< Kutoka 33 >

1 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Ondoka mahali hapa, wewe pamoja na hao watu uliowapandisha kutoka Misri, mpande mpaka nchi niliyomwahidi Abrahamu, Isaki na Yakobo kwa kiapo, nikisema, ‘Nitawapa wazao wenu nchi hii.’
I reèe Gospod Mojsiju: idi, digni se odatle ti i narod, koji si izveo iz zemlje Misirske, put zemlje za koju se zakleh Avramu, Isaku i Jakovu govoreæi: sjemenu tvojemu daæu je.
2 Nitamtuma malaika mbele yenu, naye atawafukuza Wakanaani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.
I poslaæu pred tobom anðela, i izagnaæu Hananeje, Amoreje i Heteje i Ferezeje i Jeveje i Jevuseje.
3 Pandeni mwende katika nchi itiririkayo maziwa na asali. Lakini mimi sitakwenda pamoja nanyi, kwa sababu ninyi ni watu wenye shingo ngumu, nisije nikawaangamiza njiani.”
I odvešæe vas u zemlju gdje teèe mlijeko i med; jer neæu sam iæi s tobom zato što si narod tvrdovrat, pa bih te mogao satrti putem.
4 Watu waliposikia habari hizo za huzuni, wakaanza kuomboleza wala hakuna mtu aliyevaa mapambo yoyote.
A narod èuvši ovu zlu rijeè ožalosti se, i niko ne metnu na se svojega nakita.
5 Kwa kuwa Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Waambie Waisraeli, ‘Ninyi ni watu wenye shingo ngumu. Kama ningefuatana nanyi hata kwa muda mfupi, ningewaangamiza. Sasa vueni mapambo yenu, nami nitaamua nitakalowatendea.’”
Jer Gospod reèe Mojsiju: kaži sinovima Izrailjevijem: vi ste narod tvrdovrat; doæi æu èasom usred tebe, i istrijebiæu te; a sada skini nakit svoj sa sebe, i znaæu šta æu èiniti s tobom.
6 Hivyo Waisraeli wakavua mapambo yao katika Mlima wa Horebu.
I poskidaše sa sebe sinovi Izrailjevi nakite svoje kod gore Horiva.
7 Basi Mose alikuwa na desturi ya kuchukua hema na kuliweka wakfu nje ya kambi umbali kiasi, akaliita “Hema la Kukutania.” Kila aliyekuwa akiulizia shauri kwa Bwana, angelikwenda katika Hema la Kukutania nje ya kambi.
A Mojsije uze šator i razape ga sebi iza okola daleko, i nazva ga šator od sastanka, i ko god tražaše Gospoda, dolažaše k šatoru od sastanka iza okola.
8 Wakati wowote Mose alipokwenda kwenye Hema, watu wote waliinuka na kusimama kwenye maingilio ya mahema yao, wakimwangalia Mose mpaka aingie kwenye Hema.
I kad Mojsije iðaše u šator, sav narod ustajaše, i svak stajaše na vratima svojega šatora, i gledahu za Mojsijem dok ne uðe u šator.
9 Kila mara Mose alipoingia ndani ya hema, nguzo ya wingu ingeshuka chini na kukaa kwenye ingilio, wakati Mungu akizungumza na Mose.
A kad Mojsije ulažaše u šator, spuštaše se stup od oblaka i ustavljaše se na vratima od šatora, i Gospod govoraše s Mojsijem.
10 Kila mara watu walipoona hiyo nguzo ya wingu ikiwa imesimama kwenye ingilio la hema, wote walisimama wakaabudu, kila mmoja kwenye ingilio la hema lake.
I sav narod videæi stup od oblaka gdje stoji na vratima od šatora, ustajaše sav narod, i svak se klanjaše na vratima od svojega šatora.
11 Bwana angezungumza na Mose uso kwa uso, kama vile mtu azungumzavyo na rafiki yake. Kisha Mose angerudi kambini, lakini msaidizi wake kijana Yoshua mwana wa Nuni hakuondoka mle Hemani.
