< Kutoka 32 >
1 Watu walipoona kuwa Mose amekawia sana kushuka kutoka mlimani, walimkusanyikia Aroni na kumwambia, “Njoo, tutengenezee miungu itakayotutangulia. Kwa maana huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri, hatujui jambo lililompata.”
and to see: see [the] people for be ashamed Moses to/for to go down from [the] mountain: mount and to gather [the] people upon Aaron and to say to(wards) him to arise: rise to make to/for us God which to go: went to/for face: before our for this Moses [the] man which to ascend: establish us from land: country/planet Egypt not to know what? to be to/for him
2 Aroni akawajibu, “Vueni vipuli vya dhahabu ambavyo wake zenu, wana wenu na binti zenu wamevaa, mkaniletee.”
and to say to(wards) them Aaron to tear ring [the] gold which in/on/with ear woman: wife your son: child your and daughter your and to come (in): bring to(wards) me
3 Kwa hiyo watu wote wakavua vipuli vyao, wakavileta kwa Aroni.
and to tear all [the] people [obj] ring [the] gold which in/on/with ear their and to come (in): bring to(wards) Aaron
4 Akavichukua vile vitu walivyomkabidhi, akavifanyiza kwa kusubu sanamu yenye umbo la ndama, akaichonga kwa kutumia chombo. Kisha wakasema, “Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli, iliyowapandisha kutoka Misri.”
and to take: recieve from hand: themselves their and to form [obj] him in/on/with stylus and to make him calf liquid and to say these God your Israel which to ascend: establish you from land: country/planet Egypt
5 Aroni alipoona hili, akajenga madhabahu mbele ya yule ndama na kutangaza, “Kesho kutakuwa na sikukuu kwa Bwana.”
and to see: see Aaron and to build altar to/for face: before his and to call: call out Aaron and to say feast to/for LORD tomorrow
6 Kwa hiyo siku iliyofuata watu wakaamka asubuhi na mapema na kutoa sadaka za kuteketeza na sadaka za amani. Baadaye watu wakaketi kula na kunywa, nao wakasimama, wakajizamisha katika sherehe.
and to rise from morrow and to ascend: offer up burnt offering and to approach: bring peace offering and to dwell [the] people to/for to eat and to drink and to arise: rise to/for to laugh
7 Kisha Bwana akamwambia Mose, “Shuka, kwa sababu watu wako, uliowatoa Misri, wamepotoka.
and to speak: speak LORD to(wards) Moses to go: went to go down for to ruin people your which to ascend: establish from land: country/planet Egypt
8 Wamekuwa wepesi kugeuka na kuacha niliyowaamuru, na wamejitengenezea sanamu ya kuyeyusha yenye umbo la ndama. Wameisujudia na kuitolea dhabihu, nao wamesema, ‘Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli iliyokupandisha kutoka Misri.’”
to turn aside: turn aside quickly from [the] way: conduct which to command them to make to/for them calf liquid and to bow to/for him and to sacrifice to/for him and to say these God your Israel which to ascend: establish you from land: country/planet Egypt
9 Bwana akamwambia Mose, “Nimeona watu hawa, nao ni watu wenye shingo ngumu.
and to say LORD to(wards) Moses to see: see [obj] [the] people [the] this and behold people severe neck he/she/it
10 Sasa niache ili hasira yangu ipate kuwaka dhidi yao, nami nipate kuwaangamiza. Kisha nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa.”
and now to rest [emph?] to/for me and to be incensed face: anger my in/on/with them and to end: destroy them and to make [obj] you to/for nation great: large
11 Lakini Mose akamsihi Bwana Mungu wake, akasema, “Ee Bwana, kwa nini hasira yako iwake dhidi ya watu wako, wale uliowatoa Misri kwa uweza mkuu na mkono wenye nguvu?
and to beg Moses [obj] face of LORD God his and to say to/for what? LORD to be incensed face: anger your in/on/with people your which to come out: send from land: country/planet Egypt in/on/with strength great: large and in/on/with hand: power strong
12 Kwa nini Wamisri waseme, ‘Ni kwa nia mbaya aliwatoa Misri, ili awaue milimani na kuwafuta usoni mwa dunia’? Achilia mbali hasira yako kali, waonee huruma na usilete maafa juu ya watu wako.
