< Kutoka 3 >

1 Basi Mose alikuwa anachunga mifugo ya Yethro mkwewe, kuhani wa Midiani. Mose akapeleka mifugo mbali nyuma ya jangwa, naye akafika Horebu, mlima wa Mungu.
Mısee cune abbatteyn, Midyanaaşine kaahinın syuru uxhiyxhana'a eyxhe. Mang'une abbatteyn düğəlıd İtron eyhe. Sayəqees mang'vee man syuru əq'ənane sahreeqa, Allahne suvaysqa Xorevisqa ıkekka.
2 Huko malaika wa Bwana akamtokea Mose katika mwali wa moto kutoka kichakani. Mose akaona kwamba ingawa kile kichaka kilikuwa kinawaka moto, kilikuwa hakiteketei.
Sayir mang'us gyotxhanne ğıç'eençe Rəbbina malaaik gyagva. Mısayk'le ts'ayın aqqıyn ğı'ç'iy gidyotxhan g'acumee,
3 Ndipo Mose akawaza, “Nitageuka sasa nione kitu hiki cha ajabu, nami nione ni kwa nini kichaka hiki hakiteketei.”
mang'vee culed alqa eyhen: – Hinnalan hark'ın mane curayne işiqa ilyakkas, nya'asiy man ğı'ç'iy gyotxhun ç'əvcad dexhe.
4 Bwana alipoona kuwa amegeuka ili aone, Mungu akamwita kutoka ndani ya kile kichaka, “Mose! Mose!” Naye Mose akajibu, “Mimi hapa.”
Rəbbık'le Mısa ilyakasva k'ane qıxha g'acumee, ğıç'eençe mang'ulqa ona'an: – Mısa, Mısa! Mang'veeyir «Hooyva» alidghıniy qele.
5 Mungu akamwambia, “Usikaribie zaidi. Vua viatu vyako, kwa maana mahali unaposimama ni patakatifu.”
Allahee eyhen: – K'anyaqa qımexhe. G'ellinbı g'ayşe. Ğu ulyorzulin ciga er ciga vod.
6 Kisha akamwambia, “Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo.” Mose aliposikia hayo, akafunika uso wake kwa sababu aliogopa kumtazama Mungu.
Zı, yiğne dekkeyid, İbrahimeeyid, I'saq'eeyid, Yaaq'ubeeyid ı'bəədat hı'ına Allah vor. Man g'ayxhı Mısee aq'va aqqaqqa, Allahıqa ilyakkas qəyq'ənna.
7 Bwana akamwambia, “Hakika nimeona mateso ya watu wangu katika Misri. Nimesikia kilio chao kwa sababu ya wasimamizi wao, nami naguswa na mateso yao.
Rəbbee eyhen: – Zak'le Yizde milletın Misir opxhanna əq'üba vaats'ana. Manbışil ooqa givxhiyne insanaaşine xıleke höödəxənıd Zak'le ats'an, manbışe kumag heqqad Zak'le g'ayxhin.
8 Basi nimeshuka niwaokoe kutoka mkono wa Wamisri, niwatoe na kuwapandisha kutoka nchi hiyo, niwapeleke katika nchi nzuri na kubwa, nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.
Zı mançil-alla inyaqa arı. Həşde Zı manbı Misirbışde xılençe g'attivxhan hav'u mane ölkeençe qığaa'asınbı. Qiyğaleb sa xənne, kar geednane, nyakiy itv gyodatstsene cigabışeeqa quvkees. Maa'ab həşde Kana'anbı, Q'etbı, Emorbı, Perizbı, Q'ivbı, Yevusbı aaxva.
9 Sasa kilio cha Waisraeli kimenifikia, nami nimeona jinsi Wamisri wanavyowatesa.
İzrailybışin gyaaşuy Zak'le g'iyxhen. Zak'le Misirbışe manbışis hoolena əq'üba g'oocena.
10 Basi, sasa nenda. Ninakutuma kwa Farao ili kuwatoa watu wangu Waisraeli kutoka Misri.”
Mançil-allar Zı ğu fironusqa Yizın millet İzrailybı, Misirğançe qığe'eva g'ıxele.
11 Lakini Mose akamwambia Mungu, “Mimi ni nani hata niende kwa Farao kuwatoa Waisraeli nchini Misri?”
Mısee Allahık'le eyhen: – Nya'a, zı vuşune vor, fironusqa hark'ın İzrailybı Misirğançe qığaa'as?
12 Naye Mungu akasema, “Mimi nitakuwa pamoja nawe. Hii itakuwa ishara kwako kwamba ni Mimi nimekutuma: Hapo utakapokuwa umewatoa watu Misri, mtamwabudu Mungu katika mlima huu.”
Allahee eyhen: – Zı vaka ixhes. Zı ğu g'axuvuva inçike ats'axhxhes: ğu millet Misirğançe qığavhuyng'a ine suval şu Zas ı'bəədat ha'as.
