< Kutoka 27 >

1 “Jenga madhabahu ya mbao za mti wa mshita, kimo chake kiwe dhiraa tatu; itakuwa mraba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano.
Also thou schalt make an auter of the trees of Sechym, which schal haue fyue cubitis in lengthe, and so many in brede, that is, sqware, and thre cubitis in heiythe.
2 Tengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba.
Forsothe hornes schulen be bi foure corneris therof; and thou schalt hile it with bras.
3 Tengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba: vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepetu, mabakuli ya kunyunyizia, uma za nyama, na vyombo vya kuchukulia moto.
And thou schalt make in to the vsis of the auter pannes, to resseyue aischis, and tongis, and fleisch hookis, and resettis of fyris; thou schalt make alle vessilis of bras.
4 Kisha tengenezea hayo madhabahu wavu wa shaba, na utengeneze pete za shaba kwenye kila moja ya hizo pembe nne za huo wavu.
And thou schalt make a brasun gridele in the maner of a net, and bi four corneris therof schulen be foure brasun ryngis,
5 Weka wavu huo chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.
whiche thou schalt putte vndur the yrun panne of the auter; and the gridele schal be til to the myddis of the auter.
6 Tengeneza mipiko ya mti wa mshita kwa ajili ya madhabahu, na uifunike kwa shaba.
And thou schalt make twey barris of the auter, of the trees of Sechym, whiche barris thou schalt hile with platis of bras;
7 Hiyo mipiko itaingizwa kwenye zile pete ili iwe pande mbili za madhabahu inapobebwa.
and thou schalt lede yn `the barris bi the cerclis, and tho schulen be on euer eithir side of the auter, to bere.
8 Tengeneza madhabahu yawe na uvungu ndani yake ukitumia mbao. Utaitengeneza sawasawa na vile ulivyoonyeshwa mlimani.
Thou schalt make that auter not massif, but voide, and holowe with ynne, as it was schewid to thee in the hil.
9 “Tengeneza ua kwa ajili ya Hema la Kukutania. Upande wa kusini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja, na utakuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,
Also thou schalt make a large street of the tabernacle, `in the maner of a chirche yeerd, in whos mydday coost ayens the south schulen be tentis of bijs foldid ayen; o side schal holde an hundrid cubitis in lengthe,
10 pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
and twenti pileris, with so many brasun foundementis, whiche pileris schulen haue silueren heedis with her grauyngis.
11 Upande wa kaskazini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja, nao utakuwa na mapazia, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
In lijk maner in the north side, bi the lengthe, schulen be tentis of an hundrid cubitis, twenti pileris, and brasun foundementis of the same noumbre; and the heedis of tho pileris with her grauyngis schulen be of siluer.
12 “Upande wa magharibi wa ua utakuwa na upana wa dhiraa hamsini, nao utakuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi.
Forsothe in the breede of the large street, that biholdith to the west, schulen be tentis bi fifti cubitis, and ten pileris schulen be, and so many foundementis.
13 Upande wa mwisho wa mashariki jua linakochomoza, ua pia utakuwa na upana wa dhiraa hamsini.
In that breede of the large street, that biholdith to the eest, schulen be fifti cubitis,
14 Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano yatakuwa upande mmoja wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.
in whiche the tentis of fiftene cubitis schulen be assigned to o side, and thre pileris, and so many foundementis;
15 Kutakuwepo tena na mapazia ya dhiraa kumi na tano kwa upande mwingine wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.
and in the tother side schulen be tentis holdynge fiftene cubitis, and thre pileris, and so many foundementis.
16 “Kuhusu ingilio la ua, weka pazia lenye urefu wa dhiraa ishirini la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. Pazia hilo litashikiliwa na nguzo nne na vitako vinne.
Forsothe in the entryng of the `greet strete schal be maad a tente of twenti cubitis, of iacynt, and purpur, and of reed selk twies died, and of bijs foldid ayen bi broideri werk; it schal haue four pileris, with so many foundementis.
17 Nguzo zote zinazozunguka ua zitakuwa na tepe na kulabu za fedha, na vitako vya shaba.
Alle the pileris of the grete street bi cumpas schulen be clothid with platis of siluer, with hedis of siluer, and with foundementis of bras.
18 Ua wa kukutania utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini, ukiwa na mapazia ya kitani yaliyosokotwa vizuri yenye urefu wa dhiraa tano kwenda juu na vitako vya shaba.
The greet street schal ocupie an hundrid cubitis in lengthe, fifti in breede; the hiyenesse of the tente schal be of fiue cubitis; and it schal be maad of bijs foldid ayen; and it schal haue brasun foundementis.
19 Vyombo vingine vyote vinavyotumika katika maskani kwa shughuli yoyote, pamoja na vigingi vyote na hata vile vya ua, vitakuwa vya shaba.
Thou schalt make of bras alle the vesselis of the tabernacle, in to alle vsis and cerymonyes, as wel stakis therof, as of the greet street.
20 “Utawaamuru Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa kwa ajili ya mwanga ili zile taa ziwake mfululizo.
Comaunde thou to the sones of Israel, that thei brynge to thee the clenneste oile of `the trees of olyues, and powned with a pestel, that a lanterne
21 Katika Hema la Kukutania, nje ya pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda, Aroni na wanawe watahakikisha kuwa taa hizo zinawaka kuanzia jioni mpaka asubuhi mbele za Bwana. Hili litakuwa agizo la milele miongoni mwa Waisraeli kwa vizazi vyote vijavyo.
brenne euere in the tabernacle of witnessyng with out the veil, which is hangid in the tabernacle of witnessyng; and Aaron and hise sones schulen sette it, that it schyne bifore the Lord til the morewtid; it schal be euerlastynge worschiping bi her successiouns of the sones of Israel.

< Kutoka 27 >