< Kutoka 35 >
1 Mose akakusanya jumuiya yote ya Waisraeli na kuwaambia, “Haya ndiyo mambo ambayo Bwana amewaamuru ninyi mfanye:
Inummong ni Moises dagiti amin a tattao nga Israelita ket kinunana kadakuada, “Dagitoy dagiti banbanag nga imbilin ni Yahweh nga aramidenyo.
2 Kwa siku sita, mtafanya kazi, lakini siku ya saba itakuwa takatifu kwenu, Sabato ya kupumzika kwa Bwana. Yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo ni lazima auawe.
Mabalin a leppasen ti trabaho iti innem nga aldaw, ngem para kadakayo, masapul a nasagradoan ti maikapito nga aldaw, naan-anay nga inana ti Aldaw a Panaginana, ta nasantoan kenni Yahweh. Siasinoman nga agtrabaho iti dayta nga aldaw ket masapul a mapapatay.
3 Msiwashe moto mahali popote katika makazi yenu siku ya Sabato.”
Saankayo a mangaron iti aniaman kadagiti balbalayyo iti Aldaw a Panaginana.”
4 Mose akaiambia jumuiya yote ya Waisraeli, “Hili ndilo Bwana aliloamuru:
Nagsao ni Moises kadagiti amin nga Israelita a kunana, “Daytoy ti banag nga imbilin ni Yahweh.
5 Toeni sadaka kwa Bwana kutoka mali mliyo nayo. Kila mmoja aliye na moyo wa kupenda atamletea Bwana sadaka ya dhahabu, fedha na shaba;
Mangalakayo iti daton para kenni Yahweh, dakayo a siaayat a mangted. Mangiyegkayo iti daton kenni Yahweh—balitok, pirak, bronse,
6 nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani safi; singa za mbuzi;
asul, maris ube, ken nalabbaga a de lana ken kasayaatan a lino; dutdot iti kalding;
7 ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo; mbao za mshita;
napalabbaga a lalat ti kalakian a karnero ken kudil ti dugong; kayo ti akasia;
8 mafuta ya zeituni kwa ajili ya taa; vikolezi kwa ajili ya mafuta ya upako, pamoja na uvumba wa harufu nzuri;
lana para iti pagsilawan iti santuario, rekado para iti pangkonsagrar a lana ken ti nabanglo nga insenso,
9 vito vya shohamu, na vito vingine vya thamani vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha kifuani.
bato nga onyx ken dadduma a napateg a batbato a maikabil para iti efod ken pektoral.
10 “Wote wenye ujuzi miongoni mwenu inawapasa kuja na kutengeneza kila kitu Bwana alichoamuru:
Tunggal batido a lallaki kadakayo nga addaan iti kabaelan ket umay agaramid iti amin a banag nga imbilin ni Yahweh-
11 Maskani pamoja na hema lake na kifuniko chake, vibanio, mihimili, mataruma, nguzo na vitako;
ti tabernakulo nga adda toldana, ti abbongna, dagiti kaw-itna, dagiti tabla, dagiti balunet, dagiti poste, ken dagiti pagbatayan;
12 Sanduku la Agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha kiti cha rehema na pazia linalokizuia;
kasta met ti lakasa nga adda assiwna, ti kalub a mangipakita iti pannakakalub iti basol ti lakasa, ken kurtina a pangabbong iti daytoy.
