< Kutoka 27 >

1 “Jenga madhabahu ya mbao za mti wa mshita, kimo chake kiwe dhiraa tatu; itakuwa mraba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano.
“Načini žrtvenik od bagremova drva, pet lakata dug, pet lakata širok - prava četvorina - i tri lakta visok.
2 Tengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba.
Na njegova četiri ugla načini rogove. Neka mu rogovi budu u jednome komadu s njim. I tučem ga okuj.
3 Tengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba: vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepetu, mabakuli ya kunyunyizia, uma za nyama, na vyombo vya kuchukulia moto.
Dalje, načini za žrtvenik posude za zgrtanje otpadaka: strugače, kotliće, viljuške i kadionike. Sve potrepštine za žrtvenik načini od tuča.
4 Kisha tengenezea hayo madhabahu wavu wa shaba, na utengeneze pete za shaba kwenye kila moja ya hizo pembe nne za huo wavu.
Onda načini za nj rešetku od tuča, u obliku mrežice,
5 Weka wavu huo chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.
a na četiri ugla mrežicu ispod izbočine žrtvenika, tako da zahvati do sredine žrtvenika.
6 Tengeneza mipiko ya mti wa mshita kwa ajili ya madhabahu, na uifunike kwa shaba.
Napravi zatim motke za žrtvenik, motke od bagremova drva, pa ih tučem okuj.
7 Hiyo mipiko itaingizwa kwenye zile pete ili iwe pande mbili za madhabahu inapobebwa.
Neka se motke provuku kroz kolutove, tako da dođu na obje strane žrtvenika kad se nosi.
8 Tengeneza madhabahu yawe na uvungu ndani yake ukitumia mbao. Utaitengeneza sawasawa na vile ulivyoonyeshwa mlimani.
Načini ga šuplja, od dasaka: kako ti je pokazano na brdu, onako neka je i napravljen.”
9 “Tengeneza ua kwa ajili ya Hema la Kukutania. Upande wa kusini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja, na utakuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,
“Napravi i dvorište Prebivališta. Na južnoj strani napravi zavjese od prepredenog lana, sto lakata u dužinu s te strane.
10 pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
Njihovih dvadeset stupova neka stoji na dvadeset podnožja od tuča i neka imaju kopče i šipke od srebra.
11 Upande wa kaskazini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja, nao utakuwa na mapazia, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.
Isto tako za sjevernu stranu načini plahte sto lakata duge. Njihovih dvadeset stupova i dvadeset podnožja od tuča, ali kopče i šipke neka su od srebra.
12 “Upande wa magharibi wa ua utakuwa na upana wa dhiraa hamsini, nao utakuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi.
Širini dvorišta sa zapadne strane trebat će zavjese pedeset lakata duge, sa deset stupova i deset podnožja.
13 Upande wa mwisho wa mashariki jua linakochomoza, ua pia utakuwa na upana wa dhiraa hamsini.
Širina dvorišta prema istočnoj strani neka bude pedeset lakata.
14 Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano yatakuwa upande mmoja wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.
Nadalje, zavjese s jedne strane vrata neka su petnaest lakata duge, sa svoja tri stupa i njihova tri podnožja.
15 Kutakuwepo tena na mapazia ya dhiraa kumi na tano kwa upande mwingine wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.
A s druge strane neka su zavjese opet petnaest lakata, sa svoja tri stupa i njihova tri podnožja.
16 “Kuhusu ingilio la ua, weka pazia lenye urefu wa dhiraa ishirini la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. Pazia hilo litashikiliwa na nguzo nne na vitako vinne.
Za dvorišni ulaz: vezen zastor od dvadeset lakata, od ljubičastog, crvenog i tamnocrvenog prediva i prepredenog lana; i sa svoja četiri stupa i njihova četiri podnožja.
17 Nguzo zote zinazozunguka ua zitakuwa na tepe na kulabu za fedha, na vitako vya shaba.
Svi stupovi naokolo dvorišta neka su povezani srebrnim šipkama. Neka su im kopče od srebra, a podnožja od tuča.
18 Ua wa kukutania utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini, ukiwa na mapazia ya kitani yaliyosokotwa vizuri yenye urefu wa dhiraa tano kwenda juu na vitako vya shaba.
Neka je dvorište u duljinu sto lakata, u širinu pedeset, a u visinu pet lakata. Neka su mu plahte od prepredenog lana, podnožja od tuča.
19 Vyombo vingine vyote vinavyotumika katika maskani kwa shughuli yoyote, pamoja na vigingi vyote na hata vile vya ua, vitakuwa vya shaba.
Sve potrepštine u Prebivalištu za opću upotrebu i svi njegovi kočići, a tako i kočići u dvorištu, neka su od tuča.”
20 “Utawaamuru Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa kwa ajili ya mwanga ili zile taa ziwake mfululizo.
“Nadalje, naredi Izraelcima da ti za svjetlo donose čistoga ulja od istupanih maslina, tako da svjetlo neprestano gori.
21 Katika Hema la Kukutania, nje ya pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda, Aroni na wanawe watahakikisha kuwa taa hizo zinawaka kuanzia jioni mpaka asubuhi mbele za Bwana. Hili litakuwa agizo la milele miongoni mwa Waisraeli kwa vizazi vyote vijavyo.
Aron i njegovi sinovi neka ga postavljaju u Šator sastanka izvan zavjese što zaklanja Svjedočanstvo da gori pred Jahvom od večeri do jutra. Neka je to neopoziva naredba za izraelske naraštaje.”

< Kutoka 27 >