to/for what? to say Egyptian to/for to say in/on/with distress: evil to come out: send them to/for to kill [obj] them in/on/with mountain: mount and to/for to end: destroy them from upon face: surface [the] land: planet to return: turn back from burning anger face: anger your and to be sorry: relent upon [the] distress: harm to/for people your
13 Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaki na Israeli, ambao uliwaapia kwa nafsi yako mwenyewe: ‘Nitawafanya uzao wako kuwa wengi kama nyota za angani, nami nitawapa wazao wako nchi hii yote ambayo niliwaahidia, nayo itakuwa urithi wao milele.’”
to remember to/for Abraham to/for Isaac and to/for Israel servant/slave your which to swear to/for them in/on/with you and to speak: speak to(wards) them to multiply [obj] seed: children your like/as star [the] heaven and all [the] land: country/planet [the] this which to say to give: give to/for seed: children your and to inherit to/for forever: enduring
14 Kisha Bwana akawaonea huruma, wala hakuleta juu ya watu wake maafa aliyokuwa amekusudia.
and to be sorry: relent LORD upon [the] distress: harm which to speak: speak to/for to make: do to/for people his
15 Mose akageuka, akashuka kutoka mlimani akiwa na vibao viwili vya Ushuhuda mikononi mwake. Vilikuwa vimeandikwa pande zote mbili, mbele na nyuma.
and to turn and to go down Moses from [the] mountain: mount and two tablet [the] testimony in/on/with hand: power his tablet to write from two side: beside their from this and from this they(masc.) to write
16 Vibao hivyo vilikuwa kazi ya Mungu; maandishi yalikuwa mwandiko wa Mungu, yaliyochorwa kama muhuri juu ya vibao.
and [the] tablet deed: work God they(masc.) and [the] writing writing God he/she/it to engrave upon [the] tablet
17 Yoshua aliposikia sauti za watu wakipiga kelele, akamwambia Mose, “Kuna sauti ya vita kambini.”
and to hear: hear Joshua [obj] voice: sound [the] people (in/on/with shouting his *Q(K)*) and to say to(wards) Moses voice: sound battle in/on/with camp
18 Mose akajibu: “Si sauti ya ushindi, wala si sauti ya kushindwa; ni sauti ya kuimba ninayosikia.”
and to say nothing voice: sound to sing might and nothing voice: sound to sing weakness voice: sound to sing I to hear: hear
19 Mose alipoikaribia kambi na kuona yule ndama na ile michezo, hasira yake ikawaka, akatupa vile vibao vilivyokuwa mikononi mwake, akavipasua vipande vipande pale chini ya mlima.
and to be like/as as which to present: come to(wards) [the] camp and to see: see [obj] [the] calf and dance and to be incensed face: anger Moses and to throw (from hand his *Q(K)*) [obj] [the] tablet and to break [obj] them underneath: under [the] mountain: mount
20 Kisha akamchukua yule ndama waliokuwa wamemtengeneza na kumchoma kwenye moto, kisha akamsaga kuwa unga, akanyunyiza kwenye maji na kuwafanya Waisraeli wanywe.
and to take: take [obj] [the] calf which to make and to burn in/on/with fire and to grind till which to crush and to scatter upon face: surface [the] water and to water: drink [obj] son: descendant/people Israel
21 Mose akamwambia Aroni, “Watu hawa walikufanyia nini, hata ukawaongoza kufanya dhambi kubwa hivyo?”
and to say Moses to(wards) Aaron what? to make: do to/for you [the] people [the] this for to come (in): bring upon him sin great: large
22 Aroni akamwambia, “Usikasirike bwana wangu. Unajua jinsi watu hawa walivyo tayari kwa maovu.
and to say Aaron not to be incensed face: anger lord my you(m. s.) to know [obj] [the] people for in/on/with bad: evil he/she/it
23 Wao waliniambia, ‘Tufanyie miungu itakayotuongoza. Kwa kuwa huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri, hatufahamu yaliyompata.’