13 meza na mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote, mikate ya Wonyesho;
Nangiyegda iti lamisaan nga adda assiwna, amin nga alikamenna, ken ti tinapay ti presensia;
14 kinara cha taa kwa ajili ya mwanga pamoja na vifaa vyake vyote, taa na mafuta kwa ajili ya mwanga;
ti kandelero para kadagiti silaw, karaman dagiti arkusna, dagiti pagsilawanna, ken ti lana para kadagiti pagsilawan;
15 madhabahu ya kufukiza uvumba pamoja na mipiko yake, mafuta ya upako na uvumba wenye harufu nzuri; pazia la mlangoni mahali pa kuingilia ndani ya maskani;
ti altar ti insenso ken dagiti assiwna, ti pangkonsagrar a lana ket ti nabanglo nga insenso; ti maibitin para iti pagserkan ti tabernakulo;
16 madhabahu ya sadaka za kuteketeza pamoja na wavu wake wa shaba, mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote; sinia la shaba pamoja na tako lake;
ti altar para kadagiti mapuoran a daton nga adda bronse a barandiliasna ken dagiti assiwna, dagiti alikamenna; ken ti dakkel a palanggana nga adda pagbatayanna.
17 pazia la eneo la ua pamoja na nguzo zake na vitako vyake, pazia la ingilio la kwenye ua;
Inyegda dagiti maibitin nga adda poste ken batayna para iti paraangan, ken ti kurtina para iti pagserkan iti paraangan;
18 vigingi vya hema kwa ajili ya maskani pamoja na ua na kamba zake;
ken dagiti pasok ti tolda para iti tabernakulo ken paraangan, a karaman dagiti talida.
19 mavazi yaliyofumwa yanayovaliwa wakati wa huduma katika mahali patakatifu, yaani mavazi matakatifu kwa ajili ya kuhani Aroni, na mavazi kwa ajili ya wanawe watakapokuwa wakihudumu katika kazi ya ukuhani.”
Nangiyegda iti pagan-anay a nasayaat ti pannakabelna para iti panagserbi iti nasantoan a disso, dagiti sagrado a pagan-anay para kenni Aaron a padi ken kadagiti annakna a lallaki, para kadakuada nga agserbi a kas papadi.”
20 Ndipo jumuiya yote ya Waisraeli ilipoondoka mbele ya Mose,
Kalpasanna pimmanaw dagiti amin a tribu ti Israel ket immadayoda manipud iti imatang ni Moises.
21 na kila mmoja aliyependa na ambaye moyo wake ulimsukuma alikuja na kuleta sadaka kwa Bwana, kwa ajili ya kazi katika Hema la Kukutania, kwa ajili ya huduma yake yote na kwa ajili ya mavazi matakatifu.
Tunggal maysa a natignay ti pusona ken nagbalin a siaayat ti espirituna ket immay ken nangitugot iti maysa a daton kenni Yahweh para iti pannakaipatakder ti tabernakulo, para iti amin a banag a panagserbi iti uneg, ken para kadagiti nasagradoan a pagan-anay.
22 Wote waliokuwa na utayari, wanaume kwa wanawake, wakaja wakaleta vito vya dhahabu vya kila aina: vipini, vipuli, pete na mapambo. Wote wakatoa dhahabu zao kama sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana.
Immayda, dagiti lallaki ken babbai, amin a siaayat ti pusona. Nangiyegda iti al-alahas, ar-aritos, dagiti singsing, ken dagiti pulseras, amin a kita iti alahas a balitok. Indatagda dagiti amin a daton a balitok kenni Yahweh.
23 Kila mmoja aliyekuwa na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, au za rangi nyekundu au kitani safi, au singa za mbuzi, ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, au ngozi za pomboo, wakavileta.
Tunggal maysa nga addaan iti asul, maris ube ken nalabbaga a de lana, nafino a lino, dutdot ti kalding, napalabbaga a lalat ti kalakian a karnero ken lalat ti dugong ket nangiyegda.
24 Wale waliotoa sadaka ya fedha au shaba wakavileta kama sadaka kwa Bwana, na kila aliyekuwa na mti wa mshita kwa ajili ya kazi yoyote ile akauleta.
Tunggal maysa nga agar-aramid iti pirak a daton wenno bronse ket inyegna daytoy a kas daton kenni Yahweh, ken nangiyeg ti tunggal maysa nga addaan iti kayo nga akasia para iti aniaman a pakausaran iti trabaho.