13 Mose akamwambia Mungu, “Ikiwa nitawaendea Waisraeli na kuwaambia, ‘Mungu wa baba zenu amenituma kwenu,’ nao wakiniuliza, ‘Jina lake ni nani?’ Nitawaambia nini?”
Mısee Allahık'le eyhen: – Zı İzrailybışisqa hark'ın uvheene «Vuşde dekkaaşe ı'bəədat hı'ıne Allahee zı şosqa g'axuvu», manbışe qiyghanasın: «Mang'un do hucooyiy?» Hucoovane zı manbışis alidghıniy qeles?
14 Mungu akamwambia Mose, “Mimi niko ambaye niko. Hivyo ndivyo utakavyowaambia Waisraeli: ‘Mimi niko amenituma kwenu.’”
Allahee mang'us inəxüd cuvab qele: – Zı Vuşuyiy, Manar vorna. İzrailybışik'le eyhe: «Zı Vorna» eyheng'vee vuşde k'anyaqa g'axuvu.
15 Vilevile Mungu akamwambia Mose, “Waambie Waisraeli, ‘Bwana, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo amenituma kwenu.’ Hili ndilo Jina langu milele, Jina ambalo mtanikumbuka kwalo kutoka kizazi hadi kizazi.
Allahee Mısayk'le meed eyhen: – İzrailybışik'le eyhe: «YAHVE (Rəbb), vuşde dekkaaşee, İbrahimee, I'saq'ee, Yaaq'ubee ı'bəədat hı'ıne Allahee zı şosqa g'axuvu». Yizın gırgıne gahbışil do YAHVE ixhes. Nasılbı nimee badaletxheyid Zalqa məxüd ona'as.
16 “Nenda, ukawakusanye wazee wa Israeli, uwaambie, ‘Bwana, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Isaki na Yakobo, alinitokea akaniambia: Nimewatazama, nami nimeona mliyofanyiwa katika Misri.
Hak'ne İzrailin ağsaqqalar sav'u manbışik'le eyhe: «Rəbbee, vuşde dekkaaşee, İbrahimee, I'saq'ee, Yaaq'ubee ı'bəədat hı'ına Allah zas dyagu uvhuyn: «Zı şoqa ilyakkaniy vor, Zak'le g'avcuna şu Misir opxhanna əq'üba.
17 Nami nimeahidi kuwapandisha kutoka mateso yenu katika nchi ya Misri, niwapeleke nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, nchi itiririkayo maziwa na asali.’
Zı şos cuvab hele, şu Misireene əq'übayke g'attivxhan hav'u Kana'anbışde, Q'etbışde, Emorbışde, Perizbışde, Q'ivbışde, Yevusbışde nyakiy itv gyodatstsene cigabışeeqa quvkees“».
18 “Wazee wa Israeli watakusikiliza. Kisha wewe na wazee mtakwenda kwa mfalme wa Misri na kumwambia, ‘Bwana, Mungu wa Waebrania ametutokea. Turuhusu twende safari ya siku tatu huko jangwani kutoa dhabihu kwa Bwana Mungu wetu.’
İzrailyne ağsaqqalaaşe val k'ırı alixhxhesın. Ğunar manbışika sacigee Misirne paççahısqa hark'ın eyhe: «Cühüt'yaaşina Allah, Rəbb şas dyagu. Şi xhebılle yiğna yəq apk'ın sahree yişde Allahıs, Rəbbis q'urbanbı allya'as».
19 Lakini nafahamu kwamba mfalme wa Misri hatawaruhusu kwenda, mpaka mkono wenye nguvu umlazimishe.
Zak'le ats'an Misirna paççah gucuka ilydekkee mang'vee şu g'avkvas deş.
20 Kwa hiyo nitaunyoosha mkono wangu na kuwapiga Wamisri kwa maajabu yote nitakayofanya miongoni mwao. Baada ya hayo, atawaruhusu mwondoke.
Mançil-allab Zı Misirılqa xıl alivka'as, həşdilqamee g'idiyxhiyn yiğbı manbışilqa allya'as. Mançile qiyğa mang'vee şu g'avkasınbı.
21 “Nami nitawapa hawa watu upendeleo mbele ya Wamisri, kwa hiyo mtakapoondoka nchini hamtaondoka mikono mitupu.
Zı məxüd ha'as şu manbışde ulen avqecen, şu q'ərane xıleka əlyhəəs gimabak'acen.
22 Kila mwanamke Mwisraeli atamwomba jirani yake Mmisri na mwanamke yeyote anayeishi nyumbani kwake ampe vyombo vya fedha, dhahabu na nguo, ambavyo mtawavika wana wenu na binti zenu. Hivyo mtawateka nyara Wamisri.”
Çühüt'yaaşine yedaaşe misirbışde yedaaşike, hasre k'ınəəğəykeyiy nuk'rayke hı'iyn karbıyiy tanalinbı heqqecen. Man karbı şu vuşde dixbışilqayiy yişbışilqa qa'as. Şu məxüb Misirbı q'əra qaa'as.

< Kutoka 3 >