and to say to/for me to make to/for us God which to go: went to/for face: before our for this Moses [the] man which to ascend: establish us from land: country/planet Egypt not to know what? to be to/for him
24 Kwa hiyo nikawaambia, ‘Yeyote aliye na kito chochote cha dhahabu avue.’ Kisha wakanipa hiyo dhahabu, nami nikaitupa motoni, akatokea huyu ndama!”
and to say to/for them to/for who? gold to tear and to give: give to/for me and to throw him in/on/with fire and to come out: produce [the] calf [the] this
25 Mose akaona kuwa watu wameasi, kwa kuwa Aroni alikuwa amewaacha waasi, na hivyo kuwa kichekesho kwa adui zao.
and to see: see Moses [obj] [the] people for to neglect he/she/it for to neglect him Aaron to/for derision in/on/with to arise: attack them
26 Kwa hiyo Mose akasimama kwenye ingilio la kambi, akasema, “Yeyote aliye upande wa Bwana, aje upande wangu.” Walawi wote wakamjia.
and to stand: stand Moses in/on/with gate [the] camp and to say who? to/for LORD to(wards) me and to gather to(wards) him all son: child Levi
27 Ndipo alipowaambia, “Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Kila mmoja wenu ajifunge upanga wake kiunoni aende huku na huko kambi yote mwisho hadi mwisho mwingine, kila mmoja amuue ndugu yake, na rafiki yake na jirani yake.’”
and to say to/for them thus to say LORD God Israel to set: put man: anyone sword his upon thigh his to pass and to return: return from gate to/for gate in/on/with camp and to kill man: anyone [obj] brother: compatriot his and man: anyone [obj] neighbor his and man: anyone [obj] near his
28 Walawi wakafanya kama Mose alivyoamuru, siku ile wakafa watu wapatao 3,000.
and to make: do son: child Levi like/as word Moses and to fall: kill from [the] people in/on/with day [the] he/she/it like/as three thousand man
29 Kisha Mose akasema, “Leo mmewekwa wakfu kwa Bwana, kwa kuwa mlikuwa kinyume na wana wenu wenyewe na ndugu zenu, naye Mungu amewabariki leo.”
and to say Moses to fill hand: donate your [the] day: today to/for LORD for man: anyone in/on/with son: child his and in/on/with brother: compatriot his and to/for to give: put upon you [the] day: today blessing
30 Siku iliyofuata Mose akawaambia watu, “Mmefanya dhambi kubwa. Lakini sasa nitapanda juu kwa Bwana, labda nitaweza kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.”
and to be from morrow and to say Moses to(wards) [the] people you(m. p.) to sin sin great: large and now to ascend: rise to(wards) LORD perhaps to atone about/through/for sin your
31 Hivyo Mose akarudi kwa Bwana na kumwambia, “Lo! Hawa watu wamefanya dhambi kubwa namna gani! Wamejitengenezea miungu ya dhahabu.
and to return: return Moses to(wards) LORD and to say Please! to sin [the] people [the] this sin great: large and to make to/for them God gold
32 Lakini sasa nakusihi, wasamehe dhambi yao; lakini kama sivyo, basi nifute kutoka kwenye kitabu ulichoandika.”
and now if to lift: forgive sin their and if nothing to wipe me please from scroll: book your which to write
33 Bwana akamjibu Mose, “Yeyote aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta kutoka kwenye kitabu changu.
and to say LORD to(wards) Moses who? which to sin to/for me to wipe him from scroll: book my
34 Sasa nenda, uongoze hao watu mpaka mahali nilipokuambia, naye malaika wangu atakutangulia. Pamoja na hayo, wakati utakapofika wa mimi kuwaadhibu, nitawaadhibu kwa ajili ya dhambi yao.”
and now to go: went to lead [obj] [the] people to(wards) which to speak: speak to/for you behold messenger: angel my to go: went to/for face: before your and in/on/with day to reckon: visit I and to reckon: visit upon them sin their
35 Ndipo Bwana akawapiga watu kwa ugonjwa wa tauni kwa sababu ya yale waliyoyafanya kwa ndama yule ambaye alitengenezwa na Aroni.
and to strike LORD [obj] [the] people upon which to make [obj] [the] calf which to make Aaron