25 Kila mwanamke aliyekuwa na ujuzi alisokota kwa mikono yake na alileta kile alichosokota, iwe ni nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, au za rangi nyekundu au kitani safi.
Tunggal babbai a kabaelanna ti agtibbi iti de lana babaen kadagiti imana ket nangiyeg kadagiti tinibbina nga asul, maris ube, wenno nalabbaga a de lana, wenno nafino a lino.
26 Wanawake wote waliopenda na waliokuwa na ujuzi wakasokota singa za mbuzi.
Amin dagiti babbai a natignay ti pusona ken kabaelanna ket nagtibbi iti dutdot ti kalding.
27 Viongozi wakaleta vito vya shohamu pamoja na vito vingine vya thamani kwa ajili ya kuweka kwenye kisibau na kwenye kifuko cha kifuani.
Nangiyeg dagiti mangidadaulo iti batbato nga onyx ken dadduma pay a napapateg a bato a maikabil iti efod ken pektoral;
28 Wakaleta pia vikolezi na mafuta ya zeituni kwa ajili ya mwanga, kwa ajili ya mafuta ya upako na kwa ajili ya uvumba wenye harufu nzuri.
nangiyegda kadagiti rekado ken lana para kadagiti pagsilawan, para iti pangkonsagrar a lana, ken para iti nabanglo nga insenso.
29 Waisraeli wote waume kwa wake waliokuwa wanapenda wakaleta mbele za Bwana kwa hiari yao wenyewe sadaka kwa ajili ya kazi yote ya Bwana aliyokuwa amewaagiza kuifanya kupitia kwa Mose.
Nangiyeg dagiti Israelita kenni Yahweh iti daton a nagtaud iti kaungganda; tunggal lallaki ken babbai a siaayat ti pusoda ket nangiyeg kadagiti alikamen para iti amin a trabaho nga imbilin ti Dios kenni Moises a maaramid.
30 Kisha Mose akawaambia Waisraeli, “Tazameni, Bwana amemchagua Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda,
Kinuna ni Moises kadagiti Israelita, “Kitaenyo, inayaban ni Yahweh babaen iti nagan ni Bezalel ti anak a lalaki ni Uri nga anak a lalaki ni Hur, manipud iti tribu ti Juda.
31 naye amemjaza Roho wa Mungu, pamoja na ustadi, na uwezo na ujuzi katika aina zote za ufundi,
Pinunnona ni Bezalel iti espirituna tapno ikkanna iti kinasirib, pannakaawat, ken pannakaammo, para iti amin a kita ti kinabatido,
32 ili kubuni michoro ya kupendeza katika ufundi wa dhahabu, fedha na shaba,
nga agaramid kadagiti nasasayaat a disenio babaen iti balitok, pirak, ken bronse;
33 kuchonga vito na kuvitia mahali, kufanya ufundi kwa mbao, na kujishughulisha na aina zote za ufundi wa kupendeza.
ken agtabas pay ken mangiyurnos kadagiti bato ken agkitikit ti kayo-tapno agaramid iti amin a kita iti disenio ken kinabatido.
34 Tena amempa yeye pamoja na Oholiabu, mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, uwezo wa kufundisha wengine.
Inkabilna iti pusona ti mangisuro, isuna ken ni Oholiab nga anak a lalaki ni Ahisamak, manipud iti tribu ti Dan.
35 Amewajaza ustadi wa kufanya kazi za aina zote zifanywazo na mafundi, na wenye kubuni michoro, pia na watarizi kwa rangi za buluu, zambarau, nyekundu na kitani safi, na wafumaji: wote wakiwa mafundi na wabunifu hodari.
Pinunnona ida iti kabaelan nga agaramid kadagiti amin a kita ti trabaho, a kas dumidisenio, a kas kumikitikit, a kas bumumurda iti asul, maris ube, ken nalabbaga a de lana, ken kasayaatan a lino, ken kas umaabael. Isuda dagiti batido a tao iti amin a kita ti trabaho, ken isuda dagiti agdisdisenio iti nasayaat.