< Kutoka 25 >

1 Bwana akamwambia Mose,
Hina Gode da Mousesema amane sia: i,
2 “Waambie Waisraeli waniletee sadaka. Utapokea sadaka kwa niaba yangu kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake wapenda kutoa.
Di Isala: ili dunuma ilia da Nama iasu hamoma: ne sia: ma. Ilia da Nama imunusa: dawa: lalu, amo iasu di lama.
3 Hizi ndizo sadaka utakazozipokea kutoka kwao: dhahabu, fedha na shaba;
Ilia da Nama agoane liligi imunu da defea. Gouli, silifa, balase,
4 nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu, pamoja na kitani safi; singa za mbuzi;
abula, gobiaha: i (amo da mola: ya: i, yoi), abula goudi hinabo amoga hamoi,
5 ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo; mbao za mshita;
sibi gawali ea gadofo yoi amoga ulasi, bulamagau gadofo, aga: isia ifa,
6 mafuta ya zeituni kwa ajili ya taa; vikolezi kwa ajili ya mafuta ya upako, pamoja na uvumba wa harufu nzuri;
gamali hano amo gamali ganodini salimusa: , gabusiga: liligi amo sogadigisu susuligi ganodini salimusa: , laluga gobesimusa: gabusiga: liligi,
7 na vito vya shohamu na vito vingine vya thamani vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha kifuani.
igi noga: i gala (ganilia: ne) amola igi eno noga: i amo gobele salasu dunu ea ‘ifode’ (bidegiga salasu) amola bidegi gaga: su amo ganodini salimusa:
8 “Kisha uwaamuru wanitengenezee mahali patakatifu, nami nitakaa miongoni mwao.
Isala: ili dunuma ilia da Na ilia gilisisu ganodini esaloma: ne, amo hadigi Abula Diasu gaguma: ne sia: ma.
9 Tengeneza hema hili na vyombo vyake vyote sawasawa na kielelezo nitakachokuonyesha.
Amo Abula Diasu amola Diasu ganodini liligi huluane amo Na da dima olelemu defele hamoma.
10 “Nao watatengeneza Sanduku la mbao za mshita, lenye urefu wa dhiraa mbili na nusu, upana wa dhiraa moja na nusu, na kimo cha dhiraa moja na nusu.
Dilia ‘aga: isia’ ifa amoga Gagili noga: i hamoma. Ea sedade fe defei amo110sedimida hamoma. Ea fe defei la: didili da 66 sedimida hamoma. Amola ea gadodili defei da 66 sedimida.
11 Utalifunika hilo Sanduku kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka.
Amo Gagili ganodini amola gadili gouliga dedeboma.
12 Utalisubu kwa pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine.
Lobo sogo gasisalasu defele 4 agoane gouliga hamoma. Amo da Gagili ea emoga madelagimu. Ilia da amo Gagili gaguli masa: ne hamoma.
13 Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.
Gagili la: gili gaguli masa: ne, ‘aga: isia’ ifa amo hamone gouliga dedeboma.
14 Utaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.
Amo ifa dilia da gasisalasu amo Gagili la: didili salawane gaguli masa.
15 Hiyo mipiko itabakia daima katika hizo pete za hilo Sanduku; haitaondolewa.
Be amo ifa da gasisalasu ganodini salalalu, maedafa duga: ma.
16 Kisha weka ndani ya hilo Sanduku ule Ushuhuda nitakaokupa.
Na da igi gasui aduna amoga sema bagade dedemu. Amo Na da dima iasea, di amo Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ganodini salima.
17 “Tengeneza kifuniko cha upatanisho cha dhahabu safi, chenye urefu wa dhiraa mbili na nusu, na upana wa dhiraa moja na nusu.
Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amoga gouli ga: lu hamoma. Amo ga: lu ea fe defei da 110 sedimida ba: mu amola ea la: didili fe defei amo 66 sedimida hamoma.
18 Tengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko.
Dilia ougia gala ‘sielabe’ aduna amo gouliga hamoma.
19 Tengeneza kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja, na kerubi mwingine kwenye mwisho mwingine; watengeneze makerubi hao wawe kitu kimoja na hicho kifuniko katika miisho hiyo miwili.
Ela da ga: lu la: didili leloma: ne amola ga: lu amoga madelagi leloma: ne hamoma.
20 Makerubi hao watakuwa wametandaza mabawa kuelekea juu, yakitia kivuli hicho kifuniko. Makerubi hao wataelekeana, wakitazama hicho kifuniko.
Amo ougia gala ‘sielabe’ aduna da ga: lu da: iya sisima: hodole esala defele hamoma. Ela da ougia ligiagale ga: lu amo dedebomusa: dialebe ba: mu.
21 Weka huo Ushuhuda nitakaokupa ndani ya hilo Sanduku la Agano, na uweke hicho kifuniko juu ya hilo Sanduku.
Di da igi gasui aduna amo Gode Ea Gousa: su Sema Gagili ganodini salimu. Amasea, ga: lu ga: sima.
22 Hapo juu ya hicho kifuniko, kati ya hao makerubi wawili walioko juu ya hilo Sanduku la Ushuhuda, hapo ndipo nitakapokutana nawe na kukupa maagizo yangu kwa ajili ya Waisraeli.
Na da ga: lu da: iya amo dima gousa: musa: misunu. Amola Na da amo da: iya ougia gala ‘sielabe’ aduna la: didili lela amo dogoa Na da lelumu amola Na sema huluane di Isala: ili dunuma alofele olelema: ne, dima imunu.
23 “Tengeneza meza ya mbao za mshita yenye urefu wa dhiraa mbili, upana wa dhiraa moja, na kimo cha dhiraa moja na nusu.
Dilia aga: isia ifa lale, fafai hamoma. Amo ea defei da sedade fe da 88 sedimida hamoma. Dunumuni fe da 44 sedimida defema. Amola gado lelebe defei da 66 sedimida defema.
24 Ifunike kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
Dilia amo fafai gouli noga: i amoga dedeboma. Amola ea fe amoga gouli oulegesu legema.
25 Kisha tengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne, na ufanyie ule upapi ukingo wa dhahabu kuuzunguka pande zote.
Fafai ea fe amoga oulegesu gouli amo ea ba: de da 75 milimida hamoma.
26 Tengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili ya meza hiyo, na uzifungie kwenye pembe nne, pale penye miguu yake minne.
Amo fafai gaguli masa: ne gasisalasu biyaduyale gouliga hamone amo fafai ea bada sagai ilia bai gadenene fafai amoga madelagima.
27 Pete hizo zitakuwa karibu na ukingo ule ili kuishikilia ile mipiko itakayotumika kuibebea hiyo meza.
Amo gasisalasu da oulegesu ea fe amo gadenene hamoma.
28 Tengeneza mipiko hiyo kwa mbao za mshita, uifunike na dhahabu, uitumie kubeba hiyo meza.
Amo fafai gaguli masa: ne ea ifa aga: isia ifa amoga hamone, gouliga dedeboma.
29 Tengeneza sahani zake na masinia yake kwa dhahabu safi, pamoja na bilauri na bakuli zake kwa ajili ya kumiminia sadaka.
Ofodo, faigelei amola hano buni amo waini iasu hou hamoma: ne, amo huluane gouliga hamoma.
30 Utaweka mikate ya Wonyesho juu ya meza hii iwe mbele yangu daima.
Amo fafai, Gode Ea Gousa: su Sema Gagili amo ea midadi ligisima. Amola sema agi ga: gi dilia da Nama imunu liligi da eso huluane mae fisili fafai da: iya dialebe ba: mu.
31 “Tengeneza kinara cha taa cha dhahabu safi iliyofuliwa vizuri katika kitako chake na ufito wake; vikombe vyake vinavyofanana na ua, matovu yake na maua yake viwe kitu kimoja.
Gamali bai amo gouliga hamoma. Ea bai amola ea damo da gouliga hamoma. Amo noga: i ba: ma: ne dilia sogea amola falegai liligi amo gouliga hamone, ilia da amo gamali bai amoga madelagi dagoi ba: mu.
32 Matawi sita yatatokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine.
Gamali ea bai da heda: le, sagulufale, amoda gafeyale gala, udiana da la: di, udiana eno da la: didili ba: mu.
33 Vikombe vitatu vya mfano wa maua ya mlozi yenye matovu na maua vitakuwa katika tawi moja, vikombe vitatu katika tawi jingine, na vivyo hivyo kwa matawi yote sita yanayotokeza kwenye kile kinara cha taa.
Amo amoda gafeyale gala afae afae da falegai liligi, ‘alamode’ ea sogea defele amoga legei ba: mu.
34 Juu ya kinara chenyewe vitakuwepo vikombe vinne vya mfano wa maua ya mlozi yakiwa na matovu yake na maua yake.
Gamali damo gadodili da falegai biyaduyale gala ‘alamode’ agoane amoga legei ba: mu.
35 Tovu moja litakuwa chini ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyotokeza kwenye kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani matawi sita kwa jumla.
Sogea afadafa amo amoda ilia sagulufai hagudu damoga legemusa: hamoma.
36 Matovu na matawi yote yatakuwa kitu kimoja na kile kinara cha taa, yakifuliwa kwa dhahabu safi.
Sogea, amoda amola gamali bai da mae afafane gouli liligi afadafa amoga hamoma.
37 “Kisha tengeneza taa zake saba na uziweke juu ya kinara hicho ili ziangaze mbele yake.
Gamali damo amola amoda amoga ligisimusa: , gamali fesuale gala hamoma. Ilia ba: le gaidi hadigima: ne, gamali bai amoga ligisima.
38 Mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote zitakuwa za dhahabu safi.
Gamali ea dida amola bianoi ofodo amo gouliga hamoma.
39 Utatumia talanta moja ya dhahabu safi kutengeneza hicho kinara na vifaa vyake vyote.
Amo gamali amola ea liligi huluane hamoma: ne, gouli ea dioi defei 35 gilogala: me agoane, amo lama.
40 Hakikisha kuwa umevitengeneza sawasawa na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani.
Amo liligi noga: le amola gebewane hamoma. Na da goumia dima hamoma: ne sia: i, amo defele hamoma.”

< Kutoka 25 >