I Gospod govoraše s Mojsijem licem k licu kao što govori èovjek s prijateljem svojim. Potom se vraæaše Mojsije u oko, a sluga njegov Isus sin Navin, momak, ne izlažaše iz šatora.
12 Mose akamwambia Bwana, “Umekuwa ukiniambia, ‘Ongoza watu hawa,’ lakini hujanifahamisha ni nani utakayemtuma pamoja nami. Umesema, ‘Ninakujua wewe kwa jina lako, nawe umepata kibali mbele zangu.’
I reèe Mojsije Gospodu: gledaj, ti mi kažeš: vodi taj narod. A nijesi mi kazao koga æeš poslati sa mnom, a rekao si: znam te po imenu i našao si milost preda mnom.
13 Ikiwa umependezwa nami, nifundishe njia zako ili nipate kukujua, nami nizidi kupata kibali mbele zako. Kumbuka kuwa taifa hili ni watu wako.”
Ako sam dakle našao milost pred tobom, pokaži mi put svoj, da te poznam i naðem milost pred tobom; i vidi da je ovaj narod tvoj narod.
14 Bwana akajibu, “Uso wangu utakwenda pamoja nawe, nami nitakupa raha.”
I reèe Gospod: moje æe lice iæi naprijed, i daæu ti odmor.
15 Kisha Mose akamwambia, “Kama Uso wako hauendi pamoja nasi, usituondoe hapa.
A Mojsije mu reèe: ako neæe iæi naprijed lice tvoje, nemoj nas kretati odavde.
16 Mtu yeyote atajuaje kuwa mimi pamoja na watu wako tumepata kibali mbele zako, usipokwenda pamoja nasi? Ni nini kingine kitakachoweza kututofautisha mimi na watu wako miongoni mwa watu wengine wote walio katika uso wa dunia?”
Jer po èemu æe se poznati da smo našli milost pred tobom, ja i narod tvoj? zar ne po tome što ti ideš s nama? tako æemo se razlikovati ja i narod tvoj od svakoga naroda na zemlji.
17 Bwana akamwambia Mose, “Nitakufanyia jambo lile uliloomba, kwa sababu ninapendezwa nawe, nami ninakujua kwa jina lako.”
A Gospod reèe Mojsiju: uèiniæu i to što si kazao, jer si našao milost preda mnom i znam te po imenu.
18 Kisha Mose akasema, “Basi nionyeshe utukufu wako.”
Opet reèe Mojsije: molim te, pokaži mi slavu svoju.
19 Ndipo Bwana akasema, “Nitapitisha wema wangu wote mbele yako, nami nitalitangaza Jina langu, Bwana, mbele ya uso wako. Nitamrehemu yeye nimrehemuye, na pia nitamhurumia yeye nimhurumiaye.”
A Gospod mu reèe: uèiniæu da proðe sve dobro moje ispred tebe, i povikaæu po imenu: Gospod pred tobom. Smilovaæu se kome se smilujem, i požaliæu koga požalim.
20 Lakini Mungu akasema, “Hutaweza kuuona uso wangu, kwa kuwa hakuna mtu yeyote awezaye kuniona akaishi.”
I reèe: ali neæeš moæi vidjeti lica mojega, jer ne može èovjek mene vidjeti i ostati živ.
21 Kisha Bwana akasema, “Kuna mahali karibu nami ambapo unaweza kusimama juu ya mwamba.
I reèe Gospod: evo mjesto kod mene, pa stani na stijenu.
22 Utukufu wangu unapopita, nitakuweka gengeni kwenye mwamba na kukufunika kwa mkono wangu mpaka nitakapokwisha kupita.
I kad stane prolaziti slava moja, metnuæu te u rasjelinu kamenu, i zakloniæu te rukom svojom dok ne proðem.
23 Kisha nitaondoa mkono wangu nawe utaona mgongo wangu; lakini kamwe uso wangu hautaonekana.”
Potom æu dignuti ruku svoju, i vidjeæeš me s leða, a lice se moje ne može vidjeti.

< Kutoka 33 >