< Kutoka 28 >

1 “Mtwae Aroni ndugu yako aliyeletwa kwako kutoka miongoni mwa Waisraeli, pamoja na wanawe Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
Aron hoi Aron capa Nadab, Abihu, Eleazar hoi Ithamar naw ni, kai koevah, vaihma thaw a tawk thai awh nahanelah, na hmau Aron hoi a capanaw hah Isarel catounnaw thung hoi lat haw.
2 Mshonee Aroni ndugu yako mavazi matakatifu ili yampe ukuu na heshima.
Hahoi na hmau Aron hanelah, kathounge khohna ka bawilen sakkung meikahawisakkung lah na o sak han.
3 Waambie mafundi stadi wote niliowapa hekima katika shughuli hiyo wamtengenezee Aroni mavazi hayo, ili awekwe wakfu, anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Kutsakkathoume, lungangnae muitha lahoi, kakawisaknaw pueng hah dei pouh. Aloukcalah kapek e koehoi Aron ni vaihma thaw kai hanelah a tawk thai nahan a khohna hah sak pouh naseh.
4 Haya ndiyo mavazi watakayoshona: kifuko cha kifuani, kisibau, kanzu, joho lililorembwa, kilemba na mshipi. Mavazi haya yatashonwa kwa ajili ya ndugu yako Aroni na wanawe ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
Hetheh khohna hanelah a khui awh hanelah doeh. Saiphei, angki, angkidung, Ephod, lupawk hoi taisawm. Na hmau Aron hoi a capanaw ni kai han vaihma thaw a tawk thai awh nahan, kathounge khohna na sak pouh han.
5 Waambie watumie dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani safi.
Sui, kamthim, paling, loukloukkaang e pahla hoi na sak pouh han.
6 “Tengeneza kisibau cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa, kazi ya fundi stadi.
Vaihma angki teh kutsakkathoumnaw ni a sak e patetlah Sui, kamthim, âthi, paling, loukloukkaang e pahla hoi carouk e lahoi a sak han.
7 Kitakuwa na vipande viwili vya mabegani vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili kufungia kisibau.
Apoutnae koe vah a loung dawk pâbawk e arui kahni touh ao vaiteh, hothateh pâbawk e lah ao han.
8 Mshipi wa kiunoni uliofumwa kwa ustadi utafanana nacho: utakuwa kitu kimoja na hicho kisibau, nao utengenezwe kwa dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri.
Sui, kamthim, âthi, paling, opaou, hoi loukloukkaang e angki dawkvah, yeng hane taisawm kahawipoung lah kawng e angki hoi, aphu kaawmpoung e hno han.
9 “Chukua vito viwili vya shohamu, na uchore juu yake majina ya wana wa Israeli
Hahoi aphu kaawm e talung kahni touh na la vaiteh, avan vah Isarel catounnaw e min hah na thut han.
10 kufuatana na walivyozaliwa: majina sita katika kito kimoja, na mengine sita katika kito kingine.
Talung aphu kaawm e buet touh dawkvah, minnaw taruk touh, alouke talung dawkvah taruk touh, a tâconae lahoi na thut pouh han.
11 Yachore majina ya wana wa Israeli juu ya vito hivyo viwili kama vile sonara anavyochonga muhuri. Kisha uvitie vito hivyo katika vijalizo vya dhahabu,
Min na thutnae talung thuk kathoumnaw ni a thuk awh e patetlah Isarel catounnaw e min hah talung kahni touh dawk na thuk han. Suihlaam dawk na pâseng han.
12 na uvifungie juu ya vipande vya mabega ya kisibau yawe kama vito vya ukumbusho kwa wana wa Israeli. Aroni atavaa majina hayo mabegani mwake kama kumbukumbu mbele za Bwana.
Isarel catounnaw pahnim hoeh nahanelah hote talung kahni touh hah angki rui dawk na bet han. Hottelah Aron ni ahnimae minnaw hah a loung roi dawk BAWIPA hmalah a bang han.
13 Tengeneza vijalizo vya dhahabu
Suipahla vei e hai na sak vaiteh,
14 na mikufu miwili ya dhahabu safi iliyosokotwa kama kamba, na uifunge mikufu hiyo kwenye vijalizo.
Suidingyin kahni touh, rui karawn e patetlah na vei vaiteh, na vei e dingyin teh karawn e hoi a kamtawp han.
15 “Fanyiza kifuko cha kifuani kwa ajili ya kufanya maamuzi, kazi ya fundi stadi. Kitengeneze kama kile kisibau: cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, cha kitani safi iliyosokotwa.
Lawkcengnae Ephod hah na sak han. Sui, kamthim pahla, dikpaling pahla, opaou pahla, loukloukkaang pahla hoi kahawicalah kawng e vaihma angki na sak e patetlah na sak han.
16 Kitakuwa cha mraba, chenye urefu wa shibiri moja na upana wa shibiri moja, na kikunjwe mara mbili.
Takin pali touh a tawn vaiteh bawkhni touh lah ao han. Ayung khap touh adangka khap touh han.
17 Kisha weka safu nne za vito vya thamani juu yake. Safu ya kwanza itakuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;
Hahoi talung phu kaawm than pali touh na pâthit han. Apasueke than dawkvah, sardius, topaz, hoi carbuncle han.
18 katika safu ya pili itakuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;
Apâhni e than dawkvah, emerald, sapphire hoi diamon han.
19 safu ya tatu itakuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;
Apâthum e than dawkvah, Jacinth, agate, hoi amethyst han.
20 na safu ya nne itakuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Yote yatiwe kwenye vijalizo vya dhahabu.
Apalinae than dawkvah, beril, onyx hoi jasper han. Hotnaw teh sui dawk koung bet e lah ao han.
21 Patakuwa na vito kumi na viwili, kila kimoja kwa jina mojawapo la wana wa Israeli, kila kimoja kichorwe kama muhuri kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi na mawili.
Aphu kaawm talungnaw ni, Isarel catounnaw e minparui e patetlah hlaikahni touh ni min rip a tawn awh han. Min thutnae dawk thuk e patetlah miphun pueng hah a minnaw patetlah miphun hlaikahni touh hane doeh.
22 “Kwa ajili ya kile kifuko cha kifuani, tengeneza mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kamba.
Ephod a poutnae koevah, rui karawn e patetlah dingyin kathounge vei e hah sui hoi na sak han.
23 Tengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili yake, uzifungie kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani.
Hahoi Ephod hanelah suilaikaw kahni touh na sak han. Laikaw kahni touh hah Ephod a poutnae koe na bet han.
24 Funga ile mikufu miwili ya dhahabu kwenye hizo pete zilizo katika pembe za hicho kifuko cha kifuani,
Suidingyin kahni touh vei e hah Ephod apoutnae koe e laikaw kahni touh dawk na kan han.
25 nazo zile ncha nyingine za mkufu zifunge kwenye vile vijalizo viwili, na uzishikamanishe na vile vipande vya mabega vya kile kisibau upande wa mbele.
Vei e dingyin hmo a vang lae hah suipahla kahni touh vei e dawkvah na kan han.
26 Tengeneza pete mbili za dhahabu, uzishikamanishe kwenye pembe mbili za chini, upande wa ndani wa kifuko cha kifuani karibu na kisibau.
Hahoi suilaikaw kahni touh na sak han. Hot teh Ephod kahni touh a pawi koe vaihma angki e a thung lah na mawp han.
27 Tengeneza pete nyingine mbili za dhahabu, na uzishikamanishe sehemu ya chini ya vipande vya mabega upande wa mbele wa kile kisibau, karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni wa kisibau.
Suilaikaw kahni touh alouklah na sak vaiteh, hot teh a hma lae vaihma angki kannae rahim lae kâpatawpnae koe kahawicalah kawng e, vaihma angki kannae van lah na mawp han.
28 Pete za kifuko cha kifuani zitafungwa kwenye pete zile za kisibau kwa kamba ya buluu, ziunganishwe na ule mshipi wa kiunoni, ili kifuko cha kifuani kisisogee kutoka kwenye kile kisibau.
Hahoi vaihma angki laikaw dawkvah, Ephod dawk e laikaw hah kamthim pahla hoi mekkhuisin han. Kahawicalah kawng e vaihma angki suinae teh avanlah ao thai nahane hoi Ephod hah vaihma angki hoi a kâphoi thai hoeh nahan,
29 “Wakati wowote Aroni aingiapo Mahali Patakatifu, atakuwa na yale majina ya wana wa Israeli moyoni mwake juu ya kile kifuko cha kifuani cha uamuzi kama kumbukumbu ya kudumu mbele za Bwana.
hottelah Aron teh, hmuen kathoung koe a cei toteh, BAWIPA hmalah pou a kamnue nahanelah, a lungthin dawk lawkcengnae ephod dawkvah, Isarel catounnaw e min lah ao han.
30 Pia weka Urimu na Thumimu ndani ya kifuko cha kifuani, yawe juu ya moyo wa Aroni kila mara aingiapo mbele za Bwana. Kwa hiyo siku zote Aroni atakuwa na uwezo kufanya maamuzi kwa ajili ya wana wa Israeli mbele za Bwana.
Urim hoi thummim hah lawkcengnae Ephod dawk na hruek vaiteh, BAWIPA hmalah a cei toteh, Aron e lungthin dawk ao han. Hottelah Aron ni BAWIPA hmalah Isarel catounnaw lawkcengnae hah a lung dawk pou ao han.
31 “Shona joho la kisibau lote kwa kitambaa cha rangi ya buluu tupu,
Hahoi vaihma angkidung hah kamthim pahla hoi dueng na kawng awh han.
32 na katikati uweke nafasi ya kuingizia kichwa. Kutakuwa na utepe uliofumwa, unaofanana na ukosi kuizunguka nafasi hiyo, ili isichanike.
A lungui vah lû mahrawk nahanelah na paaw pouh han. Ka aw e a vak hoeh nahanelah, angki lahuen patetlah arai na yep han.
33 Tengeneza makomamanga ya nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu kuzunguka pindo la hilo joho, na uweke pia vikengele vya dhahabu kati ya hayo makomamanga.
Kamthim, dikpaling, loukloukkaang e hoi sak e talepawnaw hai angki petkâkalup lah na sak han. Hote rahak dawkvah, suidinghling hoi petkâkalup lah na sak han.
34 Hivyo vikengele vya dhahabu na makomamanga vitapishana kuzunguka upindo wa joho lile.
Hottelah angkidung dawkvah, suidinghling buet touh hoi talepaw, suidinghling hoi talepaw petkâkalup lah arai dawk na sak han.
35 Ni lazima Aroni alivae anapofanya huduma. Sauti ya hivyo vikengele itasikika anapoingia na kutoka Mahali Patakatifu mbele za Bwana, ili asije akafa.
Aron ni thaw a tawk navah, hottelah a kamthoup han. Hottelah BAWIPA e hmalah hmuen kathoung dawk kâen tâconae tueng nah a pawlawk thai laipalah a due hoeh nahanelah na sak pouh han.
36 “Tengeneza bamba la dhahabu safi na uchore juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: Mtakatifu kwa Bwana.
Hahoi suikathoung phen na sak vaiteh, avan vah kutnoutthutnae ca tarik e patetlah BAWIPA KOE THOUNGNAE telah na thut han.
37 Lifunge hilo bamba kwa kamba ya buluu kwenye kilemba, nalo ni lazima liwe mbele ya kilemba.
Hot teh lupawk dawk ao nahanelah, lupawk e hmalah kamthim pahla rui hoi na bet han.
38 Aroni alivae bamba hilo kwenye paji la uso wake, naye atachukua hatia kuhusu sadaka takatifu za Waisraeli wanazoweka wakfu, sadaka za aina yoyote. Litakuwa kwenye paji la uso wa Aroni daima ili zikubalike kwa Bwana.
Hot teh, Aron tampa dawk ao han. Isarel catounnaw ni kathounge a poehnonaw pueng a thoungsaknae, payonpakainae kaawm e hah Aron ni koung a phu han. Hot teh BAWIPA hmalah dâw han kamcu e lah ao thai nahanelah, a tampa dawk pou a ta han.
39 “Fuma koti la kitani safi na ufanye kilemba cha kitani safi. Mshipi uwe ni kazi ya mtarizi.
Angkidung teh loukloukkaang e hoi kahawicalah na carouk vaiteh na kawng han. Loukloukkaang e hni hoiyah vaihma lupawk hah na sak vaiteh, taisawm hai na sak pouh han.
40 Watengenezee wana wa Aroni makoti, mishipi na kofia, ili kuwapa ukuu na heshima.
Aron capanaw hanlah, angkidung hah na sak pouh vaiteh, taisawm hai ahnimouh han na sak pouh han. A bawilen sak nahan hoi kahawisakkung lah a bawilakhung na sak pouh han.
41 Baada ya kumvika Aroni ndugu yako pamoja na wanawe nguo hizi, watie mafuta na kuwabariki. Waweke wakfu ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
Na hmau Aron hoi a capanaw hah na pathoup han, kai han vaihma thaw a tawk thai nahan satui na awi vaiteh, na hmoun vaiteh, na thoung sak han.
42 “Watengenezee nguo za ndani za kitani zitakazofunika mwili, kutoka kiunoni hadi mapajani.
Hahoi caici lah a onae na ramuk nahanelah, loukloukkaang e hnadung na sak pouh vaiteh, a keng koehoi a phai totouh a pha han.
43 Aroni na wanawe ni lazima wavae haya kila wanapoingia katika Hema la Kukutania au wanaposogelea madhabahu wakati wa kutoa huduma katika Mahali Patakatifu, ili wasije wakafanya kosa wakafa. “Haya yawe maagizo ya kudumu kwa Aroni na vizazi vyake.
Hot teh Aron hoi a capanaw kamkhuengnae lukkareiim koe kâennae tueng dawk thoseh, hmuen kathoung koe thaw tawk nahanlah bawknae khoungroe teng a cei nah thoseh a kamthoup awh han. Nahoeh pawiteh, yonpen e lah awm vaiteh, dout awh langvaih. Hot teh amamouh hoi ka tho hane catounnaw totouh a yungyoe hanlah caksak e phunglam doeh toe.

< Kutoka 28 >