< Kutoka 23 >
1 “Usieneze habari za uongo. Usimsaidie mtu mwovu kwa kuwa shahidi mwenye nia ya kudhuru wengine.
Ne iznosi lažnijeh glasova; ne pristaj s bezbožnikom da svjedoèiš krivo.
2 “Usifuate umati wa watu katika kutenda mabaya. Unapotoa ushahidi kwenye mashtaka, usipotoshe haki ukijumuika na umati wa watu,
Ne idi za množinom na zlo, i ne govori na sudu povodeæi se za veæim brojem da se izvrne pravda.
3 nawe usimpendelee mtu maskini katika mashtaka yake.
Siromahu u parnici njegovoj ne gledaj što je siromah.
4 “Kama ukikutana na maksai au punda wa adui yako anapotea, hakikisha umemrudisha kwake.
Ako naiðeš na vola neprijatelja svojega ili na magarca njegova, gdje je zalutao, odvedi ga k njemu.
5 Ukiona punda wa mtu anayekuchukia ameanguka na mzigo wake, usimwache hapo alipoangukia; hakikisha kuwa umemsaidia.
Ako vidiš gdje je nenavidniku tvojemu pao magarac pod teretom svojim, nemoj da ga ostaviš, nego mu pomozi.
6 “Usiwanyime haki watu wako walio maskini katika mashtaka yao.
Nemoj izvrnuti pravde siromahu svojemu u parnici njegovoj.
7 Ujiepushe na mashtaka ya uongo, wala usimuue mtu asiye na hatia au mtu mwaminifu, kwa maana sitamhesabia hana hatia yeye aliye na hatia.
Rijeèi lažne kloni se, i bezazlenoga i pravoga nemoj ubiti, jer neæu opravdati bezbožnika.
8 “Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa hupofusha wale waonao, na kupinda maneno ya wenye haki.
Ne uzimaj poklona, jer poklon zašljepljuje okate i izvræe rijeèi pravima.
9 “Usimwonee mgeni; ninyi wenyewe mnajua jinsi mgeni anavyojisikia, kwa sababu mlikuwa wageni Misri.
Došljake ne cvijeli, jer vi znate kaka je duša došljaku, jer ste bili došljaci u zemlji Misirskoj.
10 “Kwa muda wa miaka sita mtapanda mashamba yenu na kuvuna mazao,
Šest godina zasijevaj zemlju svoju i sabiraj rod njezin;
11 lakini katika mwaka wa saba usiilime ardhi wala kuitumia, ili watu walio maskini miongoni mwenu waweze kupata chakula kutoka kwenye hayo mashamba, nao wanyama pori wapate chakula kwa yale mabaki watakayobakiza. Utafanya hivyo katika shamba lako la mizabibu na la mizeituni.
A sedme godine ostavi je neka poèine, da jedu siromasi naroda tvojega, a što iza njih ostane neka jedu zvijeri poljske; tako radi i s vinogradom svojim i s maslinikom svojim.
12 “Kwa siku sita fanya kazi zako, lakini siku ya saba usifanye kazi, ili maksai wako na punda wako wapate kupumzika, naye mtumwa aliyezaliwa nyumbani mwako, pamoja na mgeni, wapate kustarehe.
Šest dana radi poslove svoje, a u sedmi dan poèini, da se odmori vo tvoj i magarac tvoj, i da odahne sin robinje tvoje i došljak.
13 “Uzingatie kutenda kila kitu nilichokuambia. Usiombe kwa majina ya miungu mingine, wala usiyaruhusu kusikika kinywani mwako.
Držite se svega što sam vam kazao. Ne pominjite imena bogova tuðih, i da se ne èuje iz usta vaših.
14 “Mara tatu kwa mwaka utanifanyia sikukuu.
Tri puta preko godine svetkuj mi:
15 “Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu; kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu kama nilivyokuagiza. Fanya jambo hili kwa wakati uliopangwa katika mwezi wa Abibu, ndio mwezi wa nne, kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri. “Mtu yeyote asije mbele yangu mikono mitupu.
Praznik prijesnijeh hljebova drži; sedam dana jedi hljebove prijesne, kao što sam ti zapovjedio, na vrijeme, mjeseca Aviva, jer si tada izašao iz Misira; i niko da ne izaðe preda me prazan;
16 “Utaadhimisha Sikukuu ya Mavuno kwa malimbuko ya mazao yako uliyopanda katika shamba lako. “Utaadhimisha Sikukuu ya Kukusanya mavuno mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mavuno yako toka shambani.
I praznik žetve prvina od truda tvojega što posiješ u polju svojem; i praznik berbe na svršetku svake godine, kad sabereš trud svoj s njive.
17 “Mara tatu kwa mwaka wanaume wote watakuja mbele za Bwana Mwenyezi.
Tri puta preko godine sve muškinje tvoje da izlazi pred Gospoda Boga.
18 “Msitoe damu ya dhabihu kwangu pamoja na kitu chochote kilicho na chachu. “Mafuta ya mnyama wa sadaka ya sikukuu yangu yasibakizwe mpaka asubuhi.
Krvi od žrtve moje ne prinosi uz hljebove kisele, i pretilina praznika mojega da ne prenoæi do jutra.
19 “Utaleta malimbuko bora ya ardhi yako katika nyumba ya Bwana Mungu wako. “Usimchemshe mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.
Prvine od prvoga roda zemlje svoje donesi u kuæu Gospoda Boga svojega; nemoj kuhati jagnjeta u mlijeku majke njegove.
20 “Tazama, ninamtuma malaika akutangulie mbele yako akulinde njiani na kukuleta mpaka mahali nilipoandaa.
Evo, ja šaljem anðela svojega pred tobom da te èuva na putu, i da te odvede na mjesto koje sam ti pripravio.
21 Mtamtii na kusikiliza kile anachokisema. Usiasi dhidi yake; hatakusamehe uasi wako, kwa maana Jina langu limo ndani yake.
Èuvaj ga se, i slušaj ga, nemoj da ga rasrdiš, jer vam neæe oprostiti grijeha, jer je moje ime u njemu.
22 Kama ukitii kweli kweli kile asemacho na kufanya yote nisemayo, nitakuwa adui wa adui zako, na nitawapinga wale wakupingao.
Nego ako ga dobro uzaslušaš i ustvoriš sve što kažem, ja æu biti neprijatelj tvojim neprijateljima i protivnik tvojim protivnicima.
23 Malaika wangu atatangulia mbele yako na kukuleta katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi na Wayebusi, nami nitawafutilia mbali.
Jer æe anðeo moj iæi pred tobom i odvešæe te u zemlju Amorejsku i Hetejsku i Ferezejsku i Hananejsku i Jevejsku i Jevusejsku, i ja æu ih istrijebiti.
24 Usiisujudie miungu yao, au kuiabudu, wala kufuata desturi yao. Utayabomoa kabisa na kuvunjavunja mawe yao ya ibada vipande vipande.
Nemoj se klanjati bogovima njihovijem niti im služiti, ni èiniti što oni èine, nego ih sasvijem obori i likove njihove sasvijem izlomi.
25 Utamwabudu Bwana Mungu wako, na baraka zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni mwako,
I služite Gospodu Bogu svojemu, i on æe blagosloviti hljeb tvoj i vodu tvoju; i ukloniæu bolest izmeðu vas.
26 na hakuna atakayeharibu mimba wala atakayekuwa tasa katika nchi yako. Nami nitakupa maisha makamilifu.
Neæe biti pometkinje ni nerotkinje u zemlji tvojoj; i broj dana tvojih napuniæu.
27 “Nitapeleka utisho wangu mbele yako na kufadhaisha kila taifa utakalolifikia. Nitafanya adui zako wote wakupe kisogo na kukimbia.
Pustiæu strah svoj pred tobom, i uplašiæu svaki narod na koji doðeš, i obratiæu k tebi pleæi svijeh neprijatelja tvojih.
28 Nitatanguliza manyigu mbele yako kuwafukuza Wahivi, Wakanaani na Wahiti waondoke njiani mwako.
Poslaæu i stršljene pred tobom, da tjeraju Jeveje, Hananeje i Heteje ispred tebe.
29 Lakini sitawafukuza kwa mara moja, kwa sababu nchi itabaki ukiwa na wanyama pori watakuwa wengi mno kwako.
Neæu ih otjerati ispred tebe za jednu godinu, da ne opusti zemlja i da se zvjerje poljsko ne namnoži na tebe.
30 Nitawafukuza kidogo kidogo mbele yako, mpaka uwe umeongezeka kiasi cha kutosha kuimiliki nchi.
Pomalo æu ih odgoniti ispred tebe dokle se ne namnožiš i zauzmeš zemlju.
31 “Nitaweka mipaka ya nchi yako kuanzia Bahari ya Shamu hadi Bahari ya Wafilisti, na kuanzia jangwani hadi Mto Frati. Nitawatia watu wanaoishi katika nchi hizo mikononi mwako, nawe utawafukuza watoke mbele yako.
I postaviæu meðe tvoje od Mora Crvenoga do mora Filistejskoga i od pustinje do rijeke; jer æu vama u ruke dati one koji žive u onoj zemlji da ih otjeraš ispred sebe.
32 Usifanye agano lolote nao wala na miungu yao.
Nemoj hvatati vjere s njima ni s bogovima njihovijem.
33 Usiwaache waishi katika nchi yako, la sivyo watakusababisha utende dhambi dhidi yangu, kwa sababu ibada ya miungu yao hakika itakuwa mtego kwako.”
Neka ne sjede u zemlji tvojoj, da te ne navrate da se ogriješiš o mene, jer bi služio bogovima njihovijem, i to bi ti bila zamka.