< Kutoka 28 >
1 “Mtwae Aroni ndugu yako aliyeletwa kwako kutoka miongoni mwa Waisraeli, pamoja na wanawe Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
Namah loh Israel ca rhoek khui lamkah na maya Aaron neh a taengkah anih ca rhoek te namah taengah khueh laeh. Aaron amah neh Aaron ca rhoek Nadab, Abihu, Eleazar neh Ithamar tah kamah taengah khosoih saeh.
2 Mshonee Aroni ndugu yako mavazi matakatifu ili yampe ukuu na heshima.
Na maya Aaron ham himbai cim te thangpomnah neh boeimangnah la khueh pah.
3 Waambie mafundi stadi wote niliowapa hekima katika shughuli hiyo wamtengenezee Aroni mavazi hayo, ili awekwe wakfu, anitumikie katika kazi ya ukuhani.
Namah loh cueihnah mueihla ka cung sak tih lungbuei kah aka cueih boeih te thui pah. Te vaengah kai taengkah khosoih la aka ciim uh Aaron kah himbai te hui uh saeh.
4 Haya ndiyo mavazi watakayoshona: kifuko cha kifuani, kisibau, kanzu, joho lililorembwa, kilemba na mshipi. Mavazi haya yatashonwa kwa ajili ya ndugu yako Aroni na wanawe ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
Te himbai dongah rhangpho neh hnisui, hnikul neh kutthun angkidung, lupong neh lamko te saii uh saeh. Te vaengah kai taengah aka khosoih ham na manuca Aaron ham neh anih koca rhoek ham himbai cim saii uh.
5 Waambie watumie dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani safi.
Amih loh sui neh a thim neh, daidi neh hlampai a lingdik neh hnitang khaw doe uh saeh.
6 “Tengeneza kisibau cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa, kazi ya fundi stadi.
Hnisui te sui, a thim neh daidi, hlampai a lingdik neh kutci la a moeh tih a tah hnitang neh saii uh saeh.
7 Kitakuwa na vipande viwili vya mabegani vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili kufungia kisibau.
Te dongkah a hmoi rhoi ah aka om te holhnam rhoi ah hlin saeh lamtah phaai uh saeh.
8 Mshipi wa kiunoni uliofumwa kwa ustadi utafanana nacho: utakuwa kitu kimoja na hicho kisibau, nao utengenezwe kwa dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri.
A pholip dongah cihin khaw a kutngo bangla amah dongah om saeh lamtah sui, a thim, daidi, hlampai a lingdik neh hnitang la tak saeh.
9 “Chukua vito viwili vya shohamu, na uchore juu yake majina ya wana wa Israeli
Te phoeiah oitha lung panit te lo lamtah a soah Israel ca ming tarhit pah.
10 kufuatana na walivyozaliwa: majina sita katika kito kimoja, na mengine sita katika kito kingine.
A ming parhuk te lungto pakhat dongah ming parhuk vetih aka coih te lungto pabae dongah amamih kah rhuirhong bangla tarhit pah.
11 Yachore majina ya wana wa Israeli juu ya vito hivyo viwili kama vile sonara anavyochonga muhuri. Kisha uvitie vito hivyo katika vijalizo vya dhahabu,
Kutthai kutnaep, thingthuk lung kah kutbuen bangla lungto rhoi te tarhit. Te te Israel ca ming neh vael lamtah sui oibom dongah hol.
12 na uvifungie juu ya vipande vya mabega ya kisibau yawe kama vito vya ukumbusho kwa wana wa Israeli. Aroni atavaa majina hayo mabegani mwake kama kumbukumbu mbele za Bwana.
Lungto rhoi te hnisui dongkah holhnam dongla Israel ca rhoek kah poekkoepnah lungto la hulh pah. Te vaengah Aaron loh amih ming te BOEIPA mikhmuh kah poekkoepnah la a laengpang rhoi ah vah saeh.
13 Tengeneza vijalizo vya dhahabu
Te phoeiah sui oibom saii.
14 na mikufu miwili ya dhahabu safi iliyosokotwa kama kamba, na uifunge mikufu hiyo kwenye vijalizo.
Sui cilh neh cangtui-rhaica te rhuinit hulh lamtah te te kutci neh rhuivaeh la khueh. Te phoeiah rhuivaeh cangtui-rhaica te oibom dongah khit.
15 “Fanyiza kifuko cha kifuani kwa ajili ya kufanya maamuzi, kazi ya fundi stadi. Kitengeneze kama kile kisibau: cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, cha kitani safi iliyosokotwa.
Hnisui dongkah kutngo bangla laitloeknah rhangpho na saii khaw bibi la moeh. Te te sui neh hlampai, thim, daidi, a lingdik neh saii. Te phoeiah hnitang a tah neh te te saii thil.
16 Kitakuwa cha mraba, chenye urefu wa shibiri moja na upana wa shibiri moja, na kikunjwe mara mbili.
Te te yaep lamtah a yun khap at neh a daang khap at ah hniboeng la om saeh.
17 Kisha weka safu nne za vito vya thamani juu yake. Safu ya kwanza itakuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;
Te soah lungto hulhnah te a than pali la dueh. Than cuek te lungling, vaya neh tamkuei he lungto than at vetih,
18 katika safu ya pili itakuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;
A than bae dongah khocillung, minhum neh lungmik.
19 safu ya tatu itakuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;
A than thum dongah oithii, khopang lung neh kemden,
20 na safu ya nne itakuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Yote yatiwe kwenye vijalizo vya dhahabu.
A than li dongah timsuih, oitha neh maihae te sui cueh thil lamtah a hulhnah neh om saeh.
21 Patakuwa na vito kumi na viwili, kila kimoja kwa jina mojawapo la wana wa Israeli, kila kimoja kichorwe kama muhuri kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi na mawili.
Lungto rhoek khaw Israel ca hlai nit ming la sum uh saeh. Kutbuen thingthuk dongkah a ming bangla hlang boeih he koca hlai nit dongah amah ming neh om uh saeh.
22 “Kwa ajili ya kile kifuko cha kifuani, tengeneza mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kamba.
Rhangpho soah cangtui-rhaica cuehnah te sui cilh rhuivaeh neh kutnaep la saii.
23 Tengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili yake, uzifungie kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani.
Rhangpho dongkah sui kutcaeng panit saii lamtah rhangpho kah a hmoi rhoi ah kutcaeng nit la buen.
24 Funga ile mikufu miwili ya dhahabu kwenye hizo pete zilizo katika pembe za hicho kifuko cha kifuani,
Sui rhuivaeh rhoi te rhangpho hmoi kah kutcaeng rhoi dongla khih pah.
25 nazo zile ncha nyingine za mkufu zifunge kwenye vile vijalizo viwili, na uzishikamanishe na vile vipande vya mabega vya kile kisibau upande wa mbele.
Te phoeiah rhuivaeh rhoi kah a hmoi rhoi te oibom rhoi dongla hlin lamtah a maelhmai hmai a hnisui dongah holhnam dongla khih pah.
26 Tengeneza pete mbili za dhahabu, uzishikamanishe kwenye pembe mbili za chini, upande wa ndani wa kifuko cha kifuani karibu na kisibau.
Te phoeiah sui kutcaeng panit saii lamtah te te rhangpho kah a hmoi rhoi la khit. A hmuidong te hnisui saa dongah a khui la det.
27 Tengeneza pete nyingine mbili za dhahabu, na uzishikamanishe sehemu ya chini ya vipande vya mabega upande wa mbele wa kile kisibau, karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni wa kisibau.
Te phoeiah sui kutcaeng panit saii lamtah te te a hmai kah a dang, hnisui cihin sokah a rhui voeivang ah hnisui dongkah holhnam rhoi dongla khih pah.
28 Pete za kifuko cha kifuani zitafungwa kwenye pete zile za kisibau kwa kamba ya buluu, ziunganishwe na ule mshipi wa kiunoni, ili kifuko cha kifuani kisisogee kutoka kwenye kile kisibau.
Rhangpho kah a kutcaeng lamloh hnisui kah kutcaeng duela a kutcaeng te pin saeh lamtah hnisui kah cihin duela hamnak thim neh om saeh. Te daengah ni hnisui dong lamkah rhangpho te khaw a hawl pawt eh.
29 “Wakati wowote Aroni aingiapo Mahali Patakatifu, atakuwa na yale majina ya wana wa Israeli moyoni mwake juu ya kile kifuko cha kifuani cha uamuzi kama kumbukumbu ya kudumu mbele za Bwana.
Te dongah Aaron Israel ca ming te a lungbuei dongkah laitloeknah rhangpho dongah vah saeh lamtah hmuencim la a kun vaengah BOEIPA mikhmuh kah poekkoepnah la om yoeyah saeh.
30 Pia weka Urimu na Thumimu ndani ya kifuko cha kifuani, yawe juu ya moyo wa Aroni kila mara aingiapo mbele za Bwana. Kwa hiyo siku zote Aroni atakuwa na uwezo kufanya maamuzi kwa ajili ya wana wa Israeli mbele za Bwana.
Laitloeknah rhangpho khuiah Urim neh Thummim khueh pah lamtah BOEIPA mikhmuh la a kun vaengah Aaron kah lungbuei ah om. Te vaengah Aaron loh Israel ca kah laitloeknah te BOEIPA mikhmuh ah a lungbuei ah phuei yoeyah saeh.
31 “Shona joho la kisibau lote kwa kitambaa cha rangi ya buluu tupu,
Hnisui hnikul te a thim la boeih saii.
32 na katikati uweke nafasi ya kuingizia kichwa. Kutakuwa na utepe uliofumwa, unaofanana na ukosi kuizunguka nafasi hiyo, ili isichanike.
A hmoi a laklung ah a lu ham a rhai om saeh. A rhai kaepvai te rhawnmoep rhai a om bangla kutnaep la a yen neh om saeh. Te daengah ni a. pawn pawt eh.
33 Tengeneza makomamanga ya nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu kuzunguka pindo la hilo joho, na uweke pia vikengele vya dhahabu kati ya hayo makomamanga.
A hnihmoi ah tale a thim, daidi neh hlampai a lingdik neh saii. A hmoi kaepvai te a laklo ah sui hling neh pin thalh saeh.
34 Hivyo vikengele vya dhahabu na makomamanga vitapishana kuzunguka upindo wa joho lile.
Hnikul kah hnihmoi dongah sui hling neh tale thaih, sui hling neh tale thaih pin bang pah.
35 Ni lazima Aroni alivae anapofanya huduma. Sauti ya hivyo vikengele itasikika anapoingia na kutoka Mahali Patakatifu mbele za Bwana, ili asije akafa.
Aaron soah thohtat ham om tih BOEIPA mikhmuh kah hmuencim la a kun vaengah a ol pa saeh. Te daengah ni a vuenva vaengah a duek pawt eh.
36 “Tengeneza bamba la dhahabu safi na uchore juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: Mtakatifu kwa Bwana.
Te phoeiah sui cilh tamlaep te saii lamtah a sokah kutbuen thingthuk te, “BOEIPA ham Cim,” tila thuk pah.
37 Lifunge hilo bamba kwa kamba ya buluu kwenye kilemba, nalo ni lazima liwe mbele ya kilemba.
Te te hamrhui thim dongah khih pah lamtah lupong dongah om saeh. Lupong hmai ah ah om saeh.
38 Aroni alivae bamba hilo kwenye paji la uso wake, naye atachukua hatia kuhusu sadaka takatifu za Waisraeli wanazoweka wakfu, sadaka za aina yoyote. Litakuwa kwenye paji la uso wa Aroni daima ili zikubalike kwa Bwana.
Te vaengah Aaron tal ah om vetih cimcaihnah dongah a ciim Israel ca rhoek kathaesainah te amih kah cimcaihnah kutdoe boeih te Aaron loh phuei saeh. Te daengah ni amih ham khaw a tal dongah BOEIPA mikhmuh kah kolonah la phat a om eh.
39 “Fuma koti la kitani safi na ufanye kilemba cha kitani safi. Mshipi uwe ni kazi ya mtarizi.
Hnitang angkidung te cueh lamtah hnitang lupong khaw saii. Te phoeiah lamko saii lamtah kutnaep la en.
40 Watengenezee wana wa Aroni makoti, mishipi na kofia, ili kuwapa ukuu na heshima.
Aaron koca rhoek ham khaw angkidung khueh pah lamtah amih ham lamko saii pah. Samkhuem khaw amih thangpomnah ham neh boeimangnah ham saii pah.
41 Baada ya kumvika Aroni ndugu yako pamoja na wanawe nguo hizi, watie mafuta na kuwabariki. Waweke wakfu ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
Te te na maya Aaron neh a taengkah anih koca rhoek te bai sak lamtah amih te koelh. Amih kut te cung sak lamtah amih te ciim. Te phoeiah kai taengla khosoih uh saeh.
42 “Watengenezee nguo za ndani za kitani zitakazofunika mwili, kutoka kiunoni hadi mapajani.
Amih ham a yah saa aka dah la takhlawk hnii saii pah lamtah a chinghen lamloh a phai duela dah saeh.
43 Aroni na wanawe ni lazima wavae haya kila wanapoingia katika Hema la Kukutania au wanaposogelea madhabahu wakati wa kutoa huduma katika Mahali Patakatifu, ili wasije wakafanya kosa wakafa. “Haya yawe maagizo ya kudumu kwa Aroni na vizazi vyake.
Aaron neh anih koca loh tingtunnah dap khuila a kun uh vaengah khaw, hmuencim ah thohtat ham hmueihtuk la a mop uh vaengah puei uh saeh. Te daengah ni thaesainah a phueih vaengah a duek uh pawt eh. He he anih ham neh anih phoeikah a tiingan ham kumhal kah khosing coeng ni.