< Kutoka 33 >
1 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Ondoka mahali hapa, wewe pamoja na hao watu uliowapandisha kutoka Misri, mpande mpaka nchi niliyomwahidi Abrahamu, Isaki na Yakobo kwa kiapo, nikisema, ‘Nitawapa wazao wenu nchi hii.’
Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Di amola dunu fi amo di da Idibidi sogega gadili masa: ne oule misi. Amo sogebi yolesili, soge amo Na da A: ibalaha: me, Aisage amola Ya: igobe iligaga fi amola ilima imunu ilegele sia: i, amoga masa.
2 Nitamtuma malaika mbele yenu, naye atawafukuza Wakanaani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.
Na da a: igele dunu dilima logo olelemusa: asunasimu. Amola dilia da amo sogega fima: ne, Na da Ga: ina: naide, A:moulaide, Hidaide, Belesaide, Haifaide amola Yebusaide, amo dunu fi huluane sefasimu.
3 Pandeni mwende katika nchi itiririkayo maziwa na asali. Lakini mimi sitakwenda pamoja nanyi, kwa sababu ninyi ni watu wenye shingo ngumu, nisije nikawaangamiza njiani.”
Dilia da soge noga: idafa, fedege agoane amo ganodini dodo maga: me amola agime hano da hano agoane yogodaha, amoga ahoa. Be Na da dili hame sigi masunu. Bai dilia da dogo gawamaga: i dunu, amola Na da dili logoga dafawanedafa fanelegesa: besa: le, hame masunu.”
4 Watu waliposikia habari hizo za huzuni, wakaanza kuomboleza wala hakuna mtu aliyevaa mapambo yoyote.
Isala: ili dunu da amo sia: nabaloba, da: i dioiba: le dinanu. Ilia da se nababeba: le, bu hame nina: hamoi.
5 Kwa kuwa Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Waambie Waisraeli, ‘Ninyi ni watu wenye shingo ngumu. Kama ningefuatana nanyi hata kwa muda mfupi, ningewaangamiza. Sasa vueni mapambo yenu, nami nitaamua nitakalowatendea.’”
Bai Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Isala: ili dunuma adoma, ‘Dilia da hame nabasu dunu. Na da fa: bihadi fawane dili oule ahoa ganiaba, Na da dafawane dili medole legela: loba. Wali dilia nina: hamoi igi noga: i huluane fadegama. Na da fa: no dilima adi hamoma: beyale dawa: ma.”
6 Hivyo Waisraeli wakavua mapambo yao katika Mlima wa Horebu.
Amaiba: le, Isala: ili dunu da Sainai Goumi yolesili, fa: no bu hame nina: hamoi.
7 Basi Mose alikuwa na desturi ya kuchukua hema na kuliweka wakfu nje ya kambi umbali kiasi, akaliita “Hema la Kukutania.” Kila aliyekuwa akiulizia shauri kwa Bwana, angelikwenda katika Hema la Kukutania nje ya kambi.
Eso huluane Isala: ili dunu da ilia Abula Diasu gaguloba, Mousese da Gode Ea Abula Diasu (Da: bena: gele) amo abula diasu gilisisu gadili fonobahadi sedagawane gagusu. Ilia da amo Abula Diasu, “Hina Gode Ea amo ganodini Esalebe Diasu” amo dio asuli. Nowa da Hina Godema sia: sa: imusa: dawa: loba, e da amoga ahoasu.
8 Wakati wowote Mose alipokwenda kwenye Hema, watu wote waliinuka na kusimama kwenye maingilio ya mahema yao, wakimwangalia Mose mpaka aingie kwenye Hema.
Mousese da Gode Ea Abula Diasuga ahoanoba, dunu huluane da ilia abula diasu holeiga lelebe ba: su. Ilia da Mousese ea Gode Ea Abula Diasu ganodini golili dasu ba: su.
9 Kila mara Mose alipoingia ndani ya hema, nguzo ya wingu ingeshuka chini na kukaa kwenye ingilio, wakati Mungu akizungumza na Mose.
Mousese da ganodini golili sa: i dagoi ba: loba, mumobi da gudu sa: ili, Da: bena: gele ea logo holeiga dialebe ba: su. Amalalu, Hina Gode da mumobi haguli amoga Mousesema sia: dalebe ba: su.
10 Kila mara watu walipoona hiyo nguzo ya wingu ikiwa imesimama kwenye ingilio la hema, wote walisimama wakaabudu, kila mmoja kwenye ingilio la hema lake.
Dunu huluane da mumobi Gode Ea Abula Diasu logo holei amoga dialebe ba: loba, ilia da hedolowane begudusu.
11 Bwana angezungumza na Mose uso kwa uso, kama vile mtu azungumzavyo na rafiki yake. Kisha Mose angerudi kambini, lakini msaidizi wake kijana Yoshua mwana wa Nuni hakuondoka mle Hemani.
Hina Gode da Mousesema sisima hodole, dunu da ea na: iyadoma sia: daha amo defele sia: dasu. Amalalu, Mousese da bu Isala: ili abula diasu gilisisu amoga buhagisu. Be Mousese ea ayeligi fidisu, amo Yosiua (Nane egefe) da Gode Ea Abula Diasuga esalusu.
12 Mose akamwambia Bwana, “Umekuwa ukiniambia, ‘Ongoza watu hawa,’ lakini hujanifahamisha ni nani utakayemtuma pamoja nami. Umesema, ‘Ninakujua wewe kwa jina lako, nawe umepata kibali mbele zangu.’
Mousese da Hina Godema amane sia: i, “Dafawane! Di da nama amo dunu Ga: ina: ne sogega bisili oule masa: ne sia: i. Be nama oule masunu dunu da nowa, amo di nama hame adoi. Di na noga: le dawa: amola na hou hahawane ba: sa, amo Di da adoi dagoi.
13 Ikiwa umependezwa nami, nifundishe njia zako ili nipate kukujua, nami nizidi kupata kibali mbele zako. Kumbuka kuwa taifa hili ni watu wako.”
Amaiba: le, Di da nama hahawane galea, Dia fa: no hamomu hou nama olelema. Na udigili hame adole ba: sa. Be na da Dia hawa: hamosu noga: le hamoma: ne amola, Di da na hahawane ba: ma: ne, adole ba: sa. Amo dunu fi da Dia dunu fidafa hamoma: ne, Di ilegei dagoi. Amo mae gogolema!”
14 Bwana akajibu, “Uso wangu utakwenda pamoja nawe, nami nitakupa raha.”
Hina Gode da amane sia: i, “Na da ani masunu. Na da dima hasalasu hou imunu.”
15 Kisha Mose akamwambia, “Kama Uso wako hauendi pamoja nasi, usituondoe hapa.
Mousese da bu adole i, “Di da ninia hame sigi ahoasea, Di da amo sogebi fisimusa: nini gadili mae asunasima.
16 Mtu yeyote atajuaje kuwa mimi pamoja na watu wako tumepata kibali mbele zako, usipokwenda pamoja nasi? Ni nini kingine kitakachoweza kututofautisha mimi na watu wako miongoni mwa watu wengine wote walio katika uso wa dunia?”
Di da nini hame sigi ahoasea, Di da nama amola Dia fi ilima hahawane gala, nowa da dawa: ma: bela: ? Be Di da ninima gilisili ahoasea, dunu huluane da ninia da fi hisu, dunu fi huluane eno amoga afafai, dunu huluane da dawa: mu.”
17 Bwana akamwambia Mose, “Nitakufanyia jambo lile uliloomba, kwa sababu ninapendezwa nawe, nami ninakujua kwa jina lako.”
Hina Gode da Mousesema amane sia: i, “Na da di noga: le dawa: , amola Na da dima hahawane gala. Amaiba: le, Na da dia adole ba: i defele hamomu.”
18 Kisha Mose akasema, “Basi nionyeshe utukufu wako.”
Amalalu, Mousese da Ema amane adole ba: i, “Na da Dia hadigi sinenemegi amo ba: mu hanai galebe.”
19 Ndipo Bwana akasema, “Nitapitisha wema wangu wote mbele yako, nami nitalitangaza Jina langu, Bwana, mbele ya uso wako. Nitamrehemu yeye nimrehemuye, na pia nitamhurumia yeye nimhurumiaye.”
Hina Gode da bu adole i, “Defea! Na da Na hadigi hou di ba: ma: ne olelemu. Na hadigi Dio amola dima adomu. Na da Gode Hinadafa. Na da nowa dunu gogolema: ne olofomusa: dawa: sea, Na da gogolema: ne olofomu. Nowa dunuma Na da asigima: ne dawa: sea, Na da ema asigimu.
20 Lakini Mungu akasema, “Hutaweza kuuona uso wangu, kwa kuwa hakuna mtu yeyote awezaye kuniona akaishi.”
Na da Na odagi dima hame olelemu. Bai nowa Na odagi ba: sea, e da bogomu.
21 Kisha Bwana akasema, “Kuna mahali karibu nami ambapo unaweza kusimama juu ya mwamba.
Be amo gele da Na dafulili diala. Amoga di leloma.
22 Utukufu wangu unapopita, nitakuweka gengeni kwenye mwamba na kukufunika kwa mkono wangu mpaka nitakapokwisha kupita.
Amasea, Na hadigi sinenemegi da baligisia, Na da di gele gelabo ganodini sanasili, Na loboga dedebomu. Amasea, Na da baligimu.
23 Kisha nitaondoa mkono wangu nawe utaona mgongo wangu; lakini kamwe uso wangu hautaonekana.”
Amasea, Na da Na lobo bu lalegamu. Di da Na baligi ba: mu be Na odagi ba: mu da sema gala.”