlaeng pakhat dangah dangkam rhoi ham buenhol panit neh a longlaeng yung kul ham cakben buenhol sawmli a saii. Te dongah a longlaeng pakhat dangah buenhol panit neh dangkam panit om.
25 Kwa upande wa kaskazini wa maskani wakatengeneza mihimili ishirini
Dungtlungim khat ben tlangpuei saa ah a longlaeng pakul a khueh.
26 na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.
A longlaeng pakhat dangah buenhol panit, a longlaeng pakhat dangkah buenhol panit neh cakben buenhol sawmli te a saii.
27 Wakatengeneza mihimili sita kwa mwisho ulio mbali, yaani upande wa magharibi wa maskani,
Dungtlungim kah imthael khotlak sa ham tah a longlaeng yung rhuk a saii.
28 na mihimili miwili ikatengenezwa kwa ajili ya pembe za maskani za upande uliokuwa mbali.
Imthael ah dungtlungim kah a ngong ham khaw a longlaeng panit a khueh.
29 Katika pembe hizi mbili mihimili yake ilikuwa miwili kuanzia chini mpaka juu, na ikaingizwa kwenye pete moja; mihimili ya pembe hizi mbili ilifanana.
Te te a hmui lamloh tungbok la om vetih a soi ah tah kutcaeng pakhat khuiah pakhat la rhenten ben uh. Te rhoi dongkah bangla imki rhoi kah ham khaw a saii.
30 Kwa hiyo kulikuwa na mihimili minane, na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.
Te dongah a longlaeng parhet vaengah a longlaeng pakhat hmuikah buenhol panit, panit neh buenhol he cakben buenhol hlai rhuk om.
31 Wakatengeneza pia mataruma kwa mti wa mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa maskani,
Dungtlungim impalai kah a longlaeng pakhat ham thohkalh panga te rhining thing a saii.
32 matano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na matano kwa ajili mihimili ya upande wa magharibi, mwisho kabisa mwa maskani.
Dungtlungim khat ben impalai kah a longlaeng dongah khaw thohkalh panga tih dungtlungim khotlak imthael kah a longlaeng dongkah ham thohkalh panga om.
33 Wakatengeneza taruma la katikati, likapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine.
Tedae a bangli kah thohkalh a saii long tah a longlaeng te a hmoi lamloh a bawt hil a bangli ah yong phai.
34 Wakaifunika hiyo mihimili kwa dhahabu, na wakatengeneza pete za dhahabu za kushikilia hayo mataruma. Pia wakayafunika hayo mataruma kwa dhahabu.
A longlaeng te khaw sui a ben thil tih thohkalh rholhnah ham a kutcaeng te sui ni a. saii. Thohkalh te khaw sui a ben thil.
35 Wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye hilo pazia.
Te phoeiah hniyan te a thim, daidi, hlampai a lingdik neh a saii. Bibi moehnah neh hnitang la a tah tih cherubim khaw a saii.
36 Wakatengeneza nguzo nne za mti wa mshita kwa ajili yake na kuzifunika kwa dhahabu. Wakatengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya nguzo hizo, na kusubu vitako vinne vya fedha.
Te ham te rhining tung pali a saii tih sui a ben thil. A voei te sui tih te dongkah buenhol pali ham te cak a hlawn.
37 Kwa ajili ya ingilio la hema wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi.
Dap thohka kah himbaiyan te a saii vaengah a thim, daidi, hlampai a lingdik neh hnitang la a tah tih kutnaep la a en.
38 Pia wakatengeneza nguzo tano zenye kulabu. Wakafunika ncha za juu za hizo nguzo pamoja na tepe zake kwa dhahabu, na pia wakatengeneza vitako vyake vitano vya shaba.
A tung panga neh a voei rhoek te khaw a soi ah a ben pah tih a yaeltlang te sui, a buenhol panga te rhohum a saii.

< Kutoka